Uko sahihi broo ila takwimu zinasema ili uweze kufanikiwa usitegemee kitu kimoja kwenye maisha kwa maana ingine ukitegemea kitu kimoja kikifail maana yake ndo imeisha tofauti na mtu alowekeza sehemu nyingi hata akifail sehem moja bado anasehemu nyingine ya kumuinua
samahan kaka joel naomba nikuulize swali kwa mfano kama mtu ni muajiriwa wa serikali halafu ana interest ya kufanya biashara hapo napo itabidi aache kimoja?
Hapana sio lazima.....ila atatakiwa afanye biashara ambayo haichukui muda wake mwingi. Mfano: Anaweza kufanya biashara ya usafirishaji mfano kua na bajaji, daladala, Taxi. Anaweza kuwekeza kwenye biashara ya kilimo cha muda mrefu mf: Miti, matunda kama maparachichi. Anaweza kuwekeza kwenye majengo n.k
Brother joel mungu aliyehai akutendee mema nilisoma kile kitabu cha kuweka aslimia kumi ktk kila unacho kipata ndani ya mwezi nimeenda vairo sana. One day nitaleta zawadi ya gari kama sadaka yangu ❤🙏🙏
Uko sahihi broo ila takwimu zinasema ili uweze kufanikiwa usitegemee kitu kimoja kwenye maisha kwa maana ingine ukitegemea kitu kimoja kikifail maana yake ndo imeisha tofauti na mtu alowekeza sehemu nyingi hata akifail sehem moja bado anasehemu nyingine ya kumuinua
Barikiwa mno baba
Bro Joel ndani ya moyowangu nimekuchongea sanamu nakusikiliza na kukuelewa mungu akubaliki sana
Asante mtumishi ,mafundisho yako yamebadilisha maisha yangu sasa na hata milele,Amina
That's right mr joel i appriciate you
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Usingekuwa wewe kunielimisha nisinge fika nilipo sasa
kweli kabisa mungu andelee kukuweka kaka unanifanya kuwa naku makini
Asante mwalimu
Kwakweli mwalimu njia mbili ninghumu sana kuziendea
fact bro Joel God bless you
samahan kaka joel naomba nikuulize swali kwa mfano kama mtu ni muajiriwa wa serikali halafu ana interest ya kufanya biashara hapo napo itabidi aache kimoja?
Ndio, aache ajira
😢
Hapana sio lazima.....ila atatakiwa afanye biashara ambayo haichukui muda wake mwingi. Mfano: Anaweza kufanya biashara ya usafirishaji mfano kua na bajaji, daladala, Taxi. Anaweza kuwekeza kwenye biashara ya kilimo cha muda mrefu mf: Miti, matunda kama maparachichi. Anaweza kuwekeza kwenye majengo n.k
Ajira ya nn tena😂
😅 a. ,
Brother joel mungu aliyehai akutendee mema nilisoma kile kitabu cha kuweka aslimia kumi ktk kila unacho kipata ndani ya mwezi nimeenda vairo sana.
One day nitaleta zawadi ya gari kama sadaka yangu ❤🙏🙏
Hakika barikiwa
Saw mkuu🎉
Ahsante kaka ubarikiwe kwa mafunzo
the power of conscistency💪💪
Ni Kweli kaka Mimi napendwa kafanya Sana biashara Lakin ofu inanisumbua Sababu kila ninachokiona naona kinafaa
Saw mkuu
Je,Kama nilichokichagua hakilipi
Asante
🎉
Km mm nimechagua kitu ambacho akitoki kichwani
Kinatoka wapi
Sasa hapo sio wenye akiri wasio na hakir ndyo Wana taman kufanya mambo meng mwisho wanakosa yoote
Sawa sawa
Hii ni hot sana
Barikiwà Santa
Asante sana kaka nimekupata
🎉🎉🎉
🤝🤛