Amina .......ila baba mimi umenitoa mbari sana tena sana siku nikija apo ufufuo nikitoa ushuhuda wangu watu wataziba midomo wakimshangaa Mungu wambinguni ila nina ushauli baba nakuomba mwakani usigombee tena ubunge waache wafu wawazike wafu waoo maana naona kama hari ya hewa imechafuka na pia uku morogoro awakuzungumzii vema kama jana na juzi.....🙏
God gives qualification to people he wantes to use, so you don't need qualification to work for him but he qualifies people he wants to use I really like this point on top
I am chosen by God but there are many battles such as financial, health, family, ministry and so on but Jesus is victorious in my life in Jesus name. Amen.
Kwahiyo unasemaje kuhusu wokovu ktk kristo --- je kuna walio andikiwa kuokoka na kuna walioandikiwa kupotea? ( kuto okoka ) --- ikiws ni Mungu amewaamulia hivyo,ni kwa vipi anawahukumu kwa kuwaadhibu ktk moto wa milele ( Jehanamu )--- na tuna ambiwa hukumu ya Mungu ni ya HAKI ---- je hukumu ya namna hiyo ni ya haki --- " Doctrine yako ktk hilo inawalakini "
Ninachofahamu Mimi ni kuwa Mungu,alituwekea matendo mema ili tuenende ktk hayo --- na Mungu alimpa mwanada akili na nguvu ya hiari , ndiyo maana anasema " Nimekuwekea baraka na laana,uzima na mauti " ni jukumu la mtu kutumia nguvu ya akili na nguvu ya hiari kuchagua kati ya baraka na laana,uzima na mauti --- " ni MTU anachagua mustakabari wake,ndio maana hata akihukumiwa,hukumu yake,inakuwa ni hukumu ya haki " kwasababu MTU amechagua mwenyewe.
@@KokoloLambinguni umpeleke mahakama gani!!? kila mtu anajua wabunge wote wa CCM waliiba kura akiwemo Gwajima kama kweli angekuwa mtumishi wa Mungu wa ukweli asingekubali ubunge wa mchongo/wizi..
hadi nimecheka kwa sauti peke angu, naamini Mungu ananipenda sana na ninamkosea sana lakni bado ananipenda tu😢
Ubarikiwe Sana kwa Mafundisho Yako Askofu Gwajima Huwa Unanijenga Sana Kw mahubili yako "
JASUSI LA MBINGUNI BARIKIWA!UNA MAFUNDISHO YA TOFAUTI SANA.
Ikiwezekana baba bishop uje uwe zaidi ya Magu katika kuwajali wanyonge. Amina
Amina .......ila baba mimi umenitoa mbari sana tena sana siku nikija apo ufufuo nikitoa ushuhuda wangu watu wataziba midomo wakimshangaa Mungu wambinguni ila nina ushauli baba nakuomba mwakani usigombee tena ubunge waache wafu wawazike wafu waoo maana naona kama hari ya hewa imechafuka na pia uku morogoro awakuzungumzii vema kama jana na juzi.....🙏
❤❤❤Mungu akubariki kw mafundisho
Post the whole clip please
Amen baba
Baba huwa nakuelewa sanaa sanaa
Asante baba tufundishe tuwasikirize wazazi🎉
3:24
Kweli Bishop watu upoteza muda mwingi kufuatilia maisha ya watu wanaacha yao yanapolomoka. Wakati wanaowahangaikia wanasonga mbele na kufanikiwa sana
Nimekuelewa Sana Dr. Bishop Gwajima.
God gives qualification to people he wantes to use, so you don't need qualification to work for him but he qualifies people he wants to use
I really like this point on top
Hata mimi huwa namshangaa sana Mungu, akiamua kufanya lake!!! Shwaa, anafanya
Mungu ani wezeshe niwe mwaminifu
Amém
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Amen Amen.
Namwogopa Mungu
Amen 🙏🏿🙏🏿
Mtumishi umefundisha SoMo kubwa sana kwauweza wa Mungu
I am chosen by God but there are many battles such as financial, health, family, ministry and so on but Jesus is victorious in my life in Jesus name. Amen.
Neno la Hekima toka kwa mtumishi wa Mungu
Hallelujah 🔥
Mungu aendelee kukutunza mtumishi
Mimi maombi yangu ni haya, unaenda kileleni, tukumbuke wanyonge, usijetusahau, tunakutakia kila la kheri
Mungu pia akuinue, na kukurehemu, na kuugeuza uso wake kwako na akupe amani 🙏🏽
BABA WENGINE TUPO HUKU CONGO HATUJUI KIZUNGU LAKINI TUNAKUPENDA TUNAKUFUATA SANA KWA MTANDAO TUNAOMBA KISWAHILI TUNAIWEZA. AKSANTE
Ameenn
Amen Dr. Josephat gwajima
We are blessee to have you Bishop. Ubarikiwe sana.
Ameeeeeeeen kubwaaaa kabisaaaa
Nani Alijuwa mafundisho kama haya Mungu anawatu wake
The chosen few
Aamen amen
Haleluya 🔥 🔥 🔥 ❤
Kweli.mungu.huwahapangiwi.bali.anajipangia
Ameeeen kubwa
Amina baba Askofu
Amen 🙏🙏
You are good in nature
Ameeeeeee 🎉🎉🎉
Thank you for the Word.
Ujumbe mzuri
Ningeomba mnatuwekea linki ya the full messages kwa description box tafadhali
Kwahiyo unasemaje kuhusu wokovu ktk kristo --- je kuna walio andikiwa kuokoka na kuna walioandikiwa kupotea? ( kuto okoka ) --- ikiws ni Mungu amewaamulia hivyo,ni kwa vipi anawahukumu kwa kuwaadhibu ktk moto wa milele ( Jehanamu )--- na tuna ambiwa hukumu ya Mungu ni ya HAKI ---- je hukumu ya namna hiyo ni ya haki --- " Doctrine yako ktk hilo inawalakini "
Mimi naomba MUNGU akupe miaka mingi sana ili dunia na watu wanaokaa ndani yake wajue MUNGU anaishi.
Mimi huyu mzee nilimukubali kwenye kile kipindi cha kolona
Ninachofahamu Mimi ni kuwa Mungu,alituwekea matendo mema ili tuenende ktk hayo --- na Mungu alimpa mwanada akili na nguvu ya hiari , ndiyo maana anasema " Nimekuwekea baraka na laana,uzima na mauti " ni jukumu la mtu kutumia nguvu ya akili na nguvu ya hiari kuchagua kati ya baraka na laana,uzima na mauti --- " ni MTU anachagua mustakabari wake,ndio maana hata akihukumiwa,hukumu yake,inakuwa ni hukumu ya haki " kwasababu MTU amechagua mwenyewe.
Post the whole clip
Mwamba huyu apa
Mala nyingi uko kama kiongozi,muchungaji,baba,mshauli unae jitambua ktk nafasi yako...
jembe!
MUNGU alikuchagua kwaajili ya watanzania wote ndio maana unaubili kweli na ni mtumishi mwenye uzalendo na nchi yako
😂😂😂😂 Mungu anatafuta mtu wa kupigwa naweek ili lazima ajitwalie wakuonyesha mfano.
Everything is scripted, Spiritual intelligency is to know what has already planned by God
Gwajima uliiba uchaguzi Kawe unawezaje kusimama na kuhubiri kuhusu ethics?
weeeee huyu ni sauti ya mungu nduniani na kama unabisha akuje 🇰🇪 agombee umbunge popote uone atashinda
Mama hujui Jambo kaa kimya
We ncha upumbavu kama aliiba kura ulishindwa nini kumpeleka mahakamani tena koma kumgusa kama unapenda kuendelea kutumia mitandao
Tena koma kama aliiba mpeleke polisi acha kutafuta sifa mitandaoni usije kujuta badae
@@KokoloLambinguni umpeleke mahakama gani!!? kila mtu anajua wabunge wote wa CCM waliiba kura akiwemo Gwajima kama kweli angekuwa mtumishi wa Mungu wa ukweli asingekubali ubunge wa mchongo/wizi..
Amen
Mungu ani wezeshe niwe mwaminifu
Amina baba
BABA WENGINE TUPO HUKU CONGO HATUJUI KIZUNGU LAKINI TUNAKUPENDA TUNAKUFUATA SANA KWA MTANDAO TUNAOMBA KISWAHILI TUNAIWEZA. AKSANTE
Amen
Amen