Hebu jamaa ajaribu kuzungumza kiswahil fasaha kwenye R naweka L kwenye L anaweka R, millad ayo kiswahili ni lugha yetu mwandishi anapaswa kuwa fasaha ili atangaze lugha yetu kwa ufasaha kimataifa
mm muhindi mtanzania lakini .sis tulikuwa tunaishi kigoma .Mzee wangu babu wangu wote wamezaliwa kigoma . ma babu zao ndo walitokw India . kigoma na miss Sana nataka nirudi pale nikatembee ..tunaishi pale karibu na relini
Tanzania Drc congo burundi Rwanda tuache kupelekeshwa na nabeberu wazungu sote niwa moja ni ndugu hii tabiya yakuhita wazungu wa tali na ndugu zenu wa mihaji aramu ndugu zangu tuziache mana Ndo vyanzo vya vita africa kwote Asante
kabisa Kaka mimi nimekuelewa sisi ni wafrica halisi bilakupinga huyu mzee anaongea vizuri tuache ni ubaguzi oooh wewe Mcongo, oooh manzanita, oooh mrundi apana tuilinde Amani yetu umoja wetu mungu uibariki Africa
mwenyeji mzee sio muha mbembe. ndio wa kwanza kuweka makazi kigoma. muha kaja badaye. sema mbembe alitembeya. muha hakutembeya alibaki hapo hapo kigoma na ndomana. watu wana faham kigoma ni y’a waha sio kwel 🤣
mzee mwenyewe mnamuhoji hajuwi chochote hapo baba yangu angekuwa hayi ndo angetowa stor nzur mana alikuwa anajuwa stor yote. waha walikuja nyuma wamanyema ndio wenye asili yao wa likuwa wa kwanza kuweka zizi lao waha ndo wakafata badaye ? baba yetu alitupa stor yote ya kigoma !
huyo mzee. mnaye muhoji hajuwi chochote. anaonekana ni mgeni wa kigoma. sio mwenye ji huyo ! wa zazi wetu walitupa stot yote. ya asili mwenyeji wa kwanza ni wa manyema muha kaja nyuma kutoka burundi. wazungu waliwauliza . wazungu waliwahoji nyie wenyeji wa wapi wakajibu ss ni wahanyene ndo kuyitwa waha ? lakini leo wana kwambiya kigoma ndo yao sikwel histor kamili tunayo mbebe ndo alinza kuyingiya kigoma. wakatoka kwenda nchi zigine muha akabaki hapo hapo na ndomana anajingamba. ni mtu wa kigoma ? japo mimi. sipo mbembe. najuwa stor yote 🤣🤣
Watu wengi ni kutoka Congo ndio walio fika hapo majina ya Congo kama kabwe na kagoma ni majina ya kibwari na wabembe kutoka kivu Congo Mashariki na ujiji walio fika hapo ni Raia kutoka Congo
Navyofahamu mimi jina kigoma limetokana na Kabila la WAGOMA lililopo hapo Ujiji ambao ni wamanyema. Waha walikuwa wakisema "Tugende kwa bhaghoma" yaani twende kwa wagoma. Na ndio bakabadilika pakaitwa Kigoma
Hii clip ni kuwapigie debe wakristo.wazungu wasingefika ujiji bila ya msaada wa waarabu na hasa waomani. Unazungumzia utumwa mbona huzingumzii ustaarabu wa waarabu na dini? Acheni upambe
Hebu jamaa ajaribu kuzungumza kiswahil fasaha kwenye R naweka L kwenye L anaweka R, millad ayo kiswahili ni lugha yetu mwandishi anapaswa kuwa fasaha ili atangaze lugha yetu kwa ufasaha kimataifa
mm muhindi mtanzania lakini .sis tulikuwa tunaishi kigoma .Mzee wangu babu wangu wote wamezaliwa kigoma . ma babu zao ndo walitokw India . kigoma na miss Sana nataka nirudi pale nikatembee ..tunaishi pale karibu na relini
Kigoma ni kijiji cha sisi wa Congo, Africa ilikuwa moja kabla ya wakoloni, wa Tanzania, wa Congo, wa Rundi sote ni ndugu,
Udugu wetu haujafa bado upo pale pale
Kaeni Kongo tu
Tanzania Drc congo burundi Rwanda tuache kupelekeshwa na nabeberu wazungu sote niwa moja ni ndugu hii tabiya yakuhita wazungu wa tali na ndugu zenu wa mihaji aramu ndugu zangu tuziache mana Ndo vyanzo vya vita africa kwote Asante
kabisa Kaka mimi nimekuelewa sisi ni wafrica halisi bilakupinga huyu mzee anaongea vizuri tuache ni ubaguzi oooh wewe Mcongo, oooh manzanita, oooh mrundi apana tuilinde Amani yetu umoja wetu mungu uibariki Africa
Nikusaidie mtangazaji huyo mze yeye nimgeni simzaliwa unge mulizii shehe idirisa kasingirima ungepata mengi
mwenyeji mzee sio muha mbembe. ndio wa kwanza kuweka makazi kigoma. muha kaja badaye. sema mbembe alitembeya. muha hakutembeya alibaki hapo hapo kigoma na ndomana. watu wana faham kigoma ni y’a waha sio kwel 🤣
Rudi Kongo
@@gracekagoma3231 chizi mkubwa , bugoi ujiji ndo nyumbani , chimbuko la wazazi wangu, histor yote nayo mzee anabahatisha kuongea
Kigoma ndo nyumbani
HOLELA TV Media waha
Mzehe uyu mwongo ajuwi story anadanganya.
mzee mwenyewe mnamuhoji hajuwi chochote hapo baba yangu angekuwa hayi ndo angetowa stor nzur mana alikuwa anajuwa stor yote. waha walikuja nyuma wamanyema ndio wenye asili yao wa likuwa wa kwanza kuweka zizi lao waha ndo wakafata badaye ? baba yetu alitupa stor yote ya kigoma !
Pale kidahwe maskan kwengu
huyo mzee. mnaye muhoji hajuwi chochote. anaonekana ni mgeni wa kigoma. sio mwenye ji huyo ! wa zazi wetu walitupa stot yote. ya asili mwenyeji wa kwanza ni wa manyema muha kaja nyuma kutoka burundi. wazungu waliwauliza . wazungu waliwahoji nyie wenyeji wa wapi wakajibu ss ni wahanyene ndo kuyitwa waha ? lakini leo wana kwambiya kigoma ndo yao sikwel histor kamili tunayo mbebe ndo alinza kuyingiya kigoma. wakatoka kwenda nchi zigine muha akabaki hapo hapo na ndomana anajingamba. ni mtu wa kigoma ? japo mimi. sipo mbembe. najuwa stor yote 🤣🤣
Huyu mzee anatoa historia ya jina sio waha walitokana na Nini
Musa Samwel waha ni wa Rundi ndo asili yao
kutombanavideo
Bembe. Kigoma to the would
Mzee ajuwi historia sana
Uyu mzee ajuw history yenyewe
Kigoma ya burundi
Mzee mungu akumbariki sana.sisi ni wajukuu wenu.tunafurahi tukisikia historia ya kwetu❤❤❤
Huyu mzee hajui chochote kuhusu ujiji
Ww ndio unajua Dada au cyo
Basi kama hajui aelekezwe au aambiwe ukweli ukinyamaza ukweli hautojulikana
tutabaki kulaumu tuu
Mzee sasa hivi anamika 100
KIGOMA ya BURUNDI 🇧🇮 tu 🤷🏾♂️🤷🏾♂️🤷🏾♂️
Burundi ilikuwa Wilaya ya Deutsche East Africa (Azania) au Tanganyika territory. Hayo mengineyo ni promo tu.
Watu wengi ni kutoka Congo ndio walio fika hapo majina ya Congo kama kabwe na kagoma ni majina ya kibwari na wabembe kutoka kivu Congo Mashariki na ujiji walio fika hapo ni Raia kutoka Congo
Kigoma rahaaaaaaa
Ukisikia kigoma inamabisha Burundi
Duuh! Nihatari.
Navyofahamu mimi jina kigoma limetokana na Kabila la WAGOMA lililopo hapo Ujiji ambao ni wamanyema. Waha walikuwa wakisema "Tugende kwa bhaghoma" yaani twende kwa wagoma. Na ndio bakabadilika pakaitwa Kigoma
Acha uongo unajuwa wagoma wewe unadanganya pia
Si kweli rudi Kongo kwenye vurumai zenu.
@@gracekagoma3231 mbona umekazana kila comment rudi Congo, wewe mwenyewe utakuwa mkimbizi ndio mnatabia ya kuutafuta uwenyeji kwa kuwabagua Wanyeji.
nakubl aly by bodaa wa kwa belaa
Hii clip ni kuwapigie debe wakristo.wazungu wasingefika ujiji bila ya msaada wa waarabu na hasa waomani. Unazungumzia utumwa mbona huzingumzii ustaarabu wa waarabu na dini? Acheni upambe
Matunda geust ni Mali ya mzee sabukuru
YAHYA AL SAQRY sasa apo kakosea wap..na kasifia din gan mbona hujielewi?
Nikwer wakongo ndio weng ujiji