#3 DONDA NDUGU - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • #MauMpemba #FumbuaMacho #VitukoZanzibar
    DONDA NDUGU - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO
    Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
    Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
    Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
    +255 777 001500

КОМЕНТАРІ • 58

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Рік тому +9

    Watu wake kweli mnajipamba nikiwa nnatoka tuu, sio vizur mjipambe mkiwa ndani pia mnakimbiza waume mnajiharibia wenyewe. 😊😅

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Рік тому

      Tamaa na kukimbia majukumu basi! Mana hzo ni tabia za w’ke karibu na wote kwa hio unakimbia huko unapokwenda unauhakika wakupambiwa???

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Рік тому

      Kujipamba ni kwa m’ke na m’me ila kila mmoja na upambaji wake, je na nyie mnajipamba majumbani? Ndio unaona anaambiwa akabadili nguo😊

    • @binmasoud4150
      @binmasoud4150 Рік тому +1

      Sio kwamba kila mmoja na upambaji wake tatizo mnajipamba mkiwa nje, swali mnampambia nani nje na mume yuko ndani?
      Mnatakiwa mjue nyakati sahihi.😊

    • @nassrasoud
      @nassrasoud Рік тому +2

      ​@@binmasoud4150 kujipamba majumban tunajitaahd lkn mapambo yetu ni kaz Bure kwenu, mukitoka kazn mnatukuta Kila rang usoni lkn ata umependeza hamtwambiii 🙄🙄🙄. Ndio tukaona Bora tujipambe tukitoka tutaambiwa japo Mashaa Allah 🤭😝😝😝😝 mna sisi wanawake tunapenda kusifiwa😍😏😏😏😏

    • @binmasoud4150
      @binmasoud4150 Рік тому

      Lkn mda mwengine inategemea na bwana nae, but vizur kuengeza machopochopo ipo siku itakuwa poa

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Рік тому +3

    Kweli wivu sunnah MashaAllaah tabaraAllaah kwa kazi zuri

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 Рік тому +5

    Saf xna❤

  • @saidjuma25
    @saidjuma25 Рік тому +4

    Kaziiii nzuriii

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Місяць тому

    😂😂😂visa na mikasa yote mitiani,bimwinyi ıtabidi huyavumilie ndoa mitiani Maisha mafunzo.# mzee mwinyi # bimwinyi,filamu mzuri nimeipenda.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Рік тому +4

    Pemb sanarahaa

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 Рік тому +5

    Hahaha 😂 c kwa hali hiyo mmmh 😅

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Рік тому +6

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin

  • @kundiidd8755
    @kundiidd8755 Рік тому +5

    Kazi njema Kwa maumpemba gang😂😂😂

  • @BinWaalid-dk5sm
    @BinWaalid-dk5sm Рік тому +5

    Fumbua macho...hakika inatufumbua macho kwa kishindo

  • @babdaubabdaubabdau8992
    @babdaubabdaubabdau8992 Рік тому +4

    Kazi nzuri sana

  • @AhmedalriyamAhmed
    @AhmedalriyamAhmed Рік тому +9

    Hongereni sana munatuelimisha na kutuburudisha hayo yote yako kwenye jamii zetu munatufumbua macho vzr. Nawatakieni kazi njema.

  • @SalehHamzaa-zk9iq
    @SalehHamzaa-zk9iq Рік тому +5

    Kazi nzuri mau ,dongo ,na makunde

  • @elhabsy8483
    @elhabsy8483 Рік тому +3

    Saf san big up

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Рік тому +5

    Mwinyi wajifanya msanii eti kila mkeo akienda shuhuli waumwa mwisho kachoka umechexea msukumo mmoja tu 😅😅

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Рік тому +2

    funzo muloolewa wengine wanaenda harusini

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Рік тому +3

    Ujumbe mzuri sana mau hongera sana pamoja na timu yako kwa ujumla ila makame simuoni yuko wapi

  • @rashaso7564
    @rashaso7564 Рік тому +3

    Tunakubali kazii

  • @masturamohd4920
    @masturamohd4920 Рік тому +4

    wivu ni sunna ila weye ushaufanya faradhi kz nzur masha allah

    • @AbdulSungura
      @AbdulSungura 7 місяців тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Рік тому +4

    Mafunzo furaha na heshima 😊😊😊

  • @abeidabdullwarith8991
    @abeidabdullwarith8991 Рік тому +3

    Naomba kibendera❤

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 місяців тому

    Mzee mwinyi bwana😂😂😂 hataki mke aondoke

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому +5

    Haaaaaaa mgonywa anatonge kama dongo lakukandikiya nyumba mume kama huyu nikisha mjuiliya kukiwa na harusi namfungiya mlango

    • @selemohd9060
      @selemohd9060 Рік тому

      Hahaha kwani harusi lazima uende jamaniii

  • @abeidramadhan2413
    @abeidramadhan2413 Рік тому

    Kimoja tunachojivunia wapemba ni wanawake wazuri na wenye heshima

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 10 місяців тому

    Nice 👍

  • @user-yv2cb8no9g
    @user-yv2cb8no9g Рік тому +1

    Kazi mzuri

  • @user-wi5xr5bc2y
    @user-wi5xr5bc2y 11 місяців тому

    Hongeren

  • @amourjuma4386
    @amourjuma4386 Рік тому +1

    Hongereni sana.

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Рік тому +1

    safi sana mwinyi

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Рік тому +2

    Much love always 🎉🎉🎉

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 Рік тому +1

    Fundi huwezeki tena weye yakhe

  • @user-hy9pp5rp9i
    @user-hy9pp5rp9i 10 місяців тому

    😂😂😂😂 huyu ni mm kabisa

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 2 дні тому

    Hiyo mitonge ya mgonjwa!😂😂😂😂😂😂😂

  • @peteswalehe236
    @peteswalehe236 4 місяці тому

    Wivu kanaufanya faradhi😅

  • @muxfilmproduct
    @muxfilmproduct Рік тому +5

    unajuw sijaelew kidog vipande vengine huyu ni mke wa mau mpemba lakin humu ni mke wa mwinyi nambie

    • @kylesmeight4837
      @kylesmeight4837 Рік тому +1

      Kla kpande knajtegemea

    • @afyakwanza
      @afyakwanza Рік тому +1

      Mwinyi mpeku hayo mambo yapo mengi majumban hongera sn kwa mafunzo yako na mm nitakuwa hvyo hivyo ahsanten

    • @abdallahselemani6423
      @abdallahselemani6423 Рік тому

      Fumbua akili na wewe hao ni wasanii lengo ni kufikisha ujumbe

  • @Omar-ie5ph
    @Omar-ie5ph 11 місяців тому

    😂😂😂 ahaa mwinyi unajuwa sana

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Рік тому +1

    MashaLLAH ❤

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa815 Рік тому

    Wivu unamsumbua mzee mwinyi 😀😀

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Рік тому

    Mwinyi mpeku 🤴🏻🤝🤴🏻

  • @jumamaisara8261
    @jumamaisara8261 Рік тому

    Nice ❤❤❤

  • @mariambintsaid3814
    @mariambintsaid3814 Рік тому +3

    Wimbo huu WA mwanzoni waitwaje ama na n kaimba VP?

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 Рік тому +3

    😂😂😂❤

  • @bintykikungu6900
    @bintykikungu6900 Рік тому

    😂😂😂😂😂 daya yetu hiyo wanawaje

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Рік тому

    Yani ingekua mm ngekupa dawa kisha niendezangu harusini 😅😅😅

  • @killingofficial5005
    @killingofficial5005 Рік тому

    MashaAllah 🤣🤣

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Рік тому +2

    😂😂😂

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise4802 Рік тому

    😂😂😂