#3 DONDA NDUGU - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- #MauMpemba #FumbuaMacho #VitukoZanzibar
DONDA NDUGU - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Watu wake kweli mnajipamba nikiwa nnatoka tuu, sio vizur mjipambe mkiwa ndani pia mnakimbiza waume mnajiharibia wenyewe. 😊😅
Tamaa na kukimbia majukumu basi! Mana hzo ni tabia za w’ke karibu na wote kwa hio unakimbia huko unapokwenda unauhakika wakupambiwa???
Kujipamba ni kwa m’ke na m’me ila kila mmoja na upambaji wake, je na nyie mnajipamba majumbani? Ndio unaona anaambiwa akabadili nguo😊
Sio kwamba kila mmoja na upambaji wake tatizo mnajipamba mkiwa nje, swali mnampambia nani nje na mume yuko ndani?
Mnatakiwa mjue nyakati sahihi.😊
@@binmasoud4150 kujipamba majumban tunajitaahd lkn mapambo yetu ni kaz Bure kwenu, mukitoka kazn mnatukuta Kila rang usoni lkn ata umependeza hamtwambiii 🙄🙄🙄. Ndio tukaona Bora tujipambe tukitoka tutaambiwa japo Mashaa Allah 🤭😝😝😝😝 mna sisi wanawake tunapenda kusifiwa😍😏😏😏😏
Lkn mda mwengine inategemea na bwana nae, but vizur kuengeza machopochopo ipo siku itakuwa poa
Kweli wivu sunnah MashaAllaah tabaraAllaah kwa kazi zuri
Saf xna❤
Kaziiii nzuriii
😂😂😂visa na mikasa yote mitiani,bimwinyi ıtabidi huyavumilie ndoa mitiani Maisha mafunzo.# mzee mwinyi # bimwinyi,filamu mzuri nimeipenda.
Pemb sanarahaa
Hahaha 😂 c kwa hali hiyo mmmh 😅
Mashaallah jazakumllah kheir amiin
Kazi njema Kwa maumpemba gang😂😂😂
Fumbua macho...hakika inatufumbua macho kwa kishindo
Kazi nzuri sana
Hongereni sana munatuelimisha na kutuburudisha hayo yote yako kwenye jamii zetu munatufumbua macho vzr. Nawatakieni kazi njema.
Kazi nzuri mau ,dongo ,na makunde
Saf san big up
Mwinyi wajifanya msanii eti kila mkeo akienda shuhuli waumwa mwisho kachoka umechexea msukumo mmoja tu 😅😅
funzo muloolewa wengine wanaenda harusini
Ujumbe mzuri sana mau hongera sana pamoja na timu yako kwa ujumla ila makame simuoni yuko wapi
Tunakubali kazii
wivu ni sunna ila weye ushaufanya faradhi kz nzur masha allah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mafunzo furaha na heshima 😊😊😊
Naomba kibendera❤
Mzee mwinyi bwana😂😂😂 hataki mke aondoke
Haaaaaaa mgonywa anatonge kama dongo lakukandikiya nyumba mume kama huyu nikisha mjuiliya kukiwa na harusi namfungiya mlango
Hahaha kwani harusi lazima uende jamaniii
Kimoja tunachojivunia wapemba ni wanawake wazuri na wenye heshima
Nice 👍
Kazi mzuri
Hongeren
Hongereni sana.
safi sana mwinyi
Much love always 🎉🎉🎉
Fundi huwezeki tena weye yakhe
😂😂😂😂 huyu ni mm kabisa
Hiyo mitonge ya mgonjwa!😂😂😂😂😂😂😂
Wivu kanaufanya faradhi😅
unajuw sijaelew kidog vipande vengine huyu ni mke wa mau mpemba lakin humu ni mke wa mwinyi nambie
Kla kpande knajtegemea
Mwinyi mpeku hayo mambo yapo mengi majumban hongera sn kwa mafunzo yako na mm nitakuwa hvyo hivyo ahsanten
Fumbua akili na wewe hao ni wasanii lengo ni kufikisha ujumbe
😂😂😂 ahaa mwinyi unajuwa sana
MashaLLAH ❤
Wivu unamsumbua mzee mwinyi 😀😀
Mwinyi mpeku 🤴🏻🤝🤴🏻
Nice ❤❤❤
Wimbo huu WA mwanzoni waitwaje ama na n kaimba VP?
Nyimbo haram
😂😂😂❤
😂😂😂😂😂 daya yetu hiyo wanawaje
Yani ingekua mm ngekupa dawa kisha niendezangu harusini 😅😅😅
MashaAllah 🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂