@@ikulunimahalipatakatifu7642 ni wewe ndio unafikiri Yanga ni kama timu zingine loo. Uwe na mwanao mmoja acheze Namungo mwingine acheze Yanga halafu waulize ikiwa hizo timu zinafanana.
@@ikulunimahalipatakatifu7642 we kweli hewa eti kazi kazi uache kazi unayolipwa elfu 50 unaenda kulipwa elfu 10 afu useme kazi kazi nyie so watu wa football ni shabiki oya oya ambao hamjui mpira hata kidogo😂😂😂😂😂 nakucheka wewe na Juma shabani apo amefeli sema hana namna
Ila Azam bado Sana kamera zenu azilizishi matukio ayaonekani vizuri Kama jinsi mlivyo kuwa mnazisifia kamera zenu binafsi hakuna lolote zaidi ya kuongeza ela ya vifurushi
Timu za ligi kuu bara Wala msipate tabu ya usajili maana yanga kila msimu inasajili 7 inaacha watano wa maana bado Wana kiwango mim namsubiri Guede kufanya makubwa
shida ya hii timu ya hii Tabora na Fountain gate hipo kwenye maadili,eti timu zote zilifungiwa kama sikosei na timu zote zilipangiwa kuanza na simba,sasa ninyi mnaosema udhamini ya GSM mtusaidie,timu iliyocheza na simba leo asilimia 70% tofauti.ingekuwa yanga ungesikia wambea.
Mwamuzi yupo vizuri,huyu ndy mrithi wa arajiga
Nilikua naitafuta hii comment
Lefa mzuri sana ajitahidi kuwa ivo ivo❤
Hongera TABORA UNITED
Hongera tbr yetu, tunakusubiri Mwinyi
Sana Tabora yangu naipendaga sana kikubwa tubaki ligi kuu
Yanga raha product zinafanya kz nzuri
NBC premier league inavutia sana
Mashallah ground zimeboreshwa❤
Tabora Moja hiyo
Hongera tabora
Yacuba akicheza tabora wanachukua ubingwa😂😂😂
Yacouba yupi
Goli lapili zuri mno
Hawa waliocheza leo tabora utd hawakucheza mechi ya kwanza
Chuku alicheza hapo ni makambo tu wengine walikuwepo
Kwahiyo?
Kwenye hicho kikosi Makambo tu hakuwemo wengine wote walikuwemo.
Simba Walibebwa Tu Mechi Yakwanza. Lakini Wacha Masiku Yasonge Tuone Panapovuja.
@@nurdinmfamau3493 msimu huu utasubiri sana watu wako serious sana
Saf sana Tabora🐶
Tabora wanavyuma hapo yacuba hajacheza
Tabora yangu msimu huu mkaze kweli kweli
Ligi tamu
Makambo vs jumashabani ndo wamenileta apa
Karibu tena home Makambo na Juma Shabani Pigeni kazi
Hivi huyu Shaban ndio ameishiwa huku baada ya kuzingua Yanga?
Yanga siyo timu ya baba yake yanga ni kama timu zingine, kazi ni kazi
@@ikulunimahalipatakatifu7642 ni wewe ndio unafikiri Yanga ni kama timu zingine loo. Uwe na mwanao mmoja acheze Namungo mwingine acheze Yanga halafu waulize ikiwa hizo timu zinafanana.
@@ikulunimahalipatakatifu7642 we kweli hewa eti kazi kazi uache kazi unayolipwa elfu 50 unaenda kulipwa elfu 10 afu useme kazi kazi nyie so watu wa football ni shabiki oya oya ambao hamjui mpira hata kidogo😂😂😂😂😂 nakucheka wewe na Juma shabani apo amefeli sema hana namna
Good makamboooo
Makambovic👍🏾
Hivi hawa marefa hawaoni au hawajui sheria ya kipa mguu wake mmoja uwe kweny mstari
Ila Azam bado Sana kamera zenu azilizishi matukio ayaonekani vizuri Kama jinsi mlivyo kuwa mnazisifia kamera zenu binafsi hakuna lolote zaidi ya kuongeza ela ya vifurushi
Anzisha ya kwako
Kwani imelazimishwa kutazama mkuu! Katazame movies za rufufu azam tuachie wenyew
Naona product za Yanga zipo kila mahali
Wakwanza nipen like zangu
Timu za ligi kuu bara Wala msipate tabu ya usajili maana yanga kila msimu inasajili 7 inaacha watano wa maana bado Wana kiwango mim namsubiri Guede kufanya makubwa
Sasa ni mchezaji gani hapo amecheza yanga karibuni maana Kama makambo ni muda Sasa zaidi ya misimu mitatu
@@azizimbale9720 djuma shaban
Once Bees always Bees
Br hiari naona upo kwenye majukumu yao
Mbona husemi soda ya bemba... Au kwasbb ameondoka yanga
Offside kabisa hii
Ina enda kuwa epl ndog hii
Alicheza dada yako
Hakuna penart
Mboka impaya mkoa amboa wanaume hatunavioo
😂😂😂😂😂
Tabora,,, haikuwa penalty
Kinyo wa bunju@
Duuh juma shabani anatia huruma Hadi so pouwa! Kutoka kuilingia yanga Hadi namungo duuh😂 ama kweli kupanga nikuchagua😅
Maisha ni popote,sisi watu wazima tunaelewa.
Cha muhimu ni hela tuu ndugu
Kwani yanga ndiyo timu peke yake?,
@@ikulunimahalipatakatifu7642aamaana alikuwa anahitajika Yanga bado yeye akajiona ni mkubwaa sasa anaishia wapi mwenzie yuko Azam pale..
😂😂😂😂😂😂😂 kwel hii nbc
😂😂
shida ya hii timu ya hii Tabora na Fountain gate hipo kwenye maadili,eti timu zote zilifungiwa kama sikosei na timu zote zilipangiwa kuanza na simba,sasa ninyi mnaosema udhamini ya GSM mtusaidie,timu iliyocheza na simba leo asilimia 70% tofauti.ingekuwa yanga ungesikia wambea.
😂