Kwa mwaka huu sidhani kama itatokea movie Kali ya mapenzi kama hii...Hongereni sana kiukwel mmeweza nimeangalia mwanzo mwisho na nimeenjoy mno...Tupeni kazi kama hz mabando yetu yasiende bure
Movie nzuri idea iko poa Sana, lakini upande wa location sio nzuri kelele za watu wengine wasiohusika kwenye filamu hazikutakiwa zisikike, zingatia Hilo but kazi nzuri sana big up👍🔥
Inasikitisha nchi yetu ya tanzania mtu hajaangalia movie mwanzo mwisho ina elimu gani anakuja anacomment ili na yeye aonekane amecomment...Tutatokaje kwenye dimbwi la ujinga namna hii
AHSANTENI SANA KWA MAPOKEZI MAKUBWA YA MOVIE YETU...M/MUNGU AWAFANYIE WEPESI NA NINYI KWENYE KAZI ZA MIKONO YENU....
Amina Amina
Hakika
Hongereni sana mmejitahido mno na mmefanya vizuri sana 🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana wa jina wangu.
Joo kwagu uone raha ya mapenzi❤❤
😂 😂 we mtu mbaya unamtaka dada angu live dah!
Bonge la movie la mapenzi 2024...Ahsanteni sana kwa kazi nzuri, huwa mgumu kucomment ila penzi la kaka kha kiboko
Kwa kweli maana sio kwa kuzagamuana huku
Mambo ni 🔥 🔥 🔥
😂 😂 😂 taratibu
Ila dada mwenyewe nzuri mnoo
@@abubakarshariff3554 chombo cha maana.
Kwa mwaka huu sidhani kama itatokea movie Kali ya mapenzi kama hii...Hongereni sana kiukwel mmeweza nimeangalia mwanzo mwisho na nimeenjoy mno...Tupeni kazi kama hz mabando yetu yasiende bure
Nashukuru sana ndugu kwa comment ndefu namna hii...Nakuahidi kukuletea kazi nzuri zaidi
Mm huwa ni mvivu wa kucomment ila hii movie acha nicomment tu...Kazi nzuri sana haya ndio mapenzi au malove love tunayoyataka
Mambo mazito 😂
Dah kiukweli mmeua sana movie kali sana ya mapenzi ya mwaka 2024 ....kuna mambo humu ya hatari ❤❤❤❤❤
Si tunajua mnapenda nn ndio maana
Hii movie nimekubali ni tamu balaa sio uongo khaa ina mambo kwakwel hongera kwa mtunzi wa story❤❤❤
One love
Je hii movie inafundisha nn
Ni laana kwa ndugu uwa na mahusiano ila kwa watu baki sio shida au hujaangalia mpk mwisho ndugu
Movie Kali sana ya mapenzi...Much love from Oman
Thanks
Hii scene ya mwanzo mchumba anapanda kitandani nilidhani haipo kumbe ipo bhn dah!safi sana nimeirudia mara kadhaa hii movie...
Movie nzuri kwa ajili yenu
Kazi nzuri kaka na dada ❤
Ahsante sana.
Wanabalaa hawa watu.
❤🎉 tamu kweli
Hii tamu kweli sisi wenyewe tumeigiza ila hatuachi kuiangalia.
Heeeeee balidi jaman atimae kaliwa dada
😂 😂 😂 dada kataka mwenyewe na baridi lake
❤❤❤❤nimeipenda wakati Mponji anamfanyia masaji enjo
😂 😂
Cjashika hiyo jina ya dadake mpunji ila ni karembo sana dada nimekupenda bure ,,, you are beautiful
Dah!Sasa Ken hapo unataka ugomvi na mm Mponji hahahhaha...Anaitwa Vivian dada yangu
Mponji 😂😂😂😂mtu mbad Sana ww madada wote hao wazuri ivyo unakula ww dah
😂 😂 kazi ya sanaa hiyo.
Mambo hayo ❤❤❤❤❤
Ni moto 🔥
Penzi la kaka ni movie nzuri sana ya mapenzi ya kibongo bongo ....Bongo movie kuna sehemu inaelekea ni pazuri🎉
Shukrani sana
kasota
Mtunzi wa hii story anywe soda mm nitalipa na ana kiti chake moto haha😂😂maana dah sio poa
😂 😂 tushavurugwa sie
Uyu dada noma❤
Ana balaa kweli kweli
Nzuri sana
Ahsante sana.
Nzuri mno 😂😂😂😂.
Tamu mnooo mpk kichogoni ❤❤❤❤❤❤❤
Waa hii imeenda❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mzigo wa 1500
Dah bonge la move
Shukrani sana ndugu
Nyieeee mnatutia nyegee😂
Hii movie kiukwel inatia nye....e
😂😂😂hii movie ni tamuuuuuuu
Ngoja ninyamaze tu
Tatzo kaka kamtoa bikra ndo maan anawivu nakaka
Kaka kafungua dimba 😂
😂😂😂😂
Hpo sasa 😂😂😂😂😂😂
Ebwana hii ni bonge la movie la mapenzi kwa mwaka 2024...Mtunzi wa hii story anajua mpk anajua tena apewe maua yake wazee
Shukrani sana
Mponji nimetokea kukupenda.
Ahsante sana.
Kwa kweli huyu Vivian ana juwa cheza movie kabisa.
Vivian ni hatari
Baridiiii baridiii kaliwa 😅😅😅na kaka akeeee mbonaaaa hataliiii😅
Upwiru ukizidi lazima uliwe
Movie zuri sana na yenye mafunzo
Ahsante sana Kana.
Inafundisha sana.
Movie ni kali kweli
Shukrani sana.
Hakika naweza kusema hii ni movie bora ya mapenzi ya mwaka 2024 mh!mna balaaa jmn
Yeah najua mlimiss movie za love story kama hizi ndio maana tukawaletea hiki chuma
Babu eeeh hii movie wameua 2024, hafu Vivi anajua sn mtoto mkali hatari.
Nakupa namba zake kama umemkubali.
Mmetisha Sana
Ahsante sana
Sijajutia bando langu nimeangalia mwanzo mwisho ni bonge la movie....Maua kwa mwandishi wa hii movie e anajua knm ani
Na.mm nafatilia apaaa ili nioneeee😂
Sio poa we ichek utaniambia
Mzigo unatia nyege balaaaaaa
Hii movie tamu jaman Kuna mapenz ya kitandan, ya kwenye Kochi na bafun haijaacha kitu jaman .....nimeangalia mara tatu Ina mihemko hatar❤❤
Weka mbali na watoto
Dah!sio mchezo❤❤❤❤
Udada noma
Dada kanogewa na huba la kaka yake.
Kazi nzur sana kwa kweli ina mafunzo makubwa ndani yake hongereni sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana.
Daaaaaaa hii Kali sana kiukweli kabisa nimeipenda sana kiukweli
Daaaah
Wajina kazi yangu ya moto.
Yaani hata kama mnasifia hii movie Dada na Kaka ni kujyitafutia laana kwa bure😢😢😢😢
Fuatilia mpk mwisho harafu ndio uje ucomment.
Hana bando huyo amekomet na yeye aonekane amechangia
Much appreciate for upload this movie but we need more videos
We are working on it...Thanks for your comment.
Aka!! Mko na kazi🎉❤
Hahahahah shukrani sana.
Mbona kisheriya mtu harusiwi kufanya tendo ya ndoa na dadayake wala uyo kk hazalagi sikama alisha mupelekeyamimba
Hii move Dah inanyege baraa😅😅😅
😂 😂 Samson
noma sana iih movie Kali kinyama
Shukrani sana.
Enjel umetishanaaa ❤❤❤❤
Shukrani
@@darzone1020 unajua sana kuigiza aliyakua c mwenyejisana kweny gem ira nakupa bigap sana Enjel
Wejemeni mbona kazi tamu hv sijachoka kuitizama sasa nauliza inaendelea au maana enjo amefariki
Shukrani bro
Baadae nataka niirudie hii kazi
Akatiii kalala na kaka 😅😅😅apooo utajuaaa ujuiii😅
Hahah sio poa
Kiukweli move ni nzuri ila imezidisha sana mapenzi
Mtoto anatakaaa pipiii pipiiiii 😅kazidiwa na nyegeeee😅
Na wao wanahisia
😂😂😂Aron taratibu
Mapenzi yangekuwa Kama kwenye hii movie mm ningeolewa asubuhi tu mbn humu Mambo matamu hv nimeangalia mwanzo mwisho sijachoka
😂 😂 sio movie tu watu wana mapenzi kama haya
Olewa utadrah
"duh" hii ya kaka na dada imezidi!
Mambo ya vijana si unajua tena
Aisee hii movie nimeangalia mpaka mwisho ina mambo ya kusisimua taratibu bandugu
Sisi wenyewe tunajipongeza kwa kazi nzuri kama hii...Tunaomba support yenu
Mimi baadae nairudia
kawiza sana
Ongeren san nawapenda bure mm
Tunakupenda pia
Ahsante. Tunakupenda pia
Mbona hii movie Kali sana hadi nimesubscribe hongera Kwa mtunzi wa hii story na waigizaji wote nawapa maua yenu ila huyu mdada Vivian kiboko
Yeah huu mzigo wa moto kweli kweli
Vivi na enjo watu bhn bila kuksahau kaka mla dada ametisha sana mpoleee kumbe malaya balaaa
Tamu sana ani
That's good education to our society
Thanks for your comment.
Tunaomba muendelezo wa hii movie tumechoka na movie za uchawi na mapigano tunataka mapenzi kama ya humu 😂😂😂
Unakuja usijali tupo tunashut chuma kingine
MZIGO FULL HUU HAPA KAZI KWENU WAPENZI WA KAZI NZURI
Bonge la move
Shukrani
Mnaweza
Shukrani sana.
Hakika wameweza
Wanajua
Na wewe Vivian wanaume wapo wengi mbona wamungangania Kakako😢
Kaka mtamu 😂😂😂😂
Hii movie nimeifalia no nzuri Sana na inafunzo kubwa sana, vip itaendelea si et jaman?
Itaendelea na kwa jinsi mlivyoipokea mmetupa sababu ya kufanya kazi nzuri zaidi
Lazima.irudiweeeee😅kimewakaaaa
Aron 😂 😂 dada kaona utamu anataka tena
Nimeirudia mara mbili
Kz nzuri sana tajiri
Mapenzi nayo vpengele san
Mapenzi ni noma.
Kumbe dawa ya mwanaume anaekusaliti ukimkuta unajifanya kaka yako harafu unamwambia ameathirika 😂😂😂😂
Ndio dawa ya mwanaume malaya
Wow mnajua mpk bac wallaah❤❤❤
Shukrani sana.
🔥🔥🔥🔥
Thanks
Kuja hata kwangu vivian
Shaban muache mdogo wangu 😂 😂 unataka utumie fursa dah!
Nije mm 😂😂😂
Na itarudiwa tenaaaa😅kaka ushakulaaaa ndooo basiiii tenaaaa ushamlaaa dadaaa 😅ukisikiaaa we misso missondo umepigajeeee apooo ntakupaaa dadaaaa ndooo hiiii sasa😅😅😅😅
Kaka nae mtu mbaya kapita nae
Nataka baadae baadae nikiwa na mpenzi wangu niirudie tena
Enyoy kaz nzuri
Hahahhaha shukrani sana.
Safi sana kazi nzuri
Hii movie unaweza kukopea mkopo bank
😂 😂 Happy
Safi sana Kaz nzuri
Hivi waigizaji wa humu wanawapenzi wao kweli maana duh!
Kazi tu
Hata mm najiuliza
yani mpka mwili unasisimka
Anamtamani kaka yakeeee😅mtajuaa hamjuiii
Hahahaa Aron bhn unanichekesha hadi mm sasa
Kaka yake nae ana mambo hatari fundiiiii
Mko vizuli kwenue ii aina makosa
Ahsante sana.
Ila mwisho wa hamjamalizia vzr
Bado haijaisha Mohamed ,hv karibuni tunawaletea season 2 ya moto kweli kweli.
🎉🎉🎉
Nawaletea season 2 hv karibuni 😂 😂
Piga kofi
😂 😂 sio makofi
Ni mwendooo wa kuzagamuanaaaa😅
Ni mwendo weka ni weke
Kupeana mambo tu
Vivian Tabia mbaya kwa kaka yako
Vivi shetani kamuingia
Movie nzuri idea iko poa Sana, lakini upande wa location sio nzuri kelele za watu wengine wasiohusika kwenye filamu hazikutakiwa zisikike, zingatia Hilo but kazi nzuri sana big up👍🔥
Shukrani sana ndugu yangu kwa ushauri. Nimeupokea ni kweli tutaboresha kwenye hilo.
Mtoto angel weeeee❤
Ana balaa huyu mtoto
Duh!sio poa
Mponji aisee umetisha sana yani unyama ni mwingi 😂 zee la mapenzi
Kula vyuma kibao ndugu yangu.
@@darzone1020 usiwaze tupo pamoja kushare pia nashare yani humalizi
Waaaah, laana, ndio munatafuta, Sio lingine,
Inasikitisha nchi yetu ya tanzania mtu hajaangalia movie mwanzo mwisho ina elimu gani anakuja anacomment ili na yeye aonekane amecomment...Tutatokaje kwenye dimbwi la ujinga namna hii
Ila nyieeee jamaniii😅unakulanaaa na kaka yako😂
Dada kataka mwenyewe 😂 😂 harafu mzuriiiii...Ungekuwa ww ungefanyaje
Hata mm nashangaa ila dada kayataka mwenyewe
@@darzone1020tabia mbaya iyo watakiwa umusaidie kimawazo umbambie sio vizuri na usahau ulicho kifanya we waendelea
Nimependa hiyo scene ya huyo mkaka anamfanyia huyo dada masaji aisee nimetamani ningekuwa mimi
Ile ya chumbani je au hujaiona?
Mapenzi ni matamuuu sanaaa ukimpata wa kwako
Mafundi mtuambie sisi wengine yameshatupiga hatuna hamu nayo
Du kweli hatarii sana da dunia hiii hadi hataki kaka aoe
Hatareeee dada kanogewa na kaka.
naipenda saaana ihii muvi
Ahsante sana
Angel ni nomaaaa🔥🔥🔥
Ana hatari.
Well done
unyama sanaaaaaaaa😇😃
Hatareeee
Sema hajui wakati ana vikuku nihatai mgosi
Mponji kibamia kiko swa mpaka basi😊
Asante sana kwa kazi zuri
Shukrani sana Kwa kupenda kazi yetu.
Sema haka kawimbo sio mchezo nani kaimba maana vimemechi nahii move