wew musukuma leo ndio umeongea pumba kuliko siku zote au unatumwa sasa hivi umeshakua mamluki elimu bule iondolewe unaona wanajaa mashulen sababu hawana pesa ya kuwalipia nakuhakikishia hakuna hata mtu mmoja anaependa mwanae asome kayumba ni umasikin tu acha uboya utapoteza heshima yako sasa hiv kama zito kabwe
baada ya kufikiria unaboreshaje miundombinu unawaza kuweka vikwazo watoto wa maskin wasiende shule,heri nusu Shari kuliko Shari kamili.Msukuma umepoteza point 3 leo😎😎😎
Hakuna cha elimu kubwa akili yake ni ndogo sana anavyosema elimu walipie kwan tulivyo kua tunalipia walimu waliongezeka shule zilikua nzurii madawat yalikuepo vyetu ivyo vilikua majanga hawa wabunge hawatutetei kwakua wao watoto wao hawko kwenye shule za kat ndio Mana anasema ada irudishwe lakin mungu anawaona pumbavu
Kitu kilichonishabgaza eti utanaduni Watu wanaoimba bila Elimu wametunukiwa mamimilioni ya Shs hawa waalimu wengi ni graduates 🎓 lkn hawakumbukwi mishahara na marupurupu yao kutokana na mazingira wanayoishi na kufanya lizingatiwe Mungu awapatie moyo Mkuu
Kuna jambo muhmu sana ambalo nchii bado halijatambua,khs ishu za ajira,si kwamba ajira hakuna,ila kumewekwa mda mrefu wa watumishi kazn, hebu wekezen constant miaka 7-10, naamin hlo jambo litaisha,na kila alyesoma ataonja radha ya ajira,na hat hyo mikopo italud,pia hakuna ambae atakua mzemb na mshahara wake,pai heshma baa itapotea na itasadia mtu kujpanga kwa kuanza maisha mengn mtaan,so ajir ztaongezeka kwa wasio soma
Huyu ilo jengo linamchanganya hajui baada ya kurudi elimu ya kulipia watoto wangapi watarudi nyumbani ,jambo la msingi aishauri serikali iboreshe miundombinu na kuwaajili walimu ,izo tozo wanapeleka wapi pesa????
TATIZO SIYO ELIMU BURE! ELIMU NI HAKI YA MSINGI YA KILA MTOTO WA KITANZANIA. TATIZO NI UHABA WA WALIMU. JE WALIMU WAPO AU HAWAPO? JIBU WAPO WA KUTOSHA MTAANI. HIVYO ISHAURI SERIKALI IAJIRI WALIMU WA KUTOSHA. NA SIYO KUONDOA ELIMU BURE. LEO MSUKUMA UMECHEMKA
Hivi wewe msukuma unajielewa kweli au, unamaanisha unataka wanafunzi wapungue mashuleni usidhani wazazi wote wana hela za kusomeshea? Hayo mnayo yasema hapo ndio matokeo ya kusababisha majambazi Magufuli aliona mbali sana sababu kuna watoto wa masikini vijijini wana kosa elimu ndio maana akaweka elimu bue
Yan Tanzania tu Mbunge mmoja Msukuma tu hao wengine Kaz Yao kututombea mademu Zetu tu huku mtaan Kuma la mama ake Akisha mkula anakimbia Kama Husein Bolt Yan namtam Kuna Mbunge ipo cku ntalipa ata kwa Mke wake Mbez Beach ndogo tu ntapajua kwake atafurah
@@kamalissabig4631 Hahahahah pole sanaaa hao jamaa Uchi nd kila kitu kwao hawana kaz za kufanya ndomana siwez kuandamana kwaajil ya hao mbuzi ata cku moja
Ila wabongo wa kukurupuka na kuanza kuandika hawajambo! Unsoma comments hapa baadhi zinashangaza mnooo! Ni vyema ukatuliza akili na kukifatilia kitu kwa undani kuliko ukisikie tu juu juu halafu ujifanye umekielewa! Mnaomshutumu msukuma hamjamwelewa msukuma!
Huyu nae. Tangu elimu ilivokua yakulipia hapakua na walimu wakutosha. Kwa hivyo we we ulitaka watoto was masikini wasi some . watu kama wewe ndio mnatakiwa Mungu awaondoe duniani faster. Sijui nani kampigia kura huyu chawa
Kwasasa Hakuna bunge lenye tija kwa nchi, wa bunge acheni kukurupuka tu bila kufikilia, tambueni maamuzi mnayofanya yanaathiri wananchi wenu moja kwa moja.
@@jameskilasa759 nimemuelewa sana, mimi vyeti vyangu viliungua na nimepata kazi lkn vyeti viliungua. Nilikuwa nimeviweka kwenye email. Sasa kama bondi naweza chukua pesa ndefu vyeti wakabaki navyo na maisha yakasonga. Ndo maana nikasema la saba kuna kipindi linajidhihirisha.
Sio kufuta elimu bure, ni kuongeza madarasa na kuajiri walimu wakutisha kupunguza huo mrundikano madarasani, na mikopo ya elimu ya juu iendeelee Ila wakimaliza chuo waajiliwe na serikali itakata madeni yao. Msukuma wewe ni jiwe lakini kwa hoja hii umetokosa sikuelewi baba.au unataka masikini wasiosoma waongezeke ?
Mimi nimemuelewa msukuma na wazo lake juu ya Elimu ya msingi.lingekuwa na tija kama angetoa wazo mbadala badala ya kuacha kutenga fedha za elimu bure. Nafikiri ni kuongeza budget kuwarecruit walimu wa kutosha ambao wapo wengi pasipo na ajira ikizingatiwa kwamba Elimu ni Haki ya kila mtu
Sijakuelewa msukuma, unamaanisha watoto wa masikini hawana haki ya kupata elimu? Unataka elimu iwe ya wenye uwezo wa kulipa ada? Mbona unataka kutengeneza matabaka na kuzalisha machokora au watoto wa mitaani wakutosha!!? Tatizo si wingi wa watoto, bali serikali iongeze shule, iongeze majengo ya shule na waalimu. Pamoja na wingi wa watoto, lakini wote wana haki ya kupata elimu. Pia serikali isimamie vizuri wafanyakaz wake, mbn mzee wetu JPM aliweza? Sisi tuliobaki tunakwama wapi, wakat hata kodi mlitupandishia? Tendeni ya haki, na Mungu atawslipa yaliyo ya haki. Mungu awabariki sana.
haujamuelewa target yake watoto wanapelekwa shule pass na elimu hii amelenga walimu waongezwe kutokana na ongezeko la wanafunzi sio wanafunzi 4000 walimu 9
Huyu jamaa msikilize vzr ndio utamuelewa! Ila kwa upande wng mm hata wanaposema elimu bure mmmmh hakuna bure kwakwel kila siku michango mashuleni na usiombe mwanao awe dalasa la 4 au la saba
Lkn haina tija me mwenyw mwl darasa leny watoto 200 NI ngum kumudu wajue kusoma, km co mwl huwez ona hio shida, walimu wanafundisha wanapoweza akichoka anaburuza tu Kaz kwa wazaz wao
Hiyo milioni 500 iliyotolewa ili kumchafua JPM itawatesa sama msenge wewe,badala ya kusema muajiri walimu unaleta habari za kisenge,haya kakae na mwigulu mpange ada tena shule za msingi tuwekeeni laki tano kwa mwaka fala wewe
Huyu Mbunge ana hoja nzuri
Hapo umechemka bro
Tutaelewana tu
Ngwajima
Hapo mnataka kupiga hela za ada
Msukuma nyamaza
Ww ndo mbulula kweli.
Hapo umerong msukuma
Kwakweli nimekuelewa sana Msukuma
Kuna vichwa bungeni..msukuma ni kichwa
Sjakuelewa
Bora aishauri serikali waongeze waalimu kuliko kuondoa elimubure
Skilizen mpk mwisho mtamwelewa,, achana na kichwa cha habari
Munɡu akusaidie sana msukuma huwa nakuelewa
C muajili walimu muongeze na shule zenye majengo mengi
Leo msukuma kaonesha uwezo wake wa mufikiri
wew musukuma leo ndio umeongea pumba kuliko siku zote au unatumwa sasa hivi umeshakua mamluki elimu bule iondolewe unaona wanajaa mashulen sababu hawana pesa ya kuwalipia nakuhakikishia hakuna hata mtu mmoja anaependa mwanae asome kayumba ni umasikin tu acha uboya utapoteza heshima yako sasa hiv kama zito kabwe
Ase toa hoja ingine lakini c kwakutoa elimu bure
Dah kwa Mara ya kwanza sijakuelewa msukuma; mbona kuna watu wengi hawana ajila afu walimu hawatoshi
Msukuma unajitaidi sana anɡalau. kaelimu kako ulikonako unakatendea haki.
Wakiweka ada inamaana wengine hawatasoma kujaa kwa wanafunzi kutoe chachu ya kutumia lasilimali tulizonazo
Muongo huyo watoto Mia 5 darasa moja
baada ya kufikiria unaboreshaje miundombinu unawaza kuweka vikwazo watoto wa maskin wasiende shule,heri nusu Shari kuliko Shari kamili.Msukuma umepoteza point 3 leo😎😎😎
Hapo cjakuelewa
Mtaani kuna Waalimu wengi sana hawana ajira.
Badala ya kuondoa Elimu Bure
Mbadala ni kuajiri waalimu wa kutosha kukudhi mahitaji
nafikir hiyo ndio target yake kuliko wanafunzi 3000 walimu 9 ni bora walimu waongezwe
Bony nani awaige chadema, acha mawazo mgando
Ò
Msukuma sku zote alikuaga anaongea point saiv nahis kalogwa
🚬🚬
Nipo mang'ola nimekupata kwaundan sana
Acha ujinga!! Badala kusema waboreshe unasema watoe TNA!
Huyu jamaa sio darasa la saba elim kubwa sana alionayo huyu akil kubwa sana
Kila mtu ana karama/talanta kutoka kwa Mungu, hivyo basi shule /elimu ni sawa na kufika mahali unauliza wenyeji njia ya kuelekea unakotaka kwenda
Hakuna cha elimu kubwa akili yake ni ndogo sana anavyosema elimu walipie kwan tulivyo kua tunalipia walimu waliongezeka shule zilikua nzurii madawat yalikuepo vyetu ivyo vilikua majanga hawa wabunge hawatutetei kwakua wao watoto wao hawko kwenye shule za kat ndio Mana anasema ada irudishwe lakin mungu anawaona pumbavu
Pamoja
Nakubali Sana hoja ako inamashiko sana
Kitu kilichonishabgaza eti utanaduni Watu wanaoimba bila Elimu wametunukiwa mamimilioni ya Shs hawa waalimu wengi ni graduates 🎓 lkn hawakumbukwi mishahara na marupurupu yao kutokana na mazingira wanayoishi na kufanya lizingatiwe Mungu awapatie moyo Mkuu
MUAJIRI WATU..KUMBE HAKUNA WALIMU NA HAMTOI AJIRA ACHENI UPUUZI ONGEZENI WALIMU ELIMU BURE IBAKI
Kwan walimu SI wanahitimu kila mwaka kwann wasiajiriwe wote na madarsa yaongezwe mashulen Mana pesa mnazo kila sku mnakopa
Huwa ninakuelewa sana mh Msukuma
Sasa wew unataka nani alipe hiyo gharama ikiwa utatoa elimu bure
Hivi yeye ni mfanya biashara tena wa mabasi itakua vizuri tuondoe naulii
Huyu jamaa kaongea ukweli kabisa ,,,
Kuna jambo muhmu sana ambalo nchii bado halijatambua,khs ishu za ajira,si kwamba ajira hakuna,ila kumewekwa mda mrefu wa watumishi kazn, hebu wekezen constant miaka 7-10, naamin hlo jambo litaisha,na kila alyesoma ataonja radha ya ajira,na hat hyo mikopo italud,pia hakuna ambae atakua mzemb na mshahara wake,pai heshma baa itapotea na itasadia mtu kujpanga kwa kuanza maisha mengn mtaan,so ajir ztaongezeka kwa wasio soma
Wazo zuri sana
Huyu ilo jengo linamchanganya hajui baada ya kurudi elimu ya kulipia watoto wangapi watarudi nyumbani ,jambo la msingi aishauri serikali iboreshe miundombinu na kuwaajili walimu ,izo tozo wanapeleka wapi pesa????
Hujamuelewa
nikweli kabsa nimjinga sana
👋🏼👋🏼👋🏼📌📌
Wafanyakazi mishaara midogo aitoshi kabisa Wala Awana uwezo
Mbunge asiyejiheshimu yani huyu akamatwe apelekwe kwa waarabu wamuozeshe tupate punguzo la mafuta
TATIZO SIYO ELIMU BURE!
ELIMU NI HAKI YA MSINGI YA KILA MTOTO WA KITANZANIA.
TATIZO NI UHABA WA WALIMU.
JE WALIMU WAPO AU HAWAPO?
JIBU WAPO WA KUTOSHA MTAANI.
HIVYO ISHAURI SERIKALI IAJIRI WALIMU WA KUTOSHA.
NA SIYO KUONDOA ELIMU BURE.
LEO MSUKUMA UMECHEMKA
Fact
Haka we ni jiwe la ukweli
A cha ujinga we Kama unahela zakupeleka wanao natauchoongeahakieleweki
Hii pumba unaongea wew kwel mheshimiwa😃
Haki ya wote kupata Elim izingatiwe.
mimi hua nakuelewa laki leo hapana na wewe leo unamkataa magufuli ama kweli tatizo si elimu bule tatizo ni miuodo binu ya shule
Huyu jamaa kwa sasa aitwe ,Profesa Msukuma
Alieandika caption awe makini
Mchango mzuri lkin ,watot wa maskin wenye akili n akina nani na wasionakili n akina nani?
Kweliii mfanya biashara hawez kua mtetez mhhhh
Msukuma leo umechemka zingetafutwa njia nyingine za kutatua hili lakini sio kutoa elimu bure
We nawe ni shida kwan elimu Bure imeanza lini !? Ata miaka kumi bado hao watoto wamemaliza Lin shule ya elimu Bure wakaenda kuwa machinga
Hivi wewe msukuma unajielewa kweli au, unamaanisha unataka wanafunzi wapungue mashuleni usidhani wazazi wote wana hela za kusomeshea? Hayo mnayo yasema hapo ndio matokeo ya kusababisha majambazi
Magufuli aliona mbali sana sababu kuna watoto wa masikini vijijini wana kosa elimu ndio maana akaweka elimu bue
Yan Tanzania tu Mbunge mmoja Msukuma tu hao wengine Kaz Yao kututombea mademu Zetu tu huku mtaan Kuma la mama ake Akisha mkula anakimbia Kama Husein Bolt Yan namtam Kuna Mbunge ipo cku ntalipa ata kwa Mke wake Mbez Beach ndogo tu ntapajua kwake atafurah
Kama unadem Udom poleee Hahahahaha
@@mohamedmkadidi9475 si Bora ata ingekuwa UDOM huku huku dar
@@kamalissabig4631 Hahahahah pole sanaaa hao jamaa Uchi nd kila kitu kwao hawana kaz za kufanya ndomana siwez kuandamana kwaajil ya hao mbuzi ata cku moja
Hee ilikuaje tenaa
@@miriamwinston9908 unataka story
Ila wabongo wa kukurupuka na kuanza kuandika hawajambo! Unsoma comments hapa baadhi zinashangaza mnooo! Ni vyema ukatuliza akili na kukifatilia kitu kwa undani kuliko ukisikie tu juu juu halafu ujifanye umekielewa! Mnaomshutumu msukuma hamjamwelewa msukuma!
Msukuma kasema ukweli kabisa walimu ni wachache watoto ni wengi.
Hakika,mi nimemuelewa yaan serikal wanapoteza ela nyingi bila sababu ya msingi,maana elimu ya bure hamna mkazo wowote uko
Saizi Mr.Msukuma ni dr. soon atakua Profesa
Mbona wakati wa magufuli hukushauli elimu bure iondolewa mnafiki mkubwa w
Hajasema iondolewe
Huyu nae. Tangu elimu ilivokua yakulipia hapakua na walimu wakutosha. Kwa hivyo we we ulitaka watoto was masikini wasi some . watu kama wewe ndio mnatakiwa Mungu awaondoe duniani faster. Sijui nani kampigia kura huyu chawa
Kwa hili msukuma umefeli pointless.
Ukweli NI kwamba yashawashinda!!!!!
Hili nalo jipu ka jipu jingine.badala ya kusema ajila zitolewe wewe unabwabwaja et mlikosea
Kwasasa Hakuna bunge lenye tija kwa nchi, wa bunge acheni kukurupuka tu bila kufikilia, tambueni maamuzi mnayofanya yanaathiri wananchi wenu moja kwa moja.
❤❤❤❤❤❤akili kubwaaaaa wafundishe maprofessor
Yaaani msukuma nakuombea uwe kuwa raisi Siku moja asante brother upo vizuri Mungu akutangulie na akuongoze kwenye safari yako💪.
Ukweli mtupu..
Yani kweli watoto hawajui kusoma na kuandika
PHD unaitendea haki,Dr.Joseph
Ongezeni walimu
Nikiwa km mwl Yupo sahihi kabsa mambo ni magumu Sana shule za serikali za primary
❌wrong kama wanafunzi ni wengi si utoe hoja ya walimu kuajiriwa. Kuliko elimu bure kufutwa na mototo wa maskin kukosa elimu
Weee umechemka ww unamkopeshaje mtu ambae Hana kitu
Toeni ajila kwa waalimu mbona n wengi wapo mtaani?,, baada yakusema tuongeze ajila we unasema elimu bure ikome,, na kodi zilivojaa,, nyie mkoje
Uyu jamaa anawaza nini
Dr. Kuna shida na namna unavowaza kwenye hili la kuondoa elimu bure.
Msukuma leo umechemka sema waalim sio elimilipiwe hacha kutuchanganya hao masikini unaoongeani wapi naunaotaka waccangie Elin niwapi leo umechemka
Kuna wakati la saba la msuku huwa linaonekana wazi.
HUjamuelewa
@@jameskilasa759 nimemuelewa sana, mimi vyeti vyangu viliungua na nimepata kazi lkn vyeti viliungua.
Nilikuwa nimeviweka kwenye email.
Sasa kama bondi naweza chukua pesa ndefu vyeti wakabaki navyo na maisha yakasonga.
Ndo maana nikasema la saba kuna kipindi linajidhihirisha.
Elimu Bure haina tatzo ww ishauri serikali iongeze ajira za walimu si madarasa yameshajengwa kwa Fedha za covid 19.
Msukuma ndo daktari wa wabunge!!
Hv wewe msukuma minlazima uchangie Kila hoja?
Hapa msukuma umeningia kinyume naa... Haujui kuwa kuna wazazi masikini huku mtoto anakipaji???
Sio kufuta elimu bure, ni kuongeza madarasa na kuajiri walimu wakutisha kupunguza huo mrundikano madarasani, na mikopo ya elimu ya juu iendeelee Ila wakimaliza chuo waajiliwe na serikali itakata madeni yao. Msukuma wewe ni jiwe lakini kwa hoja hii umetokosa sikuelewi baba.au unataka masikini wasiosoma waongezeke ?
Watoto wengi Wacha wasome ,elimu bure ndiyo NZURI ,we msukuma Leo umechemka kwelii , kwanini serikali ikaajiri Waalimu
Wanasoma ndio lkn sio Bora mtoto anafika la 3 hajui kusoma mazingira ni magum otherwise waajili walimu wa kutosha
Huyu jamaa zero
Mimi nimemuelewa msukuma na wazo lake juu ya Elimu ya msingi.lingekuwa na tija kama angetoa wazo mbadala badala ya kuacha kutenga fedha za elimu bure. Nafikiri ni kuongeza budget kuwarecruit walimu wa kutosha ambao wapo wengi pasipo na ajira ikizingatiwa kwamba Elimu ni Haki ya kila mtu
Wangapi waliskia na hii 👇👇👇👇
ua-cam.com/video/SgrMYz661Is/v-deo.html
kusoma sana sio ndio kuwa akili na maalifa
Una baya
Research za mchongo tu sk hz
Kweli hawa wabunge ni hofya waliopitisha kusema shule ni bure bila ada leo hii unatuambia nini
Dah msukuma hapo sas hapan tulikuona wa maana Sana lakini unaelekea pambay Yaan unataka watoo wetu warudi nyumban hapan ase
Sijakuelewa msukuma, unamaanisha watoto wa masikini hawana haki ya kupata elimu? Unataka elimu iwe ya wenye uwezo wa kulipa ada?
Mbona unataka kutengeneza matabaka na kuzalisha machokora au watoto wa mitaani wakutosha!!?
Tatizo si wingi wa watoto, bali serikali iongeze shule, iongeze majengo ya shule na waalimu.
Pamoja na wingi wa watoto, lakini wote wana haki ya kupata elimu.
Pia serikali isimamie vizuri wafanyakaz wake, mbn mzee wetu JPM aliweza? Sisi tuliobaki tunakwama wapi, wakat hata kodi mlitupandishia?
Tendeni ya haki, na Mungu atawslipa yaliyo ya haki.
Mungu awabariki sana.
Kweli ujamuelewa
Msukuma na elimu wap nawap?hapo anataka akae madarakani milele wasomi watatoka wap tena wakati watakua machokolaa??
haujamuelewa target yake watoto wanapelekwa shule pass na elimu hii amelenga walimu waongezwe kutokana na ongezeko la wanafunzi sio wanafunzi 4000 walimu 9
Huyu jamaa msikilize vzr ndio utamuelewa! Ila kwa upande wng mm hata wanaposema elimu bure mmmmh hakuna bure kwakwel kila siku michango mashuleni na usiombe mwanao awe dalasa la 4 au la saba
Hahahaha yaah nimekuelewa msukuma
Atoe mawazo yake bana.akati wanatukata mapato mengi mengi mara kodi za nyumba,mara mafuta yaan apa wakilala wakiamka ni kitu kipya
Atakipindi tunalipia hali ni ileile we msukuma kweli huna akili kabisa
Ndio maana ya mwenye nacho huongezewa
Elim bure iendelee mpaka mwisho msituletee visingizio vya kishoga Qmamaee
🤣🤣🤣 Daaah Kaka Kali San iyo
darasa la saba ni shida tupu, hujui sheria za kimataifa Kua kila mwananchi anatakiwa kufundishwa na nchi yake bure?
Lkn haina tija me mwenyw mwl darasa leny watoto 200 NI ngum kumudu wajue kusoma, km co mwl huwez ona hio shida, walimu wanafundisha wanapoweza akichoka anaburuza tu Kaz kwa wazaz wao
Hiyo milioni 500 iliyotolewa ili kumchafua JPM itawatesa sama msenge wewe,badala ya kusema muajiri walimu unaleta habari za kisenge,haya kakae na mwigulu mpange ada tena shule za msingi tuwekeeni laki tano kwa mwaka fala wewe
Ukiwa na wabunge Kama hawa wajinga kwaiyo hiyo pesa ya tozo pesa ya uviko mnazokopa zinafanya kaz gan
darasa la 7 bungen 🎫⛄⛄⛄ ndo mazara yake hayo