Kulingana na hekima uliyo nayo mama kweka hebu msaidie huyo binti alee huyo mtoto maana inaonekana kua hata angepata mnunuzi wa mtoto ange muuza dunia imefikia pabaya
Hi ni gharama ya ukafiri wenu utapokeaje mtoto wa kuambiwa kuwa ni mjukuu wako huyo mwanao ulifunga ndoa wapi na lini. Sisi kwetu kwenye Uislam ujinga kama huo hautokei kabisa
Naomb tu kuuliza je huyo wifi yenu alikuwa na mimba ya huyo mtot wa mama kweka ?? Na kama alikuwa na mimba imekuaje hapo atengeneze hii kitu mimi sielewi jamn naomba nilale zangu nimechoka
Ama kweli usilolijua n kama usiku wa giza hapo kuna jambo 1 limejificha kat ya fatma na gili hio ikowaz hao wote wanaongea ila ukwel upo kat ya 2ma na gili
Jmn mama pole Sana lkn kwa ushaur wngu nendeni mkapime DNA kwa sababu mtoto Kama anafanana na kijana wako inawezekana fatuma amecheza dili na housegirl ili achukue mtoto coz ameshakuwa
Pole sana Mama Kijana wako mtu mzima Mbona hatoi mwanga ili kuondoa utata? Baba wa Mtoto na Mama mhusika waweke wazi Dawati Polisi ili kujali usalama wa huyo Malaika maana wazazi wote wawili ni wahusika wakuu kimalezi.Usalama wake ni wazazi wote wawili wawajibike ikiwa ni pamoja na Mtoto kunyonya kikamilifu maziwa ya Mama
Ataaminiwa Nani? Atakaye aminiwa ni mama Kweka mama MWENYE uwezo. MWENYE mtoto atasurubiwa anaonekana ana woga usoni kwa kutishwa. Mama ampe mtoto huyu dada, naona mama Kweka bado anamubembeleza. Haki kwa muzazi. Mpeni mtoto wake. Mbona mama Kweka bado hajampa mtoto wake? Mpeni huyu dada mtoto wake. Sasa wanamugeuzia dada MWENYE mtoto kesi. Ni masikini masikini hana haki Tanzania. Kwa sasa imejulikana mtoto sio mwijukuu wa mama Kweka. Mpeni mtoto wake. Mama Kweka hana cha kueleza mtoto sio mwijukuu wake. Pesa isitumike kumunyima huyu dada haki.
Kwann yule girl friend(Fatuma)alikuwa anaacha mtoto mchanga vile kwa house girl???na kwann huyu house girl(mama mzazi wa mtoto)amemwachisha mtoto mchanga ziwa??kwa hiyo mama Kweka na Kijana wake walikuwa tayari wabaki na mtoto mchaga bila mama kwa sababu zipi za msingi?????
Mama kweka na Binti yako,mnaupendo wa Agape! MUNGU awatunxe mnoo,msameheni bure MUNGU atakulipa zaidi ya hicho ulivhokifanya♥️♥️🙏
Pole Mama, tusamehe tulio kuzania vibaya.
Kijana wako siyupo mama Kweka. Ww mwambie aseme alizaa na Zulpha au Fatuma. Ili muweke mambo sawa
Wah tz mumetushinda kweli Tena kwa kila kitu mwijaku alisema 🇰🇪🇰🇪
jamani mimi kama mzazi mwanamke aliezaa akipimwa na daktari anajulikana musingepata shida ya kutafuta mama mzazi 🇰🇪❤
Jana nilisema hichi kitu🤔….watu wengi tuliamini upande wa binti kwa sababu ndie mlalamika…kumbe binti yeye alijua mtt wake atapata malezi mazur
Nyie kuna shida hapa siamini kama fatuma ndie aliezaa huyu mtoto
Asante mama una hekima uliyopewa na Mungu!! Ubarikiwe sana
Mama Pole sana mungu mwenyewe ata kulipa mama yangu mzazi
Mama nenda hosptl aliojifungulia huyo mama wa mtoto utapata ukweli Hadi alipo alipo pimiamimba ukweli upo Mungu akubalki mama
Mtihani yarabi wasaidiye mabinti zetu maana wamezidi kusema uwongo
Jamani fuatilia maoni yangu.....nilisema hawa mabinti wa kazi huwa siwaamini kabisa
Kulingana na hekima uliyo nayo mama kweka hebu msaidie huyo binti alee huyo mtoto maana inaonekana kua hata angepata mnunuzi wa mtoto ange muuza dunia imefikia pabaya
Jmn mleeni tu huyo bint na Mtt
Kijana mwenyewe Yuko wapi
Part 2 please
Hi ni gharama ya ukafiri wenu utapokeaje mtoto wa kuambiwa kuwa ni mjukuu wako huyo mwanao ulifunga ndoa wapi na lini. Sisi kwetu kwenye Uislam ujinga kama huo hautokei kabisa
Chuga shkamoo
Akapimwe itajulikana mama
Kazi ipo,Dunia inakwemda kwa kasi mno
Kwahiyo kijana wa mama Kweka hajawahi kumwona girl friend wake akiwa mjamzito????au na yeye ni mnufaika ktk hili dili!!! Hii movie ni tamu.
Huyu binti nimpuuzi sana,alishindwa nn kusema ukweli wakati mtoto alimzaa yy.Aunalitishiwa nafatuma.Hwa mabinti niwshovyo sana,nahyo fatuma inaonekana fatuma alikula pesa nyingi sana zahyo mwanaume.Ndiomana akatafuta chakuzingizia.kweli kunawanawke matapeli jmn.Hyo fatuma nikiboko
Hajakosea kwa bint farao yalisha tokea
Hawa wasichana ni viruka njia, hawana ramani ya maisha.
Naomb tu kuuliza je huyo wifi yenu alikuwa na mimba ya huyo mtot wa mama kweka ?? Na kama alikuwa na mimba imekuaje hapo atengeneze hii kitu mimi sielewi jamn naomba nilale zangu nimechoka
Ama kweli usilolijua n kama usiku wa giza hapo kuna jambo 1 limejificha kat ya fatma na gili hio ikowaz hao wote wanaongea ila ukwel upo kat ya 2ma na gili
Mungu atakulipa mpe mtoto wake
Acheni kuoga mambo ya mitandao na story za Facebook mkaleta kwenye maisha halisi
Mama pole y iyo mkwe ni taperi
Huyo mtoto atakua nimjukuu kabisa
mnajifanya mama musa ake wa hadithi za biblia😂...duh amefaidi huyoo mtoto pesa y mke wa faraoooooooo
😢😢😢😢usiseme ivo banajaman
Fatuma kwann amekimbia?
Wanawake ninoma Fatuma alitaka kupiga ela kwa mama mkwe
Jmn mama pole Sana lkn kwa ushaur wngu nendeni mkapime DNA kwa sababu mtoto Kama anafanana na kijana wako inawezekana fatuma amecheza dili na housegirl ili achukue mtoto coz ameshakuwa
Mama kweka mpe mtoto wake Bint huyo uchungu wa mtoto ni mzazi aliyepata uchungu
Baba.ukovizuri.kwataarifazako
Kwani kijana hayupo akasema kazaa na naniii?
ivi nyi ilikuwaje huyo Fatima aache mtoto ambaye anahitajika kunyonya?
I'm so sorry maana Jana nililaum kwa kumkataza dada asichukue mwanae kumbe ni dili, nimbaya saana dili hili
Kama ndie mama mzazi wa huyo moto mpeni mwanae, kwann mnakatalia mwanae ?, Mpeni mototo, mengine baadae
Jamani wafungwe maisha
Uko timamu kweli😮
Msi mlahumu huyo msicha , mlahumu mtoto wetu ndiye muongo
Pole sana Mama Kijana wako mtu mzima Mbona hatoi mwanga ili kuondoa utata? Baba wa Mtoto na Mama mhusika waweke wazi Dawati Polisi ili kujali usalama wa huyo Malaika maana wazazi wote wawili ni wahusika wakuu kimalezi.Usalama wake ni wazazi wote wawili wawajibike ikiwa ni pamoja na Mtoto kunyonya kikamilifu maziwa ya Mama
Ataaminiwa Nani? Atakaye aminiwa ni mama Kweka mama MWENYE uwezo. MWENYE mtoto atasurubiwa anaonekana ana woga usoni kwa kutishwa. Mama ampe mtoto huyu dada, naona mama Kweka bado anamubembeleza. Haki kwa muzazi. Mpeni mtoto wake. Mbona mama Kweka bado hajampa mtoto wake? Mpeni huyu dada mtoto wake. Sasa wanamugeuzia dada MWENYE mtoto kesi. Ni masikini masikini hana haki Tanzania. Kwa sasa imejulikana mtoto sio mwijukuu wa mama Kweka. Mpeni mtoto wake. Mama Kweka hana cha kueleza mtoto sio mwijukuu wake. Pesa isitumike kumunyima huyu dada haki.
Hajanyimwa haki yake ushahidi aloutoa binti mwanzo ndio unaomfunga
Huyo bint muongo
Bibi wewe nitapeli ,mpe moto, habali yamalipo usitueleze, unadai laki tatu, kwani mliuziana ?, mpe moto, wewe nitapeli, alafu unaonekana unapenda pesa, pamoja kwamba sio mjukuu wako lakin hina mamlaka yakuishi namtoto palipo naridhaa ya mzazi judoka, mpe moto kwanza
kua na adabu
Mpeni motor wake
Msimuonee huyu msichana ni muoga
Kwann yule girl friend(Fatuma)alikuwa anaacha mtoto mchanga vile kwa house girl???na kwann huyu house girl(mama mzazi wa mtoto)amemwachisha mtoto mchanga ziwa??kwa hiyo mama Kweka na Kijana wake walikuwa tayari wabaki na mtoto mchaga bila mama kwa sababu zipi za msingi?????
Mimi na wew tuna changanua hii kitu lkn atu elewi