DIVAH THE BAWSE AFUNGUKA UKWELI WOTE KUHUSU MUME WAKE KUOA / AONYESHA NA USHAHIDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 бер 2024
  • DIVAH THE BAWSE AFUNGUKA UKWELI WOTE KUHUSU MUME WAKE KUOA / AONYESHA NA USHAHIDI
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 137

  • @sarahruge3448
    @sarahruge3448 4 місяці тому +16

    Yani mimi namwelewa sana diva kinachomtesa anampenda sana Abdul atahangaika mpaka pale moyo wako utakapo mchukia ndo ata move on hayo ni maumivu ya mapenzi yana mtesa

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 4 місяці тому +11

    Usimvue nguo Sanaa ,muombee Mungu amuongoe TU🙏

  • @ChochoZuchu
    @ChochoZuchu 4 місяці тому +19

    Diva Akili zako ni kama mtoto

  • @Jane-fi8on
    @Jane-fi8on 4 місяці тому +2

    Sikupenda kabisa ulipo olewa na Abdul kusema ukweli . Mimi ni mkenya na sometimes hufuatilia mambo ya Tz.

  • @btylove1870
    @btylove1870 4 місяці тому +5

    Eti wanawake wengi wako desperate na ndoa na Abdul😂😂😂! Kama wewe ulivyokua desperate nae adi akakuoa. Kweli nyani haoni kundule😂😂😂😂😂. Diva sio mzima kichwani I swear!!

    • @alwiyad1977
      @alwiyad1977 4 місяці тому

      Kisa Ana zungumza English she think she’s smart

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 4 місяці тому +6

    Kakojoe ikalale unajisifu sana. Leo unasema vizuriiiii kama muungwanabfulani hivi. Kakutia mjiniganga shoga, kakojoe ukalale.

  • @Official83640
    @Official83640 4 місяці тому +8

    Huyu dd ni kichaa sana kuliko vichaa wanaokula majalalani huyuhuyu ndy aliandika km hayupo na Abdul na wala wasimuhusishe na chochote sasa alifata nn huko kwenye ndoa km hamtaki mshenzi huyu anachezewa mchezo nwenyewe hajijui tu😂

    • @hamidasalum157
      @hamidasalum157 4 місяці тому

      Na alishasema anaingilia mpk wanaume wenzie 🤣

  • @user-bn4zg3yl4c
    @user-bn4zg3yl4c 4 місяці тому +10

    Diva tatizo unampenda sana huwezi msema mumewe kwenye public

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k 4 місяці тому +6

    Mwanamuke unamdomo mukigombana2 kadogo unapereka mitandao mimi nafkiria ata familia yamwanaume wanajuta kwanini abdouli ali kuowa ,

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 4 місяці тому +1

    Aisee Diva anatia huruma nimesikiliza hii interview Diva Ana tatizo kubwa.Mara ananipenda Mara Malaya.Jamani mpaka mtangazaji kachoooka .But Im glad now wameachana it was a nightmare

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 4 місяці тому +6

    Ila Diva jaribu kuwa msiri jmn..

  • @speciosermusika2009
    @speciosermusika2009 4 місяці тому +7

    Kwani Diva !watu wengi walikuwa wamekushauri kuhusu kuolewa na Shehe Ulikaa kabisa na ukawa una sema wana kuonea wivu,
    Sasa nini kina kuliza mtandao Hebu tupishe huko bwana wewe.

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 4 місяці тому +19

    Sasa kweli wewe ni mzima kweli?mwanaumme malaya hivyo hana ukimwi kweli

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 4 місяці тому

      Anao mama..tunajua na tuna evidence

    • @ireneimbuhira7759
      @ireneimbuhira7759 4 місяці тому

      ​@@esterpaul5856what😮gani?

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 4 місяці тому

      ​@@esterpaul5856umejuaje?

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 4 місяці тому

      ​@@esterpaul5856ukweli? Kwani mm nilijua anaumwa ugonjwa mwingine

    • @rachelmnyimwa4192
      @rachelmnyimwa4192 4 місяці тому

      huyu mbwa wa kike ndio anatabia mbayazaid

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 4 місяці тому +8

    Mwezi mchanga huyu😢

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 4 місяці тому +8

    Ila Diva hivi ni wewe kweli unayemganda huyu mwanaume mjinga malaya unatia aibu

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 4 місяці тому +5

    Don’t talk someone things when you ar in anger,why guys mnapenda put everything in social media?

    • @marysaituni4584
      @marysaituni4584 4 місяці тому +2

      I'm asking myself the same question..🤔

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 4 місяці тому +6

    Divaaaa yani cjui lini utaamkaa kwa usingizi

  • @hyy4114
    @hyy4114 4 місяці тому +5

    Huyu Diva Wakat mwingine kama hazimtosh mungu anisamehee Hasa maneno yote ya nn si uamuz ni wako

    • @Hawaa-cw6fl
      @Hawaa-cw6fl 4 місяці тому

      Mm naona zinamtosha uoni waliopita aliwaumiza ss kama tadinu tudan

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 місяці тому +3

    Hapo Diva amemtukana sana Sheikh Abdulrazak

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 4 місяці тому

      Ngoma droo usipo mheshimu mke wako unajitusi mwenyewe. Diva na ujinga wake kavumilia mengi.

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 4 місяці тому

    Humility is what diva needs she is a good person but she lives in a Disney world, she needs to wake up to reality and live a humble life she will be great, when u try to put others down to rise yrself esteem, u end up looking greedy for power and fame, these things can't make u a wife but a knife.

  • @zabibusilayo9877
    @zabibusilayo9877 4 місяці тому

    Kwa Mtazamo wangu Diva bado anampenda sana Abdul.Aisee hakuna kitu kigumu kama kupretend Yan unaongea TU Ili usionekane mnyonge lakini ukiwa peke Yako unaumia sana...mapenz hapana kwakweli uwiiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 4 місяці тому +5

    Psykopat.. Mwanaume wa Ki Islam anaruhusiwa 4 wives. Eti Mzungu Wangu.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Famous people tunakutana nao Kila siku mitaani.. Brand, Brand ipi? 🤷🏽 Please give us a break!? 🤷🏽

  • @DianaWilly-mr2pf
    @DianaWilly-mr2pf 4 місяці тому +1

    Divah anapempenda mumewe jamn aya yote anaongea anataka mumwe habadilike jmn

  • @user-pq9qc1sz7b
    @user-pq9qc1sz7b 4 місяці тому +10

    Kama unavyo vyote hivyo kwenu.gari maghorofa.mbona unakaa nae sasa? Na unakaa nyumba yakupanga??

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q 4 місяці тому

      Hana lolote na kwao hawana utajiri wowote ana maisha ya ku fake tu

  • @user-kk8px8ii1z
    @user-kk8px8ii1z 4 місяці тому +3

    Yanini kuolewa wakati,mwanamke anatakiwa amsitiri mumewe ata kama anatabia za ajabu ila kama mwanamke msitiri basi

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 4 місяці тому +2

    Diva akili zake anazjua mwenyewe 😂😂😂 et wanamtongoza😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 4 місяці тому +4

    Diva akili yako sio nzuri

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 4 місяці тому +3

    😢Sheikh WA mchongo amekuroga YAANI Amekutomba akili zikawa mbovu sasa huyo Mjinga huyo Abdul. Ungemwacha Jana ungemvusha kitambo nangoja talaka kufa wewe utampata ukwili. Wewe sio mkali maana Mimi Abdul hangekaaa hata 5min

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 4 місяці тому +1

    Bado hujamove on .move on my dear utakufa.

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 4 місяці тому +2

    Huna haja ya kusema yote haya, fata taratibu muache upewe talaka tumechoka jamani

  • @evenasubo3117
    @evenasubo3117 4 місяці тому +6

    You need help dada💔

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 4 місяці тому +2

    Kama unavumilia yote hayo ungenyamaza tu mwanamke wa nguvu na roho ya huruma wakipekee kabisa😂

  • @boscomtani1006
    @boscomtani1006 4 місяці тому

    Mambo ya familia huwa hayazungumziwi kwenye mitandao. Busara kaeni mzungumze tofauti zenu. Mkishindwana mnajua taratibu za kufuata. Kuyaweka huku mkumbuke kuna kesho na mna familia na ndugu.

  • @user-pq9qc1sz7b
    @user-pq9qc1sz7b 4 місяці тому +3

    Huyo so sheikh.msiharibu jina la masheikh.wote Malaysia nyie mumekutana

  • @claudineali3561
    @claudineali3561 4 місяці тому +3

    Wewe Diva tukome kabisa.tumekuchoka nakelele zako atakaye amuwa kuachika niwewe mwenyewe,ukinukiwa na yeye utaamuwa.usitutoshe sisi

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 4 місяці тому +1

    Wote mtakuwa wagonjwa maana hakuna mtu mwanaume wake ana tabia za hivyo akabaki. Wewe diva ni desperate and sick women pamoja na huyo tapeli wako

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 4 місяці тому +5

    Huyu dada angekuwa mrefu au mzuri watu wa ovyo ovyo tungekoma😂

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 4 місяці тому

    He. Poleni vijana kwa changamoto za maisha. Sasa huyu mume bado ni shehe kweli au? Mie ni mkristu. Ila zamani tumelelewa ktk jamii ambayo ukisikia mtu ni shehe unaona amebeba majukumu makubwa sana ktk dini na kuheshimiwa tena kwa kuogopwa. Sasa je mashehe wakisikia habari hii ya kusikitisha na aibu kuhusu shehe mwenzao je watajisikia vipi?

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 4 місяці тому +1

    Tulivo kua tuna comment kwa diva ju ya mganga wake aka to block tujuane apa 😅😅

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 4 місяці тому +4

    My beautiful Sister in Islam I love you but sizani kama nivizuri kuongea mambo ya mumeo hazarani!! Kama umeshindwanae achana ane kuliko kuonge mazaifu ya mmeo. Sote tunapitia mazito, lakini tukishindwana tunaachana maana hakuna aijuaye kesho I'm sorry but I have to say that

  • @David_keyan
    @David_keyan 4 місяці тому +6

    Hyo mtangazaji anavyomsapoti sasa kumbe anataka tu umbea 😂😂🙌

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 4 місяці тому +2

      Me ningekua mtangazaji nahisi ningeshindwa🤣🤣🤣 kumsupport mtu kwenye upuuz siwez mxew

    • @David_keyan
      @David_keyan 4 місяці тому +1

      @@LeeLian95ahahahahahha

    • @hadijastevenhart5676
      @hadijastevenhart5676 4 місяці тому

      ​@@David_keyan😂😂😂😂😂😂umejua kunichekesha.

    • @hadijastevenhart5676
      @hadijastevenhart5676 4 місяці тому +1

      ​@@LeeLian95usipomsapoti sasa umbea utaupataje😂😂😂

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 4 місяці тому +3

    Kwani diva ni nani mbona watu wengi wanakuina taahira tu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 4 місяці тому +4

    Duh,she need help 🙄

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 місяці тому +1

    😂😂😂na yeye kaomba interview….mwanaume hadhaliliki mwaya 😩😩😩

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 4 місяці тому +3

    Kuna kurogwa lkn wewe ni zaidi ya kurogwa, Yaani hata Ile akili ya ziada hata kdg hauna,, Unaanzaje kuolewa na mfuga majini... Na bado ujasema, Au katelelo ndio inakuchanganya!! Maana mhaya ikipelekea hiyo stle iyo uchomoki

  • @user-bs2nr7gz5p
    @user-bs2nr7gz5p 4 місяці тому +6

    Sasa kama ana matatizo unaendelea nae wa nini wewe ubongo wako ni wa kuku kila siku unalalamika kuhusu huyo mwanaume

    • @user-qs7lj7kj1k
      @user-qs7lj7kj1k 4 місяці тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ubongo wakuku😂😂😂😂

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 4 місяці тому

      Mshamba wewe limbukeni wa wanaume halafu unapenda kujisifu. Kama yeye rahisi kuvua nguo zake na wewe pia ulikuwa rahisi kumvulia weye. Si unapenda ushirikina ulikwenda kwake kuroga sasa kakuroga wewe mpaka ukaingia kingi mzimamzima. Leo unasema sawa sawa kama sio wewe. Kumbe stresse zinakurudisha kwenye asili yako leo unasema vizuriiiiii. Acha kujifanya nature yako nzuri kuliko unavyojifanya hijui kiswahili. Afadhali kakufundisha adabu na kakutia akili na mji ushauona mama be nature utakuwa mzuri zaidi. Leo mzuri hata sauti yako. Lakini kujifanya hupendeI unaonekana cartoon tu. Be nature. usijifanye

    • @sistersade9039
      @sistersade9039 4 місяці тому

      Dah bora tu ungenyamaza diva, sijui baina yako na mumeo nani mjinga zaidi 😂

    • @hyy4114
      @hyy4114 4 місяці тому

      Ndoa ipo ndani ya sheria ya Jamuhuri Diva umenifanya nicheke

  • @beauty2239
    @beauty2239 4 місяці тому +1

    Mwanaume haitwi Malaya siku ZOTE ataiweje ila mwamke ukileta ngebe juu ya mwanaume utadharirika ww sasa hapo na mapenzi unampa alafu humtaki jiangalie KABLA ujaongea

  • @abuibra
    @abuibra 4 місяці тому +1

    😂😂😂😂yeye anasema wanawake wengi wanamtaka na wewe unasema wanaume wengi wanakutaka 😂😂😂😅wacheni upuuzi wenu mkae mzungumze yaishe.

  • @ChochoZuchu
    @ChochoZuchu 4 місяці тому +7

    Huyu ni mgongwa 😂😂😂😂😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 4 місяці тому

    Divaaa❤❤❤❤❤❤❤

  • @qelseykenya3933
    @qelseykenya3933 4 місяці тому

    Be safe DUNIA NI mbaya Diva jipende

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 4 місяці тому

    Qumbe mange anasemaga uqweli jmn 😂😂diva alimpiga tuqio abdul 🎉🎉🎉

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 місяці тому +1

    Ulichosema nikweli umetumika sana

  • @user-bg3yq9ty6b
    @user-bg3yq9ty6b 4 місяці тому +4

    Kaoa kweli tena mtoto mdg

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 4 місяці тому +2

    Bado unampenda ungekua hummtaki ungemuacha hata kesho, unacho tafuta kwake ni kuumizana tuu, wanawake wengi wanaumizwa na wanaume ni kama wewe diva unaefikiria unapendwa huku signs zote zipo hakuna ndoa hapo. Stop foolish your self, you have one life

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m 4 місяці тому

    Daa diva move on uta kuja kujuta badaee Abdoul yani uwezi tena kumu badilishaaaa ata umupe nini uyo ata kuja kukuuwa na presh bure

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 місяці тому +1

    Lakini hii kukuzarika usiji ukapata ukimwi so sad unakili unajitamua unajiwezi

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m 4 місяці тому +4

    Diva kapewa uzuri sauti nzuri kanyimwa akili mkubali mkatae😅

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 4 місяці тому

    Diva hazimtoshi, tumhurumie jamani, anahitaji Ushauri. Lkn kikubwa ajue upuuzi wake umetuchosha sana. Huo ushubwada wako umetuchosha kabisa.

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 4 місяці тому

    Huyu naye ni mjinga tuu mara amsifie mara amtukane😢

  • @user-el8mh3cy4c
    @user-el8mh3cy4c 4 місяці тому +1

    Wewe diva ndio mshamba sisi watanzania sio washamba huna lolote

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 4 місяці тому

    Weeee dodoma kumbe kunadangika eee kina nani wanadangiwa haoo? Kwahiyo danguro lipo dom ati mbona kukame sana😅😅😅😅

  • @petroniesindarubaza2420
    @petroniesindarubaza2420 4 місяці тому

    Sasa mbona maneno mengi si umove on 😮😮kila kukica kwenye media tupishiye ukooo bwanaaa

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 29 днів тому

    Diva fikiria kabla ya kutenda

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 4 місяці тому

    Diva huna jipya, tumekuchoka. Kwani lazima uwe na huyo Mganga?.Ww kibibi Kigagula ndo maana Kiba alikupiga chini na akakubatiza jina la Kigagula. Ww ndo unachunwa na Mganga.

  • @alwiyad1977
    @alwiyad1977 4 місяці тому +1

    Anakunywa anti biotic and continue???

  • @saidmohamed1330
    @saidmohamed1330 4 місяці тому

    Hugo bibi jamani nimgonjwa wa akili bwege mkubwa hana lolote jizi hilo

  • @user-zm8eh3ym1s
    @user-zm8eh3ym1s 4 місяці тому +4

    Huyu dada ni mpumbavu Sana,simpendi jamani

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 місяці тому +2

    Diva, where’s your 🧠? Petho za bure na English nyingi ya bure!

  • @soamShs-cp4dl
    @soamShs-cp4dl 4 місяці тому

    Tulia tu na huyo mganga mpaaka muaibishane mitandaoni hata itokee kweli muachane dini inasema tuachane kwa wema nyinyi mupo pamoja ila mnacheza na Mungu mnafanya ndoa ni movie

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x 4 місяці тому +2

    mzungu wa Google

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 місяці тому

    So 🤷‍♀️?

  • @user-ni2ly9cz3f
    @user-ni2ly9cz3f 4 місяці тому +1

    Huyu sio mke ni takataka

  • @MaiKasimu-xf4fz
    @MaiKasimu-xf4fz 4 місяці тому +1

    Shida ya WA BIBI...😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 4 місяці тому

    😂😂😂😂Divaaa

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 4 місяці тому

    Mshamba mamaako na babaako na wewe mwenyewe mbwa mkubwa mfyuuuuu

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 4 місяці тому +2

    Wewe diva huna bakwenda kubari hunapakwenda

    • @Official83640
      @Official83640 4 місяці тому

      Kwani hapo alipo anakaa kwa Abdul au kwake yaani huyo anapanga nyumba kodi za matangazo halipiwi na mume

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr 4 місяці тому

      karogwa mwenzio😅

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr 4 місяці тому

    we diva 😂😂😂kumuacha uwezi na una mtangaza maovu yake 😂nikama una jidhalilisha wewe😂😂

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 4 місяці тому +2

    Laana yote hii unayoyapitia ni kubadili dini na kuwa muislam hiyo dini huijui na hata kusoma quran huilewi lugha. Mrudie yesu wako utaona amani ya moyo, huko uliko siko

  • @user-ni2ly9cz3f
    @user-ni2ly9cz3f 4 місяці тому

    Haijawai kutokea mwanaume akawa malaya shauri yako

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 4 місяці тому +1

    Hawajakuoa

  • @AminaAmina-gs9zz
    @AminaAmina-gs9zz 4 місяці тому

    😂😂😂😂😅😅😅😅diva

  • @DianaWilly-mr2pf
    @DianaWilly-mr2pf 4 місяці тому

    Anampenda mume wake jamn mwee

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 місяці тому

    Huyu Diva atakuja juta pindi atakapo wachwa na kuchezewa na hao wazungu na wenye pesa

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 4 місяці тому

    Weee ila TZ si kuna watu wa ajabu jamani

  • @Chingagirl123
    @Chingagirl123 4 місяці тому

    How old is diva?

  • @user-pf5zc6xi9w
    @user-pf5zc6xi9w 2 місяці тому

    Mshamba mwenyewe

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 4 місяці тому

    Bibi huyooooo😂😂😂

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 місяці тому

    anakudhalilisha sababu wewe nimkewe anatoka nyumbani anaenda kulala namijimama

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 4 місяці тому

    So asitembe mitahani? 🤔

  • @Hawaa-cw6fl
    @Hawaa-cw6fl 4 місяці тому +1

    Mume gani huyo wa ovyoo hivi amuoni hao waliopita aliwaumiza inastahiki aseme ili nyie wengine mjifunze mwezenu ameyaona kwa macho

  • @gracelisso7163
    @gracelisso7163 4 місяці тому

    😢😢😢

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 4 місяці тому

    Huyu dada angekuwa mrefu au mzuri watu wa ovyo ovyo tungekoma😂

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 місяці тому

    Diva ❤❤❤❤

  • @UmmyLubna-rp6rv
    @UmmyLubna-rp6rv 4 місяці тому

    Ukome kutaka vinga'sti.Akitoka huyo mtafute mwengine ulie tena kwenye media.

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 4 місяці тому

    Akii jamani hata kama meachana strianeni jamani mmeshea kitanda.

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 4 місяці тому

    Diva kalogwa lol bado anamtete