DOTTO MAGARI AMCHANA LIVE GOODLUCK GOZBET KUCHOMA GARI LA GEORDAVIE/UJINGA/MASKINI/AMEMCHAFUA NABII

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 182

  • @OfficialAkilinyingi
    @OfficialAkilinyingi 9 днів тому +15

    Dotto fala sana 😂😂😂 eti unakichwa kibaya uncle

  • @sixmelody4349
    @sixmelody4349 9 днів тому +14

    Nakubali sana kaka dotto magari

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 9 днів тому +6

    Siku Zote Sadaka Ndo Msingi Bola Jamaa Alikua Anapenda Sana Sitarehe Akujua Kama Sitarehee Mbaya Akuna Mungu Kumtokea Yule Muongo Na Yeye Ni Mchawi

  • @Madogodigital
    @Madogodigital 9 днів тому +19

    Kweli broh bora angempa doto auze hata kwa lak 3 😂😂😂

  • @WalesMbwana-l4c
    @WalesMbwana-l4c 8 днів тому +5

    We jamaa we ujasoma lakini unaakili kuliko hata professor nakubali sana uwezo wako wa kufikiri

  • @KingRegna
    @KingRegna 8 днів тому +6

    Nakukubali sanaa mtoto wa mama kzimkaz

  • @YasserSuleiman-s5y
    @YasserSuleiman-s5y 8 днів тому +4

    Doto unatuvunja mbavu uku wife wangu anacheka mpaka kachanganyikiwa kichwa kama mwiko wew😂😂😂

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 9 днів тому +8

    Goodluck Gozbert nadhani anatakiwa apimwe akili

  • @WinnieMin-e4z
    @WinnieMin-e4z 7 днів тому +1

    Mbona kuna pesa za majini( chuma ulete) lakini kama una Roho Mtakatifu atakuongoza ukatae au usipokee na ukikosea unatubu. Alafu Good luck Gozbert sio muimba nyimbo za injili kuna nyimbo mpaka viduku.

  • @cachec7930
    @cachec7930 8 днів тому +4

    Dah huyu dotto anavituko sanah

  • @DebbieEnrisher
    @DebbieEnrisher 9 днів тому +4

    😂😂😂😂 Ila Dotto unauwezo mkubwa sana wakufikiri watu ambao hawajazoea kupewa vitu ndyo wanajaji Mungu ndy Kila kitu

  • @mropeeliakim2528
    @mropeeliakim2528 8 днів тому +2

    Issa Tambuu ana kazi sana na Dotto

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 8 днів тому +1

    Dogo alikula cha Arusha bange zikamzidi kwenye maisha ups and downs huwa hazikosekani hakuna Mungu wa aina hiyoooo zaidi ni kupiga maombi kuikataa roho ya shetani

  • @rerisamba
    @rerisamba 6 днів тому +1

    Yupo mama alijengewa nyumba na wakoroea hakuikaa ameugua miaka 10

  • @JamesSichimata
    @JamesSichimata 8 днів тому +3

    Goodluck ni mchawi mwenyewe

  • @musichealsTz
    @musichealsTz 8 днів тому +1

    Kaongea ki mhemko sana, Mungu sio mwanadamu. akikupa agizo tekeleza.! Acheni mihemkoooooo

  • @rajabsharif4440
    @rajabsharif4440 6 днів тому +1

    1:35 😂😂😂angelileta tuliuze hata laki3😂😅

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515 8 днів тому +15

    Huyu Doto yuko mwilini 100% hana analojua zaidi ya lopolopo ukweli kashautoa mwenyewe Gozbeth wengine wote hakuna mnachojua maana hamuoni rohoni

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 8 днів тому +1

      Wewe umeona rohoni 😅😅😅

    • @kundaelikilewo7176
      @kundaelikilewo7176 8 днів тому +2

      wewe ndo hujui lolote ,kama zawadi hupendi rudisha kwa aliyekupa,huyo gosbeth anatakiwa kushitakiwa kwa kitendo alichofanya anahamasisha uharibifu,tokea uzaliwe ulishasikia mtu Tz kachoma gari,

    • @AnithaFrancis-xy7up
      @AnithaFrancis-xy7up 8 днів тому

      Ili hiyo zawad imalizeee

    • @AnithaFrancis-xy7up
      @AnithaFrancis-xy7up 8 днів тому +1

      Mtu huongeee likiwa hlijamfka

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 8 днів тому

      Wala, Gozbet amechoma gari ili watu wamfuatilie na kuangalia video zake. Kwa kiasi watu wengi wanavyoangalia video zake ndivyo hivyo anarudisha hela na kupata hela ya gari lingine. Hapo godluck kacheza kamari. ... Anafanya biashara ya mtandao... Mfano video moja ana views 140,000 mfano kila anaye angalia ni tsh200 (140,000 x 200 = Tsh. 2,800,000) ndani ya siku 2... Akiwa na video 5 zikikaa mwezi hajapata hela ya kununua gari lingine na zaidi.? ) hayo ndiyo mahesabu ya Gozbet... Mfano hata wasanii hamo rapa anagombana na harmonize ili watu wamfuatilie apate view apate hela,.. sijui msanii anaota video za uchi ili tu watu wamfuatilie, sijui msanii wa Kenya anagombana na diamond ili watu wamfuatilie auze video views kwenye mtandao apate fedha .. hicho ndicho huyu Gozbet alichokifanya .. Sasa anamtumia jina la Mungu alijua fika kuwa watu watamwonea huruma na kumfuatilia.. kwa ujinga wa watu kutokuelewa na kujifanya wanayajua ya rohoni Sana .. hapo ndipo biashara yake itamlipa.. na kesho atakuje mbele ya watu na gari jipya na kusema maneno mengine ya kuwahadaa watu... VIDEO zake ameanza na maneno ya TAHADHARI,... wachache wanaweza kuelewa maana ya yeye kuanza video akitoa maneno ya TAHADHARI.

  • @japhetlemilya2419
    @japhetlemilya2419 8 днів тому +2

    Kwa hii interview,namwona Dotto Magari Kwa Geor David Mapema sn😅

  • @josephnchalale9285
    @josephnchalale9285 8 днів тому +2

    Dotto achaushamba unaishi kisaniiii achaujinga

  • @AbiwaqsExpensiveboy
    @AbiwaqsExpensiveboy 9 днів тому +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂doto umeuwa interview ya leo

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 9 днів тому +1

    Broo nimegupenda sana

  • @aminaseleman733
    @aminaseleman733 8 днів тому +3

    Acha zako doto mwacheni mwenzeni

  • @GoodluckGodfreyNgomuo
    @GoodluckGodfreyNgomuo 8 днів тому

    Doto nakukubali sana ni bora angelitelekeza kandokando ya barabara jiji ilichukue yeye kamwaga petrol kachoma mimi nimeona afya ya akili

  • @stn4873
    @stn4873 8 днів тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂ILA DOTTO 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @jamesupanganamundu7073
    @jamesupanganamundu7073 8 днів тому

    Nimeipenda hiyo...ukiamka na afya asubui tayari ni bata.

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi1029 7 днів тому +1

    Dakika ya 7:52- dakika ya 8 dotto ntakuja unifundishe icho kizungu😂😂

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 8 днів тому +2

    DOTO UMEONGEA POINT

  • @amosmagesa7512
    @amosmagesa7512 9 днів тому +1

    Point bro

  • @JulesDior-zl6rq
    @JulesDior-zl6rq 8 днів тому +3

    Dotto umeamua kunivunja mbavu leo 😅😂😂😂😂

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 8 днів тому +2

    doto pumbavu saana

  • @ConfusedCrayons-pz9kx
    @ConfusedCrayons-pz9kx 8 днів тому +2

    Kuchoma kitu ulichopea na mungu ni laana naamini au anavuta bangi jamn

  • @de_navy
    @de_navy 7 днів тому

    We Dotto xku ukiijua kweli ukumbuke kumuomba Mungu mxamaha kwa Hilo ,,,😢xkulaumu ila Wenda hujui chochote,,,af punguza Kamdomo hajachoma lako😂😂😂

  • @benjaminabrahams8378
    @benjaminabrahams8378 8 днів тому +1

    DOTTO MAMBO YA ROHONI HUYAJUI, BAKI NA UPAMBE WAKO KWA MAMA

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 5 днів тому

      We unayajua ila walokole chefu

  • @isaacsikaundi1172
    @isaacsikaundi1172 8 днів тому

    I like this guy dotto🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @benjaminmwakipesile1743
    @benjaminmwakipesile1743 8 днів тому +1

    Doto fala akiendekeza tamaa miluzi itausika

  • @DaimonMwapelele-g1d
    @DaimonMwapelele-g1d 8 днів тому

    Doto acha ushamba unaongea ujinga au ndio mtandao uleule wa kichawi et nabii, sawa kabisa nabii wa washenz Kama Hawa akina doto

  • @MichaelKavavila
    @MichaelKavavila 9 днів тому +3

    Waliomshauri......wamempotesha...ameshindwa kutofautisha kàti ya akili,hisia na mawazo........ukishindwa kufikia malengo hata mzazi wako utaona mchawi

  • @Soph-h9t
    @Soph-h9t 8 днів тому +1

    Haya chawa

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 8 днів тому

    Doto interview zake ziko kwenye mstari huaga hapindishi kabisaaa 😂😂😂😂wapashe doto waache tabia hizo

  • @AjayBahati-t9n
    @AjayBahati-t9n 8 днів тому +1

    Chung tamaa mbay

  • @Happy-v1s9w
    @Happy-v1s9w 8 днів тому

    Pl kak ang good luck huyu doto hajui asemayo maan hat dini kwake chenga kajaa tamaa tu 😂😂

  • @SoniaNathan-o7m
    @SoniaNathan-o7m 9 днів тому +1

    Uko sahihi kaka siku ya kwanza hakuliona kama Lina uchaw

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 5 днів тому

      Yan gar kapewa 2021 2025 ndo kaona madhara usenge2

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 8 днів тому +2

    Aliechoma gar amelaaniwa mtaona yatakayimkuta. Mtaahamin

    • @faustangonyani5100
      @faustangonyani5100 8 днів тому

      Umelaaniwa ww na familia yako ila mwenzio ndo kafunguliwa ivyo

    • @zuberisalum2004
      @zuberisalum2004 8 днів тому

      @faustangonyani5100 usitumia nguvu kumawewe sijakwambia wewew kuma kamakikapu mkundu

    • @zuberisalum2004
      @zuberisalum2004 8 днів тому

      @faustangonyani5100 labda ujui good lucky nishoga kumawewe

    • @faustangonyani5100
      @faustangonyani5100 8 днів тому

      @@zuberisalum2004 kuma niwewe na uyo shetani wako namuomba mungu wangu akusaidie njaa yaumaskini inakutesa kwenye maisha yako na unataman vitu ambavyo sio halali pole sana ndugu yangu

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 5 днів тому

      Hakika ukichoma vitu huws ni laana kubwa

  • @BrownAndrew-i4u
    @BrownAndrew-i4u 7 днів тому

    Unaakili sana dotto

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 9 днів тому +4

    Lakini kweli alifanya makosa angerirudisha

    • @FrankCharlesdaddy
      @FrankCharlesdaddy 9 днів тому

      Amrudishie nani,kumbe usione mtu ana kichwa kikubwa na mvaa miwani,apunguze matumizi ya........

  • @jasperyassin1708
    @jasperyassin1708 8 днів тому +1

    Apo kusifia ibada zote sawa nmependa san

  • @MadollahMadollah
    @MadollahMadollah 7 днів тому

    Alafu East Africa tuacheni kiki za kishenzi uyu good luck alipewa gari aina macdiz Benz tena nyeupe na kwa camera tunaona akichoma gari nyeusi kabisa sasa hapo kuna ukweli gani kwenye kukabidhiwa tuliona nyeupe naio anachoma sio benz

  • @HamisiUliza
    @HamisiUliza 8 днів тому

    Issa mchawa daah nimechk

  • @jacklineadhiambo5346
    @jacklineadhiambo5346 7 днів тому

    watu wanaoongele sijui angeuza au kugawa wote wapuuzi tu na hawana utu Huwezi mgawia mtu kitu au kuuza kama unajua kina madhara. Ni kama kushikwisha itel na wakat wewe ulitaka kununua. iphone.Angalau wao wanaoongelea kuhusu yy kupost kwenye media. Of course this 🤐. Inaweza kuwa kama watu wanavofikilia lakini pia inaweza isiwe hivyo

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 5 днів тому

      Madhara kakaaa na gar toka 2021 madhara kayaona 2025 kama sio ufala lingekua la kumuua si angekufa 2021 walokole wa ajabu san

  • @faisalmontego8183
    @faisalmontego8183 7 днів тому +1

    "benz kama nyama kuku"

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 9 днів тому +3

    Sasa kibunda kimeisha hawezi hatakuweka mafuta nyimbo.kaziacha kwsherehe ya gari

  • @DebbieEnrisher
    @DebbieEnrisher 9 днів тому +1

    😂😂😂😂 Ila Dotto

  • @championalways192
    @championalways192 7 днів тому

    Kafanya kitendo cha kipumbavu sana kuchoma gari. Nahisi kama anaelekea kuchanganyikiwa yule dogo... jinga sana

  • @JamaliMalike
    @JamaliMalike 9 днів тому +2

    Eti ana kichogo

  • @AbbsonPeter
    @AbbsonPeter 2 дні тому

    ✊✊✊✊✊✊

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 9 днів тому

    Angali rejesha pale pale kanisani kwani wengine hawalitaki hiyo dini yakichawi imekuvaa mwilini Ile gari ilikua inamtesa kwasababu huyo jamaa nimchawi ndio mana

  • @FrankKelebuka
    @FrankKelebuka 8 днів тому +3

    Eti kichwa kina kichogo 😂😂😂

  • @AshelyAbel-x1q
    @AshelyAbel-x1q 9 днів тому

    Waliocoment kwakumsapoti huyu wakala wa shetani kwapumba alizoongea Mungu awarehemu pia anazoom! maana mambo yakiroho mnachukuria nirahisi kuyafikiria kimwili kama huyaelewi nibora kukaa kimyaa lasivyo mtakua mnajiletea matatizo kwasababu ya vivywa vyenu kupenda kuongea pasipo kupambanua mambo nakuchukuriwa naupepo.

  • @swamadujumanne795
    @swamadujumanne795 7 днів тому

    Tatizo ww huna elim mbumbumbu zamwamwa mada yyte inayokuja kwako unaipokea hata km huliwez unakurupuka tu punguza uchawa acha mambo mengine km huna elimnayo acha yapite

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 8 днів тому

    Mapepo....

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 8 днів тому

    Sasa good luck gari alilochoma ni tofauti alilopewa kirangi 😂😂😂sasa tuamini vpii,where??basi akachome hela pia....umepewa zawadi mda mwingi sai anakuja kutuongopea kulichoma khaaa 😂katafuta kiki ya kurudi mjini tuu...angeregesha gari ya watu wakapewa wenye uhitaji

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 8 днів тому +1

    Doto bwaaana

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 9 днів тому

    Kosa Kubwa Vijana Wakipata Pesa Wanapenda Sitarehe Wanasaau Kama Muziki Na Sitarehe Mambo Mawili Tofauti Sasa Kaona Kachoka Anaenda Kusaka Kiki Kwa Kufanya Kufulu Yule Atabaki Uchi Siku Zote Sapoti Kwa Watu Asaau Kabisa

  • @BerthaJukaeli
    @BerthaJukaeli 9 днів тому +5

    Uyo anataka kikitu kwanza gar alilo choma siyo ilo alio pewa kabisa😂

    • @Tiger-i8b6i
      @Tiger-i8b6i 8 днів тому

      Ndio lenyewe

    • @LitchirDada
      @LitchirDada 8 днів тому

      Kazi ya mungu imeshafanyika kazi kwenu waongeaji

    • @ChingaPambakalii
      @ChingaPambakalii 8 днів тому

      Imekuuma sana kama Kachoma gari la babaako

    • @Dianamwansasudddw
      @Dianamwansasudddw 8 днів тому

      Uokoke ukweli sasa,ili Mungu aseme nawe na maisha yako yabadilike

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 7 днів тому

    usiusemee moyo wa mtu 😢😢

  • @gseventz4663
    @gseventz4663 8 днів тому +1

    et nabii niletee mafuso ma nne😂😂

  • @rajabushaban4621
    @rajabushaban4621 9 днів тому +1

    Hela alizopewa ziko wapi?

  • @annemarienishimwe3353
    @annemarienishimwe3353 8 днів тому

    😂😂😂😂jamani naceka saaaana uyujama nihatali saana ananifuraisha kabisa

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 9 днів тому +3

    Kazingua siange kupa hata wewe 😂😂😂

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 9 днів тому

    angsrudisha gari ya nabii lasivyo atapata taabu sana

  • @magrethlwaga955
    @magrethlwaga955 7 днів тому

    Atakuwa masikini alioteshwa na shetani

  • @OfficialAkilinyingi
    @OfficialAkilinyingi 9 днів тому

    M nilikua nakusubili doto😂😂😂

  • @Keddyboom
    @Keddyboom 8 днів тому

    Unanjaa muandishi wa habari 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ila Doto

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 8 днів тому +1

    Utauzaje jeneza??

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 5 днів тому

      Uliona na ni jeneza ila walokole😂😂

  • @fredyMishosho
    @fredyMishosho 2 дні тому

    Maana yake nn et atadata😂😂😂

  • @FrankworldwideTV
    @FrankworldwideTV 8 днів тому

    One minix time five o'clock 😅😅😅😅

  • @YohanaChitetoYohanaChiteto
    @YohanaChitetoYohanaChiteto 6 днів тому

    Duuuh kweli hii pumba

  • @GoodluckGodfreyNgomuo
    @GoodluckGodfreyNgomuo 8 днів тому

    Mzaromo bwana maneno mengiiii🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JacklineBacker
    @JacklineBacker 8 днів тому

    Hi

  • @SaidinaSaidi-v5q
    @SaidinaSaidi-v5q 9 днів тому

    Nabii gani

  • @KenonPeter
    @KenonPeter 9 днів тому

    Mafuta angetia Nanitahiri angefunga na nn nawewe unaeuliza hela mwehu nn

  • @HamisiKianga
    @HamisiKianga 8 днів тому

    Weee Dotooo 😂😂😂

  • @frankmanyelezi215
    @frankmanyelezi215 8 днів тому

    Tatizo akutaka kujua kapewa nini Ila alipewa ufalme ambao hajui anze wap Daah so sad 😂

  • @innorhilamethyst7800
    @innorhilamethyst7800 7 днів тому

    Kasikilize interview yake ujue sababu.

  • @YohanaChitetoYohanaChiteto
    @YohanaChitetoYohanaChiteto 6 днів тому

    Yaan jamaa anaongea pumba kabisa kwa kuwa hayajui Mambo ya rohoni

  • @davebro9816
    @davebro9816 8 днів тому

    Huyo jamaa ni comedian 😂😅

  • @YusuphJkitia
    @YusuphJkitia 7 днів тому

    Achen uongo no ni DRC

  • @fadhiliramadhani2402
    @fadhiliramadhani2402 8 днів тому

    Mwandishi umekosa kabi mtu wakumoji una muoji uyo ana point uyo

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 9 днів тому +1

    kaka dotto huyo jamaa ni mchawi uchawi wake ndio umemtesa yeye Analana hajawihi toa sadaka tangualipopewa gari alisahau ishu zakanisa Alikua anakula bata2

  • @carlosdigitals
    @carlosdigitals 9 днів тому +2

    Nilikua Nasubiri tu na wewe utoe maneno 😂😂😂.

  • @RaphaelamourMrimi
    @RaphaelamourMrimi 8 днів тому

    Eti issa me najua mchawi 😅

  • @IsayaKesseni
    @IsayaKesseni 8 днів тому

    Sasa watu warefu wametokea wapi tena

  • @ChikuRashid-yg3jp
    @ChikuRashid-yg3jp 9 днів тому

    Huna unachokijua doto amepitia magumu

  • @CAPYBARA-r6w
    @CAPYBARA-r6w 8 днів тому

    We jamaa unazingua kichwa ka cha Gozibat wewe

  • @carlosdigitals
    @carlosdigitals 9 днів тому +1

    ila Harmonize 😂😂😂

  • @SteveJulius-y2p
    @SteveJulius-y2p 8 днів тому

    Wanasema akili ni nywele dototo kafuga nywele ila akili zake zipo kwenye vuz chupi huyu

  • @WilfredWilfred-v5q
    @WilfredWilfred-v5q 9 днів тому

    Ety una njaa mwandishi wa habari😂😂

  • @RaphaelamourMrimi
    @RaphaelamourMrimi 8 днів тому

    DOTTO SI MZIMA 😂

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 9 днів тому +1

    Et nyiee wasomi 😂😂