Pole sana, mimi binafsi nimeguswa sana na uo msiba, niko nalia apa, ila akikisha uyo mtoto wake wa nje apewe aki yake, apo mungu atawaonekania katika familia yenu, ila mkithubutu kumtenga, mtakua mnajitafutia matatizo makubwa, sana katika familia yenu na ukoo wenu wote.
Daaaah😢😢😢😢😢😢kifo ni fumbo pumzika kwa amani marco tutaonana tena badae katika haya maisha😢😢😢😢 ratiba zako zote usisahau na ratiba ya kifo nyie kifo kinauma sana asikuambie mtu 😢😢😢
Mwenyewe huwa najiuliza kuna muda natamani nisingelizaliwa😢😢, yani maumivu yake huwa ni makali sana,yanakata tumboni,ROHO INAUMA sana,MUNGU atureheme.😢😢😢
Wew acha tuuu me tangy nisikie kifoo Cha huyu kaka ata furaha sina yan najikuta tu nalia na kuanza kuwakumbuka ndugu zangu waliotangulia mbele za haki 😢😢
Pole sana, mimi binafsi nimeguswa sana na uo msiba, niko nalia apa, ila akikisha uyo mtoto wake wa nje apewe aki yake, apo mungu atawaonekania katika familia yenu, ila mkithubutu kumtenga, mtakua mnajitafutia matatizo makubwa, sana katika familia yenu na ukoo wenu wote.
Watu wa Rwanda nasi tulikuwa na penda muimbaji Marc Pole kwa Familly
Duh!inauma sana,Mungu ailaze mahala Pema pepen
Daaaah😢😢😢😢😢😢kifo ni fumbo pumzika kwa amani marco tutaonana tena badae katika haya maisha😢😢😢😢 ratiba zako zote usisahau na ratiba ya kifo nyie kifo kinauma sana asikuambie mtu 😢😢😢
Polenta sana Zabroni kwa hili
Mungu awe mfariji katika familia yakee
Amekufa akiwa kijana mdogo kabisa eee Mungu
Mungu awe mfariji wenu kwa kuondokewa ni mpendwa Marco
Si rahisi kukubali eti marko ameaga,bali ni mapenzi yake Mungu.Mungu tujalie mwisho mwema.
Farijini katika bwana...mungu alitua na pia ametwaa jina la baba balibarikiwe
Hii si kazi ya Mungu hata Mungu mwenyewe hukasirika kwa kumuwekea lawana kwa lenye hajahusika
Poleni wafiwa wote MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi, MUNGU ailaze roho ya mpendwa wetu apumzike kwa amani amina 😢😢
Jambo hili ni gumu sana kwa namna ya kibinadamu Yesu uliyemfariji wafariji wafiwa hawa
Inauma sana jamn
Polen Sana mungu awatie nguvu
Mungu akawe mfariji wao maana minimeumia Sana sijuiwao jamani
Pole sana
Ee mungu umpokee mtumishi wako, nilikuwa napenda uimbaji wake lakini ameacha alama.
Maumivu nayopata Mungu ndo najua Ee Mungu watie nguvu
Ime niuma san Niki tizam machoz Yan tirirk tuu sijui mke wak na mam yak 😭😭😭
Poleni sana 😢😢
Pole sana Kwa familia😢😢
Kweli si njia rahisi ni adui Yesu achukue nafasi shetani anapepeta uhai
Poleni sana wana benti wa zabron singers-yesuvni mungu awatie nguvu wakti huu ngumu 😢😢😢
R.I.P Mwenyezi Mungu aifariji familia
Kesheni kila wakati
Ndo maana yake hiyo.
May God give all strength in this trying moment
Poleni wafiwa wote Mungu awatie nguvu katika kipind hiki kigumu
Marco umeenda ukiwa bado mdogo sana miaka 32 still young
Daaaaah😢😢😢😢😢
Tumeuona mkono wake BWANA🙏🏼🙏🏼
Jamani uuuuwi nabaki kulia tu mwenzenu😢😢
Swala la kudanja ni noma sana na halizoeleki✓
Saad pumzika Kwa amani😢😢😢
Sjawah kumuona ila nimelia sana mungu
Inauma sana MUNGU awafunge mkanda family
Hakika hii Dunia sisi ni wasafiri.
Mungu awatie Sana nguvu🤔🙏
😭😭😭😭so,sad it was so unfortunate 😭
Dear lord, may you comfort this young family🙏🙏🙏
This is very painful 💔💔💔😭😭
Tunaumia ila mungu amulaze mahar female peponi
inauma hakika,pole jirani watanzania
Tanzania bado hatujawa na madoctor bingwa wa moyo mi naamini niuzembe mtu anakufa hata operation bado haijafanyika kweli daa inauma sana
True
It pains, the departure of this servant of God, RIP Marcom, dance with Angels😢
Inauma jamani
Poleni sana wanafamilia na Tanzania pia mc silanda by poleni sana😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Emoj uliyoiweka unajua maana yake??????
Eeh Mungu😢
Polini sana
Dah😢 ni maumivu makali haya yote kwa yote tunamuachia Mungu😢
Mimi sina lakusema ni mebaki mudomo wazi
Sijui kwanini tuliwekewa kipindi hiki kigumu jamani,inauma sana jamani hatuna budi kurudi ni mavumbi na mavumbini tutarudi
Mwenyewe huwa najiuliza kuna muda natamani nisingelizaliwa😢😢, yani maumivu yake huwa ni makali sana,yanakata tumboni,ROHO INAUMA sana,MUNGU atureheme.😢😢😢
Mungu aMlaze mahali pema jamani poleni😪😪😪😪😪😪
Poleni 😂😂 Sana wapendwa
Daah
Inauma jaman sjui familia yake wana hali gani mungu awapunguzie maumivu
😭😭😭😭😭😭hakika inauma sana
Makiwa wapendwa tumepoteza ujumbe. wa kiroho,
Neema ya Mungu iwatoshe.
Tuwaombee sana familia
So sad 😭😭😭
Poleni
Pumzika Kwa amani
😭😭😭😭😭duhh ni maumivu yasiyoelezeka haya jaman
Nimeini kwamba duniani 2napita
😂😂😂😂😂😂😂
Tutaonana asubuhi njema
Ooh Mae did I see 1992??too young.
Sielewi hali ya mkewe na wazazi wake kama wapo naumia mie huku wa nje je? Wandani 😢😢😢😢😢😢😢
Yaan ni mtihani Kwa kweli😢😢
Yaan mm ata naskia nko mgojwa kabisaa lakini mungu awapee nguvu kabisaa
Wew acha tuuu me tangy nisikie kifoo Cha huyu kaka ata furaha sina yan najikuta tu nalia na kuanza kuwakumbuka ndugu zangu waliotangulia mbele za haki 😢😢
Mmmmm Anajeyakua maumivu ya mke wa marehemu ni mungu peke yake ,tunamubea kwa mungu amtie nguvu dada yetu 😢😢😢
Kifo 😢😢😢😢nakuita Mara mbili 😢😢😢
RIP Marco
Poleni sana😪😪
Ila mbona mapema sana 😢
Umetoka nyumbani ukiwa mzima baada ya siku chache unarudi ukiwa kwenye jeneza 😢 ee Mungu
Wangeacha TU kumpasuwa 😢😢
Ni uchungu sana lakini najiuliza mbona hawakumpeleka hospitali ya Kenya 😢😢😢
@@israelkisaila8401hata kama hangepasuliwa bado hangetoboa juu roho ndio Kila kitu na ndio ilikuwa na shinda
😢😢😢😢
Unauma sana ila MUNGU umesema lazima tufe
Hili Nipigo kubwa kwa Wana wamungu asa
Polen watu wa mungu
Hakika pole kwao😢😢😢😢
😢😢mung awasimamie katka hili
Rip bro
Rest in peace Marko😭😭😭
Rip brother
So painful aki 😭😭😭😭
🤦🇰🇪🇰🇪
Wah..😢😢
Sorry
😭😭😭😭
Pumzika Kwa amani
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭