Sababu Ya Baadhi Ya Watu Wenye Akili Kushindwa Kufanikiwa - Joel Nanauka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Hii ndio sababu ya kwanini baadhi ya watu wenye akili wanashindwa kufanikiwa kwenye maisha - Joel Nanauka

КОМЕНТАРІ • 38

  • @user-tm9rc8si1t
    @user-tm9rc8si1t 22 дні тому

    Uko sahihi broo ila takwimu zinasema ili uweze kufanikiwa usitegemee kitu kimoja kwenye maisha kwa maana ingine ukitegemea kitu kimoja kikifail maana yake ndo imeisha tofauti na mtu alowekeza sehemu nyingi hata akifail sehem moja bado anasehemu nyingine ya kumuinua

  • @pallangyofamily
    @pallangyofamily 27 днів тому

    Barikiwa mno baba

  • @mr.kaporo2479
    @mr.kaporo2479 5 місяців тому +2

    Bro Joel ndani ya moyowangu nimekuchongea sanamu nakusikiliza na kukuelewa mungu akubaliki sana

  • @victorcharlesmwakikoti7764
    @victorcharlesmwakikoti7764 5 місяців тому +3

    Asante mtumishi ,mafundisho yako yamebadilisha maisha yangu sasa na hata milele,Amina

  • @virgosixthemoon9652
    @virgosixthemoon9652 4 місяці тому +1

    That's right mr joel i appriciate you

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v 5 місяців тому +2

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Usingekuwa wewe kunielimisha nisinge fika nilipo sasa

  • @MalumeDiofu
    @MalumeDiofu Місяць тому

    kweli kabisa mungu andelee kukuweka kaka unanifanya kuwa naku makini

  • @ibrahimabdallah7639
    @ibrahimabdallah7639 3 місяці тому +1

    Asante mwalimu

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 5 місяців тому +2

    Kwakweli mwalimu njia mbili ninghumu sana kuziendea

  • @divinemalachi
    @divinemalachi 5 місяців тому +1

    fact bro Joel God bless you

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks4312 5 місяців тому +18

    samahan kaka joel naomba nikuulize swali kwa mfano kama mtu ni muajiriwa wa serikali halafu ana interest ya kufanya biashara hapo napo itabidi aache kimoja?

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 5 місяців тому +4

      Ndio, aache ajira

    • @mbirionline4916
      @mbirionline4916 5 місяців тому

      😢

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 5 місяців тому +8

      Hapana sio lazima.....ila atatakiwa afanye biashara ambayo haichukui muda wake mwingi. Mfano: Anaweza kufanya biashara ya usafirishaji mfano kua na bajaji, daladala, Taxi. Anaweza kuwekeza kwenye biashara ya kilimo cha muda mrefu mf: Miti, matunda kama maparachichi. Anaweza kuwekeza kwenye majengo n.k

    • @dicksamhezmas847
      @dicksamhezmas847 5 місяців тому

      Ajira ya nn tena😂

    • @SagalaBosco
      @SagalaBosco 5 місяців тому

      😅 a. ,

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald125 4 місяці тому +1

    Brother joel mungu aliyehai akutendee mema nilisoma kile kitabu cha kuweka aslimia kumi ktk kila unacho kipata ndani ya mwezi nimeenda vairo sana.
    One day nitaleta zawadi ya gari kama sadaka yangu ❤🙏🙏

  • @rachaelmasunga4548
    @rachaelmasunga4548 4 місяці тому +1

    Hakika barikiwa

  • @Aloycestephanomathew
    @Aloycestephanomathew 5 місяців тому +1

    Saw mkuu🎉

  • @victoriasarwat4736
    @victoriasarwat4736 2 місяці тому

    Ahsante kaka ubarikiwe kwa mafunzo

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 5 місяців тому +1

    the power of conscistency💪💪

  • @PharesMajinge-dc9vq
    @PharesMajinge-dc9vq 3 місяці тому

    Ni Kweli kaka Mimi napendwa kafanya Sana biashara Lakin ofu inanisumbua Sababu kila ninachokiona naona kinafaa

  • @Aloycestephanomathew
    @Aloycestephanomathew 5 місяців тому +1

    Saw mkuu

  • @ezemgana6403
    @ezemgana6403 5 місяців тому +1

    Je,Kama nilichokichagua hakilipi

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng 5 місяців тому +2

    Asante

  • @AlbinusChahiza
    @AlbinusChahiza Місяць тому

    🎉

  • @user-iv3fd1wp7p
    @user-iv3fd1wp7p 5 місяців тому +3

    Km mm nimechagua kitu ambacho akitoki kichwani

  • @LevocatusGaitan
    @LevocatusGaitan 2 місяці тому +1

    Sasa hapo sio wenye akiri wasio na hakir ndyo Wana taman kufanya mambo meng mwisho wanakosa yoote

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 5 місяців тому +1

    Sawa sawa

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 5 місяців тому +2

    Hii ni hot sana

  • @SimonNgweta
    @SimonNgweta 3 місяці тому

    Barikiwà Santa

  • @user-lp8dg4bn6c
    @user-lp8dg4bn6c 5 місяців тому

    Asante sana kaka nimekupata

  • @paschalmasanilo2617
    @paschalmasanilo2617 4 місяці тому

    🎉🎉🎉

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 5 місяців тому

    🤝🤛