EXCLUSIVE: MREMBO AELEZA UKWELI KUHUSU UTAPELI KWENYE NETWORK MARKETING....

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 173

  • @peterpallangyo8053
    @peterpallangyo8053 2 роки тому +8

    Hii ndo biashara ya Karne ya Ishirini na moja ila watu wengi ndo hivyo Tena hawaijui wanabaki tu kwenye magenge na vibarazani kuponda wasivyovijua na kubaki na ufukara. Tatizo kubwa hapa ni umasikini wa fikra Kwa watanzania wengi

  • @monicahanzazi1124
    @monicahanzazi1124 Рік тому +2

    Very powerful

  • @adriankaria734
    @adriankaria734 2 роки тому +8

    Waoooh this is powerful.

    • @zariajuma8290
      @zariajuma8290 2 роки тому

      Upo interested kujoin nikuelekezee?

  • @butane7
    @butane7 2 роки тому +2

    Best explaination

  • @tevinmae6217
    @tevinmae6217 Місяць тому +1

    Nice dear

  • @HildaKoka
    @HildaKoka Рік тому

    Mentor slela naomba uwe mentor wangu 😊

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 2 роки тому +3

    Mserereko sio mzuri networking ni utapeli mkubwa mno eti company yake ina miaka 60 imemtoa nani tajiri hapa mjini

  • @philipocharles9239
    @philipocharles9239 2 роки тому +4

    Dada naomba msaada wako nataka kujiunga kwa team yako

  • @erickgadson1617
    @erickgadson1617 2 роки тому +20

    Changomoto wa hiyo biashara wanaokupa tarifa kuhusu biashara hiyo anakupa moto utafikiri unakuwa bilioner kesho lakini inalipa kama ukiwa na nguvu ya dola katik kuanza kujijenga hiyo nibiashara inalipa sana

  • @HildaKoka
    @HildaKoka Рік тому

    Boss ❤

  • @neemageorge723
    @neemageorge723 2 роки тому +3

    Poweful sharing!!!Tunachukia kwenye vitu ambavyo hatuvifaham this is bad…

    • @AyubuKiuongo
      @AyubuKiuongo 10 місяців тому

      Hii biashara unasain mkataba 😊

    • @swaleabuu-ws9bs
      @swaleabuu-ws9bs 7 місяців тому

      Hap​ana@@AyubuKiuongo

    • @mohamedadam2973
      @mohamedadam2973 4 місяці тому

      ​@@AyubuKiuongo no mkataba sio kazi business opportunity

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 роки тому +11

    Whoever reading this please don't give up 🙏

  • @emmanuelmtedzi4368
    @emmanuelmtedzi4368 2 роки тому +8

    Nimejifunza Watu Hawana kabisa Skills Za Network Marketing ndio maana wengine wanaiponda. Ujinga Ni Umasikini mmoja mbaya sana

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 роки тому +15

    Mnayo haki ya kutapeli watu maana ata ukisoma coment watu hawajielewi. Kampuni igawane faida na wewe iyo ni kampuni ya babako au mamako. Shenz

  • @MwitaMarwa-b2n
    @MwitaMarwa-b2n 9 днів тому

    Nimekuwelewa sana ila sjauwa ni product za aina gani

  • @josephlazaro5406
    @josephlazaro5406 2 роки тому

    Ni kweli watu wakawainda tunandoto nyingi ila mda mwingine tunakosa tu kiunganishi katika kufikia ndoto zetu unakuta unaaidia ya kufanya biashara flani lanini kunavitu vinakua sababu japo unajitahidi kupambana navyo lakini unakuta bado ila umezungu mzia kitu kizuri sana na pia na vijana wengi katika kuipata furusa hawataki kuifanya Ile fursa iwe kubwa Ili iwe na faida kubwa ila wanataka wanapo para fursa hapo hapo iwape faida ni sawa faida utaipata Lani ni itakua ni ndogo tofauti na ingekua kubwa ingeingiza faida kubwa zaidi kwaiyo ndy hivo tunakosa tu vinganishi kufikia vya kufikia kuwekeza ndoto zetu

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 роки тому +1

    Kafanana na jaydee

  • @veronicaEvaristus
    @veronicaEvaristus 4 місяці тому

    👍👍

  • @Sebastianmoses-o4x
    @Sebastianmoses-o4x 4 місяці тому +1

    Yani kama huna eleimu ya online network marketing lazima utasema ni matapeli au ushakutana na matapeli wengi hujakutana watu wa ukweli au kampuni ya kweli. Mm kwa mwezi nakula laki tano na arubain kwa mwezi kutoka online market na nina timu inafaidi pesa kaeni ivyo ivyo na umaskini wa fikra

  • @BwireNelson-xr9jf
    @BwireNelson-xr9jf Рік тому +1

    SHUKURANI DEMU NA MUNGU ABARIKI

  • @lianahtatile4563
    @lianahtatile4563 2 роки тому +4

    Congratulations Stella

  • @ENEAHTV
    @ENEAHTV 2 роки тому +3

    Tazama Umri na Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa mbalimbali wa bongo
    👇👇👇
    m.ua-cam.com/video/5IaWx-DJrTc/v-deo.html

  • @MahadiKalekela
    @MahadiKalekela 4 місяці тому

    Pumbaffuuu sana😂😂😂

  • @imanimussalacky3078
    @imanimussalacky3078 18 днів тому

    😅Jichanganye tu

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 роки тому +6

    Good Morning From KENYA 🇰🇪

    • @mylifepurpose
      @mylifepurpose 2 роки тому

      Hahahaha 😅😅😂 good morning

  • @198140206
    @198140206 2 роки тому +1

    huyu Mtangazaji sijui Kapataje kazi hapo wasafi
    Angetegesha Mike tu iwe kama story

  • @victorbrown6726
    @victorbrown6726 2 роки тому +1

    Hellow super woman

  • @nyandaminziku9742
    @nyandaminziku9742 Рік тому +1

    Jamani watanzania kuweni Malini hao wanaokomenti inalipa ni wao kwa wao sijui Tanzanian wataamka lini kila siku kutapeliwa Bora kahonge hiyo hela achana na Hawa wakinga wanaiba kisomi by mwl masalu minziku nchimani maalufu Kama NYANDA MINZIKU ingia UA-cam Bora tuburudike pamoja achana na hao wezi

  • @TheCvm229
    @TheCvm229 3 місяці тому

    Hajaeleza kuhusu hizi kampuni zinazochukua pesa na kuziwekeza eti mtu atapata double au triple, hii anayoeleza hapa ni bidhaa kunakampuni hazina bidhaa zinalaghai wekeza pesa pesa inazaa bila kufanya kazi yyt, hizi ndo hatar na nusu tofuati na hizi za kununua na kuuza bidhaa. Changamoto ya hizi za bidhaa ni gharama ya bidhaa mfano sabuni ya kuogea sh elfu 20 au elfu 10 au dawa ya meno elfu 20 au 30 ndo changamoto ya hizi bidhaa utamuuzia nani atakayenunua kwa uchumi wa watanzania. Hili huwezi kuambiwa wakati wa kuanza hii bishara

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 5 місяців тому

    Utapeli mtupu😊

  • @MashaMawenje
    @MashaMawenje 8 місяців тому

    Mmmh hakunaga utapeli watanzania wenzangu amkeni fursa ni nzuri sana hasa aim global

  • @zariajuma8290
    @zariajuma8290 2 роки тому +5

    Kama unahitaji kujiunga na hii fursa nitafute. Mimi ni mmoja wa members wa Neolife 😊

  • @libeberu
    @libeberu 2 роки тому +7

    Mimi sijaelewa, huyu mwandishi aliemda kuhadithiwa story au kuinyerview
    Sijasikia maswali yake yanayotakiwa kujibiwa na mwongeaji

  • @barakakings
    @barakakings Рік тому

    Wasafi,mtafuteni tena huyu Dada,maana kimesha nuka huko

  • @MaryBunzu
    @MaryBunzu 8 місяців тому

    Jmn mbona nyinyi mnao sema ni utapeli sijaona mnachotapeliwa msikalili maisha amkeni network marketing inalipa so usiongee Kitu usichojua

  • @mwangalachrissy471
    @mwangalachrissy471 2 роки тому

    I need a member to take me to the temple for initiation

  • @nasrimanofu708
    @nasrimanofu708 2 роки тому +1

    Dada dah tutajie hiyo platform tupige kazi na sisi

  • @eufrosiainziku4898
    @eufrosiainziku4898 2 роки тому +3

    I need net work marketing course

  • @philipocharles9239
    @philipocharles9239 2 роки тому +6

    Dada samahan hebu nisaidie namba yako ya whatsapp

  • @JafarJuma-j2m
    @JafarJuma-j2m 2 місяці тому

    Wanao sema ni utapeli polen sana ila dada angu songa mbele zaid

  • @LevinaNyembe
    @LevinaNyembe Місяць тому

    Akuna kitu apo

  • @lewisjoel5517
    @lewisjoel5517 10 місяців тому

    Naomi kakosakazi Sasa ameingie kwenyeutaoeli kunawatu nawaina wakitapeliwa kwa huo upumbavu aliouongea hapa, watanzania wenzangu ninani aliewaloga? Pesa inapatikana kwa kufanyakazi tu.

    • @MENTORFEMEMY-gk1mg
      @MENTORFEMEMY-gk1mg 7 місяців тому

      Kwani network marketing hufanyi kazi acha ujinga

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 5 місяців тому

    Kuna mda nilikuwa nawaza mnatoaji vibali kwa hawa watu na kingine ebu tazama wanavyowatapeli watu ukifika ofsini kwao ni uhuni mtupu.

  • @sarafinasabas8845
    @sarafinasabas8845 2 роки тому

    Nataman kujifunza network marketing

  • @sungura0
    @sungura0 2 роки тому +1

    Kamata uyoooo ndio mmoja wa Qnet

    • @lucasandrew1112
      @lucasandrew1112 2 роки тому

      Sio kwel ofisi zao zipo pale karibu na itv Kwa watu wa Dar

    • @hildaisack5165
      @hildaisack5165 2 роки тому

      Nitafute nikutoe upofu. Ungejua qnet inavyowatoa watu kila iitwapo leo usingesema tenga mda jifunze sio kuongea negative

  • @SweyaNano
    @SweyaNano 3 місяці тому

    10:22

  • @juliusmuna6955
    @juliusmuna6955 2 роки тому +3

    Inahitajika upumbavu wa hali ya juu ili kujua huyu msomi ni mpumbavu. Tena mpumbavu anaejiamini

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 2 роки тому +7

    Huyu kampuni yake ni legit Neolife inaaminika sema kuna wajinga wengine wanadai wanafanya network marketing halafu hakuna wanachouza wala kununua hao ni matapeli kama Madogo wa Delaska, Qnet, D9 Smart Pesa etc

    • @lucasandrew1112
      @lucasandrew1112 2 роки тому

      Pia kuna hii inaitwa vunaqash technology nayo ni ya hao hao delaska

    • @Quyatz45
      @Quyatz45 2 роки тому

      Una uhakika gan Qnet hawauzi bidhaa na huduma you talkin' nonsense brooda

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      @@Quyatz45 wanauza bidhaa gani?

    • @hildaisack5165
      @hildaisack5165 2 роки тому

      Usipotoshe wewe sio kampuni zote

    • @hildaisack5165
      @hildaisack5165 2 роки тому

      Qnet tuna bidhaa tena zimesaidia wengi waliokuwa wamepoteza tumaini LA kupona na Leo afya na kipato vyote wamepata,hivo ukiwa huna elimu na kitu usikitolee majibu direct nenda kajifunze kukuelewa utanishukuru na huna cha kunilipa

  • @hassanmakame
    @hassanmakame 2 роки тому

    Click bait header...😁

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 роки тому +1

    Pitieni Kwangu tujengane aisee

  • @alfredylameck4627
    @alfredylameck4627 Рік тому

    HUYU DADA HAJAKUTANA NA WATU WALIOFANIKIWA KTK NETWORK MARKETING…. HAMIS MGUTA JARIBU KUTAFUTA KAMPUNI SAHIHI ACHANA NA CRYPTO CURRENCY INDUSTRY HUTAPATA REALLY CONTENT
    HYU DADA HANA PERSONAL DEVELOPMENT
    HANA DESIRE UTAFANIKIWA VP???

  • @johnjohnson9374
    @johnjohnson9374 2 роки тому +3

    Vijana walio wengi hapa ni wajinga wanaamini kuna pesa za bure huo ni utapele nendeni itv media mkaone wenzenu walivyofanywa

    • @neemageorge723
      @neemageorge723 2 роки тому +1

      Watanzania wengi tutakufa masikin sababu kwanza ni wavivu alfu hatutak kujifunza…tunahs kila kitu ni utapeli

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 2 роки тому

      Hii Bussnesss Kuna watu Wana miaka zaidi ya 10 kwenye biashara analinganisha na hio ilikaa miez 5 sijui. Na havifanani hata utendaji Kaz wake

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 роки тому +3

    Kusafiri dunia 😂

  • @wilyakyoo9302
    @wilyakyoo9302 2 роки тому

    Mhh nyie matapeli kabsa

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 роки тому

    Please don't

  • @rehemawanjala-bu5oq
    @rehemawanjala-bu5oq 4 місяці тому

    Hiyo biashara ni ya kwl lakini wanaofaidi ni waliojuu maana ni pyramid scheme

  • @prosperpaschal8978
    @prosperpaschal8978 2 роки тому

    Wewe huyijuyi bishara network tulia

  • @joeljohn5527
    @joeljohn5527 2 роки тому +5

    ndugu zangu napenda kuwasihi akunaga pesa lahisi so tumiaakili usije ukajilaum

    • @sidebuggat5200
      @sidebuggat5200 2 роки тому

      Usipende kuongea vitu ambavyo una maarifa navyo na sio pesa yaja bure mtaji wako nd nguvu yko acha kupotosha umma

    • @joeljohn5527
      @joeljohn5527 2 роки тому

      @@sidebuggat5200 we ume juaje sina maarifa au una ropoka tu ww

    • @swahiliwellness
      @swahiliwellness Рік тому

      Uko na knowledge gap rafiki . Ni hatari sana kwa kijana kufunga ubongo wako mapema bila kuelewa vizur utakosa vingi.. Biashara ipo Dunian zaidi ya miaka 40.. kutoijiua wewe haimaanishi hailipi au haifanyi kazi...
      Hapo umedhihirisha usichokijua kwa kujifanya mjuaji

  • @MRISHOKOELECTRONIC
    @MRISHOKOELECTRONIC Місяць тому

    Tutajiebasi jina la kampuni yako

  • @patrickzacharia7483
    @patrickzacharia7483 2 роки тому

    Wengi wanaongea hapa nimejua wanafananisha hii biashara na vi company vyao vya upatu.

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Рік тому

    Akili mtu wang.

  • @wilyakyoo9302
    @wilyakyoo9302 2 роки тому +1

    Mbona hukusaidia hao ndugu zako?

  • @japhetjairos7693
    @japhetjairos7693 2 роки тому +1

    Ata simuelew

    • @hansmwasakyeni3038
      @hansmwasakyeni3038 2 роки тому

      mi nahisi wewe umeelewa! Mimi nimetoka kapa kabisa hamna nilichoelewa!

  • @innocentchavala9879
    @innocentchavala9879 2 роки тому

    Mh apa ntapgwa kama SME

    • @anord633
      @anord633 2 роки тому

      S.m.e bwana wamenila saana

  • @estonsanga9355
    @estonsanga9355 2 роки тому

    Wasafi ni wizi huo elimisha watu

  • @yasiniamri5458
    @yasiniamri5458 2 роки тому +3

    Wapuuz tyu nyie

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 роки тому

      Kama wewe mbwa

    • @philiptz118
      @philiptz118 2 роки тому

      @@miriamwinston9908 imekuuma hiyo risk ni kubwa sana

    • @saiditours
      @saiditours 2 роки тому +2

      Hell na! Hell na! Hawa watu sio wanajua kujieleza kichizi i know a lot.. so you can't convince me anymore damn it!😕😕

    • @smile-mh1nl
      @smile-mh1nl 2 роки тому +2

      Wapuuzi kweli . Yaani Tena wezi Hao jitahidinii sana kukaa nao mbali wanabrainwash watu akili mbaya

  • @lukmanomar6110
    @lukmanomar6110 2 роки тому +1

    Jina la hiyo biasha ndio ipi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @donedaddy4561
    @donedaddy4561 2 роки тому

    Matapeli mie nimepigwa na hao viumbe fresh yan

    • @fatmamatangula3193
      @fatmamatangula3193 2 роки тому

      Washenz awa wezi maaaaaaaa mae zao

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 2 роки тому

      Ulikuwa company gani wewe Hadi ukatapeliwa au ukishindwa kufanya Kaz na mafunzo ulikosa

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 роки тому

    Pumbavu sana nyie matapeli

  • @nyovestkaslati5971
    @nyovestkaslati5971 2 роки тому +2

    SCAM

  • @anord633
    @anord633 2 роки тому

    S.m.e wamenipiga saana

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 2 роки тому

    Hahaha ha network marketing ni utapeli asilimia mia

    • @frankkashner
      @frankkashner 2 роки тому

      Sio kweli mkuu Mimi nimeijua hii biashara nikiwa chuo na sasa kiukweli imebadilisha Maisha yangu kweli …

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 2 роки тому

      @@frankkashner endelea kuwatapeli wengine

    • @rosembuya2810
      @rosembuya2810 2 роки тому

      Hata me nlijua ni utapel imenichuku miaka miwil kuikubal. Kwa mtu mvivu anayedhan ni shortcut ya maisha ataona utapel hakuna kaz ya lelemama lazma uwork hard, sasa network marketing ukiwork hard lazima utoboe wala si utapel

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 2 роки тому +2

      @@rosembuya2810 ci mpk utapeli wengine

    • @frankkashner
      @frankkashner 2 роки тому

      @@jeunajuatv817 Sawa mkuu hakuna shida

  • @Ntomolapagu255
    @Ntomolapagu255 2 роки тому +1

    Nimekuelewa sana boss m.ua-cam.com/video/c5jEIQr-CgA/v-deo.html