Rais Magufuli alivyompigia simu Makonda katikati ya mkutano
Вставка
- Опубліковано 22 жов 2024
- Rais Magufuli amekua akitazama live ya CloudsTV na CloudsFM kutoka kwenye ziara ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambayo ameanza kuifanya na kuzunguka kwenye maeneo mbalimbali ya jiji kujua kero za Wananchi.
Mungu akubariki makonda ishaallah Hakuna kama wewe mungu akuweke wewe makonda ilove you so much
Salute sana mheshimiwa Makonda!..
Uko vizuri Mweshimiwa Mungu akulinde ktk kazi zako
AFADHALI AFRICA TUNDEKUWA NA VIONGOZI WAKO WAZI NA WANANCHI KAMA JP MAGUFULI
VIVA MAGUFULI VIVA
safi sana Makonda,
dah!! respect kwako mh.makonda
Yangu macho tu, tutasikia mengi
Kama umesikia Rais anajibizana neno Ndiyo na mkuu wa mkoa Makonda weka likes kama zote
makonda i love u so much.
mashaallah makonda tunakutegemea kua rais miaka ijayo
Dah, leo Makonda nimekuelewa sana
Kazi njema Kaka angu
Ila haya maisha Yana maswali magumu sana
Very good RC MAKONDA
Uko vizur Makonda
kazi kaz
Makonda wewe ni nomaa
makonda sisi sio wananchi wa rais magufuli sema wananchi anuowaongoza mwenye watu ni mungu pekee
Richard Buhatwa pumbafuu mbwa ww tena ww ulitakiwa uchapwe viboko 12 siku unaingia jera na 24 siku yakutoka bogaz ww
Richard Buhatwa acha chuki binafsi kama hupendi ndo unafoka?
hongera sana makonda
aiiiiiseee ni noma muno
Safi sana
Siwezi kukulipa mshahara siwezi kukupandisha cheo siwezi kukuwekea ulinzi ila mshahara wangu kwako nikukuombea kwa Mungu akulinde kilahatua unayopiga Insha'allah
Kazi unayoifanya yaani mpaka mh, Rais kishakubali kuwa wewe ni jembe haswaa Mungu akulinde Makonda
Juma Salehe njoo Mwananyamala mkuu wa mkoa pale viwanda vidogo utusaidie
Nakuelewaga Sana Mh Paul Makonda.
Tunahitaji Tanzania mpya.wananchi hatupendi kufuata sheria ndio maana tunapenda kulalamika.
MAGUFULI will be president of East African
Rais Magufuli nikiongozi Bora sana
Nakukubari mh,makonda
Piga kaza kaka
kwani magu ana memor card kichwani au
Magufuri rais wa dunia100%
huyu dogo lazima atakuja kuwa rais wa Tanzania baada ya magufuli maana anaakili utazani kameshushwa kutoka mbinguni kakweli mpaka huruma mungu akujalie dogo
Kwa elimu gan??msenge kwel ww
makonda natamani xana uje angalau uwe wazir mkuu uwanyoshe hawa wanaoonea wananch na ninafikir kwa kaz unayo ifanya niyatofaut xana tena ww makonda nakupenda ufaa kabisa kuwa rais
Nakuelewaga Sana Makonda
safi makonda Kiongozi upaswi kuw muoga
makonda nakukubali sana tena nakuombea ugombee na ubunge hapahapa mjini ikiwezekana kwa mnyika unachapa kazo kwelikweli hongera sana mzee anakukubali hasa kwa uchapaji wako wa kazi na kazi uko safi najua hawakosi wanafiki ila90%tunakukubali
SAFI MWANANGU MAKONDA MTEGEMEE SANA MUNGU MAANA KWA KAZI HII LAZIMA UPIGWE VITA,UNAWASHINDA HATA HAO WANAOKUITA BASHITE,UKO JUU SANA HAPA KAZI TUUU.
KIONGOZI MKWELI NA MUWAZI NDIYE MLETA MAENDELEO.
huyu ndie Rais wakweli
Mkuu wa mkoa Genius zaidi kutokea Tanzania nilie wai kumshuhudia mpka sasa
ndio ndio hapana haipo
Hizi drama nyinginee bwanaaa, poaa, hahahaaaa
makonda kweli wewe ni Mkuu wa mkoa wengine me bado sijaona kama huyu RC wa kwetu yupoyupo tu
wa wapi?
Duh Kama salio lako lakuunga
Unaumbuka,
Mbona imekuwa hotuba
sawa makonda
we noma makonda
Sm 5 ziwe zinapita bajaji
mmmh.. kwakweli utakula keki pamoja nae...
maana.. upo vzur kuliko wakuu wa mikoa wote
Elisamehe Temu sana
Xaf xana bro makonda a.k.a mkuu
No offense but this is just too much PR.
100%
busara yahitajika
Magufuli ni mwamba wa taifa ili hakika inauma sana tunapiganiwa sana ila hatumpi ushirikiano jpm no like you
Killo s Kidabu makonda nakupa BG ap kaza but I mwane2
Wazushi watakukubali kimoyo moyo mh makonda
Stiv Barnaba haaahaaa
Making ni jembe atafika mbali sana japo sehem chache anajichanganya ila ndo kupata uzoefuu
KILA ENZI NA KITABU CHAKE
huyu jamaa Ni mpambanaji
JPM hivi umemeza flash maana sio kwa kumbukumbu hizo mzee baba!!!!
huyo ndo magu
ok
tumekuerwa
👟kaza unatisha
Nakupenda sanaah makonda
Chapa kazi makonda
watakukubali tu mh wanaosema unajipendekeza watadoda piga kazi kk
jamila lugome uongozi ujitathimini upya serkali inawajali kweli watu wake au inajali chama chake tawala (ilamjue iposiku mtahukumiwa Na Mungu) kwautwana wenu
uko pw xna
Yatumbue majipu hukohuko
Xxx
ok
nipigie kazi makonda ila mwanza mbona kimya
kiongozi wa kweli