Unasikia Mr Ivan huyo jamaa apambane kwaajili ya maisha kutengeneza njia yake asifanye maisha kwaajili ya mtu afanye maisha kwaajili yake na maisha yake alafu atambue sisi wote katika huu ulimwengu n wanadamu tuuu... mambo hubadilika aache kuweka Imani kwa mtu ambae wamekutana ukubwanii...huyo bado hajui.
Alafu Ivan unauhakika gani kwamba huyo jamaa hajampanga manzi? Niko nje ya box kwamba mwamba anataka aonekane mshindi kwa kumweleza manzi kinachoendelea... Hivi vitu haviendi hivyo ulipaswa umwibukie huyo jamaa bila kujua kama atafanyiwa hiyo challenge.. Hakuna mtu atakubali kuwa mnyonge kizembe
🤔🤔na mm namashaka na uyoo Jamaa 🫵🏾 uwenda kisha seti kila kitu kwa demu wake maan si rahisi kwa wadada wa sinza au dsm hii eti kutaka kuludisha muamala si kweli hapo #ivan bro utafel ila sisi atuwez kubali kbs kwny bas kisha mpanga demu wake haha 😅
Jamani leo nimekua wa kwanza like zangu
jamani nimeona bendera za inchi yangu Congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩ndani ya hôtel ,nimefurahi sana.nakukubali sana mwanangu
Ivan umetisha wape shule vijan
Unasikia Mr Ivan huyo jamaa apambane kwaajili ya maisha kutengeneza njia yake asifanye maisha kwaajili ya mtu afanye maisha kwaajili yake na maisha yake alafu atambue sisi wote katika huu ulimwengu n wanadamu tuuu... mambo hubadilika aache kuweka Imani kwa mtu ambae wamekutana ukubwanii...huyo bado hajui.
Ukweli
Mwambie akasikilize wimbo mpya wa Mboso unaitwa "OVA" ataelewa hela inawezekana kuwa sababu ya kuharibu mapenzi😂😀🙌😂😀🇹🇿🙏
Sewzi Fanya Kazi juu y mwanamuke heri family
Weka hiyo part 2,,,tutamaliza data kwa mambo mengine
Hujui kazi wee waachie kina kiredio
NAKUFYATILIAZIA SANA MWAMBA KUTOKA ATHENS KAZI MZURI SANA❤ 😂😂😂
Umetisha Xan Ivan Coz Ndo Tunazid Kupat Somo
Ivan kamela kaka tubadilishie
Anautajili gan mshamba hyo
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 uyo kaka mbishi sana
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 uyo kaka mbishi sana
😂part2 jamn
Daah!! Uyo jamaa alishampanga demu wake broo coz ningumu kukosea muamala alafu aliepokea ndo aanze kupiga kwanza majibu ya Dem yanaonyesha anajua kinachoendelea
Part2 jaman
Mwendelezo kaka
Osl Lile ndio team
Uyu Bado mtoto
😂😂😂Pesa miamia inaharibu kabisa ktk karne hizi bila pesa utasalitiwa tu
Ivan huyo jamaa alishampanga demu wakeee kabla ya challenge
Oyaaa inayofuata
Pesa Kila kitu Ivan ,mapenzi ni ya ulaya.napenda content yako,mombasa kenya tupo ndani
Halfu kweli mara kampnga kwann anajiamini sana
Atakuwa kasha shitukia mchongo 😂😂
Itakuw mmakonde sii kwa uboshi huu duuh mtuy mwenyew huyu utajir gan
Manzi anataka no arudishe muamala wakati yeye ndio aliyekupigia inakuaje apo mr ivan 17_tz
Tunasubili kinachofwata
Unachelewa mm Niko Mozambique
Hajampanga dem wake kweli
WASHAPANGA HAO
Oa mzee wang rich nilipotezaga namba yako mzee wang halaf cjui unakumbuka ulikua unatumiaga jina la pacha ibra
Bro ivan iyo siyo siri tena ilipaswa umuibukie uyo jamaa bila yeye kujua uyo dem kashapangwa
Lakn kama mwanamke ajui kujitafutia ndio hapo inapoanzia
Nej tack
Camera haiwoni jamani
Tuna subir part 2
Asiwe kampanga demu wake huyo
Sa kama kampanga dem wake
Part 2 ya huyo jamaa wa dom ukowapi
Dar ww utanimalizia mb zangu mana hakuna challenge inayonipita
Unaongea sanaa
Et kwa ajili ya mwanamke fala san huyu familiy yake hususa ni wazazi anawashughulikia ubwaa hii yakiume
Bload wamepangana hao walikua wanaelewa kinacho endelea
Pale unapojikuta unauhakika na majibu yko km google vile
Part 2 vipi sasa😢
Sinza tena!! Na ndo kwenyewe sokoni.
Ndonashangaa
Kamera man aujui kuizum iyo pesa mala zote uwa aiyonekani
AnaZINGUA
Sasa ndo aamini pesa inaweza kusaliti na apo anajiona hawezi kusalitiwa kwa sababu ya pesa?
Una heka heka mmh, saut kubwa kama unaongea na kiziwi ila fresh tu
Hahaha
Alafu Ivan unauhakika gani kwamba huyo jamaa hajampanga manzi? Niko nje ya box kwamba mwamba anataka aonekane mshindi kwa kumweleza manzi kinachoendelea...
Hivi vitu haviendi hivyo ulipaswa umwibukie huyo jamaa bila kujua kama atafanyiwa hiyo challenge..
Hakuna mtu atakubali kuwa mnyonge kizembe
🤔🤔na mm namashaka na uyoo Jamaa 🫵🏾 uwenda kisha seti kila kitu kwa demu wake maan si rahisi kwa wadada wa sinza au dsm hii eti kutaka kuludisha muamala si kweli hapo #ivan bro utafel ila sisi atuwez kubali kbs kwny bas kisha mpanga demu wake haha 😅