Nahodha || Dodoma Adventist Chorus
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- NAHODHA
Siku moja Yesu aliwaambia
Wanafunzi wake hebu na tuvukeni ng'ambo
Wakapanda wote ndani ya chombo
Mara tufani chombo kikaanza kujaa maji
Wakati huo Yesu amelala
Wakamwendea kumwamsha
"Bwana Twaangamia"
Akasimama, kakemea upepo
kukawa shwari dhoruba zikakoma
Kisha akageuka
(Kisha akageuka)
Akawauliza
(Akawauliza)
Imani yenu i wapi
(Je imani yenu i wapi nao wakaogopa)
Ni nani huyu ambaye
(Je ni nani huyu ambaye)
Pepo na Bahari vinasikia sauti yake.
Huyu ni Nahodha mwenye uzoefu mkuu
Mikononi mwake chombo huwa salama.
Unawezamwamini maana Chombo hakijawahizama Akiwa ni Nahodha
Mambo yote huwa salama
Katikati ya Dhoruba na Shida
Pepo zivumapo na Bahari ichafukapo
Unaweza kudhani amelala
Na hajali kuhusu shida zote upitiazo
"Je ni kweli huyu ndiye ambaye
Alisema 'takuwa nami Tena nisiogope
Nina mashaka na uwezo wake
Je ni kweli anaweza kuokoa?"
Usiogope ndugu
(Usiogope ndugu)
Na usifadhaike
(Na usifadhaike)
Imani yako weka kwake (hajawahi kushindwa)
Nahodha huyu si mwingine
Bali Bwana Yesu, amini utafika salama
Huyu ni Nahodha..
Huyu ni Nahodha mwenye uzoefu mkuu
Mikononi mwake chombo huwa salama.
Unawezamwamini maana Chombo hakijawahizama Akiwa ni Nahodha
Mambo yote huwa salama
Mambo huwa ni salama Bwana Yesu akiwa ni Nahodha
Huyu ni Nahodha mwenye uzoefu mkuu
(Mikononi mwake)
Mikononi mwake chombo huwa salama.
(Usiwe na shaka)
Unawezamwamini maana chombo hakijawahizama Akiwa ni Nahodha
(Akiwa ni Nahodha..)
Mambo yote huwa salama
(Bwana akiwa chomboni)
Mambo yote huwa salama
(Weka tumaini lako kwake)
Mambo yote huwa salama.
Luka 8:22-25
[22]Ikawa siku zile mojawapo alipanda chomboni yeye na wanafunzi wake, akawaambia, Na tuvuke mpaka ng’ambo ya ziwa. Wakatweka matanga.
[23]Nao walipokuwa wakienda, alilala usingizi. Ikashuka tufani juu ya ziwa, chombo kikaanza kujaa maji, wakawa katika hatari.
[24]Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.
[25]Akawaambia, Imani yenu iko wapi? Wakaogopa, wakamaka, wakisema wao kwa wao, Ni nani huyu basi hata anaamuru upepo na maji, navyo vyamtii?
Artist: Dodoma Adventist Chorus
Song Title: Nahodha
Audio Mixing and mastering: Job Music
Video: RJ Studio (Mr RJ)
Email: dodomaadventistchorus21@gmail.com
CONTACTS
+255 746 698 570
+255 622 309 142
You can also find us on:
audiomack.com/...
Instagram
/ dodomaadventistchorus
and all other digital platforms for audio.
Uuuh! Aloo Kwa Niaba ya Jiji Zima la Mbeya watu na wanyama Nathibitisha huu wimbo kuwa Bora Kwa mwezi woote...
#what_a_Cake 🙌🙌🙌
Amen. To God be the Glory 🙏💙😇
Ujumbe, arrangement ya wimbo, ujazo wa sauti, instruments, audio na simple video creativity vyote viko super B, mnatubariki mnoo, keep going beloved.
We love you.
Amen. We're delighted to hear that. Blessed be the name of the Lord 😇🙏💙
Waooh,
Utaalamu wa kiwango cha juu sana katika kuchagua ujumbe, kupanga sauti, kutengeneza ala, kuimba, na kuchukua video. Mungu atukuzwe kwa ajili yenu, nimebarikiwa
Amen. Tunafurahi kwa namna ulivyobarikiwa😇🙏👋
What a masterpiece and uplifting song. May our good Lord bless you and your ministry.
Can’t stop listening to this beautiful and inspiring item.
Amen. We are happy that you are being blessed 😇🙏💙
Ooooooooooh jaman iwish like I could eat this sweet voices of glorious message may God bless you
Amen. God bless you too our brother 👋😇💙
Wow!! Music with Harmony, MUNGU Anatukuzwa, na Mimi nimebarikiwa sanaaa❤
Amina. Ubarikiwe Sana 🙏😇💙
Huu sasa ndo uimbaji…. Nyie grab your earphones . Thank me later 😍😍🙌🏾🙌🏾👍🏽🙏🏿🇹🇿
Amen. Blessed be the name of the Lord 😇💙🙏
Right
You just gained a susbscriber today!! Niliwasikia kwa KESHA na nikahangaika saana kuwatafuta. Mmempa moyo mama yangu aliyepoteza watoto na ana huzuni bado. Ningeomba namba zenu ili niweze kuwa mmoja wa supporters pale ninapoweza. Huu ndio uimbaji wa KISABATO na sio otherwise. Nyimbo hizi zinaponya KABISA!!!! Spiritually na kimwili!!
Nawaomba msibadilike na dunia, wengine weengi wanatafuta mziki wa aina hii ambao unapotea. You are changing lives.
We are so delighted to hear such wonderful testimony from you.😇🙏
It is our desire to continue being the sound of relief to the world giving hope to the those whose hearts have somehow been broken by the challenges of this life. We pray that God will continue to be the Comforter to your Mother and all who have lost someone.
You can contact us through
+255 746 698 570
Or
+255 622 309 142.
Bwana akubariki Sana dada yetu👋😇🙏
Your music is simple and uplifting .Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya
Amen. Be blessed too brother 👋🙏💙
Huyu ni NAHODHA mwenye UZOEFU MKUU 🎉🎉. Powerful Message
Amen. Be blessed Brother 🙏😇💙
Nawapenda sna nyie watu mnamziki mzur umetulia lyrics zinaeleweka
Nawapenda buree kila siku naskiliza nyimbo zenu zinanibariki sana ❤❤
Amina. Ubarikiwe zaidi
Kuna namna.... inabidi tufanye jambo hapo Dodoma
Amen brother 👋. Kwa neema ya Mungu sth will happen 🙏😇
Hebu Na mkafanye haraka upesi bro
You guys aaaaah, may God contnue using you mightily .😊😊😊😊😊
Amen. That's our prayers too. God bless you brother 👋😇💙
Nice item....the solo mwishoni is superb 👌
Mungu awabariki sana! Mnyofu wa moyo be blessed 😅
Amen. God bless you too 👋😇💙
Another masterpiece for God. God bless Dodoma Advent Chorus.
I cannot wait for the time we shall be able to invite you to Kenya.
Amen. We're so grateful for the invitation. God bless you too 😇💙🙏
nabarikiwa sana na namna ya uimbaji wenu na ujumbe wenu 🙏🙏 "JE IMANI YETU IWAPI "
Amina..
Barikiwa Sana🙏💙😇
karibuni sana tucasa sua
Wow wow wow. This is rich music. ❤
Amen. Be blessed Brother 👋🙏💙
Mbarikiwe sana wapendwa!!
Amina. Ubarikiwe pia 🙏🙏
Amen 🙏🏾 Mungu atukuzwe kwa ajili yenu 😢
Amen. God bless you 😇🙏💙
Aminaaa! 🥰
Amen🙏💙😇
Ah guys🙌. Amen
Amen 🙏💙
Eu me rendo mais Deus seja louvado por tudo
Amen 🙌🙏
Woowww! You're amazing
Amen. Glory to God 😇🙏💙
benta keep singing
Amen. 😇💙🙏
Nahodha akiwepo chomboni, Mambo yote huwa ni salamaaaaa!,
A blessing indeed🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽
Amen brother 🙏💙😇
Aseee ur doing amazing works... Msiachie hio tunabarikiwa
Amen. Bwana zidi kubarikiwa ndg Tunzo👋😇
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu sana, hasa huu unanigusa Mungu awabariki sana
Amen. Bwana akubariki pia😇🙏💙
Mnanibariki sanaaa ila niwaombe fanyeni EP tuzidi kubarikiwa wapendwa zaidi
Amina. Tumelipokea hilo brother. Tutalifanyia kazi siku zijazo🙏😇💙
Mungu awabariki sana kwa nyimbo tamu zenye ujumbe wa Neema ya Mungu.
Amen. Bwana azidi kukubariki.
Aisee kila siku mnazidi kunibariki yaani mbarikiwe sana watumishi
Amen. Ubarikiwe pia kaka🙏💙😇
mbarikiwe Sana kwa wimbo mzuur, namuona Deborah Mbia, Kazi nzuri
Amina. Ubarikiwe pia 😇💙🙏
Mmenibariki sana nanyi mbarikiwe sana🎉🎉
Amen. Tubarikiwe sote katika Jina la Yesu
Mbarikiwe kwa kazi njema
Amen. Ubarikiwe pia 🙏😇💙
Powerful and melodious! Blessings
Blessings to you too brother 👋😇💙
Amina,,mbarikiwe sana
Amina. Ubarikiwe pia ndugu 😇🙏💙
Nimebarikiwa sanaaa but andae jambo apo dodoma haraka it will sound well
Amen. 💙🙏😇
Can we just take a moment to appreciate the quality background/instruments🙌. World class👌 listening from🇧🇼. I don't understand Swahili but my heart does ❤😊
Amen. We praise God for that appreciation. God bless you more through this music 😇😇💙🎵
Barikiweni
Amen. Tubarikiwe sote 💙😇
Wooow
Be blessed 😇🙏
Please release this in Spotify too,be blessed 🙏
It will be in Spotify and other Digital platforms on 13/5, three days from now brother 😇👋
Mnanibariki sana mmeutendea haki wimbo
Amen. Glory to God 😇🙏💙
Harmony ✅
Instruments✅
I'm left speechless.....thank you ❤
Amen. Be blessed abundantly 💙😇🙏
Wapendwa wanguu
Mpendwa wetu. God bless you 😇🙏💙
Bwana awabariki sana mko vzur mnoo
Amen. God bless you too 🙏😇❤️
Hongereni Kwa kweli Mungu awabariki 🙏 kazi nzuri
Amina. Bwana akubariki pia brother Furaha 😇👋
Nabarikiwa sana 🎉🎉🎉
Mungu aendelee kuwainua zaidi
Amina.💙🤲
Ameeeeen amennn....nakuonea dada deboraaa
Amen 😇🙏💙
Kabla wimbo hauja Isha Nisha balikiwa 🙏🏾♥️ mfike mbali😊
Amina.😇🙏💙
BWANA awabariki rafiki zetu wazuri❤️. Mzidi kumtumikia yeye mngali hai msitoke nje ya mstari
Amen. Tunashukuru sana dada yetu. Zidi kutuombea nasi kwa neema tutazidi kumtumikia Mungu💙🙏😇
@@dodomaadventistchorus amen 👏
Mbarikiwe sana kwa muziki mzuri sana wa Kikristo. Mungu awabariki na kuwatunza salama
Aminaaa. Bwana akubariki Sana 😇💙
Amina
Marko 4:35-41 ujumbe mzuri hongereni saana
Amina. Blessed be the name of the Lord 😇💙🙏
Woooooow hatimaye jmniii we missed you😊
God bless you for that patience😇💙
Aaah guys u bring something extra ordinary to the table,May God be with u guys msiache maana mnatubariki wengi fans from Tanga ❤🎉
Amen. Bwana zidi kubarikiwa mtu wa Mungu 😇💙🙏
Mbarikiwe sanaa Wana Dodoma Adventist 🙏🤲
Amina. Ubarikiwe Sana pia 🙏😇💙
Iko smart sana, barikiweni🙏
Amen. Ubarikiwe pia ndugu 😇💙🙏
Amen
Amen. Be blessed Brother 🙏😇💙
My team 🙌🙌 be blessed
Baraka za Mungu ziwee nanyi daima
Producer Barikiwa piah
Amina. Ubarikiwe pia ndugu👋🙏💙
Great Piece!♥ Listening in from Kenya. God Bless!
Amen.
Thank you for listening. God bless you 😇🙏💙
what a way to end the sabbath
Amen.🙏😇
❤❤mnanibariki Sana kwa mpangilio wa sauti zenu
Amina. Zidi kubarikiwa mtu wa Mungu 😇🙏💙
I always love your voices ❤
Amen. Be blessed always 😇🙏💙
I'm blessed!keep up the good work
Amen. We will!💙🙏🙌
Nabarikiwa mnoooo..
Amen. Zidi kubarikiwa 👋💙😇
hii nyimbo usiiskilize wakati unaendesha gari unaeza kujikuta ghafla umefika 240km/hr bila kujua.. so sweet..
😂😂😂
Be blessed Brother.
Remember to be careful on the road😇🙏💙
@@dodomaadventistchorus indeed.. Mungu azidi kuwatumia.. yani hata muda huu nauskiliza hapa om.. wimbo safi kabisa.. nadhani nimeuskiza kwa mara ya elfu sasa.. na siuchoki.. Hongereni kwa kukubali kutumiwa na Mungu ndugu zangu.. Mumebarikiwa sana..!!
Wimbo mtamu kabisa
Amina. Bwana apewe sifa😇🙏💙
Wooow AMEEN🔥🔥🔥
Amen 😇💙
Keep up the good work guys.
Amen 🙏
We will.
Nawapenda sanachama langu
Amen. Tunakupenda pia😇🙏
Mungu awabariki kwa kutubariki 💪
Amina. Bwana akubariki Sana Midiman 🙏😇
God bless you guys for the powerful message...At times we forget him when in our lowest seasons and this reminder is perfect
Amen. We're happy that you've been blessed 😇💙🙏
Ameeeeeeeeen...
Ameeen 😇💙🙏
Wow
💙🙏
Ameen
💙😇🙏
Amen and Amen
Stay Blessed
Amen. You too😇🙏💙
Mungu awabariki ❤
Amen. Mungu akubariki pia 😇🙏💙
Bless you good people
Amen. Blessings be upon you too 🙏😇💙
Mungu wa mbinguni awainue sana, msibadilike watu wa Mungu ,maana siku hizi kupata nyimbo kama hizo ni nadra sana ,your songs are very touching spiritually 🙏
Amen. We will keep the ministry on by God's Grace💙🙏😇
Awesome ❤❤
Amen 🙏💙😇
🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🇹🇿🇹🇿✅
Blessed be the name of the Lord 😇 🙏
Mziki mzuri kabla kuusikiliza
Amen. To God be the Glory 🙏💙😇
Wazee wa modulations nyie jamaa huwa mnanibariki sana sasa wacha tuusikilize siku nzuma sasa
Ubarikiwe Sana Sana ndugu😇💙🙏
my good people 🤩😍😍❤
God bless you Abundantly Eliza💙💙👋😇
AHSANTENI KWA KUTUNZA AFYA YA AKILI ZETU KWA MUZIKI HUU MTAKATIFU...MUNGU AZIDI KUWATUMIA MSIACHE MUZIKI HUU...MSIBADILISHWE NA ULIMWENGU NAWAOMBEA KWA JINA LA YESU
Amina. Tunafurahi kwa namna ulivyobarikiwa.
Zidi kutuombea. Kwa Neema ya Mungu nasi tutazidi kusonga mbele💙🙏😇
Mnanibariki sana
Amen. Zidi kubarikiwa zaidi😇🙏💙
Mbarikiwe. 🙏🙏
Amen. Tubarikiwe sote 😇💙🙏
❤❤❤another one
Amen. God bless you Doctor 😇🙏💙
I hope one day to join you,, much love from UDOM WEST SOCIAL SDA
Amen. Be blessed Brother 🙏😇💙
Karibu😂litichaa
Jamani nyinyi si mwanibariki
Amen. Tunafurahia kubarikiwa kwako 😇🙏💙
Mbarikiwe
Amen. Ubarikiwe pia 😇💙
Mbarikiwe tu...Msipungukiwe
Amina. Bwana akubariki pia brother 😇👋🙏
How do you feel when singing this kind of songs🥰
It's a privilege to be able to sing for Almighty 🙏💙😇
We're so grateful. Be blessed sister👋😇
Amen
Mbarikiwe sanaa❤❤
Amen. Tubarikiwe sote katika Jina la Yesu 💙😇
❤
💙
Mungu azidi kujitukuza kupitia wimbo huu
Amen brother Alex💙😇🙏
Breathtaking
Blessed be the name of the Lord😇💙
Mziki mzuri sana wa kikristo.. Asee nisaidieni no ya Mwalimu wa hii Choir
Amen. Zidi kubarikiwa.
Kwa mawasiliano unaweza kuwasiliana kwa Email au namba zilizokatika video description pale chini.
Mbarikiwe Sana Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe wa nguvu Sana
#MwlMike
Amina. Ubarikiwe Sana Rajabu😇💙🙏
Blessings❤❤
Amen😇💙
Mbarikiwe Sana
Amen. Ubarikiwe pia 😇💙
Amen! Amen! 🙌
Heavenly music🎶
Amen. God bless you 😇🙏💙