BOTI LAZAMA KIGOMA LIKIWA NA TANI ZAIDI YA 120 “MZIGO ULIKUWA NI WA MILIONI 200'
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Zaidi ya tani 120 za mizigo zilizokuwa katika Boti ndogo ya Mizigo inayojulikana kwa jina la Ruchugi 2 imezima katika ziwa Tanganyika eneo la Bandari ya Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani kigoma.
Boti hilo lilikuwa linasafirsha mizigo kuelekea nchi ya Kidemokrasia ya Congo imezama majira ya 11 asubuhi ya leo wakati ikataka kuanza safari yake na kusababisha hasara kwa wafanyabiashara.
Waacheni wawekezaji msiwabuguz🤣🤣🤣🤣🤣JPM tutakukumbuka😭😭😭
Bola hawajafa watu.... Hela itapatikana tena
Poleni sana
Mzee wamiwani anaongea kama baba levo nani kaona
Aisee poleni sana iyopesa nyingi du
Poleni sana watejaa wanguu ndo changamoto ktk maishaaaa
Duuu polen sana yarabii
Daaah!!!! Polen sana jamanii Mil200 ni nyingi sana
Uyo jamaa wa kwanza anaongea kama babalevo
Kabisa !
Poleni saaan jaman kwza nilivo som akili ilifika bali nikajuwa watu
Poleni sana
mzee maguu angekuwa ashafika
Mama yupo busy na makwalidee
Mama shukrani 🙏
Kama.ingekuwa Mwanza angekuwa ameshafika ... majanga yalikuwa yakitokea kwa wengine nje ya Mwanza hakuwa akienda na walipokuwa wakichangiwa pesa kama wahanga wa tetemeko la Mkoa wa Kagera alikuwa akizitia ndani kwa kisingizio kuwa "serikali haijaleta tetemeko"...
Bado tuna kumbukumbu!!!!
🤔🤔🤔
@@pcazzo22 aahh!! Hii naikumbuka, Allah amsamehe.
@@ramlamburi9743 Mungu na amsamehe akiona inampendeza, lakini wapambe wake wasije hapa na kutugeuza kuwa sisi ni wajinga tusio na kumbukumbu.
Kuna mambo mabaya mengi sana yaliyotendeka ndani ya miaka 5 iliyopita ambayo kwa kweli yameacha MAKOVU mengi na makubwa.
😏😏😏😏
Poleni sana ndugu zangu
Hizo nipesa zimeanikwa au macho yangu tu
Watafute pembeni wapi mbona majibu yako mhe hayana afya?
😭😭😭😭 poleni Sana Mungu awe na nyinyi hakika mpat Nguvu
Subirini kwanza tupo kwenye ndege.
😭😭😭 poleni san kwl
Wajinaaaaa
Duuuu poleni sanaa ndugu
Wabunge wenu miaka za nyuma walikuwa wanawatetea mabeberu... kumbe kigoma kuch nahi eh?
Mi mkuu wa wilaya sjamwelewa
Akili hauna pembazoni kuna usalama gani
Hapa kuna tatizo kubwa sana . Maana huyu mheshimiwa anajikanyaga tu, hatoi maelezo sahihi ya kutatua tatizo lillokuwepo , mama SAMIA uje uyaone na ya huku KGM
kma upo sahihi kwa asilimia 50 koz anasema kuwa kma boti haina mzigo bas itafute pa kupaki mpka ipate mzgo sasa unajiuliza kwel inafaa hiyo au meme sijamuelewa mh
Hayo maelezo hayajatosheleza kwanini bandari haijawekwa sawa
Dar
Safali au Safari 😏
Inatia sana hasira watu WANAVYO NAJISI lugha ya kiswahili... yaani nimegundua watu wengi sana hawajui tofauti kati ya R na L wanaona ni sawa tu au kati ya Z na DH... wananikera mpaka basi lakini anyway ndio matunda ya shule za kata.
Inatia moyo kuona Kuna wadau Kama nyinyi mnaoumizwa na matumizi mabovu ya kiSwahili. Yaani mimi hukerwa Sana haswa na hawa waandishi was habari wanaotumia lugha mbovu au ya mitaani wanapohabarisha umma. Nadhani suala la uweledi limekuwa bidhaa adimu siku hizi. Ukija huku kwenye sehemu ya maoni (comment section) nako unaweza kutapika ukiona jinsi watu wasivyojua kuandika lugha yao wenyewe. Inasikitisha Sana!
@@swahiliwithdavid5910
Mimi huwa najiuliza mwandishi wa habari kama huyu amepataje kibali ya kufanya kazi hii wakati lugha hajui vizuri?
@@pcazzo22 Kazi kama hii unahitaji umahiri wa lugha wanaudhi sana yani