Story nzur sana baharia lakin ulifeli kitu kimoja tu ulipokua kule ungejitahidi kila njia either uzae mtoto na demu mwenye ulaiya wa kule au uoe demu mwenye ulaia wa kule hzo njia lahisi hazimtupi baalia
Ahhhh😂😂😂😂😂 huyu Jamaa anamisemo sio ya kawaida ’’za kichwa ni kesi ya muaji’’ na ‘’ Ndosi ni Maumivu ya Kichwa’’ halaf ukikosea hakuachi atakama unamuinterview 😅😅😅
Yote tosa baria nomekubali story na ulifanikiwa kuzama fresh kule na mambo meng kwako naona yakawa ilee mteremko ila ulishindwaje kua mwanarakat mana ulikua unalata mda wa kwenda kilub na ukachagua ile sehem waliko kua wazungu tuu hatimae ukafanikowa kuwepo pali kwann haukuamua kuomba raman zakufanya kujishulisha na pia hata maaskar hao na yule mwanao alikua anakubadilishia sehem zakuish kwann usingeomba raman kwake kikaz kuna wale walikua wakikupa mtonyo ulishindwa vp kuomba bwana nataka kz sio ela tu bt unaonekana ulikua na zal la bahat sn kuanzia bandar
Swali langu ni hivi,inakuaje mtu alikuwa dingi mbele mbele miaka mingi, ulaya au South Africa, alafu inatokea la kutokea anarudi nyumbani hana chochote matokeo yake mtu anadata Dupamdupange???????
Nakukubali sana BALOZI....na mwanangu dupa safi sana
Big up baharia balozi...kabanyau
Yaaani Huyu kaka Anaongea Kama Kaka Yangu Hivihivi Ungepata Interview nae Ungeinjoy Wallah Lugha zote Nitolee Alizamia Akafanikiwa Hamza Msingapori a.k.a Anakwambia Muite Mwache Apotee!Daaaah Apumzike Kwa Amani Kaka yangu GOD PLAN.
Huyo rafiki david niko naye UK pole sana nitamjulisha david
Sema Uwe unaweka ATA namba zake MWANA Tuweze kumuungia 📌📌
Ananipa Raha Sana huyu jamaa, ni mwanadarisalama og
Nime enjoy sana hii story aiseee 😂😂, huchoki kumsikiliza
Wazee wa mbanga leo mapema sn tuwape maua yao
Aisee nimejifunza sanaaa
Story nzuri
Good story big up bahalia wangu jah bress you
Mwana wa kwetu huyu bhana Balozi "Mibati meusiiii na mitofali🤣🤣🤣" TMK
Story nzur sana baharia lakin ulifeli kitu kimoja tu ulipokua kule ungejitahidi kila njia either uzae mtoto na demu mwenye ulaiya wa kule au uoe demu mwenye ulaia wa kule hzo njia lahisi hazimtupi baalia
29:42 ikwiriri kwa manjenga😂
😂😂😂😂😂
Mwana 2007 mimi ndiyo fresh yangu kwangu natural Bongo.
Wabongo noma 😂 unamwambia nikatae Anakwambia bongo mambo mazuri🤣🤣🇹🇿🇬🇷
😅😅😅😅😅😅😅
Dah Balozi bn😅😅😅
Najiona navorudishwa tz mkukumkuku 🤣🤣
THE- stering' 👍
Jamani mbona hatupati sehemu ya 14
Kabinyau Bro Kalibu tena kiwanjani Ujachelewa … Jeni bye bye😂😂 Nainjoy kipindi 🫡🫶🏿
Ila pole sana mwana pambana tu
Respect
Aaaaaaaaah.... Home sweet home
Mitairi kwenye bati😂😂
Wale wanajua kiswahili Sema mikausho mikali
Watuwasafali wanaroho ngumu sana tz maisha siopoa ndomana watuwanajaribu kuzamia
bado kabisa element za kisouth anaish nazo
Avalon hiyo uwamihaji kule chini kuna mafahili ya kumwaga Mzee kabinyau,Nimeingia hapo 1997
Hahahaha walikuchanganya
Nimecheka kwa sauti sana...
Eti mibati juu mipira ya gari, sasa hii ya nini!!!???? Hahahhahaha
Daaah kabunyau anamaliza 😂😂
Ahhhh😂😂😂😂😂 huyu Jamaa anamisemo sio ya kawaida ’’za kichwa ni kesi ya muaji’’ na ‘’ Ndosi ni Maumivu ya Kichwa’’ halaf ukikosea hakuachi atakama unamuinterview 😅😅😅
Nataka namba ys huyu mwamba ana maneno sumu 😅😅😅😅
Haha bati juu nyeusi kuna mataili
Maelezo machache
😂 nmekumbuka nlitaka kuingiaga Japan tukanasa Airport tukarudishwa
Ukapiga kabinyauuuu
Leteni stor nyingine
Balozil mbavu zangu jamani nakupata kutoka+250
Hawa wahuni unawapekua nchi ipi,eti baharia balozi
Ugali, dagaa tembele 😂😂😂
Yaan matifali juu ya Bati......mipira ya gar....
😅😂😂 Ugali bambia minyanyachungu rundo😂😂😂😂😂😂
Yote tosa baria nomekubali story na ulifanikiwa kuzama fresh kule na mambo meng kwako naona yakawa ilee mteremko ila ulishindwaje kua mwanarakat mana ulikua unalata mda wa kwenda kilub na ukachagua ile sehem waliko kua wazungu tuu hatimae ukafanikowa kuwepo pali kwann haukuamua kuomba raman zakufanya kujishulisha na pia hata maaskar hao na yule mwanao alikua anakubadilishia sehem zakuish kwann usingeomba raman kwake kikaz kuna wale walikua wakikupa mtonyo ulishindwa vp kuomba bwana nataka kz sio ela tu bt unaonekana ulikua na zal la bahat sn kuanzia bandar
Ukisha kataliwa kupewa document ulaya uluhusiwi kufanya kazi
Uhamiaji avalon hiyo baharia unanigusa mwanaoooo
Jembe yule joberg alikuwa mtamu sana alikuwa wamalawi wakimwona kama Rais mbona alijisahau hakujenga Home sweets Bt is life no balance
Baharia balozi yeye sio mtu wa ngoma yeye ni mtu wa wali jogooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah balozi mchizi wa wana
kabunyai mibatiii meusiii😅😅😅
Juu mipira ya gar 😅😅😅
Hhhhhhh
Weweee Ikeiriri kwa Manjenga kkkkkkkkkkkk
Swali langu ni hivi,inakuaje mtu alikuwa dingi mbele mbele miaka mingi, ulaya au South Africa, alafu inatokea la kutokea anarudi nyumbani hana chochote matokeo yake mtu anadata Dupamdupange???????
Starehe nyingi wanajisahau
😂😂😂
Story kali xn
Nafurahi kumsikiliza huyu jamaa lakini kuna huruma hv inanijia,najikuta namuonea huruma sana huyu mwamba.
😅😅😅
panadol dawa au.sio.dawa...tuletee wazee wa meli bana kabunyau anaua hvyo
Kabunyau mtu Mbad
😂😂😂😂