CHUNGU CHANGU PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 128

  • @CHILLYMWINYIMKUU
    @CHILLYMWINYIMKUU  26 днів тому +52

    Nashukulu mungu Kwa sapoti natakakujuwa wangapi wana subili CHUNGU CHANGU Episode 2? Tujuwane kwenye comment

  • @UstadhiRashid
    @UstadhiRashid 14 днів тому +4

    Mungu awape maisha marefu mamazetu Leo fi Dunia n kesho akhera wabilahi toufik Wala Assalamaleikum Waramatullahi wabarakatuh🙏

  • @hafswamwinyi4163
    @hafswamwinyi4163 26 днів тому +8

    Nyagemba ❤❤❤❤❤na kupa pogezi Kwa kazizako mama nakupenda mamangu upo juu🎉🎉🎉🎉

  • @hassanjuma6144
    @hassanjuma6144 24 дні тому +3

    Duuu sijawai kuona movies yako mbovu toka Zam hizooo za kingwendo❤❤❤❤

  • @Shabanimahamudummale
    @Shabanimahamudummale 26 днів тому +8

    Nyangemba mama unajua sana😊

  • @REMMYDuma
    @REMMYDuma 27 днів тому +17

    Unafanya vitu vikubwa sana kaka mwenyezi mungu akufanyie wepesi kwenye malengo yako hakika upo na uwezo mkubwa kweny talent yako

    • @MwinyiMkuu-n8w
      @MwinyiMkuu-n8w 27 днів тому +2

      Asante sana 🙏🙏🙏

    • @LeaUbamba
      @LeaUbamba 26 днів тому +1

      Shida yake hamaluzi mpk mwisho

    • @LeaUbamba
      @LeaUbamba 26 днів тому +1

      @@MwinyiMkuu-n8wKaka mwinyi Mbona mv zako unapenda kuishia Kati shida nini Kama ufuo WA Baba

    • @AllyMilunda
      @AllyMilunda 26 днів тому +1

      Sema unayumba kaka umalizi kazi mpaka mwisho mara umedaka kazi nyingine

    • @MwinyiMkuu-n8w
      @MwinyiMkuu-n8w 25 днів тому

      ​@@AllyMilundaUko sahii Ila hakuna MTU anaependa kufanya ivyo hii ni kutokana na watu tunaofanya nao KAZI.

  • @Lebonwandjelani
    @Lebonwandjelani 27 днів тому +8

    Courage ❤❤❤❤

  • @Mrmoney-fd7tp
    @Mrmoney-fd7tp 16 днів тому +3

    Waaacha kurukutanta mantetere,,🤣🤣,,tunakubali kwauigizaji wko mwinyimkuu,,💥💯💯

  • @QudratSrg
    @QudratSrg 27 днів тому +5

    Kazi kazi watshaaa kurukutanta mantetele🎉🎉😂😂

  • @SashaBeib-jk1im
    @SashaBeib-jk1im 26 днів тому +4

    Nyie nampenda sana mama nyangemba 🎉huyu mama anakipaji wallah Mungu amzdshie umri

  • @patriciachangawa1754
    @patriciachangawa1754 26 днів тому +4

    Congratulations🎉🎉🎉🎉kibwana Mwinyimkuu na team yako

  • @Lebonwandjelani
    @Lebonwandjelani 27 днів тому +4

    Miwe munatuletea mbele ya wakati Kaka nabkazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @TelesiaJackson
    @TelesiaJackson 25 днів тому +4

    Hongeren kwa kaz nzuri

  • @RaimamomedSaide
    @RaimamomedSaide 27 днів тому +5

    Mh mpaka huku kwa chumvi nyingi bro mwinyi upo😂😂me najua movi ukiwemo ww inazidi kunoga 🎉🎉🎉🎉waacha

  • @AbiwaqsExpensiveboy
    @AbiwaqsExpensiveboy 26 днів тому +5

    Nyangemba anajuwa hatali Sana 🎉🎉

  • @MunaMuna-l6i
    @MunaMuna-l6i 16 днів тому +2

    God bless U,bro🎉ila nyangemba😂😂😂😂

  • @deniscosma1589
    @deniscosma1589 27 днів тому +4

    Kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤

  • @makoko255
    @makoko255 26 днів тому +3

    Kazi kubwa imefanywa na mtu mkubwa hongera Sana mwiny mkuu pamoja

  • @madymag6926
    @madymag6926 27 днів тому +4

    Kazi nzuri sana❤❤❤❤

  • @BilaliAbubakari
    @BilaliAbubakari 26 днів тому +2

    Nakukubali sana Mzee wa kunkutanta man tetele

  • @HASANINDUMBO
    @HASANINDUMBO 27 днів тому +4

    Respect kaka mwinyimkuu Aaaaaaaa UAKIKA

  • @rehemamutua44
    @rehemamutua44 26 днів тому +2

    Mmmh waaacha ila mwinyi umetisha n unzidi kutisha hongera❤❤❤🎉

  • @SalimSlim-l4j
    @SalimSlim-l4j 27 днів тому +4

    Kanzi nzuri sana❤❤❤

  • @RomaniHagai
    @RomaniHagai 21 день тому +1

    Chili mwana wa sosi hakika umejipata na stile yako mpya ya kibwana mwinyimkuu salute kaka sisi mashabik zako tunakubali uwezo wako

  • @HazardBoy-h4w
    @HazardBoy-h4w 27 днів тому +5

    Mwiny mkuu is back Nakubal tup pamoj San tunaspot

  • @kakabeka2515
    @kakabeka2515 22 дні тому +1

    ..kazi nzuri ongeleni sana timu nzima tuko pamoja mwanzo mwisho chillymwinyimkuu piga kazi tuko pamoja🤝

  • @Samiyabahatinanti
    @Samiyabahatinanti 17 днів тому +1

    🤣🤣🤣nyangemba mungu akupe maisha marefu weye nimkomedi mkubwa sana🎉🎉🎉❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 26 днів тому +3

    Kazi kazi🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @dapheenndege7191
    @dapheenndege7191 26 днів тому +2

    Kazi nzuri tunaomba umalize isiwe kama mkoba wa mama

  • @FabianNtimba
    @FabianNtimba 2 дні тому

    ila bibi etu nyangemba akika unajua sana mungu azidi kukupa iko kipaji maana ni unajua sana 👏

  • @MusaSalimumuprince
    @MusaSalimumuprince 26 днів тому +2

    Hii kazi zuri sanaaa

  • @EzekiaMsemwa-sk7ow
    @EzekiaMsemwa-sk7ow 3 дні тому

    Cinema zako ni nzuri tatizo unachelewesha na kuishia njiani

  • @Mgaya07
    @Mgaya07 26 днів тому +2

    kaka kazi safi uko vizuli kutoka congo🇦🇼

  • @MamaChuma
    @MamaChuma 6 днів тому +1

    Kaka nakubaree sana

  • @joufflyngmutangaza306
    @joufflyngmutangaza306 26 днів тому +4

    J'adore 🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩

  • @fahruq4486
    @fahruq4486 26 днів тому +2

    Safi sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abdallahidrisa910
    @abdallahidrisa910 26 днів тому +3

    Good job❤❤

  • @EmmanuelChikombo
    @EmmanuelChikombo 26 днів тому +2

    Kazi hii ni nzuli sana ila huko mbele msialibu mkubwa Kali sana

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 26 днів тому +2

    Kazi nzuri saana 😊

  • @YUMNA-w3m
    @YUMNA-w3m 21 день тому +1

    Hongereni❤🎉

  • @Shufaa-i5u
    @Shufaa-i5u 27 днів тому +7

    Wa tatu😂

  • @khadijahhussan182
    @khadijahhussan182 24 дні тому +3

    Nyangemba anajua hasa ila msimuinamishe Sana kiuno kitamuuma

  • @HmkMushi
    @HmkMushi 27 днів тому +8

    Sasha huna marafiki ni wauwaji hao

  • @yoeliushindi1259
    @yoeliushindi1259 25 днів тому +2

    Iyi Tz mazeee ni Atari kabisa ivi kwenye ili taifa mumetoaga wapi mashairi makubwa makubwa ivi🤦‍♂️🇨🇩

  • @AngelCosmas-j9k
    @AngelCosmas-j9k 24 дні тому +1

    Naona kama ni nzuri

  • @fadhiliomary1802
    @fadhiliomary1802 26 днів тому +2

    Kazi nzuri Ila tatzo huxiendelezi....

  • @JesseMpendakaz
    @JesseMpendakaz 19 днів тому +1

    Baba unajuwa 💪💪💪💪💪💪💪

  • @MOASLLY
    @MOASLLY 26 днів тому +3

    Mori mori moriiii😂😂😂

  • @RAJABUMapene
    @RAJABUMapene 26 днів тому +3

    Nice nice nice

  • @dingiTV
    @dingiTV 26 днів тому +1

    Kazi ya moto sana hongereni

  • @RugezaFeruzi
    @RugezaFeruzi 23 дні тому

    Kazi nzur 🔥

  • @AishaRehema
    @AishaRehema 24 дні тому +1

    Nzuli ila musiwe munachelewesha sio sawa

  • @Slavepictures
    @Slavepictures 26 днів тому +3

    Nice project brother ❤❤

  • @SukhairaZaiytun
    @SukhairaZaiytun 26 днів тому +5

    Waacha kurukuntanta mantetele 🎉🎉🎉🎉❤❤❤🔥🔥🔥🔥🫧

  • @babakili2491
    @babakili2491 26 днів тому +3

    gud job

  • @MhandoNyangusi
    @MhandoNyangusi 27 днів тому +3

    Kazi nzuri

  • @Duchu_man24
    @Duchu_man24 26 днів тому +3

    Waaaaaaachaaaaaaaaa

  • @ngalaawadhi
    @ngalaawadhi 26 днів тому +3

    Wachaaa,,kurukuntatara mantetere

  • @eliamwampashi8853
    @eliamwampashi8853 24 дні тому +2

    Ikopow san

  • @GidionPhilipo-g1y
    @GidionPhilipo-g1y 15 днів тому +1

    B,nyangemba unajua mpaka unajua Tena nakukubalisana

  • @SophiaNdayishimiye
    @SophiaNdayishimiye 26 днів тому +2

    Shida hua unaishia njiani haya leta mwendelezo

  • @AbdalaMomba-m7s
    @AbdalaMomba-m7s 6 днів тому

    Sisi tuko 100.lakini tusinsahau Allahu akbar.

  • @SimonMasabo-v9s
    @SimonMasabo-v9s 27 днів тому +3

    Fire

  • @MuhedeJc
    @MuhedeJc 24 дні тому +1

    Wengi tu hunampinzan ktk sekta iyo

  • @MinnahMuharami
    @MinnahMuharami 6 днів тому

    nilikua napit tu siingalii kumbe nzr😂😂😂

  • @frankbutungo7775
    @frankbutungo7775 12 днів тому

    Chili mwana wa soseji😂

  • @JoyceUhuru
    @JoyceUhuru 26 днів тому +2

    Ubaya hammalizi vipindi vyenu

  • @faustinmwemedi3007
    @faustinmwemedi3007 12 днів тому

    Waacha ..... kurikutanta mantetere 😅

  • @RAJABUMapene
    @RAJABUMapene 26 днів тому +2

    Msicheleweshe jamn radha inapotea

  • @NasraMsami-pn4mn
    @NasraMsami-pn4mn 25 днів тому +2

    💥💥💥💥 kazi nzuri Sana!!! Jmn naskia mwinyimkuu Ni mganga kwel!! Yana ukweli?

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 27 днів тому +4

    🎉🎉🎉🎉

  • @AlSchk-eu1uy
    @AlSchk-eu1uy 26 днів тому +2

    🎉🎉🎉❤❤

  • @lul5292
    @lul5292 27 днів тому +3

    Wa 4

  • @AmeirJey
    @AmeirJey 26 днів тому +1

    good

  • @Shukuru2535
    @Shukuru2535 21 день тому +1

    Isiwe kama mukoba wamaman kwa Mara hiyi itakubidi umalize tena kwa kasi

  • @VasilOkoth
    @VasilOkoth 26 днів тому +1

    🎉🎉🎉

  • @MuhammadWarira
    @MuhammadWarira 20 днів тому +1

    Series zk inakuw humaliz mzee sjuw kw nn

  • @halimaali8732
    @halimaali8732 27 днів тому +3

    ❤❤🎉

  • @Bahati-wu4bs
    @Bahati-wu4bs 22 дні тому

    Wachaaa

  • @MagretErenest
    @MagretErenest 2 дні тому

    Nikikuona ww kwenye mov yoyot najuakamisa nikaz kaz mwiny mkuu

  • @VeronicaBonafasi
    @VeronicaBonafasi 25 днів тому +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @BerthaDarious-x7z
    @BerthaDarious-x7z 24 дні тому +1

    ❤❤❤

  • @Halimah-z9o
    @Halimah-z9o 25 днів тому +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉72

  • @JumaaHemedy
    @JumaaHemedy 26 днів тому +7

    Kazi nzuri sana kaka lakini umalizii tamthilia zako kwa nn kaka

    • @RendinaaEliabi
      @RendinaaEliabi 25 днів тому

      Hili nilitaka kusema asante kwa kunisaidia

  • @IjaamisseIjaamisse-x5e
    @IjaamisseIjaamisse-x5e 26 днів тому +1

    💯💯💯💯💯

  • @mariamomran6144
    @mariamomran6144 10 днів тому

    Kuruku tanta mwanteke

  • @FarhhFarhh
    @FarhhFarhh 21 день тому +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂

  • @PascalIlunga-zs6xi
    @PascalIlunga-zs6xi 27 днів тому +3

    🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ClarenceSanga-o1i
    @ClarenceSanga-o1i 23 дні тому

    🎉

  • @abuubilalizuberi3835
    @abuubilalizuberi3835 25 днів тому +1

    Sasa jamani mbona maneno hayasikiki zaidi ya mziki tuu ??????????

  • @FabianNtimba
    @FabianNtimba 2 дні тому

    Tupo live na atoki mtu apa 🫡

  • @LusiaCosmas
    @LusiaCosmas 26 днів тому +2

    Mwiyi mkuu malizia mkoba wa mama nakukubali kz nzl

  • @ZamdaChande-e4t
    @ZamdaChande-e4t 10 днів тому

    Tuko apa mbona kizuka utoi

  • @yuui1878
    @yuui1878 27 днів тому +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇸🇦

  • @BahatimatolaMatola
    @BahatimatolaMatola 17 днів тому +1

    🎉🎉🎉❤

  • @BahatimatolaMatola
    @BahatimatolaMatola 17 днів тому +1

    🎉

  • @aishamchome1143
    @aishamchome1143 26 днів тому +1

    ❤❤❤🎉🎉

  • @NemaItangishaka
    @NemaItangishaka 23 дні тому

    🎉🎉🎉