HII NDIO MAANA YA PESA INAMALIZA KILA KITU FULL (PART ONE 1).

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 57

  • @DidasSigula
    @DidasSigula 22 години тому +9

    Jamani leo nimekua wa kwanza like zangu

  • @VenantKabwe
    @VenantKabwe 22 години тому +8

    jamani nimeona bendera za inchi yangu Congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩ndani ya hôtel ,nimefurahi sana.nakukubali sana mwanangu

  • @geraldmlayda9313
    @geraldmlayda9313 22 години тому +5

    Ivan umetisha wape shule vijan

  • @AllexAnthony
    @AllexAnthony 21 годину тому +5

    Unasikia Mr Ivan huyo jamaa apambane kwaajili ya maisha kutengeneza njia yake asifanye maisha kwaajili ya mtu afanye maisha kwaajili yake na maisha yake alafu atambue sisi wote katika huu ulimwengu n wanadamu tuuu... mambo hubadilika aache kuweka Imani kwa mtu ambae wamekutana ukubwanii...huyo bado hajui.

  • @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on
    @YUSSUFVUAIMKANGA-kr8on 10 годин тому +2

    Mwambie akasikilize wimbo mpya wa Mboso unaitwa "OVA" ataelewa hela inawezekana kuwa sababu ya kuharibu mapenzi😂😀🙌😂😀🇹🇿🙏

  • @ezekielsirinketimape-jo3ld
    @ezekielsirinketimape-jo3ld 12 годин тому +1

    Sewzi Fanya Kazi juu y mwanamuke heri family

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 22 години тому +4

    Weka hiyo part 2,,,tutamaliza data kwa mambo mengine

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 2 години тому +1

    Hujui kazi wee waachie kina kiredio

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 20 годин тому

    NAKUFYATILIAZIA SANA MWAMBA KUTOKA ATHENS KAZI MZURI SANA❤ 😂😂😂

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 20 годин тому

    Umetisha Xan Ivan Coz Ndo Tunazid Kupat Somo

  • @Minjabway
    @Minjabway 21 годину тому +1

    Ivan kamela kaka tubadilishie

  • @henrynyika9258
    @henrynyika9258 14 годин тому

    Anautajili gan mshamba hyo

  • @RizikiWilonja
    @RizikiWilonja 20 годин тому

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩 uyo kaka mbishi sana

  • @RizikiWilonja
    @RizikiWilonja 20 годин тому

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩 uyo kaka mbishi sana

  • @FelistaShemzigwa
    @FelistaShemzigwa 22 години тому +1

    😂part2 jamn

  • @CainArmak
    @CainArmak 4 години тому

    Daah!! Uyo jamaa alishampanga demu wake broo coz ningumu kukosea muamala alafu aliepokea ndo aanze kupiga kwanza majibu ya Dem yanaonyesha anajua kinachoendelea

  • @FarajaSijali
    @FarajaSijali 21 годину тому +2

    Part2 jaman

  • @ApolinaryJoseph
    @ApolinaryJoseph 20 годин тому

    Mwendelezo kaka

  • @Abelsikaonga-p2v
    @Abelsikaonga-p2v 14 годин тому

    Osl Lile ndio team

  • @RAPHAEL12586
    @RAPHAEL12586 14 годин тому +1

    Uyu Bado mtoto

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 21 годину тому

    😂😂😂Pesa miamia inaharibu kabisa ktk karne hizi bila pesa utasalitiwa tu

  • @sulleRuth
    @sulleRuth 13 годин тому

    Ivan huyo jamaa alishampanga demu wakeee kabla ya challenge

  • @AbdulyChapa
    @AbdulyChapa 13 годин тому

    Oyaaa inayofuata

  • @AllanMbithi
    @AllanMbithi 21 годину тому

    Pesa Kila kitu Ivan ,mapenzi ni ya ulaya.napenda content yako,mombasa kenya tupo ndani

  • @SabraHassan-s4z
    @SabraHassan-s4z 15 годин тому

    Halfu kweli mara kampnga kwann anajiamini sana

  • @PaulCharles-ox9pg
    @PaulCharles-ox9pg 20 годин тому

    Atakuwa kasha shitukia mchongo 😂😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 години тому

    Itakuw mmakonde sii kwa uboshi huu duuh mtuy mwenyew huyu utajir gan

  • @rajabuAbdallah-s1y
    @rajabuAbdallah-s1y 8 годин тому

    Manzi anataka no arudishe muamala wakati yeye ndio aliyekupigia inakuaje apo mr ivan 17_tz

  • @SiwemaMbalinga-qf7ec
    @SiwemaMbalinga-qf7ec 22 години тому +1

    Tunasubili kinachofwata

  • @Omarmomade-u5v
    @Omarmomade-u5v 22 години тому

    Unachelewa mm Niko Mozambique

  • @SostenyMlwale
    @SostenyMlwale 20 годин тому

    Hajampanga dem wake kweli

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb 17 годин тому

    WASHAPANGA HAO

  • @officialyoungxure
    @officialyoungxure 11 годин тому

    Oa mzee wang rich nilipotezaga namba yako mzee wang halaf cjui unakumbuka ulikua unatumiaga jina la pacha ibra

  • @GodlyJackson
    @GodlyJackson 14 годин тому

    Bro ivan iyo siyo siri tena ilipaswa umuibukie uyo jamaa bila yeye kujua uyo dem kashapangwa

  • @AnnaMwanry
    @AnnaMwanry 16 годин тому

    Lakn kama mwanamke ajui kujitafutia ndio hapo inapoanzia

  • @zainakasindi4761
    @zainakasindi4761 13 годин тому

    Nej tack

  • @DodoNiyomugisha
    @DodoNiyomugisha 22 години тому +1

    Camera haiwoni jamani

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud7734 2 години тому

    Tuna subir part 2

  • @sultanmkango1176
    @sultanmkango1176 21 годину тому

    Asiwe kampanga demu wake huyo

  • @batulymsangi926
    @batulymsangi926 15 годин тому

    Sa kama kampanga dem wake

  • @chayoamaeda7955
    @chayoamaeda7955 12 годин тому

    Part 2 ya huyo jamaa wa dom ukowapi

  • @AlufanSalum
    @AlufanSalum 12 годин тому

    Dar ww utanimalizia mb zangu mana hakuna challenge inayonipita

  • @RASHIDKOMBO-w8j
    @RASHIDKOMBO-w8j 20 годин тому

    Unaongea sanaa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 години тому

    Et kwa ajili ya mwanamke fala san huyu familiy yake hususa ni wazazi anawashughulikia ubwaa hii yakiume

  • @MarcusSambanayo
    @MarcusSambanayo 5 годин тому

    Bload wamepangana hao walikua wanaelewa kinacho endelea

  • @godfreyerjames3837
    @godfreyerjames3837 Годину тому

    Pale unapojikuta unauhakika na majibu yko km google vile

  • @GxonAticool
    @GxonAticool 20 годин тому

    Part 2 vipi sasa😢

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 16 годин тому

    Sinza tena!! Na ndo kwenyewe sokoni.

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 15 годин тому

    Kamera man aujui kuizum iyo pesa mala zote uwa aiyonekani

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 19 годин тому

    Sasa ndo aamini pesa inaweza kusaliti na apo anajiona hawezi kusalitiwa kwa sababu ya pesa?

  • @AkxaEdwin
    @AkxaEdwin 21 годину тому

    Una heka heka mmh, saut kubwa kama unaongea na kiziwi ila fresh tu

  • @nathanmao159
    @nathanmao159 21 годину тому +1

    Alafu Ivan unauhakika gani kwamba huyo jamaa hajampanga manzi? Niko nje ya box kwamba mwamba anataka aonekane mshindi kwa kumweleza manzi kinachoendelea...
    Hivi vitu haviendi hivyo ulipaswa umwibukie huyo jamaa bila kujua kama atafanyiwa hiyo challenge..
    Hakuna mtu atakubali kuwa mnyonge kizembe

    • @rogersaranga6552
      @rogersaranga6552 12 годин тому

      🤔🤔na mm namashaka na uyoo Jamaa 🫵🏾 uwenda kisha seti kila kitu kwa demu wake maan si rahisi kwa wadada wa sinza au dsm hii eti kutaka kuludisha muamala si kweli hapo #ivan bro utafel ila sisi atuwez kubali kbs kwny bas kisha mpanga demu wake haha 😅