EXCLUSIVE: Jack wa Gardner Afunguka Ukweli Kuhusu Baba yake | Amwaga Machozi
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Mtoto wa Gardner ameelezea kwa mara ya kwanza kupitia The Break kuwa tayari ana mtoto na kufunguka mengi kuhusu namna walivyokutana na Gardner na maisha yake kwa ujumla
Muongo bhana! Kwa Wachagga tena,yaani m2 haachi mtoto,angempeleka kwa kwa waxaxi wake,mamake alikuwa anatembea na wanaume tofauti,sasa hakujua baba mtoto,akawa anabahatisha.Muache Careen wa wa2.
Jamani huyu dada naye kasomea uandishi wa habari ila hajui kabisa kujieleza yani anaongea ongea tu kwa kweli
Safi Sanaa Boyfriend umetisha, ukiona mwanamke mzuri Kama huyu anaekuita boyfriend Tena umezaa naye ujue una ngekewa
Napat ukakasi wa jack jinsi alivyokutan na baba yake binafs yang sijaelewa hapo Yan ilitokeaje mpak gadna kujuwa Kam Ni dam yake
DNA
Mdada anaeleza vitu visivyo na maana
Hata kujieleza hajui sa kasomea uandishi wa habari upi??????
Kwa haya majibu sidhani kama ni baba mzazi ni baba wa hiyari
pole mdg wangu😢 nmelia sana.......nakuelewa msrmehe huyo careen siku akiamua kukutafta muwe pamoja sio makosr yenu ni wazazi na maisha nr wazazi muwasamehe
Huyu dada ana uwezo kubwa wa kufikiri. Safi sana.
22:07 22:07 22:07
@@anociatafungameza tena namuona sura na Roho ya upendo Kama marehemu Baba yake hata anavoongea yaan kwa undan ana roho nzur kama Gadner .....
CAREN .yupo sahihi yupo pekeake .na mjukuu wake
Mmmhu yaani huyu simuelewielewi .
Huwezi kumuelewa kwasabau wew ni jeuri, watoto hawanaga makosa siku zote wazazi ndio wamekosea.Akili inakosekana pale unapo elezwa kitu alafu hutaki kuelew. Mtoto anajieleza vinzur kabisa
Mbona yeye Gardner anasema wewe Jacqu ndio ulimfuata ukamwambia wewe ni mtoto wake.
Shida za wanaume izi kulala/au Kua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti kwa wakati mmoja...aende kila mkoa uyo mzee baba pengine wako fyuuu🙄🙄🙄🙄🙄🙄watoto ndio wanaoteseka kwa upumbavu wa wanaume
Naona umeamua kutukana kabsa😆😆
@@stevenick1204 😅Aki for sure it is disgusting
@@hawamussah2370 Yeah kweli coz playboys weng ndo inakuwa hivyo lakin hiz mambo bhana behind scene yawzekana kna inshu hatuzifahamu pia inaonekana kma kweli au sio kweli
@@stevenick1204 💯
Idea ya kuzaa mpk upelek picha kituo cha polis iko gud imekaa vyema🤣🤣
Kiukweli naangalia hisura nibaba yake kabisa ila carin sora yamama
Haka nako kaongo sana interview ya kwanz alisema gadna alikuwa anamlipia ada
Ni kweli Sarah, anajaribu tu kuficha aibu ya mzazi na wakati unafanya hivyo baada anakumbuka kuhusu baba yake mlezi, anatamani kuwaridhisha wote na hata aliyemuumiza anajaribu kufichia coz wote ni wazazi na ni family na wakati huohuo anajitahidi kuturidhisha sisi, tumsamehe na tumuombee tuu kabeba mzigo mzito sana.
Kwanini baba yako unamuita Gadner,na mbona hukuonekana kwenye msiba wake?
Someni code, Gardner ni baba yake ie sponspor alikuwa anapiga mzigo na hizi pisi ndio mambo yake. Ndio maana alimwambia you are so cute 😂😂
Muongo bwana aseme ni baba ake wa Hiyari tu mh careen ni mtoto pekee kwa gadner kwanza hata familia naona haikutambui hata msibani hujatambulishwa
Had hapo kwenye mambo yakushut video sijui kusomea uandishi hii ni kikipyuaaaa sina haja yakuendelea kukusikiliza shoga kumbe unatafuta kk🤔🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Gardner alikuwa anakutamani
Nakuelewa maskini pole sana
inavoelekea baba yake bado hajamkubali au hataki ukaribu so hataki kulazimisha kuwa accepted binti wa watu inauma sana
Huyu ni mwanae tena ndiye aliyefanana naye kuliko huyo carene
Careen ndiyo copy hadi uongeaji
Hawezi kum "fuck"😟 ndio maana mnafungiwa😟
Huyu hajielewi huyu.
Coments full of hates, cjui kwann jmn mbna pisi iko pw 😎😎
Huyu dada sio mkweli anaongea ongea2 like haji elewi eti kasomea uandishi wa habari mmh
Wewe ndio unamjua baba yake tuambie
Kasomea kweli nimesoma nae
Ila ana tafta kiki tu coz ni video vixsen
Kwani kusomea uandishi Wa habari ni sh.ngapi?
U guys be serious jamani
Yeye mwenyewe na mama yake ndio wanaomjua baba, Mw engine yeyote atatuongopea
Anacho ongea ndio changamoto 😂😂😂
Kwann msimfuate huyo baba ili tujuwe ilikuwaje mpaka tukajuwa
Nimependa nywele yake..sijui wjuzi mtujuze inaitwaje hiyo rasta
Ni uzi uwo
Wanasema ana Mtoto mmoja Malkia Caren Na Msibani Sijamuona
Ndio hapo sasa
Hujamuona ama haumjui yupo since day 1
Du! Hajapita nae kweli?
Mbona hukutajwa .kwenywe kuwa GADNA kaacha mtoto mmoja na .ni Malkia CAREN na mjukuu mmoja tuu wewe jack hujatanjwa.
Mzuri
Kindevu kina sema yote huyu H habarsh kambisa
Wamefanana sana
Pisi kali saana
Uandishi wa habari baba ake akumpa shavu😂😂😂 ila bongo
Huyu binti ana wakati mgumu sana, Kuna vitu hataki kuweka wazi vinahusu familia, au huenda vitamdhalilisha baba au mama lakini hasa pia analinda heshima ya baba mlezi, hivyo anashindwa kuvipangilia vizuri anakuwa na mzigo mzito ambao hakuutengeneza yeye. Ila ukimsikiliza utangundia anapata shida kusema jina la baba yake kwa sababu alipoingia shule aliandikisha Jina la baba mlezi sasa leo anasemaje jina la Gardiner, ni mjasili sana huyu binti na anaumia sana. Hongera binti mtangulize Mungu yote yatapita.
Wewe die ulie muelewa kama mimi na ukizingatia baba mlezi die kamsomesha kapambana nae hadi hapo ameaza kujulikana kuna baba mwengine ni kanzi nayo ningum kutamka jina la babayake mzazi
Sio baba ake mzazi acha kujifanya mjuaji kwenye familia za watu
Je baba alikutambua vipi kama wewe nimtoto wake
Namama yako aliwahi kukwambia gardner nibabako
Huyu binti anataka kwenda mjini sikia background yake. Angekuwa anajali kuhusu baba mlezi asingethubutu hata kuliongelea hili kwenye media. Anaweza kuwa mtoto wake au sio.
Kwan huyo gadna hakua na kizalio yeye c ndo anawajua wanae
Wanefanana na g sana
Ata ukiwaangalia dada zake gardiner mulemule
ujasoma bana usitufukeeeeee
Wewe kama ujasoma una ona nikila mtu aja soma
umesoma Sehem za moshi shule ip?
Anafabana mbona
8:22 8:27
Hajasoma muheza Muslim amesoma Mbaramo sec 2008-2011
Muheza Muslim amesoma tena nimesoma nae darasa moja anaitwa jack George kinimba
Nimesoma nae Muheza Muslim anaitwa Jack George Kinimba
Mbaramo ilikuwa imesha kufa huo mwaka, hajaikuta mbaramo sec ,
Basi na muheza muslim kasoma nimesoma nae
Oooooh....mtotrooo
Safi sana Dada
Huna lolote hujasoma mbona husemi baba yako ni nani wewe fara tu amekufa ndiyo unajidai mbona ana mtoto 1 Kareen
😂😂 Vivian angalia vizuri hii video ni ya miaka mitatu iliyo pita 😂kwo relax😅
😂😂😂😂
Interview ya zamani hiyo kaka
Wa kwanza
Mashauzi mengi sana alishindwa kujieleza vzr sasa kaumbuka baba hauyupo tena duniani
KISA CHA MTU ALIYEUWA WATU 6 WA FAMILIA YAKE KISA KAOTA NDOTO
ua-cam.com/video/fk-ypuJrAgw/v-deo.html
O level umemalza 2015??? Na advance?? Na kumaliza chuo kiaje?? Mbona sielewi?? Alafu certificate ni mwaka mmoja diploma miaka miwili ujue mbona sielew hapo??
Inawezekana inategemea kam unapesa kuna shule za jion kwa mwaka mmoja na vyuo miezi sita
@@allthingdranabeauty kuna QT najua ni miaka miwili, ila kasema 2015 ndo amemalza na wapi kuna advance ya mwaka mmoja ulisikia wapi ndugu??? Alafu pia diploma ni miaka miwili sio mwaka mmoja kama certificate fuatilia vzr utajua
Certificate n miaka miwil afu wa tatu ndo wa diploma
@@linahmaxha9005 anhaa atleast hapo sawa
@@praisekavywew uelew ata, anasema alisoma mwaka mmoja shule ya masista o-level and not h-level means alirudia lasaba nilivoelewa.but h-level ya mwaka mmoja ipo kama ulikua ujui
Mtoto wake wa hiyari sio damu yake ila Leo tumeerewa
not tumeerewa is tumeelewa sawa nuru
@@yudadaniel4867 😂😂😂😂😂jaman jaman
@@yudadaniel4867 ha ha