MSUKUMA Akerwa na BEI ya SUKARI, TOZO / KODI ni Mzigo kwa Wananchi Amtaka Mwigulu Nchemba Apunguze

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 чер 2024
  • #BmtvTanzania #Bmtv
    Tembelea
    bmtvtanzania.com/
    INSTAGRAM
    / bmtvtanzania
    FACEBOOK
    / bmtvtanzania
    TWITTER
    / bmtvtanzania1

КОМЕНТАРІ • 32

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 9 днів тому +13

    Kumbe mbunge Mpina nilizani anawivu na Bashe lakini kumbe Yuko sawa tatizo la Sukari Tanzania nilakutengenezwa na watu flan 🙄 pia nadhani huu niwakati wa watanganyika kuamka.

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 8 днів тому +5

    Kweli ccm kama mtanyanyasa mpina basi hata mimi nitahama kwanini hamtaki kuambiwa ukweli jamani

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o 8 днів тому +3

    Unaakili sana msukuma

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 9 днів тому +3

    Mpina Yuko sawa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 8 днів тому +2

    Musukuma hao wakina mwigulu Hawajahi kufungua hata kibanda watajuwaje faini matozo tumechoka na wezi

  • @MartinLilenga
    @MartinLilenga 5 днів тому +1

    Upo sahihi

  • @user-ff1ti2bo4w
    @user-ff1ti2bo4w 9 днів тому +2

    Mhe kusukuma uko pamoja na mlima mko sawa kabisa

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 5 днів тому +1

    Bashe aliwekwa kuja kutumaliza watanganyika, RIP JPM

  • @user-wh3zd2vs8g
    @user-wh3zd2vs8g 7 днів тому +2

    Mimi natamani msukuma apewe urahisi mm nitashawishi mkoa mnzima wampigie kula

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 8 днів тому +2

    Hili bunge ni malumbano ya hoja wala co utatuzi wa matatizo ya Watanzania Tafakari chukua hatua.

  • @mwanju3981
    @mwanju3981 6 днів тому +1

    Viwanda na wasambazaji was sukari...wanatuchezeaga sana.....nafikiri alichowafanyia Bashe ni sahihiii....

  • @Agustinongaloka
    @Agustinongaloka 9 днів тому +2

    Kweli msukuma

  • @jarnskorelly464
    @jarnskorelly464 3 дні тому

    Hao wnyiramba wanaimaliza Tanzania lakini mama kawaweka tu sijui anafikiria nini? Anazidi kuwamaliza watanzania 😢😢

  • @Worldunite
    @Worldunite 8 днів тому +1

    Hili ya sukari inatumaliza aisee

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 8 днів тому +1

    Umeongea ukweli

  • @BernardMichaelMpombo
    @BernardMichaelMpombo 4 дні тому

    Mungu anaona

  • @OmaryAndunje-y8r
    @OmaryAndunje-y8r День тому +1

    Michezoenibisitazaniya

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 3 дні тому +1

    Kadiri ilivyo katika bunge letu ni vigumu kusikilizwa haya maoni ya Wah. Wabunge? Kweli Serikali iwe macho na maoni ya Bungeni.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 5 днів тому +1

    Tatizo wizara ya kilimo inaongozwa na mtaalamu wa mira

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 8 днів тому +1

    Msukuma toka CCM Mimi naomba utafute chama watanzania tutakuunga mkono ugombee urais hii CCM imechoka kufikiri utawapigia kelele mpaka lini

  • @MasterRegan
    @MasterRegan 3 дні тому

    Nadhani Wazili wa fedha kazi imemshinda anatakiwa ajiudhuru. Aachie wengine nafasi

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 3 дні тому

    Huyu waziri hana mpango wowote kakosa muelekeo

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 7 днів тому

    But this budget itapitishwa tu, maneno tu hayo ya kudanganya sisi. Professor Janabi, waambie hawa wabunge sukari siyo muhimu, it is dangerous.kwa afya zetu.

  • @maxlesijila6598
    @maxlesijila6598 6 днів тому

    Sukari sukariiii

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 8 днів тому +1

    Huyu naye apelekwe maadali socks Kamata na huyu na shabby.. Nchi hii tutaandamana kwa akili ya mpina

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 4 дні тому

    Tatzo wanao fanya hvyo wapo humo humo bungeni ndio maana serkari hii tunaichukia

  • @wekaputv9406
    @wekaputv9406 7 днів тому

    Kwani kuna ulazima wa Mwigulu kuwa waziri wa fedha?

  • @jarnskorelly464
    @jarnskorelly464 3 дні тому

    Ushuru mkubwa anaweka wa nini huo

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 8 днів тому +2

    Huyu jamaa siyo msukuma niaminini mm wasukuma hawawezi kuwa na kichwa kama hichi💪💪

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 6 днів тому

      Wasukuma ndio wanaakili za kutetea Raia bungeni ,mfano
      Kishimba ,
      Msukuma,
      Makonda,
      Mpina,.
      kishimba,
      Kishimba
      Biteko
      JPM
      Hao wote ni wasukuma na ndio watu pekee wanaojielewa kutetea raia

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 8 днів тому +1

    nasha tz tunatengeneza viwanda ila hatutengenezi mashamba .tukiwatengeza wakulima wakalima mashamba ya miwa kila kona mbona mabonde yapo mengi sio kagera tu .tengenezen mikakati boreshen tupande miwa kila kona. serikali wap mmefeli.

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 9 днів тому +1

    Asnt sana msukuma