KODTEC MANARA VALENTINE SPECIAL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • KODTEC Sisi ni wauzaji na wasambazaji wa bidhaa bora kabisa zinazotumia umeme.
    -Tunabidhaa bora kwajili ya matumizi yako ya nyumbani, offisin na vifaa vya mziki fika kwenye maduka yetu yote nchi nzima na mawakala wetu wote au Tupigie +255 744240595 Kuwa wa kwanza kupata video zetu kwa kusbscribe youtube channel yetu.Tutembelee kupitiaInstagram: / kodtecstore Facebook: / kodtecstore #kodtec #kodtecmakinglifemoreperfect #cookwithwemasepetu #mapishi #mapishiyakiswahili #cook #homeappliances #wema #wemasepetu #mandonga #tanzania #portableblender #nitongoze #mandongamtukazi #ndoige #tanzania #blenderlovers #yanga #yangasc #simbasc #mchumba #juice #juicelover #juicewrld #cook #oven #kodtecoven #juicelover #juicerblender #cookwithwemasepetu #bread #breadmaker #breadrecipe #waffle #wafflemachine #wafflemaker #hajimanara #zainab

КОМЕНТАРІ • 81

  • @nidaquincy5669
    @nidaquincy5669 5 місяців тому +9

    iyo chapati maker yafanya chapti ziwe ngumu utamu wa chapati nikusukuma

  • @mahidatatang521
    @mahidatatang521 5 місяців тому +4

    Nibora piano halitoka uko kwa dula angeyaona wapi hayo yote😂😂😂😂

  • @MwanaMwita-ks7xv
    @MwanaMwita-ks7xv 5 місяців тому +1

    Uvivu tu😂

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 5 місяців тому +4

    Komaaa zai umependeza sana mdogo wangu😂😂😂😂😂😂

    • @mayrose9772
      @mayrose9772 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 5 місяців тому +4

    Zag kapatae ngangania dada wenginee wanataka izo nafasii

  • @godlivermwasha2791
    @godlivermwasha2791 5 місяців тому

    Safi kabisa,najua wenye wivu hawaachi kuongea na kupondea Mambo mazuri,weewe unayesema vipo Tu siajabu Hata kisu kuzuri kwako huna.Acha kudhalau maisha ya watu,kama huna huna Tu kupondea haisaidii, waswahili mnapenda kuwashusha watu kwa vimaneno vya mkosaji.bugati na zai msonge mbele Saima

  • @user-gy3dv3tq8d
    @user-gy3dv3tq8d 5 місяців тому +3

    Buga anatunza mke kapendeza uvumilie tu gubu

  • @user-ef6tl6fy1g
    @user-ef6tl6fy1g 5 місяців тому +7

    Hivo😂 nivitu vya watu wasiojuwa kupoka😂😂😂

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 5 місяців тому +2

    Tunazipataje

  • @user-hc8fi9lc6t
    @user-hc8fi9lc6t 5 місяців тому +1

    Mke ajisitiri basi

  • @anciladelay6316
    @anciladelay6316 5 місяців тому +1

    Mashallaah❤❤❤

  • @user-yj7gj9mp7h
    @user-yj7gj9mp7h 5 місяців тому +1

    Nataka hiyo blenda bugat

  • @JeniferNgolanya-gt5xx
    @JeniferNgolanya-gt5xx 5 місяців тому +2

    Na ajue kupika basi😅😅

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 місяців тому +1

    Warabu jamani yani hivi vitu vyote wanavyo halafu hawajui kuvihifadhi n

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 5 місяців тому +1

    Zailysa hapo hajaelewa hata moja.vimeingilia huku vimetokea kule😂😂😂. Bora angeletewa moja ipita miezi kadhaa ndio nyingine lkn kiivo, hamna kitu kichwani kilichoka Hapo Asije akarushwa tu na umeme😂

    • @BMboss108
      @BMboss108 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @jamaal1300
      @jamaal1300 5 місяців тому

      😂😂😂😂 send me your number

  • @user-hs1en8dm7n
    @user-hs1en8dm7n 5 місяців тому

    We Christina huyo zylisa umemfanya hajui kusoma au umemdharau haifai kumdharau mwenzio hicho Nichoyo kinaitwa unamuonea chocolate wewe huna kama hivyo acha kudharau watu

  • @mohammedabdullah3868
    @mohammedabdullah3868 5 місяців тому

    Zai tulia dada upendwee ❤❤❤❤❤

  • @mahidatatang521
    @mahidatatang521 5 місяців тому

    Sasa nikuuliza hizo sikuzote ulikuwa hauna hizo vitu mbona vishapitwa na wakati😂😂😂😂😂

  • @bas2823
    @bas2823 5 місяців тому +1

    YES HIVI VITU VIKO KILA NYUMBA SASA NA WENGINE WANAVYO TANGU ZAMANI HUKO USA NA EUROPE COUNTRIES WE WERE IN USA ALSO WE GOT ALL THOSE N MORE IN THE USA NA HAPA OMAN TUNAVYO! NI VIZURI KUMWEKEA MKEO ATUMIE LAKINI SIO MARA ZOTE SOME TIMES SHE CAN USE THE COOKER TO COOK N SOME TIMES SHE CAN USE THOSE KITCHINE! AQUIPMENTS OR KITCHEN'S SANITARRIES! OR ELECTRIC COOKERS N MLANDINGS N JUICIES MAKERS! U R A GOOD HUSBAND U DONT LIKE YR WIFE TO SUFFERS IN THE KITCHEN SHE SOULD PROUD OF U👌 ! N LOVES U MORE❤👍"

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 місяців тому +1

      Mimi nipo uk na wala situmii nachoma kwa mkaa kuchoma kwa mkaa kuna utamu wake n

    • @shamzone388
      @shamzone388 5 місяців тому

      @@FatimaAli-of4ghasante umejua kumjibu ….kupika kwa mkaakuna raha na harufu nzuri ya chakula

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 місяців тому

      @@shamzone388
      Kweli hivo vitu ukiwa huna tu lakini wala sioni uzuri wake na hiyo machine ya coffee sasa hivi watu tumelemaa hata kupika chai kwenye sifuria hatuwezi

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 5 місяців тому

      Wanafanya matangazo ya biashara baadhi tunavyo miaka kumi iliyopita Ila kuna wasio navyo ñdio wanunue

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 5 місяців тому

      yupo kazini anatangaza baishara sio show off

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 5 місяців тому +1

    Nuthin new ..hio sio chapati maker its for waffles🙄

  • @shamzone388
    @shamzone388 5 місяців тому

    Usiseme hawajui kuwifadhi kwao vipo huna haja kufitafuta madukani ya ghali na yarahisi vinapatikana kikiharibika unatupa unanunua kipya

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 5 місяців тому +2

    Manara Ramadhan hii mbona ur beautiful wife kichwa wazi

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 5 місяців тому

    Utakuta hapa watu wakijishauwa eti vitu vya toka Zaman sw unavyo bando lenyewe umekopa mbwa ww

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d 5 місяців тому +1

    Ongera zai umetoboa life

  • @HassanHassan-vh6pc
    @HassanHassan-vh6pc 5 місяців тому +1

    Basi hta karatasi la kujifunika kichwani hana

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 5 місяців тому

      Mwenzako yupo soko je wataonaje watu kama kapendeza 😊😊😊 atanguo aliyo vyaa kajionesha umbo lake ata kajisahau kama mke wa mtu ss atuna waume lkn siwesi kuvaa ivyo kwa nikivaa nguo kama iyo sitoki bila ya baibui

    • @user-tg2mn3xu1y
      @user-tg2mn3xu1y 5 місяців тому

      ​@@rayahamisi118😂😂😂😂😮 we zeruzeru kula nyoko

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 5 місяців тому

    😮😢😢😊😊❤❤🎉🎉🎉

  • @khatibmako3500
    @khatibmako3500 5 місяців тому

    Kichwa wazi jamani

  • @user-ec2he1uo3d
    @user-ec2he1uo3d 5 місяців тому

    Eti mkate wa vilejs

  • @ZainabAbdullah-bc6pu
    @ZainabAbdullah-bc6pu 5 місяців тому +1

    Tuoneshen na chumaban kwenu

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 5 місяців тому +1

    Si mpaka ajue kupika😂😂

    • @user-ef6tl6fy1g
      @user-ef6tl6fy1g 5 місяців тому

      Nakwambia hivo ni bizaa za wasiojuwa kupika km yy zailisa sijui atajuwa kukisia maji mchele

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 5 місяців тому +1

      @@user-ef6tl6fy1g ndo hapo kuwiva vitawiva test sasa si mpaka ujulie viungo vyake na vifaa vya umeme vina mkono wa mtu ukiwa na mkono mbaya vikianza kuharibika utaijua bathdei ya bibi yako 😂😂

    • @user-gv8kv2zd6x
      @user-gv8kv2zd6x 5 місяців тому +1

      Kwaiyo chakula anacho kula unapikaga weye acha umbea yako yameku shinda kazikusema yawe nzoko tu hovyo kagonwe uko wa napende zana

    • @annafrancis7313
      @annafrancis7313 5 місяців тому +1

      Acheni wivu. Kuna mtoto wa uswazi asiyejua kupika. Mnamsikiliza Dula kama alikuwa hajui kupika alimuoaje? Baada ya kuachwa ndo aseme ajui kupika

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 5 місяців тому

      @@annafrancis7313 watoto wa uswazi wanajua kupiga ugali na wali sasa kakutana na mtoto wa mjini anataka mahanjumati ya maana sio ugali na maharage. Na atapika saa ngapi na mwenyewe haji kasema anatoka saa 3 asubuhi anarudi saa 3 usiku eti anaenda kushoot movie 😂😂😂

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 5 місяців тому

    Haji wangu kampuni imekuonea kukupa kazi ya kuadvatize bidhaa zao.mbona vinamuda takriban miaka 5 nyuma vimetoka watu walishatumia mpaka wakatupa nje.hivyo vitu vilianza kutumika kabla wa china hawajaingia tanzania na africa yote. Kampuni ikutake radhi haji wangu.kwani watu watakuona mshamba bureee.

  • @saidjelani1566
    @saidjelani1566 5 місяців тому +1

    Wewe mwehu nini watoka wapi hivyo ni vitu vya kujisifiya

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 5 місяців тому +1

      Anatanga biashara mbona una makasiriko

    • @FatumaBaruti-qw6jm
      @FatumaBaruti-qw6jm 5 місяців тому

      Yupo kazini kaka tuli soma alama za maisha unauza bangi nini kuitangaza huwezi😂😂😂😂😂.

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 5 місяців тому

      Angefanya hayo matangazo mke wake ndiye anae shinda jikoni ..mwanaume tangaza bidhaa tofauti manly like kama magari

    • @user-tg2mn3xu1y
      @user-tg2mn3xu1y 5 місяців тому

      Msenge mboro kula nyoko zake

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 5 місяців тому +1

    Tumeshavitumia hivyo vitu miaka 3 iliyopita wewe ndio una tangaza sasa hivi mshamba kweli kweli sasa hivi kuna macrowave inafanya vyote airfrayer, oven na
    microwave Huna haja ya kuwa na mavitu mengii kuja a jiko,

    • @kilimanjaro695
      @kilimanjaro695 5 місяців тому +3

      I think you’re missing the point. I think Haji anafanya promotion si kuwa anajigamba. Tuangalie big picha si kukurupuka na kuanza kushambulia

    • @FatumaBaruti-qw6jm
      @FatumaBaruti-qw6jm 5 місяців тому

      Biashara iyo wangu ata kama miaka mitatu imepita lazima utangaze biashara yako wapo wanaoanza maisha kabla ya iyo miaka. Ukiona biashara imezoeleka na imedolala jaribu kutangaza.magidoro dodoma mbona kabla hujazaliwa na yanatangazwa .😅

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 5 місяців тому

    Kwa umeme huu, huu wa luku au?

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 5 місяців тому

    Manara utaoa lini?😢

    • @sophiamziray
      @sophiamziray 5 місяців тому

      Huyo ni mke wake wa ndoa. We upo nchi gani?