M/Mungu amelinyanyua jina lako kwa sababu ya kuipigania Haqi "{Namuomba allah aliye shinda na kutukuka akuthibitishe ktk Haq nawala asikuwache peke yako.
Mashallah sheikh mohamed bachui endeleya na darsa tubate elmu kwanza umetuba elmu tumerekeys kwa hagi baulid tumewa nacwengi wamewata na hawa wangune wanskuyukana watakuja kujuwa hagi Allah atawsba imani kujuwa injuya za hagi
Bachu أسأل الله الكريم رب العرش العظيم أن يتولاك في الدنيا والآخرة وأن يجعلك مباركا أينما كنت وأن يجعلك ممن إذا أعطي شكر وإذا ابتلي صبر وإذا أذنب استغفر جزاك الله خيرا وبارك الله فيك
Sheikh Mohammed bacho Kwanza kupa hongera Kwa kutoa darsa kubwa Kwa watu wenye akili salama wamekuelewa. Pili nakuombea Kwa Allah akulinde na akupe mwisho mwema.
@@sharifuburuhani1969 Sasa hao waiokimbia wamethibitisha wanyama waliongea wakati mimba ya mtume imeingia. Nawewe pia hukusoma ndio maana una tawaliwa kifikra
Sheikh Mohammed bacho Umetufumbua waislam wengi sana asilimia80 tulikua tunadanganywa Lakini Allah amekuleta wewe ili utuoneshe njia sahihi Allah akulinde na mafasiki Akuongoze njia sahihi utumbue Majipu Kwa ajili ya kutegemea radhi za ke
IBADA ASOIJUA ALLAH(S.W) WALA MTUME (S.A.W) WALA MAKHALIFA,WALA ASHARA AL MUBASHIRUNA,WALA MAIMAMU WANNE,WALA WEMA WALOTANGULIA...... ALLAH AKUPAMBE KWA UMRI NA AFYA TUZIDI KUFAIDIKA SHEKHE LETU
Una uhakika Allah na mtume Mohamed (S.A.W) hawajue umma wake watakuja kusoma MAULIDI? Yanayo fanywa katika MAULIDI hayakufanywa wakati wa mtume (S.A.W) NA maswahaba
@user-hr9kb7ev1i Allah ni mjuzi wa kila kitu, na mtume pia aligusia kuwa kuna zama watakuja watu kumzulia na akatupa onyo, ndo haya twayaona ya maulid na tawasul za kumshirikisha Allah kupitia mtume, tumewaona makhururafa mara ngapi wanampa mtume SAW vyeo visivokua vyake
Kumbe Leo nimewajuwa wengi Mashekh wanasherekea Maulid kwa sababu tu kijana mdogo ambao wengine wanamzaa wanamsema vibaya kwa ajili tu Ya Mawlid Kwa kweli Sheikh Bachu uko juu endelea kufundisha Sunnah mpaka kieleweke
Mimi ni Mkristo ila kwa kweli napenda jinsi ambavyo Muhammad Bachu anadadavua swala la Maulid. UKWELI usemwe. Nakupenda kwaajili ya Allah Sheikh Bachu. Love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@@aliHassan-my7jvsio vizur, waislam hatupo ivo, unamwita mtu mnafiki Kwa kipi!?, Yan mkristo anaelewa kua jambo la maulidi ni hakuna Kwa sabab yeye ana tumia akili, na wewe uskaze kichwa skiliza hoja na ufate haki acha ushabiki
Kwanza bachu hapo anafanya bidaa mtume wapi katoa khutba ya ijumaa Kwa lugha nyengine zaidi ya kiarabu na khutba ya ijumaa ni ibadaa khatibu lazima awe na udhu toa hadithi mtume au abubakara au Omar alitoa khutba ijumaa Kwa lugha nyengine yoyote zaidi ya kiarabu
@@abdallahally842naam Hawa mawahabi hawajui maana ya bidaa katika dini. Bidaa ni ibada au kitu kilichokuja baada ya Mtume Mohamed Rehma na Amani iwe juu yake.kila kitu tunachotumia kufanya ibada havikuwepo na Mtume hakuvitumia.Quraan tukufu ilivyo andikwa na Irabu iwe rahisi kwetu sisi kusoma,juzuu zilizo orodheshwa toka juzuu 1 mpaka ya 30 istitoshe aya ya kwanza mpaka ya 114. Leo iko train toka Jedda to Makkah to Madina badala ya farasi na punda,…….. Vyote hivyo havikuharamishwa lakini Maulid. Eti tunamsingizia uwongo Mtume Allah awasamehe Hawa majahil
Allah akulinde endelea kuelimisha ila mm naomba masheikh msiwe mkiongelea bidia na uongo wa barzanji tuu kwenye wa mwezi huu ila wewe hata baada ya msimu huu kwenye khutba zenu kueni mkikumbusha uongo huu
علامات محبة الرَّسول ﷺ : ١- الإيمان بِهِ ﷺ. ٢ - تقديم محبته على محبة النفس والولد والوالد.. ٣ - تقديم طاعته ﷺ على طاعة غيره مِنَ المخلوقين. ٤ - تقديم طاعته ﷺ على هوى النفس وشهواتها. ٥ - اتباع سنته والاقتداء بِهِ في أقواله وأفعاله. ٦ - تصديق أخباره وأقواله. ٧ - كثرة ذكره ﷺ والصلاة والسلام عليه . ٨ - الدفاع عَنْهُ وعن سُنَّته ﷺ . ٩ - تعظيمه وتوقيره ﷺ حيَّا وميتًا . ١٠ - مولاة أوليائه وبغض أعدائه ﷺ. ١١ - تمني رؤيته ﷺ. ١٢ - عَدَم رفع الصوت في حضرته ﷺ. ١٣ - عَدَم رفع الصوت عِنْدَ سماع حديثه . ١٤ - عدم رفع الصوت في مسجده. ١٥ - عدم ذكر اسمه ﷺ مجرداً. ١٦ - الصلاة عليه ﷺ عِنْدَ ذكر اسمه. ١٧ - مطالعة سيرته ﷺ ١٨ - الغيرة له وعلىه وعلى شرعه وسنته. ١٩ - الغضب إذا نتقص منه ﷺ وبذل النفس فداء له. ٢٠ - عدم ذكر مَا يُزري به ﷺ
mashallah baraka Llah fiikum Munaqasha wa Tanga na Momnasa , huku kwetu umeleta ATHARI KUBWA sana . Watu wengi wameanza kuifuata Suunna Leo kila kijana akıwambia MAULID! Atakuuliza wapi dalilii!!!
Mashaykhi wa maulidi acheni wivu na mtoto wa mwenzenu jifunzeni kupitia huyu mtoto anatisha kwakweli mm ni mtoto mdogo ila nimeingia kwenye sunna mwenyewe kwa mawaidha ya mtoto wa vachu
Ma shaa Allah walllah tumekuelewa mia mia na hoja zako ziko wazi. Allah awaongoze wote walio tawaliwa na nafsi nyoyo zao azilainishe sababu ni ngumu kuliko mawe au zaidi ya mawe .
NDUGU YANGU IBNU BACHU NAKUNASIHI SANA UCHUNGE ADABUL IKHTILAF LEO KUNA MAMBO MENGI MUHIMU YA KUZUNGUMZIA AMBAO NI MUHIMU MNO USISHUKULISHE NA MAULIDI TUSIWE KAMA WANASIASA FIKRA YAKO NI WAZI HESHIMU FIKRA YA WENZAKO SHUKRAN
Ktk Uislamu hakuna fikra za binafsi ni Qur'an na Sunna tu, ukifanya usafi unaanza ndani kwanza, hayo ya ushoga yako wazi maasi yake. Shk Bachu yuko sahihi kabisa.
Kila mtu afanye kazi kwa nafasi yake. Ndio Maana unawaona kina Mazinge wanapambana na wakristo ukiwaleta huku hawana hiyo elimu ila vifungu vya biblia vimejaa. Wafanya kazi kubwa sana. Na wengine wao ni wataalam wa maswala ya historia wengine wao ni wataalam wa lugha, wengine wao ni Qur'an n.k kwahiyo usitake Bachu aongelee kila kitu wakati wapo wengine pia kila mtu afanye kwa nafasi yake.
Hakuna khilafu juu ya Maulid bali khikaf iko kuna wanaofiata matamanio ya nafsi na kuna wanao fuata haki tulikuwa masufi kama ninyi msijaribu kuturudisha huko tumesoma kama ninyi mnaturudisha katika upotevu tena jamani?
Kua na dabu wewe pia sababu hata wakati wa mtume muhammad saw unataka kusema walikua wote wakifanya kazi moja tu? Kuna wengine walienda pigana jihad wengine walienda lingania dini kivyengie wengine wakawa askari wa nyumban kwahyo achaneni na Bachu kama mnaumia mshtakieni Allah tuu ndio kila kitu.
@@omarchaijefwa729 Sasa Uzuka wa maulidi unaingiaje ktk ikhtilaf? Wanyama waliongea ilivoingia mimba ya mtume (s.a.w) ni urongo, km ni kweli wathibishe basi😅😅😅
Hakika maana na sis wengine ndo tulikua wapiga madufu lkn saiv mm binafsi kupitia bachu na Dr. Islam kw uwezo wa allah nimeacha maulidi na aina zingine za uzushi
Alhamdulila nimepata kujifunza kitu kutoka kwako, sikuwa najua zaidi ya haya.allah akupe umri mrefu na atuongeze walimu wengi kama wewe wenye msimamo huu insha'Allah
Acha ushetani kama uko nayo wewe hayo mengine tufunze lakn achana na Bachu manake twarika na team ya maulid imeoza hata afadhali WAKIRSTO sasaivi unawezakumlingania na akakuelewa
Mashallah shekh Allah akulipe kheri kwa jitihada zako hawa watu wa bidaa wanatamani ardhi ipasuke wajichimbie chini na ukitaka kujua hilo angalia comments zao ni matusi tu ila kazi wanayo kichwa kimoja tu kinasumbua Afrika mashariki wanapokezana vijiti tu leo huyu kesho yule na bado wanafyata mkia. Allah akulinde wewe kizazi chako
ASSALAM WAALEIKUM SHK MOHAMED BACHU ASIYE TAKA KUKUELEWA WALLAHI HUWEZI KUKUELEWA KWA SABABU YA HAWAA ZAO LKN USICHOKE KUWAELEZA WALLAHI HAYA YOTE ULIYO YAELEZA HAWAWEZI KUYAJIBU NA HII NI CHALLENGE CHALLENGE KAMA KWELI WAO NI WATU ILIMI KAMA WANAVYODAI KINA D.J WAJIBU
Shekhe yote unayosema nisawa swali nani kamzulia urongo nachukizenu munajiita watuwasunna nahali niwatu wakujivuna Hali inazungumza kabla ya maneno hizochuki bali jengeni uwelewa
ni kweli kwasababu m/mungu anaaema kua hakika ya wale walioamini na kutenda matendo mazuri ni wachache.kwaio kupitia aya hii watakao kua ktk haqi ni wachache na watakao ktk batwil(maulid) ni wengi.
Maulid yanachakaa kila siku. Sisi tunaopinga leo tulikuwa twayatetea kabla na watu akili zinafunguka, ni kweli yataendelea kuwepo lakin kasi itakuwa ndogo sana masna nakumbuja miaka ya 87 moaka tisini na kitu yalikuwa na nguvu sana na lilikuwa jambo la kitaifa na kila kijiji kila nyumba ya muislam lakin linepungua kama asilimia 75 nzima imekatika bado 25 na hii ni kutokana na muamko wa watu kusoma na kujitambua na kuwacha ushabiki wakat wa kusoma.
Hii ni jihad maana watu wamefuata matamanio badala ya haki na kuthubutu kubishana tu kwa maslahi ya matumbo na hishma zitakazokwisha punde (majina) na Allah hawaongozi madhalimu ambao wanafuata matamanio yao bila haki na kukata mauno. Kama maulid ni halali angetoa hoja na kuingia katka barzanji kwa kutoa ushahid lakin matamanio ya nafsi zao. Niambien imama shafi alisema kama akifanya maulid au malik wakikatika vipi? Viuno vinatakiwa viende kushoto kulia au juu kwenda chini au chini kwenda juu na maulamaa wakakhitalifiana hilo? Wazee wazima waislam wanafanya aibu sana kwa kweli aibu sana mpaka nawashuku akili zao hazipo sawa. Kukatika ni kukatika tu hakuna mahali muwakataze wanaofanya mauno ya matusi katika maulid maadam hamna dalili ya hayo muyatendayo
Mbinu waloitumia masufi kukwa isha munaqasha ni ile walokuwa wakitumia wayahudi kutaka nabii S.A.W aonekane kama muongo wamdhalilishe. Ati wanadai kwenye comment sheikh Bachu kapata kichapo. Kichapo kipi? Mbona hapakuwa na swali pale zaidi ya ubabaishaji? Hivi nikikuuliza ati toa ushahidi kwenye Quran mahali andazi limetajwa kwa jina kuwa ni halali kuliwa ili tuendelee na munaqasha hilo ni swali la kielimu? Wallaahi naye Said akiulizwa ataje mahali alonakili hadithi munkar anaitwa mkweli hana. Hayo mazwaki yanaitwa ya kupoteza muda, au ninyi washabiki jibuni. Sio kila swali mtu anaulizwa na hali muulizaji mwenyewe pia hajui jibu hii ilikuwa ni trick walokuwa nayo wayahudi kutaka tu sio kuelewa bali kushindana na mtume S.A.W aonekane sio, wayahud ndio tabia yao tangu zamani kwaushahidi huu { هَـٰۤأَنتُمۡ هَـٰۤؤُلَاۤءِ حَـٰجَجۡتُمۡ فِیمَا لَكُم بِهِۦ عِلۡمࣱ فَلِمَ تُحَاۤجُّونَ فِیمَا لَیۡسَ لَكُم بِهِۦ عِلۡمࣱۚ وَٱللَّهُ یَعۡلَمُ وَأَنتُمۡ لَا تَعۡلَمُونَ } [Surah Āli-ʿImrān: 66] (Enyi Watu wa kitabu) Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.
Napenda kuwakumbusha msisahau kabisa kuzungumzia haya ma ziara ya Kwenda makaburini kila siku kwa shangwe na ngoma watu kwenda kufanya shirk. Ni msiba mkubwa huu.
Hakika kifo ni ukumbusho kwa kila mwenye kukumbuka kama wnaenda na kuwafanyia dua hkuna shida yoyote piga goti soma mwenyewe uckukubali kusomewa shukran
elimu ni taufiq ya allah wau wanadhani ukiwa mdogo huwezi pewa elimu laa wallah Kama sio hivyo mtume wetu asindepewa utume ilhali kulikuwa na watu Bora kuliko yeye
Huu ndio uongo wanao rithishana kizazi baada ya kizazi, wakidai wana mapenzi kwa Bwana Mtume Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama!!! Lakini kwenye vitendo niziro. Allaah akupe nguvu na ujasiri huuhuu wa kuitangaza Sunnah na kuikanyaga Bid'ah
ابوهریره رضی الله عنه روایت است که رسول الله صلی الله علیه وسلم فرمودند: «مَنْ رَآنِي فِي الْمنَامِ فَسَيَرَانِيِ في الْيَقَظَةِ - أوْ كأنَّمَا رآنِي في اليَقَظَةِ - لا يَتَمثَّلُ الشَّيْطانُ بِي»: «هرکس مرا در خواب ببيند، در بيداری نيز مرا خواهد ديد - يا گويا مرا در بيداری ديده است؛ - شيطان نمی تواند خودش را شبيهِ من کند».
M/Mungu amelinyanyua jina lako kwa sababu ya kuipigania Haqi "{Namuomba allah aliye shinda na kutukuka akuthibitishe ktk Haq nawala asikuwache peke yako.
Mashaa Allah shekhewang.
Allah yupo pamoja na watu wenye kusema ukweli na kuongoza katika haki .
Mashaa Allah sheikh Mohammed bachu Allah akuongoze katika kutetea haki usiache akhy katika kutetea haki
ماشاء الله تبارك الله يا اخي محمد باشو..... الله يحفظك ويبارك فيك ويطول في عمرك أحبك كثيراً في الله ..... استمر الله في هدايتك وهدايتنا
Mashallah sheikh mohamed bachui endeleya na darsa tubate elmu kwanza umetuba elmu tumerekeys kwa hagi baulid tumewa nacwengi wamewata na hawa wangune wanskuyukana watakuja kujuwa hagi Allah atawsba imani kujuwa injuya za hagi
Allah hafidh ya sheikh Allah akuwezeshe kuitetea sunnah na kupinga maovu
Mashallah mashallah mashallah Allah akuhifadhi tunakupenda sana Muhammad bachu
Bachu
أسأل الله الكريم رب العرش العظيم أن يتولاك في الدنيا والآخرة وأن يجعلك مباركا أينما كنت وأن يجعلك ممن إذا أعطي شكر وإذا ابتلي صبر وإذا أذنب استغفر
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك
اللهم آمين يارب
اللهم بارك له في الأمور كلها
ALLAH AKBAR HIZI NDIZO KHUTBA TWAHITAJI KUPEWA KILA LEO ZIDNA ILMA WARUZUQNA FAHMA NAFIAN
اللهم امين
Mimi kwakweli nampenda sana huyu kijana pamoja na babayake wallahi hayupo duniani ila kama yupo ametuachia faraja ya mtoto mwema 😢😢😢
Hupo sahihi kabisa
Allaah azidi kumuhifadhi kwa Neema zake
Amein
Mimi pia nampenda sana shekh huyu inshallah
@@zulfahussein6784😰😰😰😰♥️💓
Sheikh Mohammed bacho
Kwanza kupa hongera Kwa kutoa darsa kubwa Kwa watu wenye akili salama wamekuelewa.
Pili nakuombea Kwa Allah akulinde na akupe mwisho mwema.
@@sharifuburuhani1969 Sasa hao waiokimbia wamethibitisha wanyama waliongea wakati mimba ya mtume imeingia.
Nawewe pia hukusoma ndio maana una tawaliwa kifikra
Sheikh Mohammed bacho
Umetufumbua waislam wengi sana asilimia80 tulikua tunadanganywa
Lakini Allah amekuleta wewe ili utuoneshe njia sahihi
Allah akulinde na mafasiki
Akuongoze njia sahihi utumbue
Majipu Kwa ajili ya kutegemea radhi za ke
بارك الله فيكم وحفظكم الله ورعاكم ويرضى الله عليكم ويسعدكم في الدنيا والاخرة يارب اينما كنتم يااحبابي في الله
IBADA ASOIJUA ALLAH(S.W) WALA MTUME (S.A.W) WALA MAKHALIFA,WALA ASHARA AL MUBASHIRUNA,WALA MAIMAMU WANNE,WALA WEMA WALOTANGULIA......
ALLAH AKUPAMBE KWA UMRI NA AFYA TUZIDI KUFAIDIKA SHEKHE LETU
Una uhakika Allah na mtume Mohamed (S.A.W) hawajue umma wake watakuja kusoma MAULIDI? Yanayo fanywa katika MAULIDI hayakufanywa wakati wa mtume (S.A.W) NA maswahaba
allah akbar.
@user-hr9kb7ev1i Allah ni mjuzi wa kila kitu, na mtume pia aligusia kuwa kuna zama watakuja watu kumzulia na akatupa onyo, ndo haya twayaona ya maulid na tawasul za kumshirikisha Allah kupitia mtume, tumewaona makhururafa mara ngapi wanampa mtume SAW vyeo visivokua vyake
Mashaallah namuomba Allah akuzidishie elimu yenye manufaa nasi tuzidi kufaidika kutoka kwako na viongozi wengine wakisunnah
Allah akuzidishie subra na akupe malipo mema inshaallah
Mwenyizi mungu akupe umri mrfu shekh
أسأل الله أن يبارك لكم في حياتكم ويكتب لكم الخير ويوسع أرزاقكم ويهبكم الصحة العافية ويجعل لكم في كل أمر يسر وفي كل رزق بركة ويرزقكم نعيم الدنيا الاخرة
Kumbe Leo nimewajuwa wengi Mashekh wanasherekea Maulid kwa sababu tu kijana mdogo ambao wengine wanamzaa wanamsema vibaya kwa ajili tu Ya Mawlid
Kwa kweli Sheikh Bachu uko juu endelea kufundisha Sunnah mpaka kieleweke
Mimi ni Mkristo ila kwa kweli napenda jinsi ambavyo Muhammad Bachu anadadavua swala la Maulid. UKWELI usemwe. Nakupenda kwaajili ya Allah Sheikh Bachu. Love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Acha unafiki mkristo na maulidi wapi na wapi
@@aliHassan-my7jvsasa unafik gan maana ake anamfuatilia inaweza ikawa ni neema ya kumuingiza katika uislam
@@aliHassan-my7jvebu soma kwaza hilo jina lake kabla yakumwita mnafki
Tumia kauli nzuri kwaajili ya Allah
@@aliHassan-my7jvsio vizur, waislam hatupo ivo, unamwita mtu mnafiki Kwa kipi!?, Yan mkristo anaelewa kua jambo la maulidi ni hakuna Kwa sabab yeye ana tumia akili, na wewe uskaze kichwa skiliza hoja na ufate haki acha ushabiki
Bachuu wewe n kiboko wa masufi nakupenda kwa ajili ya allah endelea kuwanyoosha watakuelewa tu!
Lugha za kujifariji
Bachu ni kiboko ya wazushi, Allah ampe umri mrefu na afya na amani na adumu katika kamba ya Allah.
Kwanza bachu hapo anafanya bidaa mtume wapi katoa khutba ya ijumaa Kwa lugha nyengine zaidi ya kiarabu na khutba ya ijumaa ni ibadaa khatibu lazima awe na udhu toa hadithi mtume au abubakara au Omar alitoa khutba ijumaa Kwa lugha nyengine yoyote zaidi ya kiarabu
@@abdallahally842Mhh kwakweli kumbe kuna watu ni maboxi. Mimi nimekuona wewe ni miongoni mwao
@@abdallahally842naam
Hawa mawahabi hawajui maana ya bidaa katika dini.
Bidaa ni ibada au kitu kilichokuja baada ya Mtume Mohamed Rehma na Amani iwe juu yake.kila kitu tunachotumia kufanya ibada havikuwepo na Mtume hakuvitumia.Quraan tukufu ilivyo andikwa na Irabu iwe rahisi kwetu sisi kusoma,juzuu zilizo orodheshwa toka juzuu 1 mpaka ya 30 istitoshe aya ya kwanza mpaka ya 114.
Leo iko train toka Jedda to Makkah to Madina badala ya farasi na punda,……..
Vyote hivyo havikuharamishwa lakini Maulid.
Eti tunamsingizia uwongo Mtume
Allah awasamehe Hawa majahil
الله يحفظك يا اخي الكريم اخي المحب احبك لأجل الله اعانك الله في حياتيك
Allah akulinde endelea kuelimisha ila mm naomba masheikh msiwe mkiongelea bidia na uongo wa barzanji tuu kwenye wa mwezi huu ila wewe hata baada ya msimu huu kwenye khutba zenu kueni mkikumbusha uongo huu
MashaAllah Mwenyezmung akupe umri mrefu upate kuwafungua macho vipifu na una sauti kama ya baba yako
علامات محبة الرَّسول ﷺ :
١- الإيمان بِهِ ﷺ.
٢ - تقديم محبته على محبة النفس والولد والوالد..
٣ - تقديم طاعته ﷺ على طاعة غيره مِنَ المخلوقين.
٤ - تقديم طاعته ﷺ على هوى النفس وشهواتها.
٥ - اتباع سنته والاقتداء بِهِ في أقواله وأفعاله.
٦ - تصديق أخباره وأقواله.
٧ - كثرة ذكره ﷺ والصلاة والسلام عليه .
٨ - الدفاع عَنْهُ وعن سُنَّته ﷺ .
٩ - تعظيمه وتوقيره ﷺ حيَّا وميتًا .
١٠ - مولاة أوليائه وبغض أعدائه ﷺ.
١١ - تمني رؤيته ﷺ.
١٢ - عَدَم رفع الصوت في حضرته ﷺ.
١٣ - عَدَم رفع الصوت عِنْدَ سماع حديثه .
١٤ - عدم رفع الصوت في مسجده.
١٥ - عدم ذكر اسمه ﷺ مجرداً.
١٦ - الصلاة عليه ﷺ عِنْدَ ذكر اسمه.
١٧ - مطالعة سيرته ﷺ
١٨ - الغيرة له وعلىه وعلى شرعه وسنته.
١٩ - الغضب إذا نتقص منه ﷺ وبذل النفس فداء له.
٢٠ - عدم ذكر مَا يُزري به ﷺ
MashaAllah shukurani sana Allah akulipe mm nimejifunza mengi sana Toka uanze kutoa darasa zako
Wallahi nakupenda kwa ajili ya ALLAH, namuomba ALLAH akuhifadhi sana ukupe umri wa kuzidi kupigania haki
Alhamdulillah ala neemat Al Islam wa noor Al Haq
Allah akuhifadh xhek muhamad bachu ukwel utbk ukwel amn mtu atawez kutetea maulid pk qiyama
Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad 🤲
Allah akulipe kheir na akihifadhi Bachu.. Inaeleweka sana .. Sisi vijana tunakuelewa hao wenye maslahi hawawezi acha ujinga
Mashallah, تَبَارَكَ اللَّهُ
Allah akuhifadhi wewe na kizazi yako tutaonana pepini za bustani yarabb
اللهم امين 🤲🤲
Masha Allah Mungu akuhifadhi Shekh wetu wewe ni nuur kwa jami
Naam
Ameeeeen 🤲🤲 🤲
Daima nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh wango Mozambique
mashallah
baraka Llah fiikum
Munaqasha wa Tanga na Momnasa , huku kwetu umeleta ATHARI KUBWA sana .
Watu wengi wameanza kuifuata Suunna
Leo kila kijana akıwambia MAULID! Atakuuliza wapi dalilii!!!
MashaAllah, Allah mjazi kheri mwana wa bachu
MASHALLAH
🤲 YAAA ALLAH TULINDIE SHEIKH WETU NASHARI ZA WASIO TAKA KUKUBALI KAMA MAULIDI NI UZUSHI YA RABI🙏
اللهم امين 🤲🤲 😢😢😢😢
Amiin thuma amiin
Birthday ya mtoto wako lini
@@habibali00 ukiraddiwa apo utasema umetukanwa
Enyi waja wa Allah muogopen mola wenu acheni kuchangia ujinga acheni matusi mcheni allah
Allah akuhifadhi shehke wetu
ALLAHU AKUHIFADHI
Mashaykhi wa maulidi acheni wivu na mtoto wa mwenzenu jifunzeni kupitia huyu mtoto anatisha kwakweli mm ni mtoto mdogo ila nimeingia kwenye sunna mwenyewe kwa mawaidha ya mtoto wa vachu
Allah akuongoze na uzidi kudumu kuishika sunnah Kwa meno ya magego na usiiache❤❤
Jazakallah khaira jazaa
Vizuli sheikh kutfundish sis tulikuwa twasom maulid ingali wadog mpk twajitambuwa Allah akupe afya njema uwendelee kutufndisha
"Masha Allah "
Ma shaa Allah walllah tumekuelewa mia mia na hoja zako ziko wazi.
Allah awaongoze wote walio tawaliwa na nafsi nyoyo zao azilainishe sababu ni ngumu kuliko mawe au zaidi ya mawe .
اللهم امين ❤
NDUGU YANGU IBNU BACHU NAKUNASIHI SANA UCHUNGE ADABUL IKHTILAF
LEO KUNA MAMBO MENGI MUHIMU YA KUZUNGUMZIA AMBAO NI MUHIMU MNO USISHUKULISHE NA MAULIDI TUSIWE KAMA WANASIASA FIKRA YAKO NI WAZI HESHIMU FIKRA YA WENZAKO SHUKRAN
Ktk Uislamu hakuna fikra za binafsi ni Qur'an na Sunna tu, ukifanya usafi unaanza ndani kwanza, hayo ya ushoga yako wazi maasi yake. Shk Bachu yuko sahihi kabisa.
Kila mtu afanye kazi kwa nafasi yake. Ndio Maana unawaona kina Mazinge wanapambana na wakristo ukiwaleta huku hawana hiyo elimu ila vifungu vya biblia vimejaa. Wafanya kazi kubwa sana. Na wengine wao ni wataalam wa maswala ya historia wengine wao ni wataalam wa lugha, wengine wao ni Qur'an n.k kwahiyo usitake Bachu aongelee kila kitu wakati wapo wengine pia kila mtu afanye kwa nafasi yake.
Hakuna khilafu juu ya Maulid bali khikaf iko kuna wanaofiata matamanio ya nafsi na kuna wanao fuata haki tulikuwa masufi kama ninyi msijaribu kuturudisha huko tumesoma kama ninyi mnaturudisha katika upotevu tena jamani?
Kua na dabu wewe pia sababu hata wakati wa mtume muhammad saw unataka kusema walikua wote wakifanya kazi moja tu? Kuna wengine walienda pigana jihad wengine walienda lingania dini kivyengie wengine wakawa askari wa nyumban kwahyo achaneni na Bachu kama mnaumia mshtakieni Allah tuu ndio kila kitu.
@@omarchaijefwa729 Sasa Uzuka wa maulidi unaingiaje ktk ikhtilaf? Wanyama waliongea ilivoingia mimba ya mtume (s.a.w) ni urongo, km ni kweli wathibishe basi😅😅😅
maaashaallah allah akulipe kila lakheri uskate tamaa
الله يحفظك يا يشخنا ويعيذك من كل ذي عين وحسد وسحر وكل سوء .
mashallah
بارك الله فيك
maa Sha Allah
maAshaallah mungu akuhifadhi na uendelea kutuelimisha
Alhamdullilah wauslamu wengi sasa wanafungua macho, na sunnah zimeingia karibu kwa kila mji tangu ukweli usemwe.
Hakika maana na sis wengine ndo tulikua wapiga madufu lkn saiv mm binafsi kupitia bachu na Dr. Islam kw uwezo wa allah nimeacha maulidi na aina zingine za uzushi
Mashallah, Allah akuzidishie subra
اللهم نور قلوبنا على دينك ❤
Bachu nakupenda sana uje utusalinie uku bumbuli wanabumbuli wanakupenda sana na uku Sunna inaenea kwa kasi
Bumbuli ndo wapi😊?! Mkoa gan na nchi gan
T anga
Kiboko ya Makhurafi. Allah akupe elimu zaid
Allah akuhifadhi shekh wetu
Mashallh ostazi ulie shikaman na kitabu na sunnah Kwa ufaham wa salaf wema
Alhamdulila nimepata kujifunza kitu kutoka kwako, sikuwa najua zaidi ya haya.allah akupe umri mrefu na atuongeze walimu wengi kama wewe wenye msimamo huu insha'Allah
MashaAllah ustadh
sheikh mm nakushauri achana na mambo ya maulid tufundishe mambo mengine ktk dini na yapo mengi sana.
Acha ushetani kama uko nayo wewe hayo mengine tufunze lakn achana na Bachu manake twarika na team ya maulid imeoza hata afadhali WAKIRSTO sasaivi unawezakumlingania na akakuelewa
@@omarchaijefwa729 astaghfirullah ssi sote tunatamka kalima moja ya Laa ilaha illa llah . Unasema afadhali wakiristo kweli mawahabi wanachuki kisa maulid. Wakati ukiangalia bidaa zimejaa tele zama hizi fikiria kidgo kabla hujasema.
Masha Allah tabaraka Allah ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Nimekufahamu. Allah akuzidishie.
Mashallah shekh Allah akulipe kheri kwa jitihada zako hawa watu wa bidaa wanatamani ardhi ipasuke wajichimbie chini na ukitaka kujua hilo angalia comments zao ni matusi tu ila kazi wanayo kichwa kimoja tu kinasumbua Afrika mashariki wanapokezana vijiti tu leo huyu kesho yule na bado wanafyata mkia. Allah akulinde wewe kizazi chako
❤😂😂❤❤ alopewa kapewa wewe waache waseme kijana bachu yupo na allah ukizingatia anasema. Hakki yenye dalaili na inayoingia akilini😊
Allah ukulinde na hao waovu watu wa twarika
Amiin
Mashallah sheikh bachu
ASSALAM WAALEIKUM SHK MOHAMED BACHU ASIYE TAKA KUKUELEWA WALLAHI HUWEZI KUKUELEWA KWA SABABU YA HAWAA ZAO LKN USICHOKE KUWAELEZA WALLAHI HAYA YOTE ULIYO YAELEZA HAWAWEZI KUYAJIBU NA HII NI CHALLENGE CHALLENGE KAMA KWELI WAO NI WATU ILIMI KAMA WANAVYODAI KINA D.J WAJIBU
mashaallah sheikh bachu jazaa yako iko kwa Allah.khutba umeitowa kwa hamasa mapaka ikanikumbusha aya hii; { وَلَقَدۡ نَعۡلَمُ أَنَّكَ یَضِیقُ صَدۡرُكَ بِمَا یَقُولُونَ }
Imenigusa kuona Aya hii ni. Sawa na mtume akiwalingania watu kama hawa masufi
Shekhe yote unayosema nisawa swali nani kamzulia urongo nachukizenu munajiita watuwasunna nahali niwatu wakujivuna Hali inazungumza kabla ya maneno hizochuki bali jengeni uwelewa
@@MussaRashidi-ds6hn covid 19 bado iko palepale. hayajajibiwa
MashaaAllah simbaa wetu wape mpaka kieleweke,haki yabaki kuwa haki.
Haki ishafika ila wagumu wa moyo hawataki kuibeba
ماشاالله
MASHAALLAH
Maa shaa Allah endelea kutoa elimu.
Mashaalla mwenyezi mungu akuifazi unafahamika kabisa
Well said n its true wanatafuta ya tumbo yao allah akuhifadhi uzidi ku elimisha ndugu zetu.
Wallahi Billaahi Tallahi,Bachu na wenzake nataka watembee ukimwengu mzima kuendelea kuyapinga Maulidi basi Maulidi hayo yataendelea kuwepo Ulimwenguni
ni kweli kwasababu m/mungu anaaema kua hakika ya wale walioamini na kutenda matendo mazuri ni wachache.kwaio kupitia aya hii watakao kua ktk haqi ni wachache na watakao ktk batwil(maulid) ni wengi.
good boy
Wallah hawa jamaa wanaoikumbatia bida'a wanajua wazi kwa wanalolifanya halimo kwenye dini ila ni kwamba wanalinda heshima zao .
C waache tu au wataona wameshindwa na hao wanao waita mawahabi??!
Maulid yanachakaa kila siku. Sisi tunaopinga leo tulikuwa twayatetea kabla na watu akili zinafunguka, ni kweli yataendelea kuwepo lakin kasi itakuwa ndogo sana masna nakumbuja miaka ya 87 moaka tisini na kitu yalikuwa na nguvu sana na lilikuwa jambo la kitaifa na kila kijiji kila nyumba ya muislam lakin linepungua kama asilimia 75 nzima imekatika bado 25 na hii ni kutokana na muamko wa watu kusoma na kujitambua na kuwacha ushabiki wakat wa kusoma.
Haya maneno yamekuja mahala pake khasa Wallaahi, na masufi nivichwa ngumu, lkn wanyooshwe hivohivo, ipo siku watakuja kuku kumbuka Shekh Muhammad.
Mashaallah
Wape Bro! Simama na ukweli, usihofu makundi. Hata ndugu zake Sayyidna Yusuf 3alayhi-Salaam walkuwa "3usbah"
Mashallah tumefurahi kutupa vitu vya roho Allah akuhifadhi
Unafundisha baba Allah akuhifadhi Na fitna za walimwengu
MashaAllah
Safi kabisaaa ni mwendo wa kupigilia misumari tuu watanyooka mbona😂😂😂
Hii ni jihad maana watu wamefuata matamanio badala ya haki na kuthubutu kubishana tu kwa maslahi ya matumbo na hishma zitakazokwisha punde (majina) na Allah hawaongozi madhalimu ambao wanafuata matamanio yao bila haki na kukata mauno. Kama maulid ni halali angetoa hoja na kuingia katka barzanji kwa kutoa ushahid lakin matamanio ya nafsi zao. Niambien imama shafi alisema kama akifanya maulid au malik wakikatika vipi? Viuno vinatakiwa viende kushoto kulia au juu kwenda chini au chini kwenda juu na maulamaa wakakhitalifiana hilo? Wazee wazima waislam wanafanya aibu sana kwa kweli aibu sana mpaka nawashuku akili zao hazipo sawa. Kukatika ni kukatika tu hakuna mahali muwakataze wanaofanya mauno ya matusi katika maulid maadam hamna dalili ya hayo muyatendayo
Mbinu waloitumia masufi kukwa isha munaqasha ni ile walokuwa wakitumia wayahudi kutaka nabii S.A.W aonekane kama muongo wamdhalilishe. Ati wanadai kwenye comment sheikh Bachu kapata kichapo. Kichapo kipi? Mbona hapakuwa na swali pale zaidi ya ubabaishaji? Hivi nikikuuliza ati toa ushahidi kwenye Quran mahali andazi limetajwa kwa jina kuwa ni halali kuliwa ili tuendelee na munaqasha hilo ni swali la kielimu? Wallaahi naye Said akiulizwa ataje mahali alonakili hadithi munkar anaitwa mkweli hana. Hayo mazwaki yanaitwa ya kupoteza muda, au ninyi washabiki jibuni. Sio kila swali mtu anaulizwa na hali muulizaji mwenyewe pia hajui jibu hii ilikuwa ni trick walokuwa nayo wayahudi kutaka tu sio kuelewa bali kushindana na mtume S.A.W aonekane sio, wayahud ndio tabia yao tangu zamani kwaushahidi huu
{ هَـٰۤأَنتُمۡ هَـٰۤؤُلَاۤءِ حَـٰجَجۡتُمۡ فِیمَا لَكُم بِهِۦ عِلۡمࣱ فَلِمَ تُحَاۤجُّونَ فِیمَا لَیۡسَ لَكُم بِهِۦ عِلۡمࣱۚ وَٱللَّهُ یَعۡلَمُ وَأَنتُمۡ لَا تَعۡلَمُونَ }
[Surah Āli-ʿImrān: 66]
(Enyi Watu wa kitabu) Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.
Napenda kuwakumbusha msisahau kabisa kuzungumzia haya ma ziara ya Kwenda makaburini kila siku kwa shangwe na ngoma watu kwenda kufanya shirk. Ni msiba mkubwa huu.
Hakika kifo ni ukumbusho kwa kila mwenye kukumbuka kama wnaenda na kuwafanyia dua hkuna shida yoyote piga goti soma mwenyewe uckukubali kusomewa shukran
mashaallah
Mashallah Sheikh Muhammed Allah akupe uzima na afiya njema akupe mwisho mwema akuepushe na hasada
Allah akuzidishie kher ila kaka yangu Mohamed uwe makin watakupa sumu watu wa Bidaa
Miaka 2007 nilivyokuwa bado mdogo na rafiki zangu tulikuwa tukienda maulidini usiku wallah tulikuwa tukiona maajabu,
Maajabu yapi⁉️⁉️
Shuweha HEB tuambie na sisi ama tuache ama twende
Allah akuhidi mtume ametumilizwa ili kutimiza tabia njema je una ushahidi kwa uyasemayo umehifadhi hadithi ngapi umemsoma mtume wp
elimu ni taufiq ya allah wau wanadhani ukiwa mdogo huwezi pewa elimu laa wallah Kama sio hivyo mtume wetu asindepewa utume ilhali kulikuwa na watu Bora kuliko yeye
Huu ndio uongo wanao rithishana kizazi baada ya kizazi, wakidai wana mapenzi kwa Bwana Mtume Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama!!!
Lakini kwenye vitendo niziro.
Allaah akupe nguvu na ujasiri huuhuu wa kuitangaza Sunnah na kuikanyaga Bid'ah
Watu wenye akili salama wamekuelewa vizur unachofundisha shekh
ابوهریره رضی الله عنه روایت است که رسول الله صلی الله علیه وسلم فرمودند: «مَنْ رَآنِي فِي الْمنَامِ فَسَيَرَانِيِ في الْيَقَظَةِ - أوْ كأنَّمَا رآنِي في اليَقَظَةِ - لا يَتَمثَّلُ الشَّيْطانُ بِي»: «هرکس مرا در خواب ببيند، در بيداری نيز مرا خواهد ديد - يا گويا مرا در بيداری ديده است؛ - شيطان نمی تواند خودش را شبيهِ من کند».
Khotuba nzur maaashllah,lakni mbna ulishindwa kuthibitisha kweny munaqasha Mombasa....kuhusiana tu na hadithi 😮
Mashaallah tabarakallah
Shekh wewe msulimoto jazzka allh kheir
Hii hathi la bonde yamtume inaonyesha wazi kuwa mtume hajui yanao endelea hapa duniani