Magoli | Namungo FC 1-2 Tabora United | NBC Premier League 25/08/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 65

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 18 днів тому +8

    Mwamuzi yupo vizuri,huyu ndy mrithi wa arajiga

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 17 днів тому +1

      Nilikua naitafuta hii comment

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 18 днів тому +4

    Lefa mzuri sana ajitahidi kuwa ivo ivo❤

  • @HarunaNditimye
    @HarunaNditimye 18 днів тому +4

    Hongera TABORA UNITED

  • @mrbontel976
    @mrbontel976 18 днів тому +5

    Hongera tbr yetu, tunakusubiri Mwinyi

    • @Ntabo393
      @Ntabo393 18 днів тому

      Sana Tabora yangu naipendaga sana kikubwa tubaki ligi kuu

  • @CharlesSomeke-b5m
    @CharlesSomeke-b5m 18 днів тому +6

    Yanga raha product zinafanya kz nzuri

  • @SamsonLesscar
    @SamsonLesscar 18 днів тому +4

    NBC premier league inavutia sana

  • @AlliMohamed-q2y
    @AlliMohamed-q2y 18 днів тому +2

    Mashallah ground zimeboreshwa❤

  • @dirahussein9291
    @dirahussein9291 18 днів тому +7

    Tabora Moja hiyo

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 18 днів тому +3

    Hongera tabora

  • @ladislaus799
    @ladislaus799 18 днів тому +6

    Yacuba akicheza tabora wanachukua ubingwa😂😂😂

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 18 днів тому +3

    Goli lapili zuri mno

  • @bantujunior9549
    @bantujunior9549 18 днів тому +13

    Hawa waliocheza leo tabora utd hawakucheza mechi ya kwanza

    • @isaackaitira7654
      @isaackaitira7654 18 днів тому +3

      Chuku alicheza hapo ni makambo tu wengine walikuwepo

    • @kuholakalani2472
      @kuholakalani2472 18 днів тому

      Kwahiyo?

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 18 днів тому

      Kwenye hicho kikosi Makambo tu hakuwemo wengine wote walikuwemo.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 18 днів тому

      Simba Walibebwa Tu Mechi Yakwanza. Lakini Wacha Masiku Yasonge Tuone Panapovuja.

    • @isaackaitira7654
      @isaackaitira7654 18 днів тому

      @@nurdinmfamau3493 msimu huu utasubiri sana watu wako serious sana

  • @McKicheche
    @McKicheche 18 днів тому +4

    Saf sana Tabora🐶

  • @ladislaus799
    @ladislaus799 18 днів тому +3

    Tabora wanavyuma hapo yacuba hajacheza

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 18 днів тому +3

    Tabora yangu msimu huu mkaze kweli kweli

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 17 днів тому +1

    Ligi tamu

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m 17 днів тому +1

    Makambo vs jumashabani ndo wamenileta apa

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 18 днів тому +2

    Karibu tena home Makambo na Juma Shabani Pigeni kazi

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 18 днів тому

      Hivi huyu Shaban ndio ameishiwa huku baada ya kuzingua Yanga?

    • @ikulunimahalipatakatifu7642
      @ikulunimahalipatakatifu7642 18 днів тому +1

      Yanga siyo timu ya baba yake yanga ni kama timu zingine, kazi ni kazi

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 18 днів тому

      @@ikulunimahalipatakatifu7642 ni wewe ndio unafikiri Yanga ni kama timu zingine loo. Uwe na mwanao mmoja acheze Namungo mwingine acheze Yanga halafu waulize ikiwa hizo timu zinafanana.

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 18 днів тому

      ​@@ikulunimahalipatakatifu7642 we kweli hewa eti kazi kazi uache kazi unayolipwa elfu 50 unaenda kulipwa elfu 10 afu useme kazi kazi nyie so watu wa football ni shabiki oya oya ambao hamjui mpira hata kidogo😂😂😂😂😂 nakucheka wewe na Juma shabani apo amefeli sema hana namna

  • @RugeMoremi
    @RugeMoremi 16 днів тому

    Good makamboooo

  • @user-dd3ek5fh5g
    @user-dd3ek5fh5g 17 днів тому

    Makambovic👍🏾

  • @alhajshabani5595
    @alhajshabani5595 18 днів тому +1

    Hivi hawa marefa hawaoni au hawajui sheria ya kipa mguu wake mmoja uwe kweny mstari

  • @jenestertituskagisa7637
    @jenestertituskagisa7637 18 днів тому +2

    Ila Azam bado Sana kamera zenu azilizishi matukio ayaonekani vizuri Kama jinsi mlivyo kuwa mnazisifia kamera zenu binafsi hakuna lolote zaidi ya kuongeza ela ya vifurushi

    • @user-zm3ei8tt6h
      @user-zm3ei8tt6h 18 днів тому

      Anzisha ya kwako

    • @Stevmwamba2090
      @Stevmwamba2090 17 днів тому

      Kwani imelazimishwa kutazama mkuu! Katazame movies za rufufu azam tuachie wenyew

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 13 днів тому

    Naona product za Yanga zipo kila mahali

  • @michaelenockefraim6967
    @michaelenockefraim6967 18 днів тому +3

    Wakwanza nipen like zangu

  • @KhamisiHilali
    @KhamisiHilali 18 днів тому +2

    Timu za ligi kuu bara Wala msipate tabu ya usajili maana yanga kila msimu inasajili 7 inaacha watano wa maana bado Wana kiwango mim namsubiri Guede kufanya makubwa

    • @azizimbale9720
      @azizimbale9720 18 днів тому

      Sasa ni mchezaji gani hapo amecheza yanga karibuni maana Kama makambo ni muda Sasa zaidi ya misimu mitatu

    • @KhamisiHilali
      @KhamisiHilali 17 днів тому

      @@azizimbale9720 djuma shaban

  • @ramadhaniiddy5059
    @ramadhaniiddy5059 18 днів тому

    Once Bees always Bees

  • @victorgunda4048
    @victorgunda4048 15 днів тому

    Br hiari naona upo kwenye majukumu yao

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 15 днів тому

    Mbona husemi soda ya bemba... Au kwasbb ameondoka yanga

  • @radynnyagaly3692
    @radynnyagaly3692 18 днів тому +2

    Offside kabisa hii

  • @user-fz4yv4jw6v
    @user-fz4yv4jw6v 18 днів тому

    Ina enda kuwa epl ndog hii

  • @SuleimanMuhammed-g7q
    @SuleimanMuhammed-g7q 18 днів тому +1

    Alicheza dada yako

  • @SimonJeshi-nq1hs
    @SimonJeshi-nq1hs 18 днів тому +1

    Hakuna penart

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x 18 днів тому +1

    Mboka impaya mkoa amboa wanaume hatunavioo

  • @yussufritzy7684
    @yussufritzy7684 18 днів тому

    Tabora,,, haikuwa penalty

  • @RahimKulwa
    @RahimKulwa 18 днів тому

    Kinyo wa bunju@

  • @BillHunter-Musician
    @BillHunter-Musician 18 днів тому

    Duuh juma shabani anatia huruma Hadi so pouwa! Kutoka kuilingia yanga Hadi namungo duuh😂 ama kweli kupanga nikuchagua😅

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 18 днів тому +1

      Maisha ni popote,sisi watu wazima tunaelewa.

    • @olarivolariv1313
      @olarivolariv1313 18 днів тому

      Cha muhimu ni hela tuu ndugu

    • @ikulunimahalipatakatifu7642
      @ikulunimahalipatakatifu7642 18 днів тому

      Kwani yanga ndiyo timu peke yake?,

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 18 днів тому

      ​@@ikulunimahalipatakatifu7642aamaana alikuwa anahitajika Yanga bado yeye akajiona ni mkubwaa sasa anaishia wapi mwenzie yuko Azam pale..

  • @RomboBoy-bl7ql
    @RomboBoy-bl7ql 18 днів тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 kwel hii nbc

    • @Deadskytz
      @Deadskytz 18 днів тому

      😂😂

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 18 днів тому

      shida ya hii timu ya hii Tabora na Fountain gate hipo kwenye maadili,eti timu zote zilifungiwa kama sikosei na timu zote zilipangiwa kuanza na simba,sasa ninyi mnaosema udhamini ya GSM mtusaidie,timu iliyocheza na simba leo asilimia 70% tofauti.ingekuwa yanga ungesikia wambea.

  • @ClaudMkoka-bf2sf
    @ClaudMkoka-bf2sf 18 днів тому

    😂