HII NDIO SABABU BAADHI YA WATU WAOVU WANAONEKANA WAMEFANIKIWA | ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 69

  • @nchumaTz
    @nchumaTz 6 місяців тому +6

    hadi nimecheka kwa sauti peke angu, naamini Mungu ananipenda sana na ninamkosea sana lakni bado ananipenda tu😢

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 6 місяців тому +4

    Ubarikiwe Sana kwa Mafundisho Yako Askofu Gwajima Huwa Unanijenga Sana Kw mahubili yako "

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 6 місяців тому +3

    JASUSI LA MBINGUNI BARIKIWA!UNA MAFUNDISHO YA TOFAUTI SANA.

  • @nuswemwakasala8687
    @nuswemwakasala8687 6 місяців тому +3

    Ikiwezekana baba bishop uje uwe zaidi ya Magu katika kuwajali wanyonge. Amina

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 4 місяці тому

    Amina .......ila baba mimi umenitoa mbari sana tena sana siku nikija apo ufufuo nikitoa ushuhuda wangu watu wataziba midomo wakimshangaa Mungu wambinguni ila nina ushauli baba nakuomba mwakani usigombee tena ubunge waache wafu wawazike wafu waoo maana naona kama hari ya hewa imechafuka na pia uku morogoro awakuzungumzii vema kama jana na juzi.....🙏

  • @YonerManang-ie2qm
    @YonerManang-ie2qm 4 місяці тому

    ❤❤❤Mungu akubariki kw mafundisho

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 6 місяців тому +3

    Post the whole clip please

  • @AnastasiaMlelwa
    @AnastasiaMlelwa 6 місяців тому +1

    Amen baba

  • @GodyKaywanga
    @GodyKaywanga 6 місяців тому +1

    Baba huwa nakuelewa sanaa sanaa

  • @mariaismail5556
    @mariaismail5556 6 місяців тому

    Asante baba tufundishe tuwasikirize wazazi🎉
    3:24

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 6 місяців тому

    Kweli Bishop watu upoteza muda mwingi kufuatilia maisha ya watu wanaacha yao yanapolomoka. Wakati wanaowahangaikia wanasonga mbele na kufanikiwa sana

  • @FadhiliMollel-i2l
    @FadhiliMollel-i2l 6 місяців тому

    Nimekuelewa Sana Dr. Bishop Gwajima.

  • @DavidMwamengo
    @DavidMwamengo 6 місяців тому

    God gives qualification to people he wantes to use, so you don't need qualification to work for him but he qualifies people he wants to use
    I really like this point on top

  • @pastorheri715
    @pastorheri715 6 місяців тому

    Hata mimi huwa namshangaa sana Mungu, akiamua kufanya lake!!! Shwaa, anafanya

  • @JosephBigabwa-wo2bf
    @JosephBigabwa-wo2bf 6 місяців тому +1

    Mungu ani wezeshe niwe mwaminifu

  • @afonsojohn6860
    @afonsojohn6860 2 місяці тому

    Amém

  • @eunicelazaro483
    @eunicelazaro483 6 місяців тому +1

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 5 місяців тому

    Amen Amen.

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf 6 місяців тому +1

    Namwogopa Mungu

  • @Floracharles-kh3cg
    @Floracharles-kh3cg 5 місяців тому

    Amen 🙏🏿🙏🏿

  • @Oswardkadron
    @Oswardkadron 6 місяців тому +1

    Mtumishi umefundisha SoMo kubwa sana kwauweza wa Mungu

  • @sallyaruseiministriesintl
    @sallyaruseiministriesintl 6 місяців тому

    I am chosen by God but there are many battles such as financial, health, family, ministry and so on but Jesus is victorious in my life in Jesus name. Amen.

  • @shaenykavenuke6509
    @shaenykavenuke6509 6 місяців тому

    Neno la Hekima toka kwa mtumishi wa Mungu

  • @priestkingagrey
    @priestkingagrey 6 місяців тому

    Hallelujah 🔥

  • @elishakingu838
    @elishakingu838 6 місяців тому +1

    Mungu aendelee kukutunza mtumishi

  • @nuswemwakasala8687
    @nuswemwakasala8687 6 місяців тому +7

    Mimi maombi yangu ni haya, unaenda kileleni, tukumbuke wanyonge, usijetusahau, tunakutakia kila la kheri

    • @jerrydanstan2539
      @jerrydanstan2539 6 місяців тому

      Mungu pia akuinue, na kukurehemu, na kuugeuza uso wake kwako na akupe amani 🙏🏽

  • @MoiseMutarami
    @MoiseMutarami 6 місяців тому +1

    BABA WENGINE TUPO HUKU CONGO HATUJUI KIZUNGU LAKINI TUNAKUPENDA TUNAKUFUATA SANA KWA MTANDAO TUNAOMBA KISWAHILI TUNAIWEZA. AKSANTE

  • @nicolemulonda8984
    @nicolemulonda8984 6 місяців тому +1

    Ameenn

  • @JohnstonDankton
    @JohnstonDankton 6 місяців тому +1

    Amen Dr. Josephat gwajima

  • @avithamosi2061
    @avithamosi2061 6 місяців тому

    We are blessee to have you Bishop. Ubarikiwe sana.

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 6 місяців тому

    Ameeeeeeeen kubwaaaa kabisaaaa

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 6 місяців тому +1

    Nani Alijuwa mafundisho kama haya Mungu anawatu wake

  • @roserovah241
    @roserovah241 6 місяців тому +1

    The chosen few

  • @wamamapefakizota5870
    @wamamapefakizota5870 6 місяців тому

    Aamen amen

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 6 місяців тому

    Haleluya 🔥 🔥 🔥 ❤

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 5 місяців тому

    Kweli.mungu.huwahapangiwi.bali.anajipangia

  • @felistamrutu7288
    @felistamrutu7288 6 місяців тому

    Ameeeen kubwa

  • @oneskyalo3252
    @oneskyalo3252 6 місяців тому

    Amina baba Askofu

  • @marymtua4312
    @marymtua4312 6 місяців тому

    Amen 🙏🙏

  • @nyansilujoseph-pm8im
    @nyansilujoseph-pm8im 6 місяців тому

    You are good in nature

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 6 місяців тому

    Ameeeeeee 🎉🎉🎉

  • @carolyneatieno6815
    @carolyneatieno6815 6 місяців тому

    Thank you for the Word.

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 6 місяців тому

    Ujumbe mzuri

  • @phaniceariviza4399
    @phaniceariviza4399 6 місяців тому

    Ningeomba mnatuwekea linki ya the full messages kwa description box tafadhali

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 6 місяців тому +1

    Kwahiyo unasemaje kuhusu wokovu ktk kristo --- je kuna walio andikiwa kuokoka na kuna walioandikiwa kupotea? ( kuto okoka ) --- ikiws ni Mungu amewaamulia hivyo,ni kwa vipi anawahukumu kwa kuwaadhibu ktk moto wa milele ( Jehanamu )--- na tuna ambiwa hukumu ya Mungu ni ya HAKI ---- je hukumu ya namna hiyo ni ya haki --- " Doctrine yako ktk hilo inawalakini "

  • @StevenRichard-uj7bn
    @StevenRichard-uj7bn 6 місяців тому

    Mimi naomba MUNGU akupe miaka mingi sana ili dunia na watu wanaokaa ndani yake wajue MUNGU anaishi.

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr 6 місяців тому +2

    Mimi huyu mzee nilimukubali kwenye kile kipindi cha kolona

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 6 місяців тому

    Ninachofahamu Mimi ni kuwa Mungu,alituwekea matendo mema ili tuenende ktk hayo --- na Mungu alimpa mwanada akili na nguvu ya hiari , ndiyo maana anasema " Nimekuwekea baraka na laana,uzima na mauti " ni jukumu la mtu kutumia nguvu ya akili na nguvu ya hiari kuchagua kati ya baraka na laana,uzima na mauti --- " ni MTU anachagua mustakabari wake,ndio maana hata akihukumiwa,hukumu yake,inakuwa ni hukumu ya haki " kwasababu MTU amechagua mwenyewe.

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 6 місяців тому

    Post the whole clip

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 6 місяців тому +1

    Mwamba huyu apa

  • @Edwin-tw3yj
    @Edwin-tw3yj 6 місяців тому +1

    Mala nyingi uko kama kiongozi,muchungaji,baba,mshauli unae jitambua ktk nafasi yako...

  • @james_romanos_tz
    @james_romanos_tz 6 місяців тому

    jembe!

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 6 місяців тому

    MUNGU alikuchagua kwaajili ya watanzania wote ndio maana unaubili kweli na ni mtumishi mwenye uzalendo na nchi yako

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 6 місяців тому

    😂😂😂😂 Mungu anatafuta mtu wa kupigwa naweek ili lazima ajitwalie wakuonyesha mfano.

  • @patrickmagibo3580
    @patrickmagibo3580 5 місяців тому

    Everything is scripted, Spiritual intelligency is to know what has already planned by God

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 6 місяців тому

    Gwajima uliiba uchaguzi Kawe unawezaje kusimama na kuhubiri kuhusu ethics?

    • @itiamekimbui722
      @itiamekimbui722 6 місяців тому

      weeeee huyu ni sauti ya mungu nduniani na kama unabisha akuje 🇰🇪 agombee umbunge popote uone atashinda

    • @EveristerMwampashi
      @EveristerMwampashi 6 місяців тому

      Mama hujui Jambo kaa kimya

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 6 місяців тому

      We ncha upumbavu kama aliiba kura ulishindwa nini kumpeleka mahakamani tena koma kumgusa kama unapenda kuendelea kutumia mitandao

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 6 місяців тому

      Tena koma kama aliiba mpeleke polisi acha kutafuta sifa mitandaoni usije kujuta badae

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 6 місяців тому

      @@KokoloLambinguni umpeleke mahakama gani!!? kila mtu anajua wabunge wote wa CCM waliiba kura akiwemo Gwajima kama kweli angekuwa mtumishi wa Mungu wa ukweli asingekubali ubunge wa mchongo/wizi..

  • @winniembilingi4566
    @winniembilingi4566 4 місяці тому

    Amen

  • @JosephBigabwa-wo2bf
    @JosephBigabwa-wo2bf 6 місяців тому

    Mungu ani wezeshe niwe mwaminifu

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 6 місяців тому

    Amina baba

  • @MoiseMutarami
    @MoiseMutarami 6 місяців тому

    BABA WENGINE TUPO HUKU CONGO HATUJUI KIZUNGU LAKINI TUNAKUPENDA TUNAKUFUATA SANA KWA MTANDAO TUNAOMBA KISWAHILI TUNAIWEZA. AKSANTE

  • @joycekasimbazi9817
    @joycekasimbazi9817 6 місяців тому

    Amen

  • @wamamapefakizota5870
    @wamamapefakizota5870 6 місяців тому

    Amen