Yani mimi namwelewa sana diva kinachomtesa anampenda sana Abdul atahangaika mpaka pale moyo wako utakapo mchukia ndo ata move on hayo ni maumivu ya mapenzi yana mtesa
Eti wanawake wengi wako desperate na ndoa na Abdul😂😂😂! Kama wewe ulivyokua desperate nae adi akakuoa. Kweli nyani haoni kundule😂😂😂😂😂. Diva sio mzima kichwani I swear!!
Huyu dd ni kichaa sana kuliko vichaa wanaokula majalalani huyuhuyu ndy aliandika km hayupo na Abdul na wala wasimuhusishe na chochote sasa alifata nn huko kwenye ndoa km hamtaki mshenzi huyu anachezewa mchezo nwenyewe hajijui tu😂
Aisee Diva anatia huruma nimesikiliza hii interview Diva Ana tatizo kubwa.Mara ananipenda Mara Malaya.Jamani mpaka mtangazaji kachoooka .But Im glad now wameachana it was a nightmare
Kwani Diva !watu wengi walikuwa wamekushauri kuhusu kuolewa na Shehe Ulikaa kabisa na ukawa una sema wana kuonea wivu, Sasa nini kina kuliza mtandao Hebu tupishe huko bwana wewe.
Humility is what diva needs she is a good person but she lives in a Disney world, she needs to wake up to reality and live a humble life she will be great, when u try to put others down to rise yrself esteem, u end up looking greedy for power and fame, these things can't make u a wife but a knife.
Kwa Mtazamo wangu Diva bado anampenda sana Abdul.Aisee hakuna kitu kigumu kama kupretend Yan unaongea TU Ili usionekane mnyonge lakini ukiwa peke Yako unaumia sana...mapenz hapana kwakweli uwiiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌
Psykopat.. Mwanaume wa Ki Islam anaruhusiwa 4 wives. Eti Mzungu Wangu.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Famous people tunakutana nao Kila siku mitaani.. Brand, Brand ipi? 🤷🏽 Please give us a break!? 🤷🏽
😢Sheikh WA mchongo amekuroga YAANI Amekutomba akili zikawa mbovu sasa huyo Mjinga huyo Abdul. Ungemwacha Jana ungemvusha kitambo nangoja talaka kufa wewe utampata ukwili. Wewe sio mkali maana Mimi Abdul hangekaaa hata 5min
Mambo ya familia huwa hayazungumziwi kwenye mitandao. Busara kaeni mzungumze tofauti zenu. Mkishindwana mnajua taratibu za kufuata. Kuyaweka huku mkumbuke kuna kesho na mna familia na ndugu.
He. Poleni vijana kwa changamoto za maisha. Sasa huyu mume bado ni shehe kweli au? Mie ni mkristu. Ila zamani tumelelewa ktk jamii ambayo ukisikia mtu ni shehe unaona amebeba majukumu makubwa sana ktk dini na kuheshimiwa tena kwa kuogopwa. Sasa je mashehe wakisikia habari hii ya kusikitisha na aibu kuhusu shehe mwenzao je watajisikia vipi?
My beautiful Sister in Islam I love you but sizani kama nivizuri kuongea mambo ya mumeo hazarani!! Kama umeshindwanae achana ane kuliko kuonge mazaifu ya mmeo. Sote tunapitia mazito, lakini tukishindwana tunaachana maana hakuna aijuaye kesho I'm sorry but I have to say that
Kuna kurogwa lkn wewe ni zaidi ya kurogwa, Yaani hata Ile akili ya ziada hata kdg hauna,, Unaanzaje kuolewa na mfuga majini... Na bado ujasema, Au katelelo ndio inakuchanganya!! Maana mhaya ikipelekea hiyo stle iyo uchomoki
Mshamba wewe limbukeni wa wanaume halafu unapenda kujisifu. Kama yeye rahisi kuvua nguo zake na wewe pia ulikuwa rahisi kumvulia weye. Si unapenda ushirikina ulikwenda kwake kuroga sasa kakuroga wewe mpaka ukaingia kingi mzimamzima. Leo unasema sawa sawa kama sio wewe. Kumbe stresse zinakurudisha kwenye asili yako leo unasema vizuriiiiii. Acha kujifanya nature yako nzuri kuliko unavyojifanya hijui kiswahili. Afadhali kakufundisha adabu na kakutia akili na mji ushauona mama be nature utakuwa mzuri zaidi. Leo mzuri hata sauti yako. Lakini kujifanya hupendeI unaonekana cartoon tu. Be nature. usijifanye
Mwanaume haitwi Malaya siku ZOTE ataiweje ila mwamke ukileta ngebe juu ya mwanaume utadharirika ww sasa hapo na mapenzi unampa alafu humtaki jiangalie KABLA ujaongea
Bado unampenda ungekua hummtaki ungemuacha hata kesho, unacho tafuta kwake ni kuumizana tuu, wanawake wengi wanaumizwa na wanaume ni kama wewe diva unaefikiria unapendwa huku signs zote zipo hakuna ndoa hapo. Stop foolish your self, you have one life
Diva huna jipya, tumekuchoka. Kwani lazima uwe na huyo Mganga?.Ww kibibi Kigagula ndo maana Kiba alikupiga chini na akakubatiza jina la Kigagula. Ww ndo unachunwa na Mganga.
Tulia tu na huyo mganga mpaaka muaibishane mitandaoni hata itokee kweli muachane dini inasema tuachane kwa wema nyinyi mupo pamoja ila mnacheza na Mungu mnafanya ndoa ni movie
Laana yote hii unayoyapitia ni kubadili dini na kuwa muislam hiyo dini huijui na hata kusoma quran huilewi lugha. Mrudie yesu wako utaona amani ya moyo, huko uliko siko
Yani mimi namwelewa sana diva kinachomtesa anampenda sana Abdul atahangaika mpaka pale moyo wako utakapo mchukia ndo ata move on hayo ni maumivu ya mapenzi yana mtesa
Usimvue nguo Sanaa ,muombee Mungu amuongoe TU🙏
Diva Akili zako ni kama mtoto
She’s stupid
Sikupenda kabisa ulipo olewa na Abdul kusema ukweli . Mimi ni mkenya na sometimes hufuatilia mambo ya Tz.
Eti wanawake wengi wako desperate na ndoa na Abdul😂😂😂! Kama wewe ulivyokua desperate nae adi akakuoa. Kweli nyani haoni kundule😂😂😂😂😂. Diva sio mzima kichwani I swear!!
Kisa Ana zungumza English she think she’s smart
Kakojoe ikalale unajisifu sana. Leo unasema vizuriiiii kama muungwanabfulani hivi. Kakutia mjiniganga shoga, kakojoe ukalale.
Huyu dd ni kichaa sana kuliko vichaa wanaokula majalalani huyuhuyu ndy aliandika km hayupo na Abdul na wala wasimuhusishe na chochote sasa alifata nn huko kwenye ndoa km hamtaki mshenzi huyu anachezewa mchezo nwenyewe hajijui tu😂
Na alishasema anaingilia mpk wanaume wenzie 🤣
Diva tatizo unampenda sana huwezi msema mumewe kwenye public
Sio amri yake karogwa dawa zimeisha 😂😂
Siyo mumewe ni mumeo
Mwanamuke unamdomo mukigombana2 kadogo unapereka mitandao mimi nafkiria ata familia yamwanaume wanajuta kwanini abdouli ali kuowa ,
Aisee Diva anatia huruma nimesikiliza hii interview Diva Ana tatizo kubwa.Mara ananipenda Mara Malaya.Jamani mpaka mtangazaji kachoooka .But Im glad now wameachana it was a nightmare
Ila Diva jaribu kuwa msiri jmn..
Kwani Diva !watu wengi walikuwa wamekushauri kuhusu kuolewa na Shehe Ulikaa kabisa na ukawa una sema wana kuonea wivu,
Sasa nini kina kuliza mtandao Hebu tupishe huko bwana wewe.
Well said
Sasa kweli wewe ni mzima kweli?mwanaumme malaya hivyo hana ukimwi kweli
Anao mama..tunajua na tuna evidence
@@esterpaul5856what😮gani?
@@esterpaul5856umejuaje?
@@esterpaul5856ukweli? Kwani mm nilijua anaumwa ugonjwa mwingine
huyu mbwa wa kike ndio anatabia mbayazaid
Mwezi mchanga huyu😢
Ila Diva hivi ni wewe kweli unayemganda huyu mwanaume mjinga malaya unatia aibu
Aliwahi kukutongoza???😮
Don’t talk someone things when you ar in anger,why guys mnapenda put everything in social media?
I'm asking myself the same question..🤔
Divaaaa yani cjui lini utaamkaa kwa usingizi
Huyu Diva Wakat mwingine kama hazimtosh mungu anisamehee Hasa maneno yote ya nn si uamuz ni wako
Mm naona zinamtosha uoni waliopita aliwaumiza ss kama tadinu tudan
Hapo Diva amemtukana sana Sheikh Abdulrazak
Ngoma droo usipo mheshimu mke wako unajitusi mwenyewe. Diva na ujinga wake kavumilia mengi.
Humility is what diva needs she is a good person but she lives in a Disney world, she needs to wake up to reality and live a humble life she will be great, when u try to put others down to rise yrself esteem, u end up looking greedy for power and fame, these things can't make u a wife but a knife.
Kwa Mtazamo wangu Diva bado anampenda sana Abdul.Aisee hakuna kitu kigumu kama kupretend Yan unaongea TU Ili usionekane mnyonge lakini ukiwa peke Yako unaumia sana...mapenz hapana kwakweli uwiiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌
Psykopat.. Mwanaume wa Ki Islam anaruhusiwa 4 wives. Eti Mzungu Wangu.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Famous people tunakutana nao Kila siku mitaani.. Brand, Brand ipi? 🤷🏽 Please give us a break!? 🤷🏽
Divah anapempenda mumewe jamn aya yote anaongea anataka mumwe habadilike jmn
Kama unavyo vyote hivyo kwenu.gari maghorofa.mbona unakaa nae sasa? Na unakaa nyumba yakupanga??
Hana lolote na kwao hawana utajiri wowote ana maisha ya ku fake tu
Yanini kuolewa wakati,mwanamke anatakiwa amsitiri mumewe ata kama anatabia za ajabu ila kama mwanamke msitiri basi
Diva akili zake anazjua mwenyewe 😂😂😂 et wanamtongoza😂
Diva akili yako sio nzuri
😢Sheikh WA mchongo amekuroga YAANI Amekutomba akili zikawa mbovu sasa huyo Mjinga huyo Abdul. Ungemwacha Jana ungemvusha kitambo nangoja talaka kufa wewe utampata ukwili. Wewe sio mkali maana Mimi Abdul hangekaaa hata 5min
Bado hujamove on .move on my dear utakufa.
Huna haja ya kusema yote haya, fata taratibu muache upewe talaka tumechoka jamani
You need help dada💔
Kama unavumilia yote hayo ungenyamaza tu mwanamke wa nguvu na roho ya huruma wakipekee kabisa😂
Mambo ya familia huwa hayazungumziwi kwenye mitandao. Busara kaeni mzungumze tofauti zenu. Mkishindwana mnajua taratibu za kufuata. Kuyaweka huku mkumbuke kuna kesho na mna familia na ndugu.
Huyo so sheikh.msiharibu jina la masheikh.wote Malaysia nyie mumekutana
Wewe Diva tukome kabisa.tumekuchoka nakelele zako atakaye amuwa kuachika niwewe mwenyewe,ukinukiwa na yeye utaamuwa.usitutoshe sisi
😅😅😅😅wewee
Wote mtakuwa wagonjwa maana hakuna mtu mwanaume wake ana tabia za hivyo akabaki. Wewe diva ni desperate and sick women pamoja na huyo tapeli wako
Huyu dada angekuwa mrefu au mzuri watu wa ovyo ovyo tungekoma😂
He. Poleni vijana kwa changamoto za maisha. Sasa huyu mume bado ni shehe kweli au? Mie ni mkristu. Ila zamani tumelelewa ktk jamii ambayo ukisikia mtu ni shehe unaona amebeba majukumu makubwa sana ktk dini na kuheshimiwa tena kwa kuogopwa. Sasa je mashehe wakisikia habari hii ya kusikitisha na aibu kuhusu shehe mwenzao je watajisikia vipi?
Tulivo kua tuna comment kwa diva ju ya mganga wake aka to block tujuane apa 😅😅
My beautiful Sister in Islam I love you but sizani kama nivizuri kuongea mambo ya mumeo hazarani!! Kama umeshindwanae achana ane kuliko kuonge mazaifu ya mmeo. Sote tunapitia mazito, lakini tukishindwana tunaachana maana hakuna aijuaye kesho I'm sorry but I have to say that
Hyo mtangazaji anavyomsapoti sasa kumbe anataka tu umbea 😂😂🙌
Me ningekua mtangazaji nahisi ningeshindwa🤣🤣🤣 kumsupport mtu kwenye upuuz siwez mxew
@@LeeLian95ahahahahahha
@@David_keyan😂😂😂😂😂😂umejua kunichekesha.
@@LeeLian95usipomsapoti sasa umbea utaupataje😂😂😂
Kwani diva ni nani mbona watu wengi wanakuina taahira tu
Duh,she need help 🙄
😂😂😂na yeye kaomba interview….mwanaume hadhaliliki mwaya 😩😩😩
Kuna kurogwa lkn wewe ni zaidi ya kurogwa, Yaani hata Ile akili ya ziada hata kdg hauna,, Unaanzaje kuolewa na mfuga majini... Na bado ujasema, Au katelelo ndio inakuchanganya!! Maana mhaya ikipelekea hiyo stle iyo uchomoki
Kumbe Abdul muhaya
Sasa kama ana matatizo unaendelea nae wa nini wewe ubongo wako ni wa kuku kila siku unalalamika kuhusu huyo mwanaume
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ubongo wakuku😂😂😂😂
Mshamba wewe limbukeni wa wanaume halafu unapenda kujisifu. Kama yeye rahisi kuvua nguo zake na wewe pia ulikuwa rahisi kumvulia weye. Si unapenda ushirikina ulikwenda kwake kuroga sasa kakuroga wewe mpaka ukaingia kingi mzimamzima. Leo unasema sawa sawa kama sio wewe. Kumbe stresse zinakurudisha kwenye asili yako leo unasema vizuriiiiii. Acha kujifanya nature yako nzuri kuliko unavyojifanya hijui kiswahili. Afadhali kakufundisha adabu na kakutia akili na mji ushauona mama be nature utakuwa mzuri zaidi. Leo mzuri hata sauti yako. Lakini kujifanya hupendeI unaonekana cartoon tu. Be nature. usijifanye
Dah bora tu ungenyamaza diva, sijui baina yako na mumeo nani mjinga zaidi 😂
Ndoa ipo ndani ya sheria ya Jamuhuri Diva umenifanya nicheke
Mwanaume haitwi Malaya siku ZOTE ataiweje ila mwamke ukileta ngebe juu ya mwanaume utadharirika ww sasa hapo na mapenzi unampa alafu humtaki jiangalie KABLA ujaongea
😂😂😂😂yeye anasema wanawake wengi wanamtaka na wewe unasema wanaume wengi wanakutaka 😂😂😂😅wacheni upuuzi wenu mkae mzungumze yaishe.
Huyu ni mgongwa 😂😂😂😂😂
Una juaje?
Divaaa❤❤❤❤❤❤❤
Be safe DUNIA NI mbaya Diva jipende
Qumbe mange anasemaga uqweli jmn 😂😂diva alimpiga tuqio abdul 🎉🎉🎉
Ulichosema nikweli umetumika sana
Kaoa kweli tena mtoto mdg
Kumbe???
Bado unampenda ungekua hummtaki ungemuacha hata kesho, unacho tafuta kwake ni kuumizana tuu, wanawake wengi wanaumizwa na wanaume ni kama wewe diva unaefikiria unapendwa huku signs zote zipo hakuna ndoa hapo. Stop foolish your self, you have one life
Daa diva move on uta kuja kujuta badaee Abdoul yani uwezi tena kumu badilishaaaa ata umupe nini uyo ata kuja kukuuwa na presh bure
Lakini hii kukuzarika usiji ukapata ukimwi so sad unakili unajitamua unajiwezi
Diva kapewa uzuri sauti nzuri kanyimwa akili mkubali mkatae😅
Diva hazimtoshi, tumhurumie jamani, anahitaji Ushauri. Lkn kikubwa ajue upuuzi wake umetuchosha sana. Huo ushubwada wako umetuchosha kabisa.
Huyu naye ni mjinga tuu mara amsifie mara amtukane😢
Wewe diva ndio mshamba sisi watanzania sio washamba huna lolote
Weeee dodoma kumbe kunadangika eee kina nani wanadangiwa haoo? Kwahiyo danguro lipo dom ati mbona kukame sana😅😅😅😅
Sasa mbona maneno mengi si umove on 😮😮kila kukica kwenye media tupishiye ukooo bwanaaa
Diva fikiria kabla ya kutenda
Diva huna jipya, tumekuchoka. Kwani lazima uwe na huyo Mganga?.Ww kibibi Kigagula ndo maana Kiba alikupiga chini na akakubatiza jina la Kigagula. Ww ndo unachunwa na Mganga.
Anakunywa anti biotic and continue???
Hugo bibi jamani nimgonjwa wa akili bwege mkubwa hana lolote jizi hilo
Huyu dada ni mpumbavu Sana,simpendi jamani
Diva, where’s your 🧠? Petho za bure na English nyingi ya bure!
Tulia tu na huyo mganga mpaaka muaibishane mitandaoni hata itokee kweli muachane dini inasema tuachane kwa wema nyinyi mupo pamoja ila mnacheza na Mungu mnafanya ndoa ni movie
mzungu wa Google
So 🤷♀️?
Huyu sio mke ni takataka
😂😂😂😂
Shida ya WA BIBI...😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Divaaa
Mshamba mamaako na babaako na wewe mwenyewe mbwa mkubwa mfyuuuuu
Wewe diva huna bakwenda kubari hunapakwenda
Kwani hapo alipo anakaa kwa Abdul au kwake yaani huyo anapanga nyumba kodi za matangazo halipiwi na mume
karogwa mwenzio😅
we diva 😂😂😂kumuacha uwezi na una mtangaza maovu yake 😂nikama una jidhalilisha wewe😂😂
Laana yote hii unayoyapitia ni kubadili dini na kuwa muislam hiyo dini huijui na hata kusoma quran huilewi lugha. Mrudie yesu wako utaona amani ya moyo, huko uliko siko
Haijawai kutokea mwanaume akawa malaya shauri yako
😂😂😂😂😂😂😂
Hawajakuoa
😂😂😂😂😅😅😅😅diva
Anampenda mume wake jamn mwee
Huyu Diva atakuja juta pindi atakapo wachwa na kuchezewa na hao wazungu na wenye pesa
karogwa sio yeye😅
Weee ila TZ si kuna watu wa ajabu jamani
How old is diva?
She used to say she is 35 yrs old
40+😂😂😂😂
40 yrs my dear
Mshamba mwenyewe
Bibi huyooooo😂😂😂
anakudhalilisha sababu wewe nimkewe anatoka nyumbani anaenda kulala namijimama
So asitembe mitahani? 🤔
Mume gani huyo wa ovyoo hivi amuoni hao waliopita aliwaumiza inastahiki aseme ili nyie wengine mjifunze mwezenu ameyaona kwa macho
😢😢😢
Huyu dada angekuwa mrefu au mzuri watu wa ovyo ovyo tungekoma😂
Diva ❤❤❤❤
Ukome kutaka vinga'sti.Akitoka huyo mtafute mwengine ulie tena kwenye media.
Akii jamani hata kama meachana strianeni jamani mmeshea kitanda.
Diva kalogwa lol bado anamtete