KODTEC MANARA VALENTINE SPECIAL
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- KODTEC Sisi ni wauzaji na wasambazaji wa bidhaa bora kabisa zinazotumia umeme.
-Tunabidhaa bora kwajili ya matumizi yako ya nyumbani, offisin na vifaa vya mziki fika kwenye maduka yetu yote nchi nzima na mawakala wetu wote au Tupigie +255 744240595 Kuwa wa kwanza kupata video zetu kwa kusbscribe youtube channel yetu.Tutembelee kupitiaInstagram: / kodtecstore Facebook: / kodtecstore #kodtec #kodtecmakinglifemoreperfect #cookwithwemasepetu #mapishi #mapishiyakiswahili #cook #homeappliances #wema #wemasepetu #mandonga #tanzania #portableblender #nitongoze #mandongamtukazi #ndoige #tanzania #blenderlovers #yanga #yangasc #simbasc #mchumba #juice #juicelover #juicewrld #cook #oven #kodtecoven #juicelover #juicerblender #cookwithwemasepetu #bread #breadmaker #breadrecipe #waffle #wafflemachine #wafflemaker #hajimanara #zainab
iyo chapati maker yafanya chapti ziwe ngumu utamu wa chapati nikusukuma
Nibora piano halitoka uko kwa dula angeyaona wapi hayo yote😂😂😂😂
Uvivu tu😂
Komaaa zai umependeza sana mdogo wangu😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zag kapatae ngangania dada wenginee wanataka izo nafasii
Safi kabisa,najua wenye wivu hawaachi kuongea na kupondea Mambo mazuri,weewe unayesema vipo Tu siajabu Hata kisu kuzuri kwako huna.Acha kudhalau maisha ya watu,kama huna huna Tu kupondea haisaidii, waswahili mnapenda kuwashusha watu kwa vimaneno vya mkosaji.bugati na zai msonge mbele Saima
Asante 🎉
Buga anatunza mke kapendeza uvumilie tu gubu
Hivo😂 nivitu vya watu wasiojuwa kupoka😂😂😂
😂😂😂😂
Apo umeo ngeya kabisa
Wivu tu umewajaa waacheni watu na maisha yao.
sio wivu ni kweli @@user-yz8ny1uf7r
Punguza wivu dada
Tunazipataje
Mke ajisitiri basi
Mashallaah❤❤❤
Nataka hiyo blenda bugat
Na ajue kupika basi😅😅
Warabu jamani yani hivi vitu vyote wanavyo halafu hawajui kuvihifadhi n
Zailysa hapo hajaelewa hata moja.vimeingilia huku vimetokea kule😂😂😂. Bora angeletewa moja ipita miezi kadhaa ndio nyingine lkn kiivo, hamna kitu kichwani kilichoka Hapo Asije akarushwa tu na umeme😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 send me your number
We Christina huyo zylisa umemfanya hajui kusoma au umemdharau haifai kumdharau mwenzio hicho Nichoyo kinaitwa unamuonea chocolate wewe huna kama hivyo acha kudharau watu
Zai tulia dada upendwee ❤❤❤❤❤
Sawa kabisa APENDEKE
Sasa nikuuliza hizo sikuzote ulikuwa hauna hizo vitu mbona vishapitwa na wakati😂😂😂😂😂
YES HIVI VITU VIKO KILA NYUMBA SASA NA WENGINE WANAVYO TANGU ZAMANI HUKO USA NA EUROPE COUNTRIES WE WERE IN USA ALSO WE GOT ALL THOSE N MORE IN THE USA NA HAPA OMAN TUNAVYO! NI VIZURI KUMWEKEA MKEO ATUMIE LAKINI SIO MARA ZOTE SOME TIMES SHE CAN USE THE COOKER TO COOK N SOME TIMES SHE CAN USE THOSE KITCHINE! AQUIPMENTS OR KITCHEN'S SANITARRIES! OR ELECTRIC COOKERS N MLANDINGS N JUICIES MAKERS! U R A GOOD HUSBAND U DONT LIKE YR WIFE TO SUFFERS IN THE KITCHEN SHE SOULD PROUD OF U👌 ! N LOVES U MORE❤👍"
Mimi nipo uk na wala situmii nachoma kwa mkaa kuchoma kwa mkaa kuna utamu wake n
@@FatimaAli-of4ghasante umejua kumjibu ….kupika kwa mkaakuna raha na harufu nzuri ya chakula
@@shamzone388
Kweli hivo vitu ukiwa huna tu lakini wala sioni uzuri wake na hiyo machine ya coffee sasa hivi watu tumelemaa hata kupika chai kwenye sifuria hatuwezi
Wanafanya matangazo ya biashara baadhi tunavyo miaka kumi iliyopita Ila kuna wasio navyo ñdio wanunue
yupo kazini anatangaza baishara sio show off
Nuthin new ..hio sio chapati maker its for waffles🙄
Usiseme hawajui kuwifadhi kwao vipo huna haja kufitafuta madukani ya ghali na yarahisi vinapatikana kikiharibika unatupa unanunua kipya
Manara Ramadhan hii mbona ur beautiful wife kichwa wazi
Hii ilirekodiwa mda now ndo inaruka
Utakuta hapa watu wakijishauwa eti vitu vya toka Zaman sw unavyo bando lenyewe umekopa mbwa ww
Ongera zai umetoboa life
Basi hta karatasi la kujifunika kichwani hana
Mwenzako yupo soko je wataonaje watu kama kapendeza 😊😊😊 atanguo aliyo vyaa kajionesha umbo lake ata kajisahau kama mke wa mtu ss atuna waume lkn siwesi kuvaa ivyo kwa nikivaa nguo kama iyo sitoki bila ya baibui
@@rayahamisi118😂😂😂😂😮 we zeruzeru kula nyoko
😮😢😢😊😊❤❤🎉🎉🎉
Kichwa wazi jamani
Eti mkate wa vilejs
Tuoneshen na chumaban kwenu
Unataka ukalale
Zeruzeru kula nyoko
Si mpaka ajue kupika😂😂
Nakwambia hivo ni bizaa za wasiojuwa kupika km yy zailisa sijui atajuwa kukisia maji mchele
@@user-ef6tl6fy1g ndo hapo kuwiva vitawiva test sasa si mpaka ujulie viungo vyake na vifaa vya umeme vina mkono wa mtu ukiwa na mkono mbaya vikianza kuharibika utaijua bathdei ya bibi yako 😂😂
Kwaiyo chakula anacho kula unapikaga weye acha umbea yako yameku shinda kazikusema yawe nzoko tu hovyo kagonwe uko wa napende zana
Acheni wivu. Kuna mtoto wa uswazi asiyejua kupika. Mnamsikiliza Dula kama alikuwa hajui kupika alimuoaje? Baada ya kuachwa ndo aseme ajui kupika
@@annafrancis7313 watoto wa uswazi wanajua kupiga ugali na wali sasa kakutana na mtoto wa mjini anataka mahanjumati ya maana sio ugali na maharage. Na atapika saa ngapi na mwenyewe haji kasema anatoka saa 3 asubuhi anarudi saa 3 usiku eti anaenda kushoot movie 😂😂😂
Haji wangu kampuni imekuonea kukupa kazi ya kuadvatize bidhaa zao.mbona vinamuda takriban miaka 5 nyuma vimetoka watu walishatumia mpaka wakatupa nje.hivyo vitu vilianza kutumika kabla wa china hawajaingia tanzania na africa yote. Kampuni ikutake radhi haji wangu.kwani watu watakuona mshamba bureee.
Wewe mwehu nini watoka wapi hivyo ni vitu vya kujisifiya
Anatanga biashara mbona una makasiriko
Yupo kazini kaka tuli soma alama za maisha unauza bangi nini kuitangaza huwezi😂😂😂😂😂.
Angefanya hayo matangazo mke wake ndiye anae shinda jikoni ..mwanaume tangaza bidhaa tofauti manly like kama magari
Msenge mboro kula nyoko zake
Tumeshavitumia hivyo vitu miaka 3 iliyopita wewe ndio una tangaza sasa hivi mshamba kweli kweli sasa hivi kuna macrowave inafanya vyote airfrayer, oven na
microwave Huna haja ya kuwa na mavitu mengii kuja a jiko,
I think you’re missing the point. I think Haji anafanya promotion si kuwa anajigamba. Tuangalie big picha si kukurupuka na kuanza kushambulia
Biashara iyo wangu ata kama miaka mitatu imepita lazima utangaze biashara yako wapo wanaoanza maisha kabla ya iyo miaka. Ukiona biashara imezoeleka na imedolala jaribu kutangaza.magidoro dodoma mbona kabla hujazaliwa na yanatangazwa .😅
Kwa umeme huu, huu wa luku au?
😂😂😂😂
@@ngwacahnyagwaswa9979 yaani 🙌
😂😂😂😂😂😂
Umeme wenyewe watz mara paa ulee aurudi mpaka baada siku😂😂😂
@@rayahamisi118 yaani 🙌
Manara utaoa lini?😢
Huyo ni mke wake wa ndoa. We upo nchi gani?