JAMANI POLENI HAPO KIDOGO AMBAPO HAKUNA SAUTI NI HIVI...MAMA SHADYA "Kwahiyo baba Shadya umeamua kuoa kweli" BABA SHADYA "Ndio mama Shadya hata wewe si nilikwambia na ulifurahia" MAMA SHADYA "Hapana Baba Shadya nakuomba sana usioe" BABA SHADYA "Mimi siwezi kukaa bila kuoa sitaki uzinzi tena" MAMA SHADYA "Kwahiyo baba Shadya huwezi tena kurudiana na Mimi" BABA SHADYA "Unamaanisha nikuoe tena wewe?" MAMA SHADYA "Ndio!" BABA SHADYA "Siwezi kurudiana na wewe kwasababu bado sina nguvu za kiume hivyo siwezi kukuridhisha, nikutakie usiku mwema" MAMA SHADYA "Baba Shadya huwez kumuoa Mage nitafanya kila kitu ndoa isiwepo"....Hayo ni maongezi ya hicho kisehemu ambacho hakina sauti. Naomba radhi kwa hili wapendwa wangu.
Dada Mage usijali huyo mtoto si wake.Amefanya kutumwa aseme hivyo na huyo mama Shadia.So relax my love Mage uolewe na Mponji.Alafu mwapendezana kweli, Mashaallah.
Mage uctishwe funga ndoa roho safi uyo katumwa atamambo ya kovu amin kwamba kaambiwa na mama shadhy mana hatak uishi na mpoji Ntafurai sana ukfunga ndoa❤❤❤
Ujumbe ni mzuri sana kwamba maisha ni vita Mponji na Mage wamepanga mipango yao ya ndoa vita inaanza kuibuka hivyo ni wao kuwa kitu kimoja kulishinda hili jambo. Nakupenda sana Mponji kila nikikuangalia unavyoigiza unavyoongea nafika mbali sana.
Huyo mwanamke ametumwa na mamake Shadya na mamake Shadya akamueleza kuhusu mwiliwako ulivyo uko na sehemu flani Ina salama ili tu awaharibie.Mage adui yako ni huyo huyo mamake Shadya
JAMANI POLENI HAPO KIDOGO AMBAPO HAKUNA SAUTI NI HIVI...MAMA SHADYA "Kwahiyo baba Shadya umeamua kuoa kweli" BABA SHADYA "Ndio mama Shadya hata wewe si nilikwambia na ulifurahia" MAMA SHADYA "Hapana Baba Shadya nakuomba sana usioe" BABA SHADYA "Mimi siwezi kukaa bila kuoa sitaki uzinzi tena" MAMA SHADYA "Kwahiyo baba Shadya huwezi tena kurudiana na Mimi" BABA SHADYA "Unamaanisha nikuoe tena wewe?" MAMA SHADYA "Ndio!" BABA SHADYA "Siwezi kurudiana na wewe kwasababu bado sina nguvu za kiume hivyo siwezi kukuridhisha, nikutakie usiku mwema" MAMA SHADYA "Baba Shadya huwez kumuoa Mage nitafanya kila kitu ndoa isiwepo"....Hayo ni maongezi ya hicho kisehemu ambacho hakina sauti. Naomba radhi kwa hili wapendwa wangu.
❤❤❤❤
@@darzone1020 ❤️❤️❤️❤️😴from kenya tumeelewa
Sasa kwanini lisimkute jambo huyo mama Shadya jamani mimi nawachukia wanawake wa hivi sipendi mtu amdharau mumewe jamani sipendi hata kidogo
Mponjii santhaa hiyo nyimboo mwaona donge ilooò dongee😂😂😂❤ilooo🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
❤❤❤🎉❤❤
Dada Mage safi sana msimamo wako umelipa mwili wako sio wa kuchezewa tu. NDOA TUNAYO
Mashaallah shady mtoto mzuri sana atafika mabali kwa uwezo wamungu inshaallah
❤❤ wao mashallah ❤️ mage unaupendo mzulisana Kwa watoto jmn 😂 Allah akuzidishie kazi mzulisana hongereni
Wakwanza like kwangu jamaniiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉LOVE YOU TEAM STRONG
Mponji umetisha Kaka
Jamn mage mzuri kumbe yaan mweupee waoooooo jamn
Shadya wewe zawatu wanzima bwana hila kanaujasiri maua ya shadya jamani🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Jamani nauliza. Mponji Shadya ni mtt wako kweli? Hayu mtt atakuja kua msanii mkubwa saaana. MA SHA ALLAH.❤
Ndio ni mtoto wangu kweli.
Hongera
@@darzone1020ongera saaaan mtoto amchukuw urisi kutoka kwa baba🎉🎉❤❤❤
@@Cutte-l3f ahsante my dear
@@annayambayamba8614 ahsante sana my dear 😘😘😘
Nimepapenda huyo mtoto Shadia kwakweri.mtoto mudogo akajuwa kutuigizia❤❤❤❤kutoka Burundi . respect sana.nawapebda 💋💋💋🥰🥰🥰😊
Ahsante sana tunakupenda pia.
Dada Mage usijali huyo mtoto si wake.Amefanya kutumwa aseme hivyo na huyo mama Shadia.So relax my love Mage uolewe na Mponji.Alafu mwapendezana kweli, Mashaallah.
Mage uctishwe funga ndoa roho safi uyo katumwa atamambo ya kovu amin kwamba kaambiwa na mama shadhy mana hatak uishi na mpoji Ntafurai sana ukfunga ndoa❤❤❤
hongelen sana mage na nponji.pamoja na shadya
Nzuri sana ❤❤
Nafurahia sana mama shandia akiumia walae
Umemkomsha mama shadya mage nakupenda
Jamani kunawenye wanatamani ndoa wanakosa nafurahia BBke
Imependeza ❤❤❤
Mage kaza ivyo ivy had akuoe mama shadia azidi kuumia nawapenda sanaaa❤❤
Ndiondio amazing hapohapo😅
dada mage upo vizuri sana
Naombeni like ata kumi sijachelewa vile, I'm interested with this movie from Kenya 🇰🇪 currently Qatar muponji na team yako muchukuwe mauwa 🌹💐💐💐🍀🏃🏃
Tunashukuru sana.
🎉❤@darzone1020
Kazi nzuri magie ❤
Aaaaah jaman huyo wa mtoto nae anaharbu daah, sio mchongo wa mama shadya kwel huo mmmh ngoja tusubr tuone😂😂
Alie toka bali nae ni mamaketu
Hongereni
Nawapenda sana ❤❤❤❤
Game la Mama shadya
Kazi nzuri sana h❤
Your views, likes, comments, share and subscriptions mean the world to me. Thank you so much for your support. God bless you. Love y'all ❤❤❤.
Thanks yu 2
😂😂😂😂maskini ela ndoa itakua jamani😢😮yuaona donge heee huyo 😂
Ngoje nmalze ndo ni like😂
❤❤❤❤❤❤❤❤kwajili ya mage
Woooo nice mage 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Dada mage congratulations nakupenda sana
Ujumbe ni mzuri sana kwamba maisha ni vita Mponji na Mage wamepanga mipango yao ya ndoa vita inaanza kuibuka hivyo ni wao kuwa kitu kimoja kulishinda hili jambo. Nakupenda sana Mponji kila nikikuangalia unavyoigiza unavyoongea nafika mbali sana.
@@khajumkhamis7910😂😂😂😂
Safi sana mage kazi kabisa dada
Good job
Thank you! Cheers!
Mama Shadia anach
Waooh iyo ndo kaz baba
Kanzi zuri sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Burundi tunapenda film nzenu
Jaman baba shadya na dadaa magi nawapenda sana kwa kazi yenu hainaga stress aky nawapenda 2 ❤❤❤❤❤🎉🎉
Mama shAdya unaarbu movies ungetupisha😂😂😂😂
Nakupenda mponji k wa kuoa
Nakupenda pia dear.
Nanyie m azingua sana hamleti mwendelezo
Kesho mapema utaukuta
Haaaaa
Yamekushinda mama shadhia 😂😂😂
Jamani mage kiukweli mpo vizuri, hamtucheleweshei mzingo mpya, pia kazi ni nzuri sana inatupa raha❤
Safi sana mager kwa musimamo mzr, hvo ndo mwanamke anavotakiwa awe na msimamo my mager jmn
Kazi nzuri next 🎉🎉❤❤❤
Haki shadya ana akili ndefu sana ❤❤❤
Shadya msanii Bora sana
Nmpenda Sana mage jaman be strong one day yes
Mpango wa mama shadya hadi kero huyu mwanamke katafutiza mtu wa kukatisha ndoa ya Mponji.
Nimechukia sana
Mage bwana😂😂😂❤❤❤
Shadya mashaallah mungu akulindeee ❤❤❤❤❤
Mponji bwana watu wanataka kuharibu ndoa yako na mage peleka mtoto DNA.mama shandaya anamtafuta mbinu zote Bora usimuoe mage
Mage chukua mtoto sini malaika na niwa bwanaoko hzo ni njama za mama shadya tu avuruge be strong mage leo mtoto ndoa iendelee
Jaman❤❤❤❤❤❤❤❤lahasana
Nzur sana
Kazi nzuri mpo vizuri waisheni 19 twende alaka
Ndoa tunayo ❤❤❤❤❤
😂😂😂ila mama Shadya ni kiboko
Jamn mnachelewesha sana yaan kipande kimoja tunasubir mpaka bass
Pole kipenzi changu EP YA 19 na ya 20 zitatoka kwa kifuatana Leo ya 19 na kesho 20
Mama shadya wewe ndio ulijitakia 😂😂
Mama Shadia anacho kitafuta anajua mwenyee mushenzi sana huo
Mambo.mazurii...
Haipendezi Aondoke
Weeeuh 😅 mlete yenye inafwata mponji kumbe mhanyaji 😂
❤❤❤ seemuya yakumi naketa
Kazi nziri sana 19 isichelewe
😂😂😂 mpango wa mama shadia
Mama shadya n shetani kwel,, na hutawezana hapa mitego yote twapita tu
Naona ndoa,inaenda kuwa na changa moto sasa. huyu mtoto kwa kweli ni mponji ndiye baba yake? pole sana mage, majaribu ni mengi Kabisa
Huyo mwanamke ametumwa na mamake Shadya na mamake Shadya akamueleza kuhusu mwiliwako ulivyo uko na sehemu flani Ina salama ili tu awaharibie.Mage adui yako ni huyo huyo mamake Shadya
Ila usirudie tena mponji😂😂😂 mtoto mzuri nampenda❤❤❤ apokee maua yakee🎉🎉
😮❤❤❤
Tunawapeda sana 🎉🎉🎉🎉
Made pole sana
Mage wewe utapasuwa mwenzako moyo😊😊
Na mimi nafulahi sana mama shadia akiumia
Sasa niaj mbona apo mumekata sauti nikwanini lkn tajili mpochi lkn nawapenda sana kazi nzuri sana❤❤❤❤
Nimewaandikia hapo juu kabisa kwenye comment walichokuwa wanaongea hapo.
Asante sana mage kwa msimamo wako 🎉🎉🎉🎉
Mucezo wa mama shadia
Hajra jmn ananifurahisha sn humu😂😂😂
Mage ndoa tunayo hatuna😂😂😂😂😂😂😂😂ila hajra
Mponji ni mwanaume mzuri sana❤❤❤
Sana ❤❤❤❤
Mwisho wa ubaya ni aibu mponji 😂 😮😮da pole mage😢mimi nipo na wazo mponji na huyo mtoto aende akapimwe damu mwaiyonaje iyo❤🎉😊
Nzuri hiyo
Jaman mm naomb nafas ya kuj msinga bwan harusi hhhhhhh nitanda liwa karafuu mambo mot mot hatun mbambamba wapemba hhhhhh
Niite ushuzi mama hagra bwana
Mama shadya ni mjinga
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤🎉
Mbona sehem ya 19 mbona amuonyeshi na watu tuna weka bando atuoni kitu au baada ya siku ngapi inatoka
Tuletee.19
Musame baba atoludia tena
Kwamba ukiolewa na mponji niite ushuxiii haloooooooo😂
❤
Ukiolewa na Mponji niite ushuzi😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
❤❤❤
Tunaisubiri harusi 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Duuu hii vita kweli jamani😊
Hizo njama za hajira mage kuwa na msimamo
Harusi tunao
Nawapenda sana