Waitara nimekupenda bure. Asante sana kwa kuzungumuza ukweli. Unalisaidia taifa na Rais. Achana na wabunge thahifu wanaosema tuwachcie Bashe wawo. Bashe ni waziri ameajiliwa na Watanzania, na analipwa na kodi za watanzania. Shida tuna wabunge wengi hawajuwi ni kwa nini wako bungeni. Wanakula mishahara ya bure na kulifanya bunge ni mali yawo. Bunge ni la watanzania na jambo hili tunalifuatilia. Kwa niaba ya watanzania Mpina Ana haki ya kumuhoji Bashe. Kątowa ushahidi na Watanzania sio wajinga. shida.
Wabunge wengi tz hawanazo kichwani yaani hawana Cha maana zaidi ya kusifu, Rais hapeleki kitu chochote Bali sifia serikali yote likiwemo bunge maana Rais Hana biashara ya kutoa pesa tarime na kwingineko,poleni wapiga kura
Hongera sana waitara, umejitoa kuongelea ushoga. Mungu akubariki
Hongera mbunge wa tarime km hawasikii mungu anasikia atukusaidia
SAF SANA MAMBO IMECHEMUKA😂😂😂❤❤❤
Kwenye bunge Tz wapo baadhi ya wabunge wamekuwa wa kweli waitara tunashukuru xn kwa ujasiri wk mungu akutangulie
Naibu spika mbona mambo muhimu unamkatisha mbunge tukuelewe vp unapenda Tz tuwemashoga, waitara anatufaa sana kutetea wa Tz kama mpina
Hata uongee unavyoongea hayo unayoongea yataishia hapohapo hakuna wakutashughulikia
Kama serikali ingekua inapinga ushoga bhasi tungeona waziwazi
Waitara nimekupenda bure. Asante sana kwa kuzungumuza ukweli. Unalisaidia taifa na Rais. Achana na wabunge thahifu wanaosema tuwachcie Bashe wawo. Bashe ni waziri ameajiliwa na Watanzania, na analipwa na kodi za watanzania. Shida tuna wabunge wengi hawajuwi ni kwa nini wako bungeni. Wanakula mishahara ya bure na kulifanya bunge ni mali yawo. Bunge ni la watanzania na jambo hili tunalifuatilia. Kwa niaba ya watanzania Mpina Ana haki ya kumuhoji Bashe. Kątowa ushahidi na Watanzania sio wajinga. shida.
Mungu atusimamie. Tunatoa maji taka kwa being poa
Sio wahojiwe wanyongwe kabisa mashoga
Mbona Hujagusia kuhusu RIPOTI YA CAG
Kama Kuna viongozi wanachama wa free Masson Hilo haliwezi likachukuliwa hatua hata Maramoja kwa kuwa wametia saini ndani ya mkataba wao
Tumeumia mno michango ya Kila wakati nahakuna kinachoendelea
Wabunge wengi tz hawanazo kichwani yaani hawana Cha maana zaidi ya kusifu, Rais hapeleki kitu chochote Bali sifia serikali yote likiwemo bunge maana Rais Hana biashara ya kutoa pesa tarime na kwingineko,poleni wapiga kura
p
Watu wanapokuwa wanatoa point muwaache wamalizie