@@DanieliDgani kaungane nao shida zangu lisu hazijui kama ana uchungu hata hizo pesa za chama wanapewa na serikal wasichukue hapo ntaamin wako sirias sio wap wanaishi vizur kupitia luzuku halaf Mimi niandamane sifany ujinga huo
Wote ninyi mliotoa comment ni mawakala wa ccm usipoandamana utakufa ukiandamana utakufa si bora kufa kishujaa na watu wajue kuliko kufa kibudu ngoja sisi tuandamane acha unoko. Huu ndio upendo wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya wengine ngoja tufe wewe uendelee na maokoto mnayopewa na ccm kuihujumu demokrasia Tanzania
Watz kwa uoga kaaaah, 2jifunzen kwa Gen-Z
Baba kitime Mungu akubariki sana heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu
Padri anaipatia sauti ya Lisi kinma
Hakuna halamu
Andamana peke yako siklepa
Ivi nyie wanasiasa mnafikili tunaweza kufanya ujinga wa kuandamana sahauni tafuteni utaratibu mwingine nasiomaandamano
Tarehe 23 September mkuu wa mkoa amesema tukale nyama choma ,
Kumbe wote hao ni waumini wako na wamesoma shule zenu padre una kazi ya kufanya.
Wewe andamana tu tena uwe mstari wa mbele wewe lisu na viongozi wenzio
Skf ameongea kwa mafumbo mno😂😂 ila kwa wanaojua physiology wanaelewa alimaanisha nn??😢😢 Kama huwezi kumjua aliyekutendea mabaya huwezi kusamehe 😂😂 unawezaje kusamahe anayekukosea gizani😢😢
Waandamane wenyewe SS watuache 😢 Mambo yakuhangaikia matumbo yenu marufuku
Sema wew. Shortsited.
Utabaki kubuluzwa hadi ukome
Toa usenge nyie watekaj kaa kwakutulia kama unahusika utajua hujui
Lisu tafuta kaz ya kustaafia maandano hayakusaidii
Mandamano sio haramu yapo kikatiba soma katiba mjomba polisi ina takiwa kurinda mandamano
@@DanieliDgani kaungane nao shida zangu lisu hazijui kama ana uchungu hata hizo pesa za chama wanapewa na serikal wasichukue hapo ntaamin wako sirias sio wap wanaishi vizur kupitia luzuku halaf Mimi niandamane sifany ujinga huo
Mwambie huyo
Huyo lissu anataka kuwaponza ninyi wananchi wa Tanzania msiwafuate wapinzani hawana sera wambieni waandamane wenyewe na familia zao
Baba yako anasela za kuteka watu wasio na hatia mshamba wew
@@shango8645 nakuunga mguu
@@shango8645 nakuunga mguu
Acha uoga ww utakufa tuuu siku
@@landmadvdmbeyacity9561 acha nife kwa mapenz ya mungu sio kwa kuwapigania Wala ruzuk ingekua napigania din sawa ningekufa kishujaa
Wote ninyi mliotoa comment ni mawakala wa ccm usipoandamana utakufa ukiandamana utakufa si bora kufa kishujaa na watu wajue kuliko kufa kibudu ngoja sisi tuandamane acha unoko. Huu ndio upendo wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya wengine ngoja tufe wewe uendelee na maokoto mnayopewa na ccm kuihujumu demokrasia Tanzania
Hhhhhhhhh io nguvu ya kuandamana wekeza kwenye kilimo