UNAAMBIWA HII NDIO SABABU YA KUITWA 'KIGOMA UJIJI'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 46

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 3 роки тому +4

    Hebu jamaa ajaribu kuzungumza kiswahil fasaha kwenye R naweka L kwenye L anaweka R, millad ayo kiswahili ni lugha yetu mwandishi anapaswa kuwa fasaha ili atangaze lugha yetu kwa ufasaha kimataifa

  • @Ajivrajloveahlulbayt
    @Ajivrajloveahlulbayt Рік тому +2

    mm muhindi mtanzania lakini .sis tulikuwa tunaishi kigoma .Mzee wangu babu wangu wote wamezaliwa kigoma . ma babu zao ndo walitokw India . kigoma na miss Sana nataka nirudi pale nikatembee ..tunaishi pale karibu na relini

  • @jacksaid
    @jacksaid 5 років тому +7

    Kigoma ni kijiji cha sisi wa Congo, Africa ilikuwa moja kabla ya wakoloni, wa Tanzania, wa Congo, wa Rundi sote ni ndugu,

  • @bahatywasofia4155
    @bahatywasofia4155 4 роки тому +3

    Tanzania Drc congo burundi Rwanda tuache kupelekeshwa na nabeberu wazungu sote niwa moja ni ndugu hii tabiya yakuhita wazungu wa tali na ndugu zenu wa mihaji aramu ndugu zangu tuziache mana Ndo vyanzo vya vita africa kwote Asante

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 3 роки тому

      kabisa Kaka mimi nimekuelewa sisi ni wafrica halisi bilakupinga huyu mzee anaongea vizuri tuache ni ubaguzi oooh wewe Mcongo, oooh manzanita, oooh mrundi apana tuilinde Amani yetu umoja wetu mungu uibariki Africa

  • @JamilaMokhamedy
    @JamilaMokhamedy Місяць тому

    Nikusaidie mtangazaji huyo mze yeye nimgeni simzaliwa unge mulizii shehe idirisa kasingirima ungepata mengi

  • @uwimanauwimana7303
    @uwimanauwimana7303 4 роки тому +3

    mwenyeji mzee sio muha mbembe. ndio wa kwanza kuweka makazi kigoma. muha kaja badaye. sema mbembe alitembeya. muha hakutembeya alibaki hapo hapo kigoma na ndomana. watu wana faham kigoma ni y’a waha sio kwel 🤣

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 2 роки тому

      Rudi Kongo

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 2 роки тому

      @@gracekagoma3231 chizi mkubwa , bugoi ujiji ndo nyumbani , chimbuko la wazazi wangu, histor yote nayo mzee anabahatisha kuongea

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 5 років тому +7

    Kigoma ndo nyumbani

  • @ngomafrancis4618
    @ngomafrancis4618 4 роки тому +2

    Mzehe uyu mwongo ajuwi story anadanganya.

  • @uwimanauwimana7303
    @uwimanauwimana7303 4 роки тому +2

    mzee mwenyewe mnamuhoji hajuwi chochote hapo baba yangu angekuwa hayi ndo angetowa stor nzur mana alikuwa anajuwa stor yote. waha walikuja nyuma wamanyema ndio wenye asili yao wa likuwa wa kwanza kuweka zizi lao waha ndo wakafata badaye ? baba yetu alitupa stor yote ya kigoma !

  • @humudisalum2753
    @humudisalum2753 4 роки тому +4

    Pale kidahwe maskan kwengu

  • @uwimanauwimana7303
    @uwimanauwimana7303 4 роки тому +2

    huyo mzee. mnaye muhoji hajuwi chochote. anaonekana ni mgeni wa kigoma. sio mwenye ji huyo ! wa zazi wetu walitupa stot yote. ya asili mwenyeji wa kwanza ni wa manyema muha kaja nyuma kutoka burundi. wazungu waliwauliza . wazungu waliwahoji nyie wenyeji wa wapi wakajibu ss ni wahanyene ndo kuyitwa waha ? lakini leo wana kwambiya kigoma ndo yao sikwel histor kamili tunayo mbebe ndo alinza kuyingiya kigoma. wakatoka kwenda nchi zigine muha akabaki hapo hapo na ndomana anajingamba. ni mtu wa kigoma ? japo mimi. sipo mbembe. najuwa stor yote 🤣🤣

    • @Planibtv
      @Planibtv 4 роки тому

      Huyu mzee anatoa historia ya jina sio waha walitokana na Nini

    • @uwimanauwimana7303
      @uwimanauwimana7303 4 роки тому +1

      Musa Samwel waha ni wa Rundi ndo asili yao

  • @gustavianmacha7523
    @gustavianmacha7523 Рік тому +1

    kutombanavideo

  • @EnockiHoja-ic3rq
    @EnockiHoja-ic3rq 11 місяців тому

    Bembe. Kigoma to the would

  • @mmungalubunga4404
    @mmungalubunga4404 4 роки тому +2

    Mzee ajuwi historia sana

  • @ginimbifamily3995
    @ginimbifamily3995 3 роки тому +1

    Uyu mzee ajuw history yenyewe

  • @SeukPiri
    @SeukPiri Рік тому

    Kigoma ya burundi

  • @AsumaniYohana
    @AsumaniYohana 11 місяців тому

    Mzee mungu akumbariki sana.sisi ni wajukuu wenu.tunafurahi tukisikia historia ya kwetu❤❤❤

  • @zuwenaamour7381
    @zuwenaamour7381 5 років тому +3

    Huyu mzee hajui chochote kuhusu ujiji

    • @jakayamati3510
      @jakayamati3510 4 роки тому

      Ww ndio unajua Dada au cyo

    • @aminamodi8927
      @aminamodi8927 4 роки тому

      Basi kama hajui aelekezwe au aambiwe ukweli ukinyamaza ukweli hautojulikana
      tutabaki kulaumu tuu

  • @ramaabuu7625
    @ramaabuu7625 3 роки тому

    Mzee sasa hivi anamika 100

  • @troubleboy2590
    @troubleboy2590 3 роки тому

    KIGOMA ya BURUNDI 🇧🇮 tu 🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 3 роки тому

      Burundi ilikuwa Wilaya ya Deutsche East Africa (Azania) au Tanganyika territory. Hayo mengineyo ni promo tu.

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim1585 3 роки тому

    Watu wengi ni kutoka Congo ndio walio fika hapo majina ya Congo kama kabwe na kagoma ni majina ya kibwari na wabembe kutoka kivu Congo Mashariki na ujiji walio fika hapo ni Raia kutoka Congo

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 3 роки тому

    Ukisikia kigoma inamabisha Burundi

  • @jumakubobela7474
    @jumakubobela7474 5 років тому +1

    Duuh! Nihatari.

  • @abedkarenga6419
    @abedkarenga6419 4 роки тому

    Navyofahamu mimi jina kigoma limetokana na Kabila la WAGOMA lililopo hapo Ujiji ambao ni wamanyema. Waha walikuwa wakisema "Tugende kwa bhaghoma" yaani twende kwa wagoma. Na ndio bakabadilika pakaitwa Kigoma

    • @farajakasikile8846
      @farajakasikile8846 3 роки тому

      Acha uongo unajuwa wagoma wewe unadanganya pia

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 2 роки тому

      Si kweli rudi Kongo kwenye vurumai zenu.

    • @kilungahamis1270
      @kilungahamis1270 Рік тому

      @@gracekagoma3231 mbona umekazana kila comment rudi Congo, wewe mwenyewe utakuwa mkimbizi ndio mnatabia ya kuutafuta uwenyeji kwa kuwabagua Wanyeji.

  • @ahimidiwejohn586
    @ahimidiwejohn586 4 роки тому

    nakubl aly by bodaa wa kwa belaa

  • @111dudi
    @111dudi 5 років тому +2

    Hii clip ni kuwapigie debe wakristo.wazungu wasingefika ujiji bila ya msaada wa waarabu na hasa waomani. Unazungumzia utumwa mbona huzingumzii ustaarabu wa waarabu na dini? Acheni upambe