"VURUGU, BUNDUKI ZAPIGWA JUU" NYUMBA ZAIDI YA 30 ZAVUNJWA, WANANCHI WAMWAMBIA RC CHALAMILA A-Z
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Mkuu wa Mkoa wa dar es salaam, Albert Chalamila ametembelea eneo la Majoe Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam na kujionea nyumba zilizo bomolewa na watu ambao hawafahamiki kwa kuwa uhalifu huo umekua ukifanyika nyakati za usiku
Wakielezea kero zao wananchi hao mbele ya mkuu wa mkoa Albert Chalamila wamefunguka haya….
Hii nchi si ya amani bali ni kisiwa cha uvumilivu . Mm hushangaa sana kupoteza muda wa kusherehekea nchi kupata uhuru . Uhuru upi huku kunawakoloni weusi
Kabisa ndugu yangu
Poleni sana ndugu zangu,machozi ya wenye haki hayapotei bure ,mwenyezi mungu atawafuta machozi wenu
Polisi na kiongozi wao OCD wanajua MCHEZO WOTE....wamehongwa na anaejiita mwenye kiwanja.
😂 selikali ya CCM nusu Yao ni waasi na majambazi ni vile watanzania hatutaki kuona damu zikimwagika siku kukichatuka mtakosa pa kujificha
Hakuna cha ccm wa chadema kila muafrica anajiwaxia nafsi yake ni vile hujapata mamlaka
Tanzania ni nchi yenye amani ila wananchi wake hatuna amani pumbavu
Kuna faida gan ya kuita mtu mheshimiwa .wakat hawana wanachofanya ..ndo maana nchi za kiarabu watu wanalipuana kwa upuuz kama huu
Wanaoita watu mheshimiwa wanakuwaga na nidhamu za uoga tuu
Huo ndio ukweli
Et,,,
Hivi ipo seemu walivunjiwa nyumba wamepata haki yao ipo hiyo seemu kweli
Watu wanavunjiwa nyumba usiku, usiku, usiku.......hapana, hapana, hapana....! Nani anabariki uhuni huu? Nani yuko nyuma ya unyama huu? Hivi nchi ya ni ya watanganyika au wakimbizi? 8:19
Bola ingekuwa moja nyumba 30 dahaa
Hata moja mtihani kama haikufuata haki
@@seemanishekiao ndio lakini ninacho shangaa kufika nyumba 30 hataa chombo kimoja cha ulinzi hakijafika ndio nashikwa na butwaa
Baada ya Magufuli kufa, ni shutuma kwa kwenda mbele
Mmmmhhhhhhh dunia simama nishuke mungu watetee hawa ndugu zetu yaani hapo inaonesha waziii huyu MTU anahonga napesa kila upande kuwadhulum hao wanyonge wa mungu wallahi watu wamekosa hofu yamungu
Mnaangaaika bure2 apoyangiiliauku yanatokea kule hamna kitu apo haki ilikua enz za j,p,m. Poleni saaaana
Kwa kweli watanzania tuna shida kubwa. Kesi, dhuluma, wizi, uonevu, ufisadi nk.vipo wazi hii leo, halafu inakuwepo serikali ya kuchukua muda mrefu kusikiliza wananchi, mara itafuata kauli toka serikalini: unda tume, unda kamati, tuko kwenye mchakato tunachunguza, tuunde kongamano la kuangalia haya mambo kwa busara! Ndo hayo MAGU alikuwa hayataki, na kwa kweli, enzi yake MAGU tukaiona amani! Leo serikali ikasema tugeuze msimamo, tuwe na mpya, yaani ya MAGU hayafai! Na sasa msimamo mpya unatuliza. Nchi nzima hii leo utasikia vilio! Tunalia nini sasa wakati sie wenyewe ndo mtindo mpya tulochagua kufuata? Aliyeweka msimamo huo kwa niaba yetu ni mkuu wa nchi. Yaani rais. Halafu wananchi walalamikaji unakuta mara nyingi wanajichanganya, eti rais hana habari na mateso ya wananchi ila watendaji wake ndo wanamharibia! Sivyo, rais anayajua vizuri kwani watendaji wake wakiungana na mafisadi, wanafuata msimamo aliouweka yeye! Kifupi wanatekeleza "wajibu" wao kwa rais! Sasa Chalamila ni nani wa kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake? Nilitamani sana nisikie kauli kali na mara moja ya Chalamila dhidi ya unyanyasaji huu wa wanyonge, clipp haijaonyesha. Poleni sana ndgu zangu.
USITU SIFIE YULE MAITI ALIE VUNJA MAJUMBA YA MASKINI KIMARA NA KUWATUPA NJE KAMA MBWA.
@@salimmalaka256una unalo jua ss kimara tulilimwa mwaka 1996 na tukapewa viwanja mbwenii na salasala serikalii ikajq ikavunja nusu na kuondoka wazee wetu waliuza yqle maeneo na kukimbilia mbezii maramba magu alipo kuja kuvunja alikuwa saiii cuz cc tulisha lipws tangu 97
@@saidmabanga388 LAKINI KAWAVUNJIA NA KUWATUPA NJEE MIMI NAONA SIO SAWA NI USHENZI KABISA.
😮
Duniani tunaandika histolia Tu wrote ni malehem hakuna alieweka mkataba wa kuishi milele hapa punguzeni kibuli Kwa kuwakashfu waliotangulia lhimmalaka256
Serkali ya wanyonge haya bomoa,bomoa,usiku au n Gaza au, Ukraine, mjipange,wa Tanganyika hatujielewi Tatizo shule,et unapigwa mwigi, mtajijeijei sana wa Tanganyika,
Wananyanyaswa huku wanawasifia wanaobariki wanyanyasike ati bado wanasifia .Ni Tanzania tu ndio watu wanasifia kuonewa 😅.
Kaka usijizime data uongozi uliopita nyumba zilivunjwa na mzee Pombe akasema halipi na yeyote anaetaka kumfanya kitu chochote amfanye hii nchi haithamini mnyonge ila mnyonge anathaminiwa wakati wa kura tu😢😢
@@abdallakhamisi7488 kuwa na akili pombe alivunja bondeni
Masikini, Tanzania km huna network, huna pesa, hauna ndugu ambae yuko wizara ya mambo ya ndani, huna pesa. Basi jitahidi kuhama /ondoka kabebe boksi Ulaya na Marekani.Hamna haki duniani ukiwa hauna pesa. Haki iko mbinguni.
Hapa nakubali binafsi nilimshangaa sana mama kumchagua yule Amos Makala kazi hajui yul
Chezeya apo Magufuli angekuwepo kama wangenyeya kwenye po ya kitoto.😢😢😢
Yule Baba kwa kweli alijitahidi kupiganiya haki za watu wa chini
Yani acha tu
HAKI GANI WAKATI YEYE NDIE ALIE WAVUNJIA WATU MAJUMBA KIMARA?? AU HUJUWI???
Haki gani aliyekuwa nayo
Sasa Magufuli angekuwpo angefanya nini?
@@nimrodsigulu6249
Tafuta kumbukumbu hata kwenye UA-cam utaona alivyokuwa anawafanya watu wa dhulma
iyo ndo sirikalii ya ccm sasa endeleen kuimba mapambiooo
Haki gani inapatikana kwa bunduki,Kama sio ubabe
CCM mbele kwa mbele iyooooo inawakomesha
Ifike wakati watanzania tuwe na umoja tukemee hayq mambo ya bomoabomoa kumbuka leo kwa mwenzio na kesho kwako
Hili ndio tatizo hatuna umoja yaani mtu mmoja anaogopwa kwa vile ana bunduki
Poleni sana wananchi. Imefika wakati muelewe kuwa kuna wananchi na wenyenchi.
Li nchi kubwa kama hili, kuna haja ya kuboleana majumba?
Hao wenye eneo, kwa nini wanasubiri watu wajenge, ndipo wakabomoe?
Walisema wakimaliza Mikoa mingine watafuta kwingine. Wamasai wamelia tukaona ni sawa kwao sasa tunalia Nchi nzima 😢
@@leokamil6284si bora hao wamasai wamejengewa nyumb kuliko hao
Umenifurahisha mwamba kumbe Kuna mwananchi na mwenye nchi daaaaaa ila ni kweli hivi mwana chato alienda wap
Mwana Chato aliumaliza mwendo huko hakuna haya mambo
nasikia hao jamaa eneo sio lao na walisbaoewa chao na notice ila wabishi
HII SERIKALI YA KIPUMBAVU SAAANA MAMAMAE YAANI WANANCHI TUMEZIDI UPOLE
WEWE SI UNASHANGILIA GAZA MAZIONIST KUWABOMOLEA NA KUWAUWA RAIA WASIOKUWA NA HATIA IMEKUWAJE TENA.
WEWE SI UNASHANGILIA GAZA MAZIONIST KUWABOMOLEA NA KUWAUWA RAIA WASIOKUWA NA HATIA IMEKUWAJE TENA.
@@salimmalaka256sasa wewe mbwa kwani hii Gaza 😅 acha Gaza wamanuliwe tuu mbwa wa kiarabu wale hawana faida ya kuishi 😅😅😅😅
@@Ambwene KUMA LA MAMAKO WEWE KWANI UMEWAUMBA WEWE NYANI WEWE AU WAMEKUFIRA HAWAKUKUPA PESA UTAKUFA KWA CHUKI NA HUSDA KIBARAKA WA WAZUNGU WEWE.
@@salimmalaka256Halafu unamshabikia Samia wewe huna akiri kichwa chako kimejaa Matusi kumbe watu wa aina yako ndiyo wa Samia.
Huyu mwenyekiti ni muhuni macho yake tu takibuli
Magufuri alisema tutamkumbuka kwa mazuri saiv pisto kawaida2 mtaani mtu saiv anakwambia unanijua mm ni nan kwakweli jaman mitaa ni yamoto sana
Hali mbaya jamsni hii inaweza nje yakata hii wafanya cinema kwa kweli tanzania hafikia hapa mimi hawa wananchi wana subria kweli wangeanda keko wangetokea mauji kweli kila moja anaongea uchungu mno ukisikiliza jnalilia kwa kweli selikali wapatia viwanja wajengee hii laana unweza kufunji nyuma mtu bila uruma
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭tunaumizwa watanzania😭😭😭😭😭😭hii ndo serikali kwa ujumla 😭😭😭😭amakweli kazi ya mungu haina makosa. Magufuli alitia watu adabu. Yani watu wanaonyesha ni jinsigani wanaidharau serikali iliyopa madarakani. Mpaka maaskari wanatamka kabisa wazi kwamba mama afanyi chocho hatakama mkishitaki.😭😭😭😭😭kumbukeni kunakusimama mbele ya (الله ) mwenyezimungu, kumbukeni moto wa الله unazungumza kumwambia الله kama kunaziada niongezee mola wangu. Na ingekua tunaifikiria kesho na uzito wake tusingezulumu hata sindano ya mtu.😭😭😭😭😭
Magutu tunamkumbuka hakuna mwingine
Raisi anakazi nyingi hawezi kuona mateso ya watanzania, Hakika tutamkumbuka raisi wa wanyonge alifanya makapuku tuvimbe bila pesa.
Kwa hiyo mama samia ndo haakumbuki wanyonge mama anafanya kazi tena sana changamoto lazima ziwepo hakuna mtu anaeongoza bila kuwepo na changamoto
Tuko bize kuandaa chipukizi CCM hayo mtajua wenyewe
Duh Tanzania viongozi Mungu awape hekima katika dhamana waliyopewa.
Mama samia rais wetu tunakupenda na tunakukubali uchapa kazi wako.ila baadhi ya viongoz wanataka kukutengenezea chuki na wanaichi.nakuomba mama raisi wetu mpe basi meno umuomgezee nguvu waziri mkuu majaliwa majaliwa au huyu mkuu wa mkoa chalamila wawe wanawatumbua wale wote wanao fanya kazi kwa mazoea na bila kufata sheria na viongoz wote wale wazembe.vyuma hivyo wawe wanawatumbua hadharani haijalish anawadhfa gani huyo kiongozi atumbuliwe tuu.
RIP MAGUFULI
😢😢😢😢
MAGU NDIE ALIE WAVUNJIA WATU MAJUMBA KIMARA AU HUJUWI???
@@salimmalaka256Huyu mama mpumbavu hajui kuongoza nchi
@@salimmalaka256magu qlikuwa saii cc tulilipwa tangu 1997
@@salimmalaka256Wewe ni Mshabiki wa Rais Samia huna ukweli wowote unalopoka hujuwi lolote, Magufuri alitenda haki hakumuonea mtu yoyote.
Kiukweli Tanzania kuhusu jeshi la polisi ni mtihani kwakweli wa wakukute barabarani wakutoe makosa uwape pesa bax ndo wanoliweza
Ao wasenge sana wanatishiaje wananchi kisenge wanachafua chama cha mapinduzi viongoxi wa mkoa na wilaya kama mmeshindwa tuambieee
Nyie mmekua wapole sana ilibidi serikali ije iseme wana nchi basi inatosha.
Magufuli tutakuenza maisha yawatanzania yanapotea
Na yeye yupo jehanamu kwa kutuvunjia nyumba zetu kimara
Aa nanyie mmekuwa wapole mno mna ogopa pistol?Duu Mzee mkwawa alipambana na wajerumani kwa mikuki na mishale akashinda vita nyie mnaogopa pistol?Duu mnaniangusha mnashindwa kupambana na hayo majambazi duu! Mkuu wa mkoa kazi nzuri wasaidie hao wanyonge raia wa mama Samia mungu atakubariki sana sweka ndani Kila aliehusika kufanya unyama huo ndani ya Tanzania.
Hatukuelewi Baba,
Unasema Mnaogopa Pistol,
Kweli? Mtu asiye na silaha hapaswi kuogopa Piston!
@@matiankomola2391ni lazima waogope pisto wao hawana siraha,ila wangeamuwa kufanya vurugu ingeleta madhara zaidi
Ujasiri sio kucomment UA-cam
Jamaa yuko sahihi uoga ukizidi pia ni tatizo,nenda kwa wakurya tarime na pistol yako kama utawatisha watakuua na pistol yako@@matiankomola2391
Nyumba 30 kuvunjwa adi ziishe hivi serikali haina taarifa kwel😢
Mpunga ndugu
Inauma jaman kujenga kulivyokuwa kugumu si japo wangepewa muda wa kujipanga basi inauma sana
@@mariamdullazy8166
Wala hakuna sababu ya kuwasumbua. Serikali ingempa mwenye eneo, eneo lingine. Kama angeng'ang'ania hapohapo, basi angepaswa awalipe majengo yao. Haiwezikani watu wanajenga mpaka wanamaliza mwenye eneo hana habari.
Kumbe mlijua Sasa Nini mnalalama
Je mama Hana makali??
Hii nchi ndivyo ilivyo hivi vitendo vimejaa Morogoro ndio imeoza kabisa sijui tunakwenda wapi
Morogoro atuna matatizo kabisa usiseme imeoza imeoza kivip
Bado haijaoza iko vzr
Hawo wafutwe kazi mwenyekiti mapolis hata mkuu wa wilaa wasimamishwe kazi hawafai
Huyo Nyambuya ni Mhusika anajua kila Kitu ni anatumika..hiki kilichotokea ni Kuidharilisha nchi na Kiongozi..mkuu..yaani utadhani wako HANANG..ok mtu wa Kawaida unamshikia vipi Bastola..?..Mtu anasema Rais hawezi kuwafanya lolote.? Khaaa
Hawa wenye viti ndiyo shida kabisa wanapenda madaraka uwezo hawana. Niwaambie ndugu zangu uongozi ni karama siyo ovyo ovyo tuu.
uongozi ni mgumu sana hao wote wanajua ukweli kuwa walishaondolewa kwa mjib wa sheria wanatafuta huruma 😂
waliondolewa na nani na lini?na je mtu anaposhinda kesi ya ardhi ni nani anapaswa kuja kubomoa?
@@saloomidd1084USILETE UBISHI WABONGO WANA JEURI ZA KISHAMBA HIYO KESI NI YA ZAMANI NA WAMEKUBALI ARDHI SIO YAO SISEMI WALIVYO FANYIWA NIMEFURAHI LAKINI UBISHI NI HASARA.
Mpaka machozi yamenilenga lenga na laiti ndo ningekuwa mie ndo masihi hii kesi mngefurahi maamuzi yanguu
Baba wa Taifa Rais Mwalimu Julius Kambarage,aliwahi kumuweka jela Mgiriki aliyesema," Serekali iko Mfukoni mwangu!!! Baba wa Taifa akawazaaaa,akagundua maana ya Serekali kuwa mfukoni mwake Mgiriki,ni "Rushwa" akamuweka ndani. Je,likoje hili? 😭😭😭
Samia...fukuza IGP, CP, DCP na RPC wote na uajiri wapya.Ukweli ni kuwa Polisi wanaiweka rehani CCM.
Ni kweli aisee wamejaa makanjanja tupu
Mama afanye mabaliko kwenye uongozi mavyeti ya wekwe pembeni wawekwe vijana Wazalendo wapo wakumaliza migogoro kiraisi kabisa bira ata kutumia nguvu kama izo
Poleni palestina duu
Ktk sehem Mama etu ameshindwa Basi ni nidhamu ndani ya jeshi police...Yaan sa hiz police wanauwa, wana dhulumu,Wana bambikiza Watu kesi, Wanakula rushwa yaan tafran
Mpaka nalia jamani hivi nyumba 30 mh chelamila hii unaweza babangu wasaidie hao watu
Hapa ndio wanyonge watakapomkumbuka Magufuli maana hao waliofanya huo unyama cha kwanza wangesikia kile kicheko chake cha ukali ihiiiiiii akiliza tu ungesikia watafutwe waote na wakamatwe, na ndio hao mpaka leo magufuli amefariki bado wanamchafua maana wanaona kama walicheleweshwa kwenye udhulumu wao.
NA WALE MAGU ALIOWAVUNJIA MAJUMBA YAO KIMARA SIO WANYONGE?? WACHA UJINGA WEWE.
Poleni san Mungu atawafanyia wepesi
Serekali ya mkoa hapa tunataka..isimamie jambo hili kwa uadilifu............
Polisi kwa kuwa imeshindwa kuwahami wananchi,wote wawajibishwe! Wafukuzwe kazi, kutia ndani Ocd.
WATUMISHI WOTE WA SERIKALI NDIO WANAOVUNJA SHERIA NA KUIOZESHA SERIKALI MBELE YA UMA TANGU MITAA/VIJIJI, KATA, WILAYA MPAKA MKOA. NI UOZO MTUPU NA DHULUMA TUPU.
Ndyo muache kuvamia viwanja vyawatu matokeo yake ndyo hapo kumlaumu raisi mara kumsumbua mungu wakat mungu mwenyewe yupo bize kupanga riziki za mwakani ,,
Kuna Ile mwananchi anapelekewa summons ya kwenda mahakamani hataki kupokea hiyo summons akizani kwamba kesi haiwezi kusikilizwa bila uwepo wake, baadae anakutana maamuzi ya mahakama anaanza kulia kwamba hakupata nafasi ya kusikiliza na matokeo yake ndio hayo hapo
Ko we unaona ni sahii
Uelewa wako ni mdogo watu wameumja wew unaona sawa
Ushaona mahakama inaagiza nyumba ibomolewe usiku?
Mmempigia OCD hamja hamujapata msaada hamjiongez kua ilo niagizo toka juu wakat wanaumizwa wamasai mlikua mnachekelea tu ety Leo Ooo Mkuu wanachafua chama chetu ccm nasi twasemaa Acha waisomenambaee ccm mbele kwambelee
Daaaaa Magu uko wapi?
Mkataa pema pabaya panamwita mlimkataa Magufuli leo je? Sias a chafu nyingi mateso na bado pamoja nakuuzwa mafisadi wako peponi Lukuvi uko wapi?
Hakuna amani tanzania bali watanzania ni waoga ndo maana tunaonewa hata viongozi waona ni dili kwetu sisi kuwa waoga
I 😂😂😂 Hapa bado kama huna hela kwa sasa pita kule nchi imerudi kwenye mfumo wake wakawaida sasa 😂😂 tukae kwakutulia majibu yakija hapo utasikia hamieni burund😢😢
R I P ,ank MAGU
ndo alianzisha huu mfumo wa kubomoa majumba ya watu
Tutamkumbuka daima
@@gersonfungo5893poa
Hao watu wanaongea Kwa hekima sana.,.
Mbona jpm kwenye uwongoz wake, hy haykuwepo, sasaiv ujinga mwing sana
Hii nchi Hatutaki watukupigwa Tunaomba mkuu wamkoa uwachukulie hao wahalifu hatua .nchiyetu tumezoea Amani
Selikal ndo inajua kinacho endelea maana hakuna mkuu zaid ya selikal
Alafu inasifiwa pamoja na hayo yote😅
@@leokamil6284ULITAKA USIFIWE WEWE?? AU
Inasikitisja Nakuomba Mh Rais Samia tunakupenda kwa kazi unajifanya lakini viongo,I wako hao wanakupaka matope iki wanan hi waki julie tufanyie kazi iki lijulikane muhusika ya jambo hili katumwa na nani Ahsante Mii moenda Amani
Kumbe ndo maana chama cha Chadema wanataka kuwaendea Umoja wa mataifa kwakuwa Taifa la TZ limeshindika kujitatulia matatizo!!!
R.I.p magufuli 😭😭😭
Hili linchi lahovyooo mnooo binafsi limeisha nikifu,hebu silaha ziwe zinauzwa madukani alafu kila mtanzania apewe training ya kutumia nafikili tutaheshimiana saaana
mchagueni tena mwenyekiti.
Huyo Muddy ana Rushwaaa kiongozi maneno meeengi....
Mm sitakuja kuchagua kiongozi yoyote tanzania hii labda magufuri arudi ila kwa kuonewa kunyanyaswa hapana yule baba alikua akitupenda nauli vyakula kupanda bei kwakua viongozi wanapesa sisi maskini tusile tuumie viongozi wote watanzania watakufa midomo wazi na hawatafika kwa mungu samua anawafuraisha wazanzibari tu
Poleni sisi Arusha wangekuwa chapa na pistol zao tuliwahishusha vioo vya catapila chuga
Kweli daima namkumbuka Maghufuli mbona ushenzi huu ulikuwa haupo leo vipi ?
Upatikanajinwa Ardhi kisheria unajulikana,nani kati ya alovunja na alovunjia alifuata sheria kuipata hiyo Ardhi?
Ocd kala rushwa huyo
R.I.P MAGU
KWANI ALIEWAVUNJIA MAJUMBA WATU KIMARA SI HUYO HYO MAGU?? AU HUJUWI??
Na ndio aliyeweka hawa viongozi vibaka wenyeviti n.k. kwa msuli jinsi alivyopenda. Haya yote aRIP nayo
@@melxkb3840Viongozi wote ni wa Mama Samia hayupo kionngozi hata mmoja wa Magufuri unajidanganya mwenyewe.
Mkiambiwa mje kwenye maandamano kwa suala la katiba mpya mnajificha ktk nyumba zenu ambazo wenzenu wanawabomolea. Ndio muelewe maana ya maandamano sasa kudai katiba mpya.
Serikali hovyo sana . Haya mbambo hatukuyaona kipindi cha magufuli.
Mmmm! Makufuri angekuwepo uwongozi wote ungekuwa Hawana kazi Tena wangepigwa na VIBAO na MATEKE juu, mlaze mahari pema peponi jembe letu lemeondoka
@@ziadasalimu1730 yes of course, aliwaambia mwenyewe nchi hii anaifahamu vizuri na alipokuwa akiyatumbua haya majambazi watu walilalamika na kumpa majina ya ajabu ajabu sasa tupambane tu na haya majambazi tuliowekewa. Enzi hizo misha yalikuwa magumu pia ila amani mtaani ilitawala na tuliheshimiana katika nyanja zote. Saa hii amani iko wapi panya road ndo hao hujageuka majambazi yakutishia watu na bastola ndo hayo. Maofisini heshima hakuna tena kazi zinafanywa kwa hiari. Mwiba wakijudunga huo.
MAGUFULI MSHENZI TU YEYE NDIE ALIE WAVUNJIA WATU MAJUMBA KIMARA HANA LOLOTE.
@@salimmalaka256 hakuwa fala unavyochukulia alibomoa kwa kufuata sheria na sio usiku wa manene na bastola. Uliskia nani anatishia watu na bastola au uliona panya road wapi?? Ni wewe unaongea au ndo wale wale tu. Ngoja sasa mbutuliwe vizuri na msiongee nyani nyie. Saa hii kila ukienda kwenye sekta za serikali mtu anakujibu anavyotaka na huna lakusema au wewe unaishi pori gani wewe tuelezee vizuri.
@@salimmalaka256Aliwavunjia kwa kufuata sheria,je hapo sheria imefuatwa ndugu?mtu binafsi anavunja nyumba za watu na anajigamba serikali iko mfukoni mwake na hamuogopi hata huyo Raisi wenu,je enzi ya Magu angeweza kufanya huu ujinga?
Poleni wenzetu mitihani hio ila msichoke kuomba mola ndo muamuzi na yeye pia yuaona haki iko wapi na pia waombeeni viongozi wenu wawe wenye kuwasikiliza poleni sana
Na mtakoma si mlifurahi sn magu alivyo kufa na kuku kwa wingi mkazichinja!!😅😅
ALIE WAVUNJIA MAJUMBA KULE KIMARA WALIFURAHI ZAIDI NA KUKU WALICHINJA NI HAKI YAO KUFURAHI KWA KUFA KWAKE.
duh...inakuwaje mtu mmoja (kwabu). anaadhir jumuiya ya watu wengi hivyo? kwabu kameza serikali za mtaa, mwenyekiti, police, hiv ni kweli. mbona ni ajabu.
Watanzania mnasemaje kuhusu hili lililowakuta watanzania wenzetu kwa hao watu ambao Ni wanyama kisa pesa zao za wizi? Hembu tuangalie mkuu wa mkoa chalamila atafikisha wapi haya malalamiko ya hawa wanyonge?Tuamkeni watanzania akili tunazo macho tumayo masikio tunayo na kutenda tunaweza amkeni amkeni Leo kwao kesho kwenu
Utekelezaji wa hukumu za mahakama zinatekelezwa na madalali wa mahakama na siyo aliyepewa tuzo na mahakama huu ni ualifu kama uhalifu mwengine pili aliwezi kutekelezwa kabla ya muda wa rufaa kupita
Waizilaeli wakibongo mama sisi palestin iposiku yiyipolis wakibongo mnaishi nassi mtaan sawa mangu alisema mnaishi nas
Mungu awatie nguvu ndugu zetu haki itapatikana ..
Hi serikali imekuwa ya manyanyazo Sana kwanini asitafutwe huyo aliyefanya hivyo hi serikali imekuja kuwaje
Hao wanaotakiwa kusafisha taka tarehe 24-1-2024 kwanini wasisimamie usalama wa rahia na haki zao!!
Nchi hii ya hovyo sana, viongozi wetu wa juu hawana uchungu na hii nchi wanajali matumbo yao na familia zao.
Ata kama ni bomoabomoa utaratibu haujafanyika.
Poleni sana watu wanatumia pesa zao kwa lana
Huyo chalamila naye sizani kama atakua na ushirikiano wa aina yeyote, ndo haohao, ikiwa mahakama ndo serikali na ndo wanaruhusu kuna nn hapo?
Kwabu ni matapeli pandikizi michezo hizo zipo dar es salaam
Nchi nzima viongozi wa serikali ya mtaa ni CCM nabado
MAMA WA TAIFA ANAPASWA KUWA NA ROHO NGUMU KULIKO HATA MAGUFURI BILA HIVYO HAWA VIONGOZI WAKE WATAMFEDHEHESHA SANA KWA WANANCHI WAKE AMBAO WANA IMANI KUBWA KWEKE
Shida sana
Safi saana, mnalalamika nini? si mmekua mkiichagua mafisi miaka 62 tangu uhuru halafu mnategemea matokeo tofauti?
Bado amjasema na mtasema mlipenda wenyewe c c m
@@AndersonMakala-vm6imKwa wasivyojitambua bado wanaisifia wakati ndio hiyo hiyo inayowaliza .Wakisifia na kusema wanaimani nayo utadhani haihusiki .Wanaisifia na kujipendekeza wakidhani itawasaidia wakati ndio inawakandamiza😢
@@leokamil6284my hu
Ningekuwa kuwa raisi ningeteua viongozi wa dini wawaongoze wanainchi