#rauhiya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 660

  • @AjsProSigns
    @AjsProSigns 3 роки тому +15

    Wenye Elimu hawajaambiwa wasimche Allah. (Ujumbe wangu)
    Mcheni Allah na muache miziki ya namna hii. Mwanamke anadhihirisha mapambo mbele ya wanaume na kuwaimbia hii dini msipoilinda Allah atawatia fedheha na unyonge kila siku

  • @nurdinimndeme2912
    @nurdinimndeme2912 5 років тому +6

    nimehuzunika kuona #ukhty kasimamishwa mbele ya wanaume HUU ni utaratibu mbovu sana na haupo katika Dini yetu ya kiislam ' mengine Allah amjaze kheri dada etu kaimba vizuri sana ma shaa Allah .

  • @najatmadati4493
    @najatmadati4493 5 років тому +1

    Subhana llah jamani huu sii uislamu ,,uislamu gani mwanamke mbele ya wanaume tena na mapambo na kubana sauti ,,allah akuongoze ukhty na atuongoze sote mana hio unayofanya na hao waliovaa kanzu na vilemba ni hamu tena kubwa inalillahi waina ilayhi rajiuun
    Yani kama mtu unayo imani hata kidogo huezi kuitazama hii nyimbo

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 5 років тому +39

    Subuhannallah.. hakuna tofaut na mziki kama mizik mengine... hii labda hiii tunaweza kuiita tarab... ushaur mm nahis tuachane kumuimbia SHEITWAN... mwanamke kavaa nguo zaid ya kumi ila bado yupo uchi..💥💥💥

  • @mgogomgogo7266
    @mgogomgogo7266 5 років тому +3

    Good ujumbe....mungu akubariki,hakuna binadamu anayeweza kumuhukumu binadamu mwiziwe....mungu pekee

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      Mwanaadam hahukum anakumbusha. Sisi ni waisilam ni haki ya kila muisilam kumkumbusha mwenziwe na ndio uoendo wa dhati, mana tunapokwenda ni kugum tusije tukawa waliokhasirika. Hukumu kila mmoja atahukumiwa na Allah yy pekee ndie mwenye pepo na moto. Ila sisi tunakumbushana km alivyotuusia Allah na Mtume wetu.

    • @mgogomgogo7266
      @mgogomgogo7266 5 років тому

      @@alhamdulillah5796 je umeangalia kaswida za Indonesia? Mbona zina ngoma na midundo mbona watu wahacoment vibaya?

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      @@mgogomgogo7266, mm sijapata hata kuangalia hio ya Indonesia. Lkn ninavyofaham mm haq haiwi chini ya batwil. Naaamin na huko watakuepo wanaocommet kwa kukataza. Ila hicho sio kigezo ktk uisilam kua wakati sehem fulani watu hawakatazi ndio tuone jambo linafaa au tuwazuie wale wanaokataza.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      @@mgogomgogo7266, watu wanacommet kwenye Qur-an wanaposoma wanawake kwa sauti za kunyorora itakua nyimbo za Indonesia?

    • @mgogomgogo7266
      @mgogomgogo7266 5 років тому

      @@alhamdulillah5796 100% nakubaliana na wew

  • @jamsheedabdullatif938
    @jamsheedabdullatif938 3 роки тому +1

    Maa shaa Allah wa Allahi Bareeq so touching and strong words Alhamdhulilah

  • @asayubeejr1199
    @asayubeejr1199 5 років тому +19

    Subhanaalllah hakikaa tuko kwenye upotevuu wa wazi innallillah wainna illahi rajjiuni hakika inasikitisha snaa

  • @youngsaid2371
    @youngsaid2371 5 років тому +166

    Inna lillahi wa inna ilaihi raajiun!! Wallahy huu sio uislamu aliotufunza mtume Muhammad

    • @hawa4968
      @hawa4968 5 років тому +7

      Allah atustiri mtihani kwa kweli

    • @maryamsaid6010
      @maryamsaid6010 5 років тому +5

      Ni kweli Kaka hiii ni ni nyimbo

    • @abuualban12
      @abuualban12 5 років тому +3

      Nikweli
      Tunafuata kidogo kidog
      hata Brother nasir naye aimba sasa mtafute kwenye chanel yake kwa jina hilo hilo na wengi wazurika maher zain
      Allah atunusuru Rijali kama mimi nione sura nzur kama hiyo na saut murua ivi ataipandisha imani au kushusha?

    • @samiaalriyami3488
      @samiaalriyami3488 5 років тому +1

      Saeed ibn Aamer Al-Amry mtihan wallah

    • @youngsaid2371
      @youngsaid2371 5 років тому +3

      Haya yote yanaletwa kwa kutoisoma ilm na kuifahamu dini kisawasawa na ndio maana tunabaki kuwa waislamu jina.Inaskitisha wallahy

  • @nyumbayatibanadua737
    @nyumbayatibanadua737 4 роки тому +1

    Kwa kupata video nyingine za mawaidha bonyeza maadishi ya bluu hapo chini. 👇👇👇
    m.ua-cam.com/channels/TOqt91SRB0NyOw6rMo5zTw.html
    Usisahau Ku SUBSCRIBE, SHARE, NA COMMENT

  • @cutechaima3739
    @cutechaima3739 5 років тому +30

    Yaaah allah tusamehee waja wko sas i ni nn yan mwanamkee kuimba mbele ya wanaum kujilemba allah ndoalivyoamlish ivy kweli yn akuna amnachokifny mbele ya allah kwakwel wislam aupo ivyo ndug zngu

    • @ishadulla4525
      @ishadulla4525 4 роки тому

      Me nimeshangaa sana alafu anajiita ukhti ni km taarabu tu pale ngome kongwe

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 5 років тому +7

    Mkaweka na jina la Mzee Yusuph ktk upotofu huu na M/mungu kashamtoa huko .....anyway mwenyezi mungu atusamehe sote na kutuongoza ktk Njia iliyonyooka .....

    • @hawaabubakar2619
      @hawaabubakar2619 5 років тому

      Ameen YAA RABBY

    • @rizikiali4227
      @rizikiali4227 5 років тому +1

      Sasa wamesema mzee Yusuf kaswida yamliza mbona mie sijamuona akilia apo kama kweli ndipo tusubiri2 Nusra za Allah mana dunia khalas

  • @mohammedamour9281
    @mohammedamour9281 5 років тому +6

    Huko ndio kukomaa kwa BIDAA na bado tutaona mengi.mtume S A W.anasema atakaeishi muda mrefu ataona mengi yamezuliwa ktk dini.usalama wake au kusalimika kwake ni KUZIKAMATA SUNA ZAKE KAMA TUNAVYOUMIA MENO YA MAGEGO. ALLAH ATUONGOZE NJIA SAHIHI INSHAALLAH

  • @bibazanzibariyyah5043
    @bibazanzibariyyah5043 5 років тому +36

    Hee hii qasida au taatabu mtihani sasa
    Allah atuongoze

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 4 роки тому

    Hongera ujumbe mzuri ila muige mfano kwa dida kasida hajirembi kupitiliza 👏👏👏👏

  • @mwanasulesalum8507
    @mwanasulesalum8507 5 років тому +10

    Ahsnte Dada yang.M.mungu akuzidshie ..don't give up

  • @halimabakari4174
    @halimabakari4174 4 роки тому +1

    Subuhanallah sina usemi wallahi. Allah tustiri ss na vizazi vyetu ya rabbi

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 5 років тому +32

    Kabisaaaa waache kumchezea shere mungu ni dicko kweli

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 5 років тому +148

    Harram mwanamke kuonesha viongo mapambo kwa mwanamme asie kua mumewe, tumekatazwa waja.
    Allah atusitiri amiin

    • @jumaashabani9484
      @jumaashabani9484 5 років тому +3

      Bora hivi kuliko kupublish marumbano ya masheikh

    • @zanzibarsmzenji
      @zanzibarsmzenji 5 років тому +10

      @@jumaashabani9484 kaka hakuna dhambi yenye ubora, tujitahidi sana sisi sote wapungufu ila tumepewa akili za kupambanua.

    • @daarulmujawidin4329
      @daarulmujawidin4329 5 років тому +6

      @@jumaashabani9484 jee uko tayari kusimama shuhuda mbele ya ALLAH kwa hayo mazungumzo yako kuwa afadhali hivi

    • @kasimuathumani2330
      @kasimuathumani2330 5 років тому +3

      Kweli haifai anaebisha aje tukae tufundishane

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 5 років тому +2

      jumaa shabani bora hivi kweli wakati aya imekataza kwa mkazo mkali .unasema tu we vipi

  • @jamilaali5741
    @jamilaali5741 5 років тому

    kheri unyamaze kuliko kusema uovu wa mwenzio,hakuna alie kamili...QIYYAMA HAQQU,NAAR HAQQU,tutubu kwa Allah atusamehe....jazakallah kher

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      Watu wanachanganya dini na bidaa halafu ati watu wanyamaze kwa kua tu tumeumbwa hatujakamilika, Hv unadhani mwisho watu watajua lp halali na lp haram? Mtume (S.A.W) ameusifu huu ni umma bora kwa sabb unaamrishana mema na kukatazana maovu

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 5 років тому +1

    Allah atusamehe makosa yetu na atustiri na aibu zetu atuonyeshe halali na haramu .... hakuna aliekamilika chini ya jua sote twaomba maghfira kwa Allah

  • @khamisothman1154
    @khamisothman1154 5 років тому +24

    MUOGOPENI ALLAH ENYI WAJA NA MUTANBUWE KIJA JAMBO LITALETWA MBELE YA ALLAH NA KULIPWA.
    VINANDA NA ZUMARI VIMEKATAZWA KATIKA UISLAM KWA MUJIBU WA KUR-AN NA SUNNA.

    • @said306nyatu9
      @said306nyatu9 5 років тому

      Dada uloimba kesho una moto

    • @rehemamohamed8705
      @rehemamohamed8705 4 роки тому

      Licha ya vinanda hao wanawake wapo uchi japo wamevaa. Saut ya mwanamke pia ni uchi yaarab tujaalie toiba ya kweli

  • @ngoffos9913
    @ngoffos9913 3 роки тому +1

    Allah is ALWAYS great.......

    • @ngoffos9913
      @ngoffos9913 3 роки тому

      Two months old in Islam community......kindly i need guidance sheikh

    • @ngoffos9913
      @ngoffos9913 3 роки тому

      Amiin

  • @madzikotsimba3692
    @madzikotsimba3692 4 роки тому +1

    For those are against this qaswida feel ashamed coz we need teachings not religion. Thumbs up for this song

  • @masoudsafia207
    @masoudsafia207 5 років тому +1

    ni sawa na tarab tu mungu atuongoze in shaa allah

  • @gitonga7054
    @gitonga7054 5 років тому +1

    SUBHANALLAH. ALLAH atusamehe soteni maana hakuna aliye kamili na Atuongozeni kwa kheri Amin. Ni haram dada yetu ALLAH atuhifadhini soteni Amin

  • @zenahassan7530
    @zenahassan7530 5 років тому

    Hakika haya ni miongoni mwa ibadah...kizazi hiki chetu sisi wanawake tumekosa haya ambapo inatupelekea kusimama mbele za waume zetu na kutoa sauti... tukumbukeni sisi wanawake ni fitna kubwa kwenye jamii na zinaa si kile kitendo tu cha kujamiiana....Mwanamke sauti yko uso wako unywele wako ni sababu kubwa kuipata dhambi ya zinaa..Allah atustiri atujaalie wenye kuvata mienendo ya mama zetu wake wa mtume wetu kipenzi

  • @chidybale001
    @chidybale001 5 років тому

    Mashallah angalau nyie mmejaribu. Kama mnamakosa ajuaye nimola. Na awasamehe, maana sio nia yenu. Asanten kwa ujumbe mzuri

  • @karisamaitha2642
    @karisamaitha2642 4 роки тому

    Subhanallah hiyo ndivyo mtume saw katufunza bint kajikoroga ako uchi subhanallah subhanallah

  • @richardgaspari4818
    @richardgaspari4818 5 років тому +40

    Nyani na tumbili ni wale wale..wamebadilisha misitu na vichaka tuu..😁😁

  • @sophiamzee860
    @sophiamzee860 Рік тому

    Mwenyezimung akupe maisha marefu ruhahya🌹🇧🇸❤️

  • @costerhoshan6755
    @costerhoshan6755 4 роки тому +1

    INNALILLAH WAINNA ILAYH RAAJIUN ALLAH atuongoze kuacha huu uhuni

  • @allyrashid9568
    @allyrashid9568 5 років тому +30

    Hiyo Mashallah kwa kipi hasa cha maana mwanamke kupayuka sauti hivyo mbele ya wanaume, hiyo si ni taarabu na muziki ni haram, inna lillahi wainna ilyh raajiun

    • @hawaali8107
      @hawaali8107 5 років тому +1

      Hahaeee nimecheka zote koment zenu itabidi nicheke to sasa so anaimba qasida jaman

    • @allyrashid9568
      @allyrashid9568 5 років тому

      Hata kama ni kasida basi aka muimbie mume wake chumbani sio hapo,

    • @mohdabdulla572
      @mohdabdulla572 5 років тому +1

      Huu sio uislaam jamani haram wala sio qaswida tufatilie history qaiswida hazijakatazwa ila sio hii hakuna tofauti na taraab tena umejipamba kama uko kwa mumeo

    • @aminaaziadi8565
      @aminaaziadi8565 5 років тому +1

      ally rashid

    • @mariamsuleiman1638
      @mariamsuleiman1638 5 років тому +1

      Tena wamejipamba wote wanakujua mbele hapa hapana uislam muwe na majibu kesho kwa Allah

  • @hilalhaji3302
    @hilalhaji3302 5 років тому +109

    Yaani watu hutafuta njia za kuhalalisha haramu
    Iko siku kila mtu atajuta

  • @ummhaneen1928
    @ummhaneen1928 5 років тому +1

    Mashallah mashallah very nice God bless you

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed9746 5 років тому

    Kwahiyo mzee yusufu katoka kwenye mziki kaingia kwenye mziki alafu asema kastaafu mziki, uislamu wa bongo bwana mashaka au ni izo njaa"

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 роки тому

    We mwanamke mshenzi kama hijatubia na nyimbo zako izo jahannam inakuhusu

  • @alsonmohamed9805
    @alsonmohamed9805 5 років тому +21

    Sijaona kubadilika hapo ni uleule mziki NA niharam tupu imetawala hapo mambo ya shubuhat ,,,,,tumcheni Allah jamani huo ni mziki tena bila chenga kbs

  • @z_a_h_h_m_s_aitogik1767
    @z_a_h_h_m_s_aitogik1767 5 років тому +2

    May Allah guide you and protect you always Aamiin

  • @sterwatshirima1308
    @sterwatshirima1308 3 роки тому

    Mashaalah ukhty rauhiya mungu awe nawe daima

  • @almasymusa6736
    @almasymusa6736 5 років тому +4

    Jamani tumcheni Allah. Mmepituka mipaka uislamu uko mbali na hilo. M/mke aimba na kujiringisha mbele ya wanaume huku wanaume hao wakienda kumtunza si sahihi kabisaaa zindukeni

    • @fakishaame6542
      @fakishaame6542 5 років тому +1

      huu ujinga mtupu dini wanaifnyia biashara mambo wenyew haramu duh mtihani huu Allah tusamhe waja wako

    • @saadakiyungi6437
      @saadakiyungi6437 5 років тому +1

      Almasy musa kweli uyasemayo

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr 5 років тому

    Huyu Dada kiufupi kaenda kufanya fashion show.... Kisha inasikitisha sana wanaume wote hawa mwanamke anaenda kuimba kajipamba... Mwanamke hakuruhusiwa kuadhini kwa ajili sauti yake isidhihirike.. Alafu unaenda kuimba na mike. Subhanallah. Hii ni fitna kubwa kwenye dini.

  • @salimalismaily8406
    @salimalismaily8406 5 років тому

    Kasida mbaya sana miziki mingi na mashairi ya kawaida tu ya taarab mziki mwingiiii

  • @suleiman3823
    @suleiman3823 4 роки тому

    Ma Shaa Allah kasida mzuri Sana kashfa

  • @hathmaabdallah1284
    @hathmaabdallah1284 5 років тому +2

    Subhanallah wanawake aimba wanaume wahapo Kisha wasema ni qaswida, bado muko kwenye tarabu

  • @ahmedrashid5090
    @ahmedrashid5090 5 років тому +148

    Huu ni mziki km wanavoimba wanamuziki wengine...neno qaswida limetumika km hijab tu hapo.

    • @hawalul8094
      @hawalul8094 5 років тому +3

      Kabisaaa

    • @mwanaidiramadhan3919
      @mwanaidiramadhan3919 5 років тому +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @theworldandcraziestguys2729
      @theworldandcraziestguys2729 5 років тому +3

      @@jumaomari6606 Acha kumfanyia ist hzai mwenzio.....huo ni upuuzi...Waweke watu katika manzila zao

    • @maryamsaid6010
      @maryamsaid6010 5 років тому +2

      Umeonaeeee Kaka Ahmed

    • @NeemaMedia
      @NeemaMedia 5 років тому +5

      Tofauti mavazi tu, lakini maneno kama ya akina nandy na dai Tu 🤣🤣🤣🤣

  • @maryamsudi7046
    @maryamsudi7046 5 років тому

    We dada mashallah una saut nzuri mpaka nakuonea wivu

  • @alexjr3528
    @alexjr3528 5 років тому

    Ajabu nyie waislamu mnatupiana maneno kama haya hamna ushirikiano mimi mkiristo ila hii nyimbo nzuri sana na inafundisha hayo yanayoongelewa humo mm yamenitokea Kee up my csta

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      Waisilam wana maneno mazuri ya kutosha kwenye Qur-an kwa anayetaka kuisoma na sio mpaka mwanamke adhalilike mbele ya wanaume kwa kuwaregezea sauti, kuwapambia n.k.

    • @alexjr3528
      @alexjr3528 5 років тому

      @@alhamdulillah5796 so dini yako ndio inafundisha mtu akikosea unamhukumu kwa maneno makali?

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      @@alexjr3528, hayo ni maneno makali, mnafik tu!

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      @@alexjr3528, Kwanza ww si muisilam hupendi waisilam kuongozana na ndio mana hata maneno mazuri kwako unaona kinyume.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      @@alexjr3528, na huyo alohukumiwa ni nan? Tuondoleeni mila zenu za kikafiri. Tuacheni tuongozane, tukatazane na tunasihiane. Nyinyi mnadini yenu na mafundisho yenu na sisi tunadini yetu na mafundisho yetu.

  • @azzamaruzuku3052
    @azzamaruzuku3052 5 років тому

    Jaman wanadam msimuhuku mtu et dhambi dhambi nyinyi nyinyi hamjafanya dhambi hata hivy hujui mung kamuandikia nn na hata hivy ndio kuna baadhi ya vitu sio sahihi lkn sio kumkatish tamaa na kumwambia kuwa dhambi laana kwan nyie hamjafanya dhambi au zenu hamzion mashallah ma sis all the best but kuna vitu sio sahihi uliofanya

  • @allyathumani1632
    @allyathumani1632 4 роки тому +1

    Innalillahi wainnailayihi raajiuun
    huu ni msiba tena mkubwa mno wapi tuaelekea waislam
    Mnaitaji kufurahisha nyoyo za watu ilihali tunamuudhi hadha wajalah
    Kwa hili hapana

  • @abdullahisihak8703
    @abdullahisihak8703 5 років тому +2

    Sijaon tafauti na taarab tu hpo subhanaallah Allah atufahamish sote inshaallah

  • @slimsalom.y.g.2792
    @slimsalom.y.g.2792 2 роки тому

    Allah barik ukhty

  • @mariabahati1264
    @mariabahati1264 4 роки тому

    Nimeipenda nyimbo ni nzuri saana lakini sio qaswiida hiyo ni nyimbo hehehe inshaallaah kheri basi

  • @fauziakassim323
    @fauziakassim323 4 роки тому

    Mashallah maneno mazuri ila hapo kwa mapambo usifanye ni makosa be like dida very beautiful hajipambi akiimba kaswida you have to imitate from dida

  • @neyshneysh8590
    @neyshneysh8590 5 років тому

    mashaallah wee dada mrembo kwel umependa na una sauti poa... hao wenye kukuongelea vibaya ni wivu unawasumbua...... unayoyasema hapo ndugu yangu ni ushauri mzuri sana... nyie fuateni analolisema hamjaambia mfuate matendo yake... na nmeenda ata mkija mkicomment ujinga sisomi comments zenu😏😏

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому +1

      Hayo anayoyasema hapo yapi yalokua hayajawahi kusikilikanwa? Kuna mas-haf nzima hakuna kilichobakisha. Mnapenda kushangiria maovu. Halafu ati wivu, sisi tunaomuongoza kama tuna wivu ww unaetuzuia sisi kumuongoza basi ni hasid! Mana unamuona mwanamke mwenzio anadhalilika halafu unaona swa wakati ww umehifadhika hata picha ya sura yako hujaieka hapo watu wakakuona.

  • @KhalidKhalid-zt1bc
    @KhalidKhalid-zt1bc 5 років тому +41

    kanzu ,vilemba na mabaibui ndio yanahalalisha nyimbo? waarabu wanavaa hizo kanzu mpaka bar

  • @abuushaakirayubu9476
    @abuushaakirayubu9476 5 років тому

    Mzee yuusuphu ungesilim bila madangazo na mm nlijuaty kua ilikua kiki tuu sasa hii tofauti gani na gharika ya moyo???? Shekh mche Allah..

  • @fatmakungu2160
    @fatmakungu2160 5 років тому

    Subuhanallah. .din ipo hivi usijerembe mbele za watu zaid ya mumeo. .pili usionyeshe viungo vyako umeshika maick mkono yote nje ikiwa Pana wanaume kweli hiyo qaswida au

  • @feisalmuya1424
    @feisalmuya1424 5 років тому +28

    Kwa siye tunao zifahamu kaswida tunakataa hi I sio kaswida bali ni taarabu tu

    • @muhammadjuma4762
      @muhammadjuma4762 5 років тому

      Hebu tufundishe kasida ni nn na ili iwe kasida inahitajika nn

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 5 років тому +42

    hya alitabiri mtume alipo sema kuhusu dalili za kiyama ويظهر القينات na watadhiri waimbaji wakike mcheni allah nye wanaume mlohudhuria hapo

  • @zaitunihamisi5189
    @zaitunihamisi5189 3 роки тому

    Jaman wazanzibar tumuogope Allah munatumia neno qaswida vibaya mwanamke kupaza sauti yake mbele ya wanaume daaaha

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 5 років тому +1

    Yaa Allah twakuomba utusamehe makosa yetu na utustiri na aibu zetu hapa dunian na kesho akhera

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 5 років тому +1

    Pole yenu nyote wapiga vinanda na wewe muimba taarabu utajibu siku ya kiama.. dunia simama nishuke

  • @nourhamad1926
    @nourhamad1926 5 років тому

    killa mmoja ktk dunia ana ndoto hata Viongozi tofaut waliyapitia haya ,, kwa hiyo Cha msingi zaid kila mja aangalie yeye kafanya mangapi ya siri na dhahir ?? All the best kwako Rauhiya Inshallah utafika pale unapopataka 🙏🙏

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      Inamaana km kila mwanaadam hufanya maovu yasiri anayajua yy na Mungu wake lkn ya dhahiri km hatukatazani tukaongozana unadhani huu ulimwengu mwisho utakuaje? Si tutakua hatuna tofauti na manyani?

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojl

  • @hawafreedom1760
    @hawafreedom1760 5 років тому

    Acheni majungu nyimbo nzuri sana

  • @hawalul8094
    @hawalul8094 5 років тому +13

    fitnah tupuu na Pia alaa zipo muogope Allah hiyo sauti ni Aurah tena mbele ya Wanaumme this is Harram ..Never say Ma Shaa Allah kwa hizi Dhambi na Harram

    • @babaismail4205
      @babaismail4205 5 років тому

      Swadaktaa

    • @elbarrey3305
      @elbarrey3305 5 років тому

      Hawa lul no body have ever said mashallah... wote waliokomment wamemlaaan adi mda huu... Mnyez Mungu amuongoze njia ilonyoka yy ss na vizaz vetu..👏🏾👏🏾

    • @saadakiyungi6437
      @saadakiyungi6437 5 років тому

      Hawa lul umeona eeeh

    • @hawalul8094
      @hawalul8094 5 років тому

      @@elbarrey3305 @i said Never ever usiwahi kusema Ma shaa Allah I didn't say someone said jaribu kuelwaa...Ama Nenda kwa Ras Simba ..😂😂😂

    • @maryamsudi7046
      @maryamsudi7046 5 років тому

      Chuki na hasad zitakuangusha unaonekana una choyo sana endelea kumchafua mwenzio Facebook ila ujira wako wa kumchafua mwenzio utaukuta kwa Allah

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 роки тому +1

    Kwa kweli mm siwezi kufanya hivyo, subhaana Allah

  • @mwajumakilungi2789
    @mwajumakilungi2789 4 роки тому

    Mashallha mungu akujaze shufaa

  • @sharkysharkyhassan8964
    @sharkysharkyhassan8964 4 роки тому

    Allah akbar mungu mutamjibu nini siku ya mwisho hayo muyafanyayo

  • @abubakaryngajima1341
    @abubakaryngajima1341 5 років тому +21

    Kaa chin uisome din vizur ujue inatak nn Dada saw ee

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 5 років тому +2

    huu ni muziki kabisaaa tumuogope Allah jamani

  • @SubiraJumangovi-dm5gu
    @SubiraJumangovi-dm5gu 5 місяців тому

    Mashallah ❤❤❤

  • @nassormuhammad7303
    @nassormuhammad7303 5 років тому

    Mashallah Allah bariq sauti yake na mipngo timilifu ya qaswida yake

  • @abubakarsalim1505
    @abubakarsalim1505 5 років тому +2

    Dini gani kulegeza sauti mbele ya wanaume wote hao wanawake mcheni mungu

  • @hawaabeid3338
    @hawaabeid3338 5 років тому

    mashaalah.swadkta hakuna mkamilifu ila Allah pekee.

  • @ashaomary8881
    @ashaomary8881 5 років тому +6

    Aya si maadli ya dini ya kiislam daaah😭😭😭

  • @cookwithme7470
    @cookwithme7470 4 роки тому

    Hii sio sawa. Sauti ya mwanamke aura.

  • @manbanshaban9253
    @manbanshaban9253 5 років тому

    Mi naona kama ni hukumu tuachie tu mungu,,huezi muhukumia mwenzio dhambi wakti we mwenyew kila kukicha wamkosea Allah..

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому

      Kwa iyo watu wasiamrishane mema na kukatazana mabaya ALLAH tayari ametusisitiza kwa vile Qur aan tunaona sio kitu haya ndio matokeo ukiamrisha hivi sivo tyr watoa hukumu hakuna mkamilifu lkn tukiamrishana nyoyo hupata khofu na kumcha ALLAH hakika ya ukumbusho utawafaa waumini

  • @binyunus4564
    @binyunus4564 2 роки тому

    Ukht rauhy mbona haya mahazi ya kasda ya ukht yusr umebuqi umeiqa kil kitu duu🥺🥺🥺🥺🥺🥺

  • @khamischiluba6452
    @khamischiluba6452 5 років тому +1

    Ungevaa kimini ingependeza zaidi hio nyimbo.

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 5 років тому

    Kaa cha taarabu anaimba tens taraab anamhadaa Allah wajidanganya mzee yussufu

  • @watendemkavu8779
    @watendemkavu8779 4 роки тому +1

    Mtihani Allah hatunusuru

  • @zenakaide6604
    @zenakaide6604 5 років тому

    Mbn uyo Mzee yusuph cjamuona jaman!! Ila mmh c kw kujremba huko

  • @zakiarashidi3423
    @zakiarashidi3423 5 років тому +1

    INNA LILAH WAINA ILLAYHI RAJIUUUN ..hapo ni miuziki SUBHANA ALLAHU watu watamjibu nini Allah

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 5 років тому +4

    Subhanallah 🙆 🙆 🙆 🙆

  • @mariamsuleiman1638
    @mariamsuleiman1638 5 років тому

    Haraaam Haraaam haifai sauti ya mwanamke isikike na wanaume wamekaa wanatazama kesho mutajibu nn Tena pia unatunzwa na mwanaume.

  • @fatmabintyusuphyusufu3212
    @fatmabintyusuphyusufu3212 5 років тому

    Subhanallah tumche Allah jaman so kwa kaswida za siku hiz

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr 5 років тому +5

    Hapo wanaume wameshakuona pambo. Lako juu paka chini.. Sauti yako.. Piko.. This is adultery. Zinaaa ya macho hii. Dadangu rudi kwa Mungu uombe msamaha usijihadae

  • @hudhud2022
    @hudhud2022 4 роки тому

    Inna Lilahi Waina Ilayhi Rajioun kwanza mwanamke kivazi chako sicho hili nundu ndii katika isahara za akhir dunia Allah akuhudi atuhidi sote

  • @fatmakhalef3450
    @fatmakhalef3450 5 років тому +2

    inna llillah waina ilayhi rajion. Allah atupe ufahamu

  • @abubakarzuberabubakar3998
    @abubakarzuberabubakar3998 5 років тому

    Mashallah is it so nice

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 5 років тому +62

    Iyo ni taarabu sio qaswida na uso upo wazi na kujiremba kuchonga nyusi apo amna kitu ktk suna

    • @famishdesailor8109
      @famishdesailor8109 5 років тому +1

      Disco hili acha taarabu

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 5 років тому +1

      Athumani Karoyo aaa watu tupo kwa ajili ya kufraisha nafsi tu

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 5 років тому +1

      Allah Atunusuru 🤔🤔

    • @ahmedhassan2619
      @ahmedhassan2619 5 років тому +2

      Sema mengine lkn suala la USO kuwa wazi hilo huna elimu nalo nataka MTU anipatie ushahidi kwamba enzi za mtume wanawake wote walifunika USO msipende kugeuza ikhtilafu kua sheria,

    • @athumanikaroyo5999
      @athumanikaroyo5999 5 років тому

      @@ahmedhassan2619 ujui unacho ongea uwenda ikawa ndio wale wale watu wa bongo fleva kwaiyo iyo enzi ya mtume walikua ivyo na ndio uislam huo

  • @leylasaid2616
    @leylasaid2616 5 років тому

    Umetamaniwa saaaana hapo...mungu anakuona

  • @rucyzacks6761
    @rucyzacks6761 5 років тому +2

    nice beats sounds like indonesia qaswida MashAllah 😍

  • @solomonadam9565
    @solomonadam9565 4 роки тому

    Asalaam Alaimukum warahmatullah wabarakatu jamiiah muslimin?haya hata sio mashairy hizi ni nyimbo na nyimbo zote ni amali ya Sheitwan swaha jamiiiah muslimin?

  • @swalehseaf2238
    @swalehseaf2238 5 років тому

    Walocoment wote hasadi tu nyinyi mna nini vyakumrizisha mungu bana muacheni nyote muna mambo bora na haya Dada imba mungu ndio anajua binadamu hassadi tupu miziki hamuwaonii kawakanyeni acheni hassada

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 5 років тому

      Mtume salla Allahu alayhi wasallam ameusifu huu umma kua ni umma bora kwa sabb unaamrishana mema na kukatazana maovu. Sasa unapomwambia anaekataza ni hasid jiulize ww unaefurahia ni nani?

  • @aminaomary908
    @aminaomary908 5 років тому +30

    Mh mtu anasoma kaswida katinda nyuc na bc mekap mbele ya wanaume so kaswida hiyo ni mziki kama kinadaimondi akaungane nao

    • @khadijashaibu7324
      @khadijashaibu7324 5 років тому

      Ulimtinda ww hzo nyusi au choyo ndio kinakukomoza

    • @aminaomary908
      @aminaomary908 5 років тому

      We soma din vzuli kutinda nyus ni haram au we ndo watu wenyewe

    • @khadijashaibu7324
      @khadijashaibu7324 5 років тому

      Nakuuliza hzo nyusi zimetindwa na ww au ndio ulivyotumwa ufojo account feki acheni roho mbaya ndjo maana hamuendelei znz huko w

    • @khadijashaibu7324
      @khadijashaibu7324 5 років тому

      Nimeangalia account yako umelike vdeo za kina mondi kisha huku unajikuta unapinga mpuuzi kweli ww halaf unajifanya unaijua dini Hebu tutokee huko tushawashtukia

    • @aminaomary908
      @aminaomary908 5 років тому

      Nahic we hujielew hakuna mwiiclam hata ck moja akatinda nyuc sasa unapinga nn au wake wa mtume walikuwa wanatinda nyuc mbona umelikalia hivyo hilo la kutinda nyic kama na we so firiaun

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 5 років тому

    mmmmnnnhhh! muziki namba 2 na kharam kuchanganyika mwanamke na mwanamme na kibaya zaid full kujipamba mapambo yote mmeyamaliza inna lilahi wainna ilayhi rajiuun hiyo njia ni x

  • @diascookout8270
    @diascookout8270 11 місяців тому

    Ma"Sha"ALLAH Kweli kabisa maneno Yako Uhti

  • @anabnulislam5124
    @anabnulislam5124 4 роки тому

    Mambo gani haya kwa kusema kweli dini ilipotea yarabi tujalie tulinde dini iliyo moyo ni mwetu ya haki innah lillahi wainalain rajiun wake kwa waume wa na tanga mana hadharani audhubillah Mola tuepushe na uchafuu huu