MAITI YA BABA Ep 13 (final)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 132

  • @MandelaMwangome-q1b
    @MandelaMwangome-q1b 2 місяці тому +10

    Mr kawaida umenibamba sana anayemkubali uyu mjamaa....agonge like

  • @KidumeRashid
    @KidumeRashid 2 місяці тому +20

    Nzuri sana Jordan hayo ndio maamuzi ya mwanaume kwani huyo hupaswi kuwa nae mtu ambae mmeshea na baba yako

    • @StevenNditi
      @StevenNditi 2 місяці тому +2

      Kweli kabisa

    • @MwanakheriAbdallah
      @MwanakheriAbdallah 2 місяці тому

      Sasa Aisha ulitaka kwa yote yaliyotekea Jordan akusamehe xo kweli Jamanii 😢Ingemuagalia vp

  • @DumperClassic
    @DumperClassic 2 місяці тому +7

    Safi sanaa stor Nzurii sanaa 🎉🎉

  • @nyamiziramadhani4232
    @nyamiziramadhani4232 2 місяці тому +9

    hii move chill umeweza mashallah imeeleweka ipo straight

  • @DouglasWangolo
    @DouglasWangolo 2 місяці тому +5

    Waaah!! Asante sana, nimefatilia mwanzo hadi mwisho mumejesa kikubwa

  • @jumamohamedi8388
    @jumamohamedi8388 2 місяці тому +4

    Aisha anajua sana kuigiza tena kipengele cha kulia nampa 10/10

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 2 місяці тому +4

    Uyu bwana mista kawayida namupenda sana😂😂😂🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @NaifinMohamed
    @NaifinMohamed 2 місяці тому +11

    Mwanzo mzuri na mwisho mzuri na mafunzo mazuri sijutii kuangalia hii filamu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FatmaTaharamohd
    @FatmaTaharamohd 2 місяці тому +9

    Mr kawaida Mimi nakushobokea balaaa😂😂😂😂

  • @Awoshy
    @Awoshy 2 місяці тому +7

    Huu msiba sasa hivi watu wanaalika kama sherehe😂😂😂ila huyo dada eti imesinyaa kabisaa 😂😂😂

  • @D.P.O
    @D.P.O 2 місяці тому +4

    Hongera sana washiriki wote na mtunzi wa hii hadithi

  • @MakutuShivo
    @MakutuShivo 2 місяці тому

    Kaz nzuri mzee msisili nakukibali sana baba angu kazi zako zote unazofanya nazikubali❤❤❤❤

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 2 місяці тому +2

    Imeyisha vizuri saana Jordan nakukubali unajuwa saana.

  • @SunnahMickdady
    @SunnahMickdady 2 місяці тому +5

    Hii ndio i like 👍 ❤

  • @Asminah-re8lf
    @Asminah-re8lf 2 місяці тому

    Kaz nzur Mungu akujaalie inayofuata iwe Kal zaid tuendelee kuburdika
    Tiisha sana boc wang

  • @Awoshy
    @Awoshy 2 місяці тому +3

    Mr Kawaida me mwenyewe nakushobokea kwakweli umekuwa mr handsome 🔥🤪🤣🤣🤣🤣😊

  • @rubyrung8808
    @rubyrung8808 2 місяці тому +7

    Mr kawaida usiombe yakukute😂😂😂😂

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 2 місяці тому +8

    Kazi nzuri sana ila kwanini mkoba wa Bibi autowi 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @anitakerubo9429
    @anitakerubo9429 Місяць тому

    Kazi nzuri sana na pia funzo nimeipata 🎉🎉🎉🎉

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 2 місяці тому +2

    🎉🎉🎉 god job naaraaa buku

  • @Sazamhlone
    @Sazamhlone 2 місяці тому +2

    Kazi mzuri yenye mafunzo thabiti kwa mwenye maono makali,. Nje ya hapo unaweza ona kama faraja/burudani kam burudani zingine.. 💯💯💯🙏🙏

  • @ApansiaSwai
    @ApansiaSwai 2 місяці тому +3

    ❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri sana ila tunaomba mkoba wa bibi jamani ije

  • @MasoudMkapa
    @MasoudMkapa 2 місяці тому +3

    Safi kabisa kazi nzuri

  • @christinamichael6731
    @christinamichael6731 2 місяці тому +4

    Wapili kutoka pwani 🤝🤝 MUNGU awabariki wote

  • @amiryhassan274
    @amiryhassan274 2 місяці тому +5

    mm ningetoa talaka 10 kabisa

  • @Vitusidimoso
    @Vitusidimoso 2 місяці тому

    Safi sana mmetisha aishaa umetisha sanaaa ❤❤🎉🎉🎉

  • @DumperClassic
    @DumperClassic 2 місяці тому +5

    Niko ndani ya mda na Mimi 😊😊 tuzike sasaa

  • @GervasPiason
    @GervasPiason 2 місяці тому +2

    ❤❤❤❤❤😂 kazi zuri

  • @JUDITHNYONI-w8k
    @JUDITHNYONI-w8k 23 дні тому

    Kazi nzuri sana ila jodani umeamua vizuri sana kama mwanaum3

  • @Vitusidimoso
    @Vitusidimoso 2 місяці тому

    Safi sana mmetisha aishaa umetisha sanaaa ❤❤

  • @soldd-xz5ue
    @soldd-xz5ue 6 днів тому

    Safi Sana Kaka,uamuzi mzuri

  • @JumaMnugwa
    @JumaMnugwa 2 місяці тому

    Nice zakia kaza buti unaweza

  • @AishaKazumari-e3n
    @AishaKazumari-e3n 2 місяці тому

    Ahsante mungu na Mashabiki wetu wote Kwa sapoti yenu nawapenda Sana na shukuran zangu za zadhati ziende Kwa kaka yangu chili kwakuniona kwenye maiti ya Baba nimefurahi kuwa mshiliki pia♥️♥️♥️♥️🙏

  • @RoyZuu
    @RoyZuu 2 місяці тому

    Yaan umejuwa naumejuwa tena👌 upewe mauwa yako🌹🌹🌹

  • @chonechone
    @chonechone 2 місяці тому

    Hongera sana Jordan kwa maamuzi yako ya kishujaa

  • @mchawisakala
    @mchawisakala 2 місяці тому +3

    pull up kazi bora ya kufungia mwaka

  • @nelsonswai5180
    @nelsonswai5180 2 місяці тому +6

    Mr kawaida ana unafiki mwingi 😂😂

    • @mrnarabuku
      @mrnarabuku 2 місяці тому +2

      Shaulilakeee😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @ustadhmombasa1048
    @ustadhmombasa1048 2 місяці тому

    Kazi nzuri sana nimeipenda kwa ustadi na ubunifu wako

  • @khairatsaid7634
    @khairatsaid7634 2 місяці тому +1

    Kazi nzur mwinyimkuuu🙌

  • @BintiHamisi-p7j
    @BintiHamisi-p7j 2 місяці тому +6

    Wakwnza leo kutoka kenya 🇰🇪 to 🇸🇦

  • @apolowaya
    @apolowaya 2 місяці тому +4

    saa saba kasoro nimewahi mazishi bila shaka.......

  • @aminachoga9266
    @aminachoga9266 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤nimeenda kwa kweri mpo vizuri saaaaaa

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 місяці тому

    Ila narabuk kwl😂😂😂 mzinzi azikwe😊 🙌

  • @JacquelineErick
    @JacquelineErick 2 місяці тому

    Kazi nzuri na mmenda na muda congratulations 🎉🎉

  • @StevenNditi
    @StevenNditi 2 місяці тому +6

    Final 😢😢😢😢

  • @EmilienneNdayikengurukiye
    @EmilienneNdayikengurukiye 2 місяці тому

    Kazi zuri sana🎉🎉🎉

  • @Nyangondeog
    @Nyangondeog 2 місяці тому +3

    Mashallah🎉❤❤

  • @ZZawadi-s5v
    @ZZawadi-s5v 2 місяці тому +4

    Ila mr kawaida ww mwenzako ameacwa ww wacheka😂😂😂😂😂😂

    • @mrnarabuku
      @mrnarabuku 2 місяці тому +1

      Shaulilakee😂😂😂🎉🎉🎉

  • @madjynakatembo9897
    @madjynakatembo9897 2 місяці тому +5

    Msumbiji 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @azizimhina6705
    @azizimhina6705 2 місяці тому +3

    ndoa iendelee kw7bu mwenye makosa ni mzee na ameshafariki km ndoa itakufa basi hamjamsamehe marehemu..

  • @ShariphaSaid
    @ShariphaSaid 2 місяці тому

    Hongereni ssna❤

  • @RaimamomedSaide
    @RaimamomedSaide Місяць тому

    Na mambo hayo majumbani yanatokea baba,kaka,wakwe,mashemegi,zetu ni vishawishi sana wamambo yazinaa yanatokea sana ktk familia,ndio maana unaskia wanaume wote ni mbwa sababu wengi wenu munatumia akili za kichwa cha chini nasio kichwa cha juu ndio maana mnakosa aibu sababu zakar haina akil wala haishibi ndio unakuta mtu analala na shemeg yake,au mtoto wa mke wake,mda mwengine hata mtoto alomzaa,jaman tuacheni zinaa sio kitu kizur,heshima nikitu chabure hakiuzwi dukan kwanini ushindwe kujizuia hisia zako ktk familia?maoni yangu ni hayo ❤naarabbuk.

  • @MWAGITOPRODUCTION
    @MWAGITOPRODUCTION Місяць тому

    Nice KAZI zur

  • @SalmaBadru-s5r
    @SalmaBadru-s5r Місяць тому

    Mr kawaida sijapenda mnafki sna😂😂

  • @SaliminiHozza-p6r
    @SaliminiHozza-p6r 2 місяці тому +1

    Kazi nzuri

  • @RaimamomedSaide
    @RaimamomedSaide Місяць тому

    Innalillah wainnailah rajiun pole sana jordan 😢ila talaka hakustahik aisha,kwanza nikosa la bamkwe wake,napia alikuambia muhame nyumbani ukamkatalia hakutaka kukwambia ukweli ili kugombana na baba ako,na pia baada ya ww kumuowa aisha hakukubali tena kulala na bamkwe wake ndio maana zakar ilikasirika amekufa nakumtaman aisha,ila aisha anamakosa hakuongea ukweli na hayo ni makosa ya movi mungempe nafas nahisi angejitetea nakuendelea kuwa na mume wake km kawaida sababu mungu anatusamehe iweje sisi kwa sisi tusisameheane?

  • @RehemaZuberi-f3r
    @RehemaZuberi-f3r 2 місяці тому

    Kazi nzuri sana

  • @BonefacioAEstevao-x2n
    @BonefacioAEstevao-x2n 2 місяці тому +4

    Like tafathari kutoka Mozambique

  • @joufflyngmutangaza306
    @joufflyngmutangaza306 Місяць тому

    Bon travail 🇨🇩👍🇨🇩

  • @SalumuAlly-k6h
    @SalumuAlly-k6h 2 місяці тому

    Kazi nzuli sana mtoe kaz kama izi zakufundisha

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 2 місяці тому

    Nzuri Sana halafu Jordan uko sahihi kabisa huwezi kukaa na mwanamke ambae uloshea na baba yako 😢😢😢😢

  • @najmamhanna2839
    @najmamhanna2839 2 місяці тому

    Mchezo mzuri sana

  • @ENIperitoBakar
    @ENIperitoBakar 2 місяці тому +2

    Kuna kipindi nilikuwa najiuliza kwamba, i ni igizo au naangalia matukio live. Kazi njema

  • @MwanahamisiSalumu-uq2pj
    @MwanahamisiSalumu-uq2pj 2 місяці тому

    😂😂mr kawaida anatowa tarifa tu dah😂😂

  • @TatuSalum-i3h
    @TatuSalum-i3h 2 місяці тому +3

    Kanzi mzuri

  • @MariamJuma-n9j
    @MariamJuma-n9j Місяць тому

    Yan jordan ameivaa uhusika sijutii kua kuangalia hii move jordan umeweza baba

  • @MOASLLY
    @MOASLLY 2 місяці тому +1

    Hii ilinoga sana

  • @AyshAbdallah
    @AyshAbdallah 2 місяці тому

    Nalabuku hatali zuri sana

  • @MohamedSharif-mp5jh
    @MohamedSharif-mp5jh 2 місяці тому

    Mr kawaida 😂 unatuma naparia na chakula😂😂eti naarabuku naijua iyo.hhhh❤❤😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nikitoka apa naenda kukucheki kwenye sandra maana nimukucheki balaaa

  • @RoseBaby-y2g
    @RoseBaby-y2g 2 місяці тому

    Kazi nzuri hongereni sana

  • @DumperClassic
    @DumperClassic 2 місяці тому +4

    🎉🎉🎉

  • @MariamJuma-n9j
    @MariamJuma-n9j Місяць тому

    Msisiri pia amecheza larata yake vizur umetisha baba

  • @SareheMgaya
    @SareheMgaya 2 місяці тому

    Nipe Mimi uyo mke nmpnd sana

  • @PhilemonMaduhu
    @PhilemonMaduhu 2 місяці тому

    Jaman mr kawaida usiomb yakukute

  • @SuzanFelix-mo8fq
    @SuzanFelix-mo8fq 2 місяці тому +2

    Nilikuwa bze na Dunia kumbe huku tuko final 😅khaa

  • @Samiyabahatinanti
    @Samiyabahatinanti 2 місяці тому

    😢😢😢nawasaidiya kuliya🎉🎉🎉

  • @MwanashaKibwana-cn8vb
    @MwanashaKibwana-cn8vb 2 місяці тому

    Nmependa sana❤❤

  • @Noor-o4i
    @Noor-o4i 2 місяці тому

    Mr kawaida namkubali xn ananifurahisha 😅😅😅

  • @muyombo
    @muyombo 2 місяці тому +9

    UMEJITAHIDI KWA KIASI CHAKO JAPO KUNA BAADHI YA MAKOSA MADOGOMADOGO ILA NAAMINI UTAJIREKEBISHA KWENYE TAMTHIRIA ZINAZOFUATAA

    • @NasrahMsiagi
      @NasrahMsiagi 2 місяці тому

      Makosa hayo ungeyasema Ili ajue ni wapi amekosea yeye ni binaAdamu pia mwambie ajue ukweli

    • @mchawisakala
      @mchawisakala Місяць тому +1

      @@NasrahMsiagi safi Sana dada makavu live hatutaki unafki

    • @NasrahMsiagi
      @NasrahMsiagi Місяць тому

      @@mchawisakala ndio sio Kuna makosa Kisha hayasemi mbona Mimi nimesema kamera imewatoa wekundu Ina maana watajua tatizo

  • @WeliseSimbaya
    @WeliseSimbaya 2 місяці тому +1

    ❤I love you

  • @AshaLazaro-u9m
    @AshaLazaro-u9m 2 місяці тому +4

    🎉🎉🎉🎉

  • @JohnChibanhila-ld6vv
    @JohnChibanhila-ld6vv 2 місяці тому

    Safi🔥

  • @FarhhFarhh
    @FarhhFarhh Місяць тому

    Mashallh❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @halimaali8732
    @halimaali8732 2 місяці тому

    Mr kawaida sema iyo kitu ikutoke😅😅😅

  • @MariamJuma-n9j
    @MariamJuma-n9j Місяць тому

    Pongez kwa chili jaman

  • @MussaMussamussa-w3g
    @MussaMussamussa-w3g 2 місяці тому

    chili unajua saaan

  • @FURAHAYETU157
    @FURAHAYETU157 2 місяці тому +3

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 12 днів тому +1

    Mm nlikua nasubiri maamuzi ya mume wa Aisha , amechukua maamuzi mazuri hafai kuishi na huyo mwanamke tena

  • @NuruSigala
    @NuruSigala 2 місяці тому

    Safi nimejifuza kitu

  • @LaroseDarthone
    @LaroseDarthone 2 місяці тому

    Tume ikubari sana Ila tuna subiri umalizie mkoba wa bibi

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 2 місяці тому +2

    Wa 1327 leo 😂😂😂

  • @mima637mima
    @mima637mima 2 місяці тому +3

    Final🎉😂

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 2 місяці тому +4

    Like zangu za Nairobi

    • @Habeeba-i3m
      @Habeeba-i3m 2 місяці тому +1

      ❤❤ongera sana wahusika nimejifunza kitu 😢

  • @gayanestory4357
    @gayanestory4357 2 місяці тому +1

    ❤❤❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 2 місяці тому +5

    Hivi hayo machozi mnatoaga wapi,,,mbona mm nikijaribu kujiliza siwezi???

    • @RaimamomedSaide
      @RaimamomedSaide Місяць тому

      Jitie viksi karibu na macho badae niambie matokeo 😂😂😂

  • @PhilemonMaduhu
    @PhilemonMaduhu 2 місяці тому

    Mr kawaida nimeon kafurah

  • @UmkulOman
    @UmkulOman 2 місяці тому

    Kabisa hilifundisho kwa kila mtu ambaye ameolewa au ambaye aliyeoa

  • @marthenzeyimana5819
    @marthenzeyimana5819 2 місяці тому +4

    Sasa mwinyimukuu Mkoba wa bibi mbona hautuyioni umeacha ama tusubili mpaka lini?

  • @MariamJuma-n9j
    @MariamJuma-n9j Місяць тому

    Umeweza jordan jaman jordan katisha mpeni mauwa yake

  • @LazaroMakelemo
    @LazaroMakelemo 2 місяці тому

    E , O , U...... chizi weweee....