Yu Hai || Dodoma Adventist Chorus
Вставка
- Опубліковано 6 вер 2024
- Luka 24:4-8
[4]Ikawa walipokuwa wakifadhaika kwa ajili ya neno hilo, tazama, watu wawili walisimama karibu nao, wamevaa nguo za kumeta-meta;
[5]nao walipoingiwa na hofu na kuinama kifudifudi hata nchi, hao waliwaambia, Kwa nini mnamtafuta aliye hai katika wafu?
[6]Hayupo hapa, amefufuka. Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa akaliko Galilaya,
[7]akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tatu.
[8]Wakayakumbuka maneno yake.
Katika maisha ya mwanadamu kuna nyakati ambazo anakutana na changamoto nyingi sana zenye kukatisha tamaa kama kupata misiba kupoteza vitu vya thamani kiasi kwamba anaweza kuona hakuna tumaini lolote lililo mbele.
Lakini katika yote tunaweza kuwa na hakika ya kuwa kama Kristo alifufuka asubuhi ile hata sisi tuna tumaini kuwa yote yatapita na furaha itarejea tena maishani mwetu maana Kristo yu hai na yuko nasi.
Barikiwa na wimbo huu ulioimbwa na Dodoma Adventist Chorus (DAC) utakutia nguvu kukumbuka kuwa Kristo yu hai.
Don't forget to SUBSCRIBE
Artist: Dodoma Adventist Chorus
Song Title: Yu hai
Audio Mixing and mastering: BJ Brand
Email: dodomaadventistchorus21@gmail.com
CONTACTS
+255 712 227 383
+255 784 291 945
You can also find us on:
Audiomack
audiomack.com/...
Instagram
/ dodomaadventistchorus
Yu Hai, amekwisha fufuka, yu Hai kumbukeni alivyowaambia, kifo chake sio mwisho, Bali mwanzo wa mwisho, YU HAI WAAMBIE WATU WOTEEEE.....
Aminaaa🙌🙌😇
Ninaomba mkitafuta wafuasi wanaowasupport ninaomba niwe kiongozi wao yaani niwe wa kwanza kwenye orodha yenu, kwakweli mnanibariki kwa namna ambayo haielezeki ikaisha. Mungu azidi kuwainua sanaaaaaa. KILA WIMBO WENU WAFAA KUBARIKI!
Amina brother. Tutafanya hivyo, ubarikiwe Sana kujitoa namna hiyo😇🙌🙌
Yu Hai kabisa na ninajua hivii🥰🥰🥰 maana bado ninaishi na kuneemeka juu yake aniombeaye kwa Baba🙌☺️☺️🕊️🕊️
Aminaaa🙌
Yu Hai!
Amen🙌
Nakuona mwalimu michael joshua unani inua sana
Ubarikiwe Joseph Nelson 😁
Waiting😍
Hongereni ya moto hii 😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋😋
Amen🙌
Kifo chake sio mwisho Bali mwanzo wa mwisho......🙌🙌🙌🙌 Mbarikiwe ......
Amen🙌🙌
Amen
🙌🙏
hakika Yu hai... Its really a blessing
Amen🙌🙌🙏
My team🙌🙌🙌😅😅. Yaan na haka ka song katamu mnoo😜😜🙌.
😁 Ubarikiwe Sana Timoth🙌👋
Niseme Mungu Awabariki!!KWELI pambazuko liko KARIBU Mungu atusaidie tuwepo KWENYE ASUBUHI njema tunayoingojea!! Na Yeye hakika Yu Hai!!
Amen😇🙏🙏
You guys are the best. Bwana aendelee kuwatumia zaidi na zaidi. Nyimbo zenu tamu na zinaujumbe mzuri sana. Mungu awabariki sana.
Amina. Tunashukuru sana. Bwana azidi kukubariki pia.
Yu hai alishinda kaburi nami kwa imani nitashinda vyote
Amen. Hilo Ni Ombi letu pia😇.
Bwana akubariki Sana🙏🙌
🙄🙄🙄🙄 like gaither dada bro Michael kilango kweny ubora wako
Nimebarikiwa mnooo wimbo mzuri sanaaa
Amina.😇🙌🙏
eagely awaiting for this blessing👍
A song woth sharing And Listening
Mbarikiwe Sana DODOMA ADVENTIST CHORUS
YOU MAKE ME FEEL THE presence of God in every workthat You release ✨️
God bless you 🙏
Amen. God bless you too brother 😇🙌🙏
From the pen and paper to the piano or vice cersa.Either way, to deep thought in writing.🎉❤
"Kifo chake sio mwisho,bali mwanzo wa mwisho."
This was deep.
God Bless y'all😢.
Amen. God bless you more brother. We are happy that you've been blessed 🙏😇💙
Nyie jamaa,,😋😋😋🙌🙌🙌
Bwana atukuzwe Sana 🙏
Wonderful Song🙏 I Love You Dodoma Adv🙏🙏💥💥💥
Amen🙏😇. God bless you
Amen...,,, former president mhina😎😁
😁🙌
😎
Listen from Botswana ❤🇧🇼
Amen. God bless you over there👋😇💙
I've just discovered you guys and I'm hooked. Thanks for giving us authentic music! To God be the glory 🙌
Amen. God bless you. Stay here for more music 🎵😇🙏
Ooh..wimbo mzurii saaana..mbarikiwee
Amina. Ubarikiwe pia🙏
Sauti ya pili na ya tatu mmeua hamfai kabisaaaaa
Bwana atukuzwe sana 🙏😇🙏
🔥🔥🔥🔥
🙌🙏
Amen..
Hakika Yu hai... ♬❤
Ubarikiwe Sana 🙌🙏
Intro tu jamani, yaani inavutia kweli, na mapigo ya timing ya kuingia hamtegeani. Halafu mna wadada warembo, wanajua kuremba midomo, mnavutia sana.halafu vinyimbo vinaeleweka vinagusa nyakati hizi za sasa. Mbarikiwe sana.
Amen. Ubarikiwe pia 🙏🤝
YU HAI...!! Waambie watu wote, mbarikiwe sana
Amen. Ubarikiwe pia😇🙏
Aaah wazee mko sawa kabisaaaa👏👏👏👏
Amina🙌🙌
Wow
🙌
Halleluya, Barikiweni kwa wimbo wenye ujumbe wa kipekee..
Amen. Bwana awabariki pia👋🙏😇
Amina amina
Amina🙌🙏🙏
Ameeeen Yu hai
Aminaaa🙌
Wooow.. another amazing song from that of Maji ya Uzima... U know much you guys.. From Manyara Tanzania.
Amina. Mbarikiwe sana sana
Amina. Mbarikiwe pia 🙏🙏
wow, this song touched my heart.....Yu hai
Amen. Blessings be upon you 🙏😇💙
Amen 🙏🏿
Amen🙌🙏
I'm always blessed with you. Mungu awatunze
Amen brother 🙌🙏. Bwana azidi kukutunza pia🤝
Robinson Mark Williams Jessica Wilson Carol
be blessed
Amen. God bless you too😇
Wimbo unabariki sana👏👏👏👏
Amen. Ubarikiwe Sana Rachel 😇🙌🙏
Another day, another bless. Nimewaambia wote kuwa Yesu yu hai!🤗
Amina. Bwana akuinue Sana Mr Midiman 🙌🙌🙏. Umekuwa mbaraka mkubwa Sana kwetu👏👏
Amen amen amen
Amen🙏
Who writes your songs, because I can't find a single song that isn't splendid!! Love from Kenya, God bless.
Amen. God bless you too👋😇🙏
I look forward to every release of a song by you guys. I have also shared the blessings with my family and friends here in Kenya and afew friends in Uganda too. May the Lord keep using you for His work.
Amen. God bless you all there😇👋. We are happy to hear these good news from you🙌🙌🙏🙏
Amen 🙏
Nice song
Amen🙌🙏
Beeeautiful ❤️ Mbarikiwe for the good work!
Amen🙏. Mbarikiwe pia🤝😇👋
yu hai amen!
Amen🙌🙌
naupenda sana huu wimbo
Amina. Endelea kubarikiwa 😇🙏
Hallelujah yu Hai!!
Ameen😇
AMEN MUNGU ATUKUZWE SANA
Amen😇🙏💙
Indeed He lives! 🙌
Amen🙏🙏😇
Amen amen be blessed....🥰🥰
Ameen🙌🙌🙏
Wowww wimbo mzuri sana barikiwa
Amina. Ubarikiwe pia🙏😇
Amina
Amen🙏🙌
Much blessing to you Dodoma Adventist
Amen. God bless you too 🙌🙏
Dah amazing song
Amen. Glory to God 💙🙏😇
Wimbo mzuri sana
Amina. Zidi kubarikiwa🙏🙏😇
Blessings tele kwenu hii kitu inabariki sana
Amen. God bless you too brother. We're happy that you've been blessed 😇😇🙏
Wooooow ❤
😇🙏
Ooh so sweet ❤❤
Amen😇💙
Glory be to God for our salvation through Christ Jesus.
Amen🙏😇
Kifo chake sio mwisho....Bali Mwanzo wa mwishoo" Powerful statement love that..............
Amen🙌🙌🙏🙏
Be blessed
Amen. God bless you as well🤝🙏😇
I just want to take a moment and appreciate how well the bass was done. Ah! Glorious 🔥
Ameeen😇
You dudes are great🙌🙌
Amen. To God be the glory 🙏🙏
Huu wimbo unanibariki mnoo, mbarikiwe DAC
Amen😇🙏. Ubarikiwe pia👋
So blessed on this sabbath preparation day❤❤❤❤❤
Amen😇🙌. Happy Sabbath to you👋
Am so blessed with this song...YU HAI
Amen. God bless you 😇🙏🙏
Wonderful Song, may God bless you brothers and sisters
Amen. God bless you too 🙌🙏
Hallelujah, He is Alive indeed! Amen!
Ameeen. Never forget that 😇🙌🙏
I've loved your music so much, I'm always being blessed 🙏
Amen. God bless you even more 😇🙏
Very nice and inspiring Song...!!
Amen. God bless you 👋😇🙌
wonderful indeed
Amen be blessed
Amen. Be blessed as well🙏🙌
This is amazing. ✨✨✨
Amen. God bless you 🙏😇
;
🙄🙄🙄🙄 like gaither dada bro Michael kilango kweny ubora wako
Amen🙏
🤝
Amen
Amen💙😇👋
Amina
Amen🙏
Amen 🙏🏾
Amen🙌😇