RC MWANRI ANING'INIA NA WATAALAM WA AFYA "NATAKA VYETI, HUNA SIFA OUT"
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Baada ya kukuta vifaa tiba vimekaa kwa takribani miaka minne bila kutumika katika kituo cha Afya cha Kitunda walayani Sikonge,Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametaka kufanyaka ukaguzi wa vyeti kwa wataalamu wa Afya mkoani humo
"Haiwezi mashine ikakaa hapa four years hakuna mtu anaoperate nataka ikifika tarehe 10 vyote vinaoparate na ndani yake nataka kila mtu aniletee cheti chake including DMO" RC Mwanri
Huyo kiongozi namkubali sana NAITWA BENARD
Benard James karibu UA-cam bro Ben
Namkubali sana huyu mmekuuh....heshima yako comrade aggrey mwanri..keep up the speed no retreat no surrender..Long live Mwanri
Hongera Mkuu wa Mkoa. Tezi dume Tabora hoyeee. Mda umefika tuweka mfumo wa performance based contracts. Unaajiriwa na kulipwa kuendena na utekelezaji wa kazi.
gemkachar nakubaliana nawe kabisa, haya mambo ya mshahara kuongezwa kwa kila mtu bila kuwa assess ni ujinga tu.
Uyu mzee anatisha akikuangalia . Engineer ngap uko🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Miaka minne!!! Rais ana kazi maana Serikalini kumejaa VIAZI NA VILAZA
Yaani natamani kuwapiga vibao,,, yaani cjui wanafanya nn uko maofcn mbwiga hawa
Kama hawaajiri wataalamu unategemea nini sasa maake sio kila doctor anafanya operation na masurgeon ni wachache kiufupi wizara ndo inahusika but sio hao
Wakati mwingine had unapagawa eti..ivi mashine imekaa zaid ya miaka minne..na haifanyi kazi..sasa iko hapa labda kwasababu gani??? Inashangaza sana. Mkuu wa mkoa nakupongeza sana..ukitoka hapo Tabora..uelekee Dar.
pongezi sana Mh mkuu wa mkoa wa Tabora
George Kimboka
Mkoa wa #TORONTO 😂😂😂😂
Akina zito, lema nk wakiona hii utasikia mkuu wa mkoa ana mamlaka gani kuingilia hilo
Ndugu yangu achana na akina Zitto na Lema,ni mahanisi..
Watakupotezea mda..
Nathingi mutu hapo menyewe ni full time complaining yan, mwanri is really a work at working hours!
Boya weww
Politics doesn't work under serious leaders
Inamaana ndan ya miaka 4 hkn mgonjw aloehitaji huduma kw kutumia mashine izo?dah kwl bado kuna matango pori kwny taasisi,na hao nd wanaturudisha nyuma,big up Mh RC,ztihada zako znaonekana na ht mtu asie na macho,,I hope ck 1 juhud zk ztazawadiwa
MKUU WA MKOA WA DUNIAA NZIMAAAAAA
Peter Bruno sio bashitee
@@fahimally3923 aiseee hapana hamna mtu mulee
hakika huyu niwa dunia nzima????😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Angalau unawapigania wanyonge, hongera mkuu!
Wanyonge ni kina nani
Wtz
Safii xna mkuu inaweza kuwa hawezi kazi haiwezekani mashine hazitumiki vyeti mzee Kama hawezi watoke
Umeme gani huo hauwezi kuendesha hiyo mitambo.Kwani mmefungiwa Single Phase? Taasisi kama hizo hufungwa Three Phase ya 415V na inasukuma mzigo wa nguvu, acheni siasa kwenye mji wa Toronto
Hakuna hospital yenye single phese, wanatengeneza mpigo
Duh nilikua najua ni viwandani 2 kumbe mpaka hospital inafungwa three phase
@@saidtembele3070 hospital kuna mitambo inatumia umeme mwingi
@@zefamange7281 anhaa dah shukrani saana kk
Mzee huwa nasemaga na sitochoka kusema kuwa mh magufuli hakukosea kukuchagua alifany uteuzi bor san kwako nahic uwa akifuatilia kaz zako anafurai san na kuvjivunia unachofany Mzee mwanri
Hiyo ni kwa Tabora tu sipati picha mikoa mingine
Hivi tanzania tunatatizo gani?? Yani mambo hayaendi hadi tusukumanesukumane jamani!!
Sawasawa mzee
Tz 😂😂😂😂😂 , love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. machine niya kurembesha hospitali. Fyekelea mbali
👏🏼👏🏼👏🏼Mh. RC👍🏽👍🏽👍🏽Mh. RC 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kazi nzuri watu Kama Hawa ni adimu sana duniani wapo wachache sana
Doktaaaa Honorata Mganga mkuu wa mkoa weka mguu chini😂😂😂😂
Mganga mkuu wa wilaya *weka mguu chini*😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
.hahahahaha!mbavu zangu mie!watanzania wababaishaji na vilaza safari hii mtakiona!
Unafaa kuwa waziri mkuu wa Tz
_mnao mkubali mkuu wa mkoa like kwanza tuwende sawa_
Mzeee huwa hataki utaniii yaaani 😂😂😂😂😂😂
😄😄😆😅😂👏👏👏👏 TANZANIAAAA, MIAKA MINNE MASHINE ZIPO TUU
Kwann mzee magu asiteue mkuu wa wakuu wa mikoa afu umpe huyu mzee
Inasikitisha jiji kama Toronto nyundo 4 mitambo imelala, Raisi Magu Pombe unakazi nzito ya kufanya, vilaza wengi serikalini mizwazwa
Tatizo sijui rangi yetu au namna ya kuajili watumishi hakuna majaribio,zaidi ya cheti,pia ukiwa na kadi ya chama fulani cheti chako na ww mnapitishwa fasta fasta.
Aisee Tanzanka tunahitaji Viongozi wanaotandika watendaji Viboko ...
Kwel kbs had unawaza hao watendeji wanafanya nin? na mishahara wanalipwa vifaa vinanunuliwa kwa bei kubwa wanaweka km mapambo wakat wagonjwa wapo inauna ssna wakitumbuliwa wanalaum serikal
Daaah kifaa kina miaka 4, hakitumiki
Yani aibu kah
Wafanyakazi Walio wengi wa serikali ni vilaza yani miaka minne vifaa havifanyi kazi ma wapo bery comfortable
Hii siyo Sekita ya kwenda kufanyia majaribio kila mtu anafanya kile tu alichosomea ni Sekita ambayo kitu kimoja tu utakacho kosea kinagalimu uhai ama kuatalisha afya ya mtu maisha yake yote ama vinginevyo. Inaumiza kuona miaka minne serikali imejitaidi kuweka vifaa na havitumiki. Kama hakuna mtaalum nashauri visitumike tu mpaka wataalam wapatikane na kama havitumiki na wataalam wapo mganga mkuu wa hospital, wilaya na watu wote wenye mamlaka katika hospital, wilaya na mkoa wawe na la kujibu,.. KILA MTU NI KILAZA KWA NAMNA TOFAUTI
Serikali hii ya awamu ya 5 si ya mchezo! piga kazi mzee.!
A man from Toronto
Hongera sn RC MWANRI, nakukubali sn unafanyakazi kiuadilifu sn, c mtu wa kukurupuka na masifa kama baadhi ya maRC wengine. Rc wa Irng, mby na Dar wafuate mfano wako.
Ole wako Doctor afe mtu mtu hapo operation na A,K,A 47 mgongoni 🤣🤣🤣🤣
😆😆😆
Alifolela olela 😂😂😂
Nice nice nice good leader your so strong
wizara ya afya ina viraza wengi mbwembwe tu
Kanyagia hapo hapo mzee baba
Esopo ekaya ya abunuasi. Nakupenda sana
6:59 😅😅😅😅 Akifa mtu imekula kwako mzee baba 😅
You a trucker?
Nakukubali sana RC.
YAANI AIBU KWALI...NIMEPENDA HIYO OLE WAKO MTU AFE 😆😆😆😆 KAZI MNAYO.
Hahaha, nakubali mkuu
Huu ni ujinga sna hamuwezu kuwa naakili timamu mnavifaa vina kaa miaka minne jamani watanzania amkeni ina uma sanaaaaaa msaidieni Magufuli analia kila siku watuu waamke jamani hizo niilioni zina haribika huyo doctor mkuu atolewe hapo
mkuu wa mkoa wa tabora uje na dar es salaam
Ukweli n ujuzi wa kazi baccccccc!!
kazi ipo hapo
Inawezekana watu wengi wajakupigia makofi lakini waelewa watakushangaa inawezekana mishine wakati zinaletwa watumishi walikuwa watatu na inawezekana na wataalamu wengin hawakuwepo so hauwez kuvitumia.
Leteni wataalamu wakutosha drs , nurses, watu wa usingizi ili watu wafany kaz
RAIS wa wakuu wa mikoa
😂😂😂
Kwa kweli hao madaktari hawana hata huruma na wagonjwa. Wako busy na extra private hospitals na wagonjwa ndio wanapelekwa huko walipe pesa nyingi. It is a shame miaka 4 machine mpya jamani zipo tuu zinaoza🙆♂️🙆♂️. Na wagonjwa wangapi wamekufa??? Wakati vifaa vipo na wako kimya wanaangalia. Wauaji wakubwa!!!
MBONA INATISHA ASINGEENDA RC ILIKUA NDO MASHINE KUFIA MBALI
This guy is guuuuud
Sio kosa lao wengi wao BBC (Born Before Computer) sasa acha tu mashine zile vumbi Bado sakata la vyeti lirudiwe wapo wengi wamebaki elimu ya ngumbaru
KAMATA HUYU MKUU WA MKOA NA WEKA NDANI YA IKULU MAGUFULI AKIMALIZA MIAKA YAKE NANE
Exactly the man perfect
Hapa #tezi dume😂😂😂😂😂
Nadhani kabla haijawashwa na kutumika kwa wagonjwa ikaguliwe kwanza mana miaka mi4 inawezekana kuna mende wamejipatia geto, saf sn Mwanri.
Nakuelewa sana
Hata mkuu aking'aka lakini yupo sahihi kabisa, endapo kila mtu akifanya kazi kama inavyompasa hakutakuwa na lawama bali zinakuwepo pongezi !!
Kweli mzee baba kazi unayo maana miaka minne mashine azifanyi kazi
Miaka minne bila kufanya kazi?
Kwel kuna tatizo,
Hongera sana mkuu wa mkoa
😃😃😃😃hii kali kweli muheshimiwa kiboko
Pendekezo kwa namna nyingine maon yang adhabu ya viboko irud mpaka serikarin huu ni kupita uzembe hapa kuchapa viboko tu pumbav angalia wananchi wanyonge walivyo alaf miaka minne kifaa hakifany kaz fukuza wote lete wengine hii mijitu sijui sio mitanzania hii pumbav sana .....tujuzen wakileta vyeti naon wamekwa wekwa tu hapo ndugu na jamaa..
Rc bora zaid Tanzania😼
Hi Munira
Hey munira, how's ur day?
@@qbcqweful was F.N
munira mhhh
Asalam alykum Munira
hahahhahahaa ole wako mtu afe hapa.
Tenzi Dume apa hatuendi kitete, na ole wke afe mtu,😂😂😂 by Mh Agrey Joshua Mwanri
Mashine zimekaa miaka minne zinagongwa vumbi tu kweli nyumbu ni wengi sana! Kazi haziendi bila kuaibishwa hawa, wasomi wa kuchovya. Mpaka watukanwe ndio wafanye kazi 🤷🏾♂️🤷🏾♂️
Ni uzembe wa kupindikia....!!!!!!!
Hapo kwenye vyeti, ni kama kusubir majibu ya ukimwi vile
Hapo kweli Alex ndiyo patamu miaka 4 kweli machine haijawahi kupata mgonjwa iwashwe hapana hao watumishi wachunguzwe
Kwa hiyo kwa miaka 4 wamekufa watoto wa ngapi kwa kukosa oxygen...na mashine ipo...duuh...too sad Yani Mungu ana kazi manake ukifa utasikia mpango wa Mungu lakini tunamdhihaki Mungu aisee
Twende twende mkuu wa wilaya 🙋♂️
Nimeipenda hii nione mtu afe hapa.
Hahaaaa mzee wa kuuza viaz du
Hivi kweli machine zilo miaka minne hazijaanza kufanya kazi na training watu wanapata Kila machine mpya inapoletwa,basi zipekwe maeneno mengine wanapoziitaji na kuzitumia
4 years watu wanateseka na vifaa vya kisasa vipo..havifanyi kazi du.. Hatari
Nakukubali mzee out wenye vyeti feki. Ondoa hao waje kulima viazi kwangu huku.
Hiyo ndio dawa yenu
Ole wako mtu afe apa😂😂😂😂😂
Kufanya upasauaji sio kirahisi Kama unavyo dhani lazima idara iwe na wataalamu wa kutosha nasio Kila aina ya upasauaji Kuna daktari wake maalum (specialist) muajiri
wakuu wa mikowa kama hawa ndio tunawataka. xukuma ndana. tuxhuke nao jumla jumla🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🙏🙏
HONGERA MH RC MWANURI KWA KWELI UNACHAPA KAZI SONGA MBELE
Good
Jaman kama kuna mahali panapokera ni hospitalini mpaka ugombane na dokta ndo unatibiwa wakuu hao madokta ni wabayaaaa na hawana huruma
Miaka minme 🤔
Tuseme ukweli tu jmn kuna scarcity ya watumishi waliopo awatoshi kaz n ngum mno
Ibra Mzee , watoe hizo ajira, vijana tupo mtaani na vyeti
Kwanini raisi asimpe waziri wa ujenzi lazima nchi yetu iwee poa sana tunataka viongozi kama hawa
Nchi nyingine hao wote wanafugwa kwa kusababisha vifo vya watoto,miaka minne ...fuc
utakuwa rais mzee baada ya miaka mingine mitano
Kumbe Kuna jamaa wazembe sn,,eti kifaa kina miaka minne hakijatumika wkt Kuna watu wanakufa!dah hii kweli ndo Tanzania,,,Yani Kama vile cyo pesa zetu!!
Daah..Hii nchi utadhani watu wana mtindio wa ubongo..miaka minne wanalipwa mshahara..wanakuja kazini wanenda lala usingizi makwao na maisha yanaenda...Tanzania Simama Nishuke ..mkwamo kila Kona ten watendaji wa juu sasa Sisi tunaotegeme huduma ndio wanatuua kabisa..shenzi
Huwezi jua kaka kama watu hawataki kuajiri unategemea machine nani ata oparate
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Gombea urais nakupa kura yangu 🤣🤣🤣👌
Viongozi Kama hawa ndio wanao tufaaa katika nchi yetu ya Tanzania maana wafanyakazi waserekali wazembesana
YANI WAFANYAKAZI WANAYUMBA AISEE KWELI KUSOMA SANA SIYO KUJUA MAMBO YOTE AISEEE
let you be blessed by God for what you are doing
Ama hakika Kazi tunayo. Labda inawezekana. Hawana anesthetist
Mimi Naomba Mheshimiwa Aggrey Mwanri awe Waziri Mkuu, utendaji na ufuatiliaji wake ni mzuri mno!!!
This is incompetence of the highest order . Hekaya za Abunuasi 😂😂😂
Huu Ni ujinga Sana vifaa vipo Kaz hakuna hapo Kuna mashaka na uwezo wa hao watumishi
Walizoea k hawa,miaka minne?
safisana
Ila ni uzembe aise...kwa hiyo ninyi mnaona raha sana watu kwenda kurundikana mhimbili eee..