Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
Вставка
- Опубліковано 27 кві 2024
- Mary ameeleza safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kupata Mzungu, alitoka mwanza kwenda Arusha kutafuta Mzungu. Alikutaka na wazungu wa honyo lakini mwisho akakutanana na ambae bi mume wake na sasa anaishi Belgium.
Alinyanyasika na kudharaulika sana na kuitwa maijina mengi mabaya kutoka kwa familia lakini aliwaacha mdomo wazi baada ya kufunga ndoa.
Thank you Mary for allowing this to be online
www.oda.international
Tiktok: mickymary
A office dating assistance
Oh! OK; and what makes you " offucial" are you elected or appointed by a body or some authority to provide assistance?
Hi
Hello madam
Im from kenya Pia Mini niko Germany nataka siku moja nitoe Safari yangu nilipo Anzahl mpaka kufika ulaya
Shera Mungu akubariki Asante kwa kwa kuanzisha shuhuda hizi sinazo husu maisha,sinatufundisha sana,dada msukuma umenikumbusha mengi nilipitia magumu yanaendana nayakwako kidogo japo yanatofautiana, Mungu nimwema sana ametuvusha kwa mengi.
Wewe ulipenda upate mzungu mbali hukuomba Mungu akupe mwanaume mzuri sasa maji kayavulia nguo yaoge tu. From Kenya 🇰🇪
Pole ssna kwa mapito uliopitia ila marafiki sio watù wema maana ukiwasaidia matokeo yake wakakusaliti Mungu akutunze daima
Waooo mwanetu mtoto wa kihaya hongera sana mwenyezi mungu awatangulie
Pole sana kwa mapito Mary na Hongera mno kwa mafanikio ya Ndoto zako. "Baada ya dhiki faraja'.
Interview nzurii,asante Mary. Hongera pia,uko kwenye honeymoon period Enjoy❤
Asante sana Shena. Mimi nina miaka 52 nimekuwa nikikufuatilia sana story zako nami Mungu kunijalia nimepata Mume mtarajiwa . Asante sana.
Hongera sana sana
Glory to God
Karibu sana kwa kipindi 🥰🥰🙏
Glory to God❤❤asichoweza Mungu hakipoo💪🏼👏👏👏🙏🙏na ikawe yenye kheri Amen
Umepata kupitia mtandao upi mamy tujuze
Hongera sana Mungu akutangulie
Hongera
Kumbe huyu dada hiki kitu kiko kwenye damu yao
Baba ake akishakuwa na mzungu😮
Shangazi wote wameolewa na wazungu
Safi sana
Shena hongera kwa kazi yako nzuri
Nilimpata mmoja ni kituko and am glad am a mama of one beautiful baby girl, still waiting for God's time right now. I will find a white man special for me.
Shoga yangu Mary hatimaye.... this interview was so good 😊
Yes dear😂🎉❤
Hongera sana mwanangu ulipambana Mungu aku simamie ndoa yako idumu milele na mafanikio pia
Hayo maisha sio salama kabisa huo ni udangaji na wazungu kudanga kisa kuolewa na mzumgu
Hongera sana. Ushauri mzuri ❤❤❤👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏽🙏🏽.
Wewe msichana shunjaaaaa oyyyy nakupenda msichana mzuri sana KBS 🥰👍👏🔥
Duniani Mapitoo jamaniii lakini Mungu ndie kimbiliooo
Ahsante kwa maelezo ya upendo
Nice story
Aisee hongera sana dada yetu
Ushauri wangu wasichana msitamani maisha ya Mary muache tamaa Mary anacheka tu lakini amepitia magumu sana hayo sio maisha
Kila mmoja ana namna yake,mapito yake
So hatuwezi fanana mapito na Kila kitu
Kwa kweli tamaa mbaya
Nimependa love story yako, hongera sana 💐🌺
For her it's in her family line cause all her aunties are married by white people so it's a patter,so for her it wad something of sure bet.Tutasema ni mathabau ya ukoo.
Yes Iko kwenye damu
amesema baba Ake aliwahi kuoa mzungu,mfinland
Rafiki sio watu wazuri bora uwe peke yako hatupendeleani mema kwa kweli
Haqika, mufaransa husema “ mieux être seul que mal accompagné “
Mimi nimeamua kutokua na marafiki.maraki wanawivu sana..
Ila wabongo washenzi sana.na wanawivu na wanapenda sana
Mungu Awabariki wewe na Family yako.
Ubarikiwe sana mrembo ❤❤❤
Asante kwa elimu yako,kupima iwe kanuni
Shena wangu nakupenda sana kipenzi,hongera kwa kazi nzuri😊
Lovely story
Dada shena ni mtulivu na msikivu pia😊Mungu akutunze
Hongera
Hongera dada nimependa unawapa mda wa kujielezea story zao.....😊
Wow wa kwanza kucoment
Jamaani msukuma kabisa mpaka anavyo ongea 😂 wakukaya
😂😂😂confidence hana masikin ila amepitia changamoto nying yan 😢haya maisha ad utoboe jua umepitia meng sana
Na muhaya pia
Ila wasukuma na Sisi 😂😂na Mimi nijnitoe story yangu mpaka kupata ndoa na mzungu😅😅
Nakupenda Marry wangu 🎉🎉🎉🎉
Mungu alikuwa tayar amekupangia. Ongera sana na pole kwa changamoto ulizopitiaa. Nitafutie na mm mthungu sasa
Hongera
Umefunguka umesaidia wasi hana wengine maana. Mhhhhh.ni kipengele TZ😊
😂Mery anachekesha. Lakini Mashaallah kapambana hasa ❤
Hakika anachekesha
❤wewe unatisha KBS waliku pendaga saan 🥰😊👍
Yaaani sisi watu weusi sisi hatupendaniiii 🙈🙈
Pole sana msichana 🫢 nihatari kbs dunia Kwisha KBS ndodunia hiyo mzunguko ila mngu anaweza yote 🥰
Story nzuri
Nampa ongera sna kwa kutimiza ndoto yake
Pole na hongera dada
Anaeleza vizuri
Mpaka haya kazi njema
Merry ananifurahisha kuwapa na ukoo wote 😅😅😅
Ana aibu mashaalllah 😂🤣
Hongera Mary
Wakukaya mayoooooool😅❤
Hongera dada.
Inter view nzuri sana
Hallo Shena hongera sana kwa kipindi chako
nielekeze jinsi ya kudownload Tinda
Hongera kwa Hilo dada,,xaxa tufanyie connection ya kazi huko
😂
Hayo maisha ya shida nila Zima tupambane nakia njaribu huku kuwa kitu ninacho endelea kupotrza wavinjana wa easichana mnayatizo KBS 👏😊
Dada napenda sana kipindi chako wow ni mimi Simba Abdul Amsterdam Holland
Anafanana kama mama Tibaijuka.
🤭 wewe nawe 😂
Ni kweli😊
Na yeye ana damu ya kihaya
Ndiyo
😂
Mimi naitwa Erick wa Arusha Fanya mpango tupate connection ya kazi
Jaman ninempenda merry anaongea vizuri
Nimpenda merry dada
Mm naomba mungu nipate tu mume wa maisha yangu anisomeshe kingereza maana simua na wakunisomesha nimeishia la saba
Wazungu,naukai,hata vile unakaa,you are beautiful when they are using you
Wanawake pasua kichwa
Wakokaya olemhola😊
The time you pray God for marriage just tell God the type of a man you want because when you call God to give you a husband he can give any man sababu uja sema ni wanaume mgapi ata mlevi utapata juu haja yako ni bwana 😂 monicah from kenya 🇰🇪
Hongera..kuhusu club...nadhani ilikuwa ni njia yakutafuta kumpata mtu anayemuhitaji tu..but pia kila mtu anahaki yakuwa na yoyote tu
Sielewi kwanini wadada wanapenda sana kushea mambo yao na marafiki. Jifunzeni jamani.
❤❤❤
hahaahha mary bana huyu dada nmesoma nae chuo kimoja ata sishangai 😂😂😂😂
Hongera binti wetu karibu europe bienvenue
Na mi niko france huwa na kuja Belgique nikija natakutafuta
Je te souhaite beaucoup de bonheur dans ton foyer
Félicitation
Coralie
Kweli binti yetu umepitia mapito hongera saana
Mm huwa nawapenda wazungu jaman
🤝🙏🏻
Pole jee huku waita wote. Inamana huku njuwa mapema wazingu sio wema ni ukweli KBS ushauri mzuri sana USi muaminie mtu awaye yote KBS 😊🥰
Hatimae nimemuona ndugu yangu wasukuma oyeeeeeee
Oyeeeeeeee nipo hapa na me Nina mzungu wasukuma tuna nyota na wazungu ❤
Nimependa utambulisho wake huyu dada, "Kwa jina......"
😍😍🥰
Nimekupenda sana bi mery unaongea ukweli nimependa icho kitu,ukweli ukweli ❤
Wahaya ndivyo tulivyo hata mm kwenye posa walikula had leo hawasahau kwetu hakuna shughuli ndogo
Nitafutie na mm Mzungu kwa kwelii
Jama Mary kumbe Mama yako ni Mhaya! Duh! Nimefurahi mno! Na mimi natoka BK.
Mwenyezi mungu akutangulie
Ni history kubwa dada 😂😂😂🤣🤣
Je Tinder alilipia....shena hilo swali unasahau kuuliza
Kwahiyo. Mzungu ni mmebergium
Hapo kwa club na waterfalls, afu mtu anasema alikuwa hadangi😢😢
Kwa hiyo kwenda club ndio kudanga? Sasa unatafuta mchumba wa kizungu si utampata waterfalls, mbugani, club, hotel, beach, etc ? acha negativity mzungu humpati sokoni wala buchani
Inatakiwa ujiendeleze kimasomo dada angu usibweteke
Mimi navyopenda mwanaume mweusi (wa kiafrika) kwakweli mzungu mimi hapana kabisa.
African napenda naroga wazungu.😎🇺🇲
Can someone tell me 8n what way is the sister an " official" dating assistant. Has she bern appointed by a body or authority that is responsible for dating/relationships; or an appointed agency of such (if there is such). And please can someone tell me what is "ordery love story"?. What is ordery?
ODA Real Love Story
ODA - Official Dating Assistance
Kwa nia nzuri. Nashauri anaotafuta, waume wawe wanapima afya kabla ya kukubali kujamiiana. Maana tangu nimesikiliza watu tofauti tofauti hapa sijawahi kusikia mtu anasimulia tukafanya vipimo kwanza vya magojwa hasa ukimwi. Kama huwa wanapima ni vizuri. Shena unafanya vizuri kuelimisha watu. Na unajua kumsikiliza mtu anajieleza mwenyewe. Humkatishi mazungumzo yake hivyo stori inanyooka vizuri. Na unajua kuuliza maswali vizuri.
Ushauri mzuri sana.. Shukran 🙏
Kabisa wengine hawajui ku intaview wanakatisha mtu maneno intaview inakuwa gumzo tupu
Hakika
Sema pia da shena Kuna watu ANAKUWA free sana na Kuna baadhi ANAKUWA SI comfortable sana but bado da shena anafanya vizuri
Yaani kwakweli mimi huwa nasema mara zote hapa,shena ni msikivu na mtulivu sana,anajua kumskiliza mtu na anauliza maswali vizur sana,yaani mskilizaji unaelewa kwa uzur kabisa aisee tumpe maua yake🫠
Mashuka ya guest ndomana yamefubaa kumbe mnayapondaponda😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅
😂😂
❤😮🎉
Masela njooni hapa msikilize ujinga za wanawake hapa
Si tuko nap ila hawa eleweki KBS 👏 hiyo niu shauri mkubwa kwetu njamani 👏
Dada shena nakupenda huna papara unamuacha mtu anajimaliza mwenyewe wengine wanaingiliaga katikati
Mwanamke kujitongoza kwa mwanaume SI Tania yetu kwa Mtanzania
Meri nitafutie Mimi mwanaume wakizungu Mimi na penda kuja niwazae watoto wa kizungu wazuri vigezo kufunga ndowa kutolewa kishika uchumba na mahali pia utakuwa mfafanuzi wangu wa kingereza nahivo unaonekana unaroho nzuri ni fanyie hivo meri
Wanaume wakati mwingine tunapitia maisha magumu kwa sababu ua wanawake
🤣🤣🤣🤣🤣 alikuwa anapenda watoto jmn lkn dah ila ndoto ya mtu haifi
Hata mm natamani mzungu jamani lakini hii process duuh!!naogopa matapel wa ngono
Ni wengi mno matapeli ila ni kuomba Mungu utapata