USIKU WA MAOMBI 28/04/2023 by Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- USIKU WA MAOMBI 28/04/2023 by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
UA-cam Link:
/ holyspiritconnect
😮Ee Bwana unasitahili peke yako Bwana yesu unasitahili kuabudiwa jeova niwewe niwewe tuu
Mungu kutana na mahitaji ya watoto wangu 31:07
Yaani BWANA YESU sna viffaa halloo hii international Duh KWA KWELI MHHHH SIKUJUA yaani acha BWANA GLORY TO GOD YEHOVAH HALLELUIAH AMEN
Mtumishi nimempokea Yesu leo
Haleluya Mungu akubariki kwa mawombiako nimebariikiwa kwa maombiako pamoja naneno urio tusomea kwa Luka1:37Mungu aenderee kukupa nguvu nakaongeze mafuta ya maombi iri uenderee kutubariki wamini tuomwamini Bwana Yesu Kristo Amina
Ahsante sana mtumishi hata mimi kupitia maombi yako nimeona hakuna kama yeye mungu wetu wa mbinguni
Bwana yesu naomba unikomboe kwenye maisha yangu pamoja na familia yangu
L😅
Baba. Yangu naomba katika maombi haya nitambulike mbelezako naitaji msaada wako yehova
Ni kumbuke mtumishi Mungu afungue njia zangu zi mefungika yangu Ni kuwa mdogo
Asante Munguwangu kwa afya na uzima
katika maombi haya Mungu sikilizeni haja ya moyo Wangu
bariki maisha yangu bariki mama yangu baba yangu bariki family yangu bariki ndugu jamaa majiran i zangu adui zangu marafiki zangu ASANT MUNGU nahamini kwako nitapata kweli Asant yesu usiku huu tenda miujiza bwana
Ameen ameeen
Mungu akubariki sana sana sana
Unirehemu ee bwana sawa sawa na Mapenzi yako🙏🏻
Bwana Yesu hakuna jambo ambalo ni gumu,kwako yote yanawezekana
Bwana Yesu pigania haki yangu jela kwa miezi nane Sasa fungua mlango yote niweze kukutumikia jinsi ipasavyo Mungu nijaze na uwepo wako Sana Amina
Ni wewe tu YESU wa kuabudiwa na kupewa Sifa na Shukrani.....Amen
Naomba buana yesu uniwezesh nipate mkee muema
Mtumishi nimepokea bwana yesu leo
Bwana Yesu nakuinua ni wewe peke yako hakuna kama wewe Yesu,niponye na uniokoe Yesu
Asante yesu juu ya maitaji yangu rohon mungu unaweza yote nitete bwana yesu
Mtumishi nimempokea bwana yesu leo
Bwana yesu kutana na uwitaji wangu nitoe kwenye nyumba za kupanga nipe nyumba yangu Sasa na familia yangu
Ee mungu naomba uyakumbuke maombi haya 🤲🙏🙏🙏
Ameen ameeen
AMEN Mtumishi wa MUNGU.Ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Mungu.Ubarikiwe
In the Mighty Name of the Lord Jesus,my Father my God remember my entire family, Amen!
Namshukuru mungu,mungu akubariki mchunguji mungu anatenda roho mtakatifu kanitembelea
Nime barikiwa katika Jina la Yesu
Nimempokea Yesu awe mwokozi wa maisha yangu amina.
Mtumishi nineokoka leo
Ubarikiweeee naamin napona
Bwana yesu niko hapa tenda mujiza katika uchumi wangu. Nipate fedha
Nimepokea bwana yesu leo
Bwana Mungu Ninaomba Mme wangu arudi nyumbani tuishi pamoja maana hakunileta kwake kunitekekeza na hali yangu ya udhaifu WA afya maana nami sikupenda kuwa hivi .
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Ameen
Mungu bariki mtoto wangu anapo fanya mtiani
Ehee nimeona yesu uniongoze .
Ameen
AMEN Mtumishi wa MUNGU.ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Yesu.Ubarikiwe
Bwana Yesu nakuinua wewe ni wewe tu ni Mungu pekeako hakuna kama wewe pigania familia yangu ndoa yangu na uchumi nakuhitaji Yesu
Ameen ameeen
Oh yesu niunganishe na hi ibaada ya uponyaji
Amen to
Ahsante sana innocent kwa maombi yako mungu amenisaidia sasa nimejua kuombana nimebakiwa
God bless Pastor Morris nd his ministry...Amen
Usiku hui mokozi Yesu naomba ulinzi mimi n'a familia yangu
Ameen ameeen
Mwe/mungu nakuomba uibariki Kila hatua zangu kwa kina la yesu kristo aliye hai.
Amen
Amen 🙏
MTUMISHI YOUR EXCALLENCY HONORED TREASURED IN THE BODY OF CHRIST SIKUJUI HUNIJUI ILA TUMEUNGANISHWA KWA DAMU YA YESU YAANI HATA SIJUI IMEKUWAJE NIMEAMKA USINGIZINI CM ILIKUWA ON NIMEKUTANA NA HILI STOMIC NOM KWA KINYWA CHA MAOMBI HAYA DUH DAFI SANA SIKULALA MPAKA KUNAPAMBAZUKA NADHANGAA WHAT IS GOING ON THIS IS A BIG MIRACLE TO ME INDEED GLORY TO GOD HAKIKA MHH MHHH MHHH ❤❤❤❤❤❤❤
Sorry I meant Atomic Bom
Mungu kasikie roho yangu na hitaji langu
Asante mungu kwa uzima na afya ulionijaalia mpk sana ninakuona wewe peke yako 🙏🏽
Bwana yesu naomba unisamehe yote niliyokukosea, na unifungue na vifungo vyote nilivyofungwa na wachawi najua wewe peke yako unaweza yote, basi baba Fanya jambo kwenye maisha yangu nataka kabla mwaka huu haujaisha nipokee hitaji la moyo wangu. Amina.
Ameen ameeen
Mungu akufungulie milango ya baraka katika kila eneo la maisha yako katika jina la Yesu Kristo
Nimempokea Bwana Yesu
Ninaomba Bwana Yesu umguse mtoto wangu Mreen aweze kusikia kama ulivyomuumba baba .
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
Asante kwakusaidia nfugu zangu kwa Nina la yeah christo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
BWANA YESU naomba unikomboe kwenye maisha yangu famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule wafunguliwe kielimu Kwa jina la YESU christo amen
Bwana Yesu. Mponye mjukuu wangu Baraka damu ya Yesu imponye
asante mungu kwa majabu yako katika maisha yako
Bwana nirehemu
Ameen
Nitakusifu kila wakati wewe Jehovah
Ameen. Haleluya
@@holyspiritconnectno
Wastahili Jehovah
Ameen
Nimempokea bwana yesu❤🙏 Amen 🙏
Ashukuriwe mwenyezi mungu kupitia maomba haya tumekuwa na usiku mzuri tumeamka salama
Mungu kumbukA familiar yangu
Niremu mwana wa daudi ukaniponye kwa Jina la Yesu amen
Mungu baba Ninaomba uguse afya yangu ambayo imesanbabisha Mme wangu kunikimbia alisema amechoshwa na hali hii
Ee mungu mwokoe mmume wangu ktk mate ya makahaba mmpe ifahamu akumbuke familia yake
Mutumumishi nimepokeys Bwana Yesu Leo Ivi Nikushukuru saana
Asante kwakumkomboa mtoto wangu kwajina layesu christo
Bwana YESU nakuinua ni wewe peke yako hakuna kama wewe YESU niponye na nniokoe YESU
Asante mungu kwakunifungua mungu wangu
Hakuna lisilowezekana kwako Baba
Hakika
Asante mtumishi nimempokea.yes.amina
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari nipate wateja katika dukalangu Kwa jina la YESU christo
Amen Amen akuna kinaco kushinda BWANA YESU
Hakuna linaloshindikana kwako Yesu
Amen Amen
🙏🙏🙏
Bwana yesu n wewe tu unae yajua maisha uangu hakuna mwana damu ama mtu anae yajua maisha yangu na famila yangu anaomba ukaniondolee roho ya kurudi nyuma kila nguvu za hiza zinazo niandama na zikataa katika jina la yesu nakataa lana za uko kila madhabau yanayo jengwa kupitia ndoto ama maneno ya wana damu usiku huu wa saa saba nina nena uhai nina nena uzima mana n ww bwana uyajuwae maisha yangu hakuna mwana damu awezae kupingana na we jehova na nakataa kila roho zinazo nirudisha nyuma kila nao niwazia mabaya na amin ya kwamba hawatani pata mana upo pamoja nami
0
0
0
0
00
Naomba mtu mzuri wakumuja mungu ilitupatane tuishi pamoja
Yesu nishindanie
Amina 🙏 MUNGU nina Imani kwamba yote ambao imenishinda Kwako yanawezzkana naamini Kwako nadjuwa unaona yote ninayo pitiya,naimani kwamba kwako notaweza eeeeh Bwana 🙏
I receive I receive I receive
I receive I receive I receive I
Bwana yesu kupitia. Hi neno anikomboe kwa onngojwa. Ni
Miye. Ngoy moni
Nakimbilia kwako yesu wangu naomba unisaidie baba.bwana yesu magumu yote nakuletea wewe bwana yesu uyapoke
Ameen ameeen ameeen
Ameen
AMEN Mtumishi wa Mungu Aliye hai.Ila unapoandika jina lolote la Mungu Anza kwa herufi kubwa mpendwa . Ubarikiwe.
@@rahelchilale1075Asante
.
Amen amen,naamin yote yanawezekana🙏🏼
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲
Amen Amen I receive I
Naomba maombezi ya biashara yangu ya spare zamagari uchumi afya nyumban biashara familia uchumi kibali chaka kazi nyota yangu ingae Kwa jina la YESU kristo amen
Naomba maombezi kwajili ya ndoa yangu niko mbali na mume wangu kwasasa naitaji Mungu hanisaidie mume wangu hanikute uku naitaji msaada wa maombi kwajili ya ndoa yangu anipe nguvu na moyo wavumilivu nisubiri wakati wake saaiii naomba msaada wa maombi
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Amen ubarikiwe
Ameen
Glory to our living God
Asante kwakuharibu nguvu zagiza
Amina Ee mungu yote yaliyo nishinda, kwako yanawezekana kwa nguvu zako nayakibidhi kwako Amina🙏🙏🙏
Amen.Mungu ondelea mtoto wangu roho ya uwoga na mpe usingizi na amani
Nifungue kiuchumi yesu
Kila roho inayonitesa naomba iniachilie masaa roho ya umaskini madeni talaka kuangaika ufukara magonjwa out 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante YESU
I happry pray to me God so i need to pray me but i want to l m atrist bicousi to me l'm to pray so bicousi to faithe them Luka 1:37theki you me to pray muhubri 7:12. muniombee mungu anirudishie hakiri nirikuwa nao mbere yakucapa naona satani ameninyanganya. God bressi you.
Ninajuwa hakuna kitu kina mushida Mungu najuwa Mungu ataniponya
HALELUJAH MTUMISHI WA MUNGU MUNGU AKUBARIKI
Amen amen 🙏
Ameen Ameen
We bwana unaweza
Hakika
AMEN Mtumishi wa Mungu .Ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Bwana.Ubarikiwe .
Groly to God
mutumishi nimeokoka leo
Nimeokoka leo Amen