TUACHE USELA NA UJANJA UJANJA KWENYE KUSAJILI WACHEZAJI NDANI YA TIMU ZETU ZA TANZANIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 10

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 2 місяці тому +1

    Oscar ameongea point sana

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 2 місяці тому +1

    Oscar umesema point sana

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 2 місяці тому +1

    Wanamtangaza mchezaji wakati awaja fanya walicho ambiwa coast wako sahihi kabisa

  • @fargakoigip6029
    @fargakoigip6029 2 місяці тому +1

    simba wameshtakiwa kwa kuto andika barua ya kuachana na Chama, simba wana mgogoro na Lawi simba wamefanya umafia kwa Awesu, simba walishirikiana na TFF kumpata Benard Morrison....ni kawaida kwa simba kufanya ujing katika eneo hili haswa ktk tff hii ya Karia niliwaambia Karia ni simba zaidi ya Coasta Union wengi hamkunielewa....simba walipewa umuhimu kwa sharti la kulipa ndani ya muda kimkataba ili coastal waweze kutumia hela kumpata mbadala wa Lawi popote sasa simba msimu wa mwisho walilipa baada ya ligi kuanza na dirisha la usajili limeisha fungwa timu iliyouza mchezaji inapata wapi fedha za kumpata mbadala wa wamchezaji aliyeuzwa kama walipaji wanalipa nje ya dirisha la usajili? wana simba walimshangaa Ngassa alipochagua YANGA na kuipondea St Georges ya Ethiopia...sasa leo wanaingilia dili la Lawi asiende Ubelgiji abaki simba najiuliza sasa walimcheka Ngassa ili waige? simba akishinda kesi hii maana yake wanataka coast ikose fedha ya Ubegiji na viongozi wa Coastal ndani ya TFF watakula mshiko wa simba wakiliwezesha dili la kuipa simba Lawi

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 місяці тому

    acheni usani nyie watangazaji mnakosa weledi;refer FIFA regulations

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 2 місяці тому +1

    Unasema ng'ombe huyu wakwangu na ujatoa pesa mwenye ng'ombe anakwelewaje, mwenye ng'ombe kapata mteja mwingine amuhuze ubadahi anauza ng'ombe wakwako na ukutoa pesa Kwa muda alio taka

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 місяці тому

    Nyie wapumbavu mbona kwa fei hamkutetea hivyo bali mliikandamiza yanga bila huruma mafara nyinyi