Freeman Mbowe akikamatwa na polisi Magomeni, Dar es Salaam Tanzania.
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Tazama hali ilivyokuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akikamatwa na polisi eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam Tanzania.
-
Chadema kilitangaza kitafanya maandamano ya kulaani matukio ya kutekwa watu na mauaji, lakini jeshi la polisi la Tanzania lilitangaza kupiga marufuku maandamano hayo.
-
Chadema imeandika kwenye akauti yake katika mtandao wake wa X, kwamba Makamu Mwenyekiti wake Tundu Lissu pia amekamatwa.
#tanzania #chadema #TUNDULISSU #Mbowe #bbcswahili #utekaji #FreemanMbowe #SIASA
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili