Story nzur sana baharia lakin ulifeli kitu kimoja tu ulipokua kule ungejitahidi kila njia either uzae mtoto na demu mwenye ulaiya wa kule au uoe demu mwenye ulaia wa kule hzo njia lahisi hazimtupi baalia
Ahhhh😂😂😂😂😂 huyu Jamaa anamisemo sio ya kawaida ’’za kichwa ni kesi ya muaji’’ na ‘’ Ndosi ni Maumivu ya Kichwa’’ halaf ukikosea hakuachi atakama unamuinterview 😅😅😅
Yote tosa baria nomekubali story na ulifanikiwa kuzama fresh kule na mambo meng kwako naona yakawa ilee mteremko ila ulishindwaje kua mwanarakat mana ulikua unalata mda wa kwenda kilub na ukachagua ile sehem waliko kua wazungu tuu hatimae ukafanikowa kuwepo pali kwann haukuamua kuomba raman zakufanya kujishulisha na pia hata maaskar hao na yule mwanao alikua anakubadilishia sehem zakuish kwann usingeomba raman kwake kikaz kuna wale walikua wakikupa mtonyo ulishindwa vp kuomba bwana nataka kz sio ela tu bt unaonekana ulikua na zal la bahat sn kuanzia bandar
Swali langu ni hivi,inakuaje mtu alikuwa dingi mbele mbele miaka mingi, ulaya au South Africa, alafu inatokea la kutokea anarudi nyumbani hana chochote matokeo yake mtu anadata Dupamdupange???????
Big up baharia balozi...kabanyau
Nakukubali sana BALOZI....na mwanangu dupa safi sana
Yaaani Huyu kaka Anaongea Kama Kaka Yangu Hivihivi Ungepata Interview nae Ungeinjoy Wallah Lugha zote Nitolee Alizamia Akafanikiwa Hamza Msingapori a.k.a Anakwambia Muite Mwache Apotee!Daaaah Apumzike Kwa Amani Kaka yangu GOD PLAN.
Good story big up bahalia wangu jah bress you
Nime enjoy sana hii story aiseee 😂😂, huchoki kumsikiliza
Sema Uwe unaweka ATA namba zake MWANA Tuweze kumuungia 📌📌
Huyo rafiki david niko naye UK pole sana nitamjulisha david
Ananipa Raha Sana huyu jamaa, ni mwanadarisalama og
29:42 ikwiriri kwa manjenga😂
😂😂😂😂😂
Aisee nimejifunza sanaaa
Wabongo noma 😂 unamwambia nikatae Anakwambia bongo mambo mazuri🤣🤣🇹🇿🇬🇷
😅😅😅😅😅😅😅
Mwana wa kwetu huyu bhana Balozi "Mibati meusiiii na mitofali🤣🤣🤣" TMK
Wazee wa mbanga leo mapema sn tuwape maua yao
Story nzuri
THE- stering' 👍
Dah Balozi bn😅😅😅
Najiona navorudishwa tz mkukumkuku 🤣🤣
Ila pole sana mwana pambana tu
Kabinyau Bro Kalibu tena kiwanjani Ujachelewa … Jeni bye bye😂😂 Nainjoy kipindi 🫡🫶🏿
Respect
Nimecheka kwa sauti sana...
Eti mibati juu mipira ya gari, sasa hii ya nini!!!???? Hahahhahaha
Daaah kabunyau anamaliza 😂😂
Jamani mbona hatupati sehemu ya 14
Mwana 2007 mimi ndiyo fresh yangu kwangu natural Bongo.
Hahahaha walikuchanganya
Mitairi kwenye bati😂😂
Aaaaaaaaah.... Home sweet home
Story nzur sana baharia lakin ulifeli kitu kimoja tu ulipokua kule ungejitahidi kila njia either uzae mtoto na demu mwenye ulaiya wa kule au uoe demu mwenye ulaia wa kule hzo njia lahisi hazimtupi baalia
Wale wanajua kiswahili Sema mikausho mikali
Ahhhh😂😂😂😂😂 huyu Jamaa anamisemo sio ya kawaida ’’za kichwa ni kesi ya muaji’’ na ‘’ Ndosi ni Maumivu ya Kichwa’’ halaf ukikosea hakuachi atakama unamuinterview 😅😅😅
bado kabisa element za kisouth anaish nazo
Nataka namba ys huyu mwamba ana maneno sumu 😅😅😅😅
Avalon hiyo uwamihaji kule chini kuna mafahili ya kumwaga Mzee kabinyau,Nimeingia hapo 1997
😅😂😂 Ugali bambia minyanyachungu rundo😂😂😂😂😂😂
Watuwasafali wanaroho ngumu sana tz maisha siopoa ndomana watuwanajaribu kuzamia
kabunyai mibatiii meusiii😅😅😅
Juu mipira ya gar 😅😅😅
😂 nmekumbuka nlitaka kuingiaga Japan tukanasa Airport tukarudishwa
Ukapiga kabinyauuuu
Ugali, dagaa tembele 😂😂😂
Haha bati juu nyeusi kuna mataili
Hawa wahuni unawapekua nchi ipi,eti baharia balozi
Maelezo machache
Hhhhhhh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah balozi mchizi wa wana
Yote tosa baria nomekubali story na ulifanikiwa kuzama fresh kule na mambo meng kwako naona yakawa ilee mteremko ila ulishindwaje kua mwanarakat mana ulikua unalata mda wa kwenda kilub na ukachagua ile sehem waliko kua wazungu tuu hatimae ukafanikowa kuwepo pali kwann haukuamua kuomba raman zakufanya kujishulisha na pia hata maaskar hao na yule mwanao alikua anakubadilishia sehem zakuish kwann usingeomba raman kwake kikaz kuna wale walikua wakikupa mtonyo ulishindwa vp kuomba bwana nataka kz sio ela tu bt unaonekana ulikua na zal la bahat sn kuanzia bandar
Ukisha kataliwa kupewa document ulaya uluhusiwi kufanya kazi
Balozil mbavu zangu jamani nakupata kutoka+250
Leteni stor nyingine
Yaan matifali juu ya Bati......mipira ya gar....
Jembe yule joberg alikuwa mtamu sana alikuwa wamalawi wakimwona kama Rais mbona alijisahau hakujenga Home sweets Bt is life no balance
Weweee Ikeiriri kwa Manjenga kkkkkkkkkkkk
Uhamiaji avalon hiyo baharia unanigusa mwanaoooo
😅😅😅
Baharia balozi yeye sio mtu wa ngoma yeye ni mtu wa wali jogooo
Story kali xn
Nafurahi kumsikiliza huyu jamaa lakini kuna huruma hv inanijia,najikuta namuonea huruma sana huyu mwamba.
Swali langu ni hivi,inakuaje mtu alikuwa dingi mbele mbele miaka mingi, ulaya au South Africa, alafu inatokea la kutokea anarudi nyumbani hana chochote matokeo yake mtu anadata Dupamdupange???????
Starehe nyingi wanajisahau
😂😂😂😂
panadol dawa au.sio.dawa...tuletee wazee wa meli bana kabunyau anaua hvyo
Kabunyau mtu Mbad
😂😂😂