'Nilivyopoteza MTAJI wangu wote kwenye SAFARI yangu ya kwanza CHINA nakushauri usifanye kosa hili'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 270

  • @jumabisale9974
    @jumabisale9974 Рік тому +7

    Thanks bro sky, umeleta kipindi maalum kabisa maana nilitaka kwenda mwez wa 17/11/2023 Bro nimeahirisha kabisa maana kuna madin meng sana nimeyapata kwa huyu dada, ki 10m changu cha mkopo bora nikizungushe tuu kwanza

  • @edinambwambo4847
    @edinambwambo4847 Рік тому +17

    Mdada umeokoa wengi sana kwa kuzungumza hayo.Stay blessed.🙏

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому +12

    Pole xana dada nilichojifunza nikwamba hakuna binadamu mzuri mbele ya binadamu mwenzie watu tunakunja xana ##

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Рік тому +23

    Wafanya biashara wengine wanakua na wivu kwa wenzao 😢 dah yani hapo alijua utafanikiwa rohombaya nizaidi ya uchawi
    Yani hichi kipindi kizuri sana hongera Dada

  • @DottoPaschal-x4d
    @DottoPaschal-x4d 9 місяців тому +4

    Nakumbuka miaka hiyo nilimuomba bro 1 anifundishe biashara hapa tu East.....kasema sna ratiba ya kwenda,nikaamua kwenda,badaye nakutana naye uganda ananiambia dogo umefkaje huku.skutaka hata kumjibu.bravo bro & sister baadh etu tumejfunza kitu 💥

  • @emmamga5495
    @emmamga5495 Рік тому +18

    Sky nakukubali asee Sana una talent Ya utangazaji 🙏 receive respect

  • @nunimwaropia3584
    @nunimwaropia3584 Рік тому +15

    Sky naomba utuletee Faiza Ally hapa na yeye tumsikie.naamini yule ana mengi ya kutufunza pia

  • @funnyboy369
    @funnyboy369 Місяць тому

    Duuh!! nashukuru sana kwa hii interview nimejifunza mengi mnoo Asante..

  • @misosikonki
    @misosikonki Рік тому +11

    Duh! Aise asante kwa hili somo...

  • @doreen9516
    @doreen9516 Рік тому +9

    Dada is such a hustler, inspirational!

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Рік тому +6

    Big up Sky na mgeni Shukrani kwa kuwa muwazi👌karibuni kwenye kipindi tuendelee kujifunza

  • @Realzone236
    @Realzone236 Рік тому +4

    Aisee Tonto Mungu akubariki sana. Kwanza wewe ni story teller mzuri sana. Halafu story yako ni true experience. Na kwa watu wengi sana especially wanawake wataelevuka sana.

  • @JrNsummy-xk8xe
    @JrNsummy-xk8xe Рік тому +12

    Tonto Kasema kwel na Amenikumbusha mbali sana Sky. My 1tym kufika Chn ni 2010 nilisafa sana kutokana na kutopata mwongozo mzuri maan niliyemtegemea kunichinjia baharini. Na sikuwahi kukutana naye hadi 2021 tulipokutana kny Msiba wa Ant yake Kinondoni Makaburini.
    Sky, mtaani kuna maumivu mengi sana ya watu yahusuyo China, Thailand na Indonesia. Ni vile watu wanakomaa nayo moyoni.
    Totonto kamaliza yote hapo na mimi nasisitizia kuwa, Hata ukiwa na 50M kama huna Taarifa sahihi ya Biashara unayotaka kuisafiria,Hutaweza kutusua kabisa.

  • @RobertMolell
    @RobertMolell Рік тому +4

    Laiti Watz wote wangu kuwa na moyo mweupe kama wa huyu dada wengi tungetoboa kimaisha,barikiwa sana dada.

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel1289 11 місяців тому +8

    Dada nataka NIAMINI Kua ulichosema Kuhusu KUTOKUWAWEKA WATOTO WA KIKE SOKONI Ni KWELI; M/mungu ATAKUSIMAMIA Ktk MAMBO YAKO Yote!●

  • @just.elhadji__7148
    @just.elhadji__7148 Рік тому +12

    Hii stori inalingana na ya babangu mzazi maskini alipoteza mzigo kutika Dubai Takriban Thamani ya mil 30!(Hardware + mini-electronics) 😨.....ila nimeamua kupita njia zake! Alhamdullialh Dua zenu!🤲

  • @albertmbwilinge5449
    @albertmbwilinge5449 Рік тому +9

    dada ana ongea aso za kiume kabisa… hongera zake💪🏿

  • @upendokihunrwa3427
    @upendokihunrwa3427 Рік тому +4

    Mdada nimependa alivyoeleza jamani Mungu akubariki kwa kutusaidia elim

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Рік тому +11

    Haya pia n makosa makubwa sna hutakiwi kwenda sehemu na mtaji wako wote nenda na nauli tu tembea tu na rudi jipange upya hii sir huwezi kuambiwa na mtu yoyote

    • @spensiozakato600
      @spensiozakato600 Рік тому +1

      Asante, nimekupata vzr kwa hii point

    • @rebecakigutu
      @rebecakigutu Рік тому +1

      kweli hii point true mimi nikienda naenda kwanza kuzurura tu kwanza then narudi tz

  • @phinerjulius8487
    @phinerjulius8487 Рік тому +3

    Kaka sky
    Asante sana kwa ili darasa

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Рік тому +11

    Hata ukienda nairobi mara ya kwanza kukutana na jambo kama hili ni kawaida sana..means watu wachache sana wenye kuweza kumshika mkono mtu ili afanye kile alichokusudia kwa ufasaha.wengi tumeingiza kwenye shimo la moto mkali kabs

  • @peacemuzaliwa2563
    @peacemuzaliwa2563 Рік тому +2

    Daaaah tunashukuru Sana , maana kwenye Biashara tumepitia mengi sana...Alluta Contunua.

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171 Рік тому +6

    BARIKIWA Sana my dear dada umetufunza wengi Sana na hakika maneno yako yataishi Sana katika vichwa vya wengi

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Рік тому +18

    Ana ngozi nzuri sana hiyo inamaanisha vipodozi vyake vinafanya kazi, I'm glad she caters to dark-skinned individuals badala ya kupromoti kujichubua.
    In business, life rather, omba Mungu ukutane na watu sahihi wakati sahihi. Watu wengi wanafeli hapo tu.
    Kwenda nje kufunga mzigo kwa hela ya mbuzi ni kupoteza muda na kukaribisha hasara, wengi wanaenda nje for showoff ila haiwalipi regardless of biashara zao. Take notes.

  • @NeemRamadhani-j8h
    @NeemRamadhani-j8h 7 місяців тому

    pole sana kweli ulipigwa na kitu kizito tena chenye giza,asante kwa kuwa muwazi.lakini mungu alikuona ulichukua hatua then ukajua what is the best thing to do na ufanikiwe 🎉🎉❤

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 Рік тому +5

    Watz ni watu wabaya sana ndugu zangu tunarudishana nyuma

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Рік тому +6

    Daaah honestly nime jifunza kitu hapa assanteni

  • @henrymassawe699
    @henrymassawe699 Рік тому +22

    Hakuna binadamu anapenda kumuona mwenzake afanikiwe haswa wale ambao tayari wameshatoboa ingawa siyo wote .

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639 2 місяці тому

    Honereni saa, Sky na Sister Tonto kwa kuwa mkweli binafsi kanisaidia mno maana nilikuwa nafikiria kusafiri bila clear directives

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 Рік тому +30

    Mimi niliagiza mzigo china ukafika mpaka tz lakini nikatapeliwa na kijananiliekua namwamini sana😂😂😂 milion sita zikaepa zote nanilikua nawaza nikiuza napata milione 25 ila Mungu mkubwa sassivi napigaela nyingi sijakata tamaa

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 Рік тому +2

    Daah noma sana, watu wanapigwa na vitu vizito kichwani...

  • @penwelinatimothy9057
    @penwelinatimothy9057 Рік тому +2

    Sis,asante sana kwa kuwa mkweli.Wengi wanapona kutumia huu mfano wako.
    Pia waTanzania jamani tubadilike,tusaidiane,tushikane mikono.
    Walio nue ya nchi kama huyo alokutembeza na akahusika kukuibia na mchina kwa kutaka utengenezewa low quality.
    It's really bad.Lord have mercy on us.

  • @jiwemikono5825
    @jiwemikono5825 Рік тому +7

    Usiogope kupotezea kitu chochote Bali ni moja ya kujifunza ukipoteza kaa chini tafuta njia usiumizwe japo ni maumivu ukipoteza

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Рік тому +3

    Shukrani Sana

  • @hamadali-m2i
    @hamadali-m2i Рік тому

    Ahsante Dada tuko pamoja

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +8

    Wasafiri make Google translator your best friend😢anywhere you go

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 Рік тому +2

      Tueleweshe vizur ndugu yangu wengi hawajui namna ya kutumia sorry tupo kwenye kushikana mikono

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 Рік тому +3

    Dada yupo charming sana

  • @peacemuzaliwa2563
    @peacemuzaliwa2563 Рік тому +2

    Wale wanaume wa2 mmi ni mmoja wao tumebaki wa2 tu.
    Kabisa nakushauri Usifanye Unisex ,fanya tu ya wanawake my sister utafika mbali sana

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 14 днів тому

    Daaa ulitakiwa uogee mwosha fedha

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 3 місяці тому +1

    Mungu amlaani huyo dada

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 Рік тому +4

    Wonderful sky nakukubali sana Kaka yangu

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Рік тому

    Asante Sana Kaka angu Kwa mafunzo chanya. Haya ndo tunayoyataka

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Рік тому +10

    Dada nimekuelewa na ndomana watu wote wanaosafiri wadogo wote wameanguka.kuwa mtu wa kati utapata pesa zaidi

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 10 місяців тому +1

    Dada mzuri sana sura mpaka akili❤

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Рік тому +3

    Sky mungu akubariki tunazidi kujifunza kupitia vipindi vyako

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 6 місяців тому

    Pole sana ila kila kitu ni funzo kwenye maisha na Mungu azidi kukuinua zaidi😭🙏🙏🙏

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Рік тому +15

    China unaweza kuja ata na 15mil. Cha muhimu make sure unaunganishwa na mtu ambae ni mwaminifu na sio mwenye njaa, pia uje kipindi ambacho tickets ni cheap. Pia kupata bei nzuri lazima ufunge mzigo mkubwa unaweza ukaja na mtaji mdogo na ukaona bidhaa zipo juu kwa sababu order qty ni ndogo.

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Рік тому +3

    Nadhani naongoza na mimi kufatilia habari za Thabo bester kama mimi..yaan usiki wa manane naamka naanza search...napenda sana kusoma esp habari za kisiasa

  • @beatriceclemence
    @beatriceclemence Рік тому +6

    i went trough this,hope i will bounce back

  • @priscangimba6194
    @priscangimba6194 6 місяців тому

    Nakumbuka mwaka 2018😢nilitapeliwa m36 ya faida yangu yote ambayo niliiwekeza toka 2013 sitakaa nisahau lkn ni mungu tu aliniinua nikajipanga upya nikajiuliza hiv nilianza na mtaji wa bei gani nikajipa jibu na nikajipa moyo mwenyewe .na mshukuru mungu sasa hiv. Mungu kaniinua tena

  • @luqmanhussein5551
    @luqmanhussein5551 Рік тому

    Mzee baba setion hyo mzee baba iite pasua kichwa 🙌🙌🙌

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Рік тому +11

    Nilipoteza $17000,ndani ya miezi 6 tuu.Yaani mwaka jana June hadi December.Nilikosa hata pozi la kukaa chini nilie wallah

  • @shaababy2570
    @shaababy2570 Рік тому +5

    Mdada anacheka mda wote mashallah nimempentaaa

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 5 місяців тому

    Hayo ya interpreta kusungumza tofauti na muuzaji ipo sana kwa walioko saudia wanafanya sana sana

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +4

    Sky unaongea vizuri

  • @DavidPaul-e6d
    @DavidPaul-e6d Рік тому +11

    Wafanyabishara wa kibongo huwa hawapendi kutoa taarifa za huko wanakokwenda! Kwenye vikao vyao wanaonyana kabisa kwamba wasiwape taarifa wengine ili waendelee kufanya biashara zao! Hivyo kuwapoteza wafanyabishara wadogo!

    • @beatriceclemence
      @beatriceclemence Рік тому +2

      true loh

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 Рік тому

      Kumbe wanaonyana kbs??

    • @FebroniaPaul
      @FebroniaPaul 11 місяців тому

      Ngozi nyeusi we acha tu,wana ile yaani mm nifeli yy atusue,,roho safi hamna kila mtu anataka kuona unaanguka

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Рік тому +2

    leo story nzuri sana na inafundisha.

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Рік тому +6

    Tatizo wanawake wanawivu sanaa hawataki wanawake wezeo kupiga hatua ,,huyo dada alifanya makusudi kutokukupokelea simu ,,Ana wivu na roho mbaya ,,Mimi nilikuwa nafanya biashara ya vijora tu ,, rafiki yangu akaniomba nimkopeshe vijora vya mtandio vi 2,, yani nimeuza mzigo umeisha namuomba hela ananiambia Sina nivumilie na ananunua nguo kwa watu wengine ,,akanipaga elf 10 Kama elf 10 halafu akaniambia Sasa wewe unashida gani umeuza mzigo Mara 3 Sasa ,,hapo miezi 5 imepita nilipotezea Hadi Leo sikumdai Ila anajutia coz nimepiga hatua na hata aseme anashida ya sh.500 tu siwezi kumpa kabisa Yani ,,anajutia ,,ni wivu tu yani

    • @mabelmafaa2999
      @mabelmafaa2999 Рік тому

      Na usimpe ndugu yangu utafanya kosa kubwa nyoka ni nyoka hata akivua gamba yamenikuta hayo najua vizuri Mwenyezi Mungu azidi kukufanikisha.

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 5 місяців тому

    Kwanini watanzania wan roho mbaya jamanni ,mtu kakaulipa bado unamwimbia, dada utabarikiwa sana usijali pole

  • @hmk..
    @hmk.. Рік тому +4

    Next time, interviewee should face the camera . position of the camera haipo sawa.

  • @lucky9285
    @lucky9285 Рік тому +6

    Madalali hao dada Dubai,China na Turkey wapo kibao

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Рік тому +4

    Kweli kabxa tunaomba wafanya biashara wa kilimo

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Рік тому +3

    Sister Hongera nimepata elimu kubwa sana kwa kupitia interview hii,unapatikanaje Sister mm nipo Arusha

    • @plujoncylugano4611
      @plujoncylugano4611 Рік тому

      Ni watu wachache mno wenye moyo mweupe waliyo tayari kukuonyesha njia ya mafanikio,ni wengi tumepigwa lkn tupo kimya tu,kwa kweli tunahitaji uwe mwl.wa kuwasogeza watanzania wengi walio nyuma yako,sister watanzania ni wengi pmj na mm tusaidie kwa sbb elimu ni mtaji kabla ya kupata mtaji

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 7 місяців тому +1

    Bira umesema ww dada wanahisi huku uturuki Kuna vitu vya buku buku wakati huku vitu ni bei juu

  • @big_daddy_
    @big_daddy_ Рік тому +4

    Sister nikupe siri kwanini alikuomba umbebee saint anne? Ni kwasababu limit ya abiria ya kuingiza pombe china kwa njia ya ndege ni litre 5 so hapo box ingekuwa zaidi ya litre 5 kiujumla so ingekuyumbisha airport china na hata pesa zingekutoka kwa sababu ya fine. Huyo kwa kweli hakukutakia mema @simulizi na sauti

    • @rebecakigutu
      @rebecakigutu Рік тому

      hooo kumbe 😢

    • @nahaisha7631
      @nahaisha7631 Рік тому

      Daaah

    • @ericfelician7996
      @ericfelician7996 3 місяці тому +1

      Daaa jamani daa bhasi tu tujifunze kitu wa ndugu usiende mahali Kwa mihemuko ,nenda wewe kaka wewe

  • @abdulabdalla6420
    @abdulabdalla6420 Рік тому +2

    Nimesikiliza na nikejifunza sehem kubwa sana kwenye kufanya biashara

  • @BenjaminEdgar-r2d
    @BenjaminEdgar-r2d 8 місяців тому

    Vizur kwa somo

  • @claramaro630
    @claramaro630 9 місяців тому

    Duh asantee

  • @SwahiliTheTraveller
    @SwahiliTheTraveller Рік тому +15

    Huyu Dada anafaa kua na Company ya kuwasidia Watanzania wanaotaka kwenda nje kufunga mzigo. Kama umeona Comment yangu nimekupenda bule nimetamani niwe karibu yako nijifunze kitu.

    • @Lambor_2023
      @Lambor_2023 Рік тому +5

      Asanteh very soon mungu ataweka mkono

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 Рік тому +19

    Stori yako inafanana sana na yakwangu saaana yaaan...ila du ...Mimi nilipoteza zaid ya mil 50

  • @HashimOlomi
    @HashimOlomi 2 місяці тому

    Somo zuri sana

  • @MugishaEnock-b4f
    @MugishaEnock-b4f 9 місяців тому

    Pol San kbs.Nikikumbuka hio kilinituta Dubai sio lakusema kwel.wabinga wapo kbs

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    Bro sky ,mwambie huyo dada nimemshukuru sana

  • @josephatmnganya
    @josephatmnganya Рік тому +9

    Brother sky nimemwelewa sana huyo dada ametoa elimu nilio ielewa mana nina ndoto pia yakwenda china ila siku najua kama kuna vitu vyaaina hiyo
    Pia ninataomba siku nije nitoe story yangu pia

  • @abdulwahidsuleiman
    @abdulwahidsuleiman Рік тому +3

    Sky ❤🎉

  • @ChizaSaidi
    @ChizaSaidi Рік тому +4

    Mimi kuna rafiki yangu nilimwambia tuende china pamoja alinijib tukienda nitakuacha hotelin hadi nimalize kununua mzigo wangu halaf nitakupeleka madukani ununue mzigo wako nikamjib mimi sio mgeni wa safar kutokana mie nishasafir duniani na natumia paspot ya njee hata visa sihitaji nikupanda ndege tuuu nataka tuende unisaidie tuuu

  • @joelnkwama6402
    @joelnkwama6402 Рік тому +2

    Mafanikio ni vita.. asilimia kubwa huwa hawapendi kuona mtu ananyanyuka ... huyu dada big up kwa kufunza wengine

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii 11 місяців тому +2

    Hapa tunajifunza kusubir ni bora zaid kuliko kukurupuka bora angekula hasara ndogo ya visa na tickets

  • @tinomasangia5511
    @tinomasangia5511 Рік тому

    Inspirational safi …. Biashara zina ups n downs sana

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Рік тому +3

    Sky Hakuna alofanikiwa bila kufail hakuna

  • @josephaddison5772
    @josephaddison5772 Рік тому +1

    wasomali wanatuma mwenzao wajaze container...trust muhimu. sisi waafrika tunataka ku post tuko china..mapicha kibaooo.....trip tu. concentrate

  • @elijahfresh5985
    @elijahfresh5985 Рік тому +17

    Story nzuri, sijawahi kwenda China ila naagiza mizigo at least 20m kila mwezi kutoka China na sijawahi tapeliwa wala kuletewa mizigo feki.

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 Рік тому +2

    You need the right ppl ukija china na pia mnahitaji watu wenye ofisi CHINA na TANZANIA address ya mtu muhimu sana na mtu akioe the whole process pesa zako zitakuaje ktk uaminifu wa mizigo yako.

  • @John-q8w2i
    @John-q8w2i 9 місяців тому

    Umesema kweli dada kusafili kunapoteza mda

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 Рік тому

    Tushukuru sana kaka esky 🙏🙏🙏🙏🙏🇨🇦🇨🇦asante 🇹🇿🇹🇿🇹🇿@esky

  • @happinesszuberi7364
    @happinesszuberi7364 6 місяців тому

    Hamna bwana muongo mil 40 ni pesa nying sana China

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Рік тому +10

    Poor research
    Kutegemea watu
    Watu hawasemi ukweli

  • @dcampafrica
    @dcampafrica Рік тому +9

    Biashara yoyote bila kua na research yakutosha lazima upoteze pesa

    • @dijohbanks4312
      @dijohbanks4312 9 місяців тому +1

      biashara ni kama gem hata uwe na research unaweza ukapoteza

  • @sophiahashimu2421
    @sophiahashimu2421 Рік тому +3

    Natamani kushiriki maana nimepitia au wanaoshirik ni wenye mitaji ya kuanzia million kum tu

  • @comics3437
    @comics3437 11 місяців тому +2

    Business Diary is a THING*

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Рік тому +4

    Watanzania ndivyo tulivyo hatupendani kabisa roho mbaya hata mimi nimeshakutana nayo haya mengi sema huwa najikaza

  • @fredrickyayambo206
    @fredrickyayambo206 Рік тому +5

    M15 haitoshi kulingana na biashara unayoifata uwez kua na 15 unaenda kufata spare za magari lkn zipo biashara inatoka kabsaaaa

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Рік тому +1

      Kweli kabisa mtu anafuata heren 15m ni mzigo mkubwa au anafuata glass protector na macover ya bei rahis 15m inatosha tu

    • @fredrickyayambo206
      @fredrickyayambo206 Рік тому +2

      isaac kabsaaa mtaji unategemea na biashara huo mwaka anaousema 2019 yeye alienda wa 4 mimi nilienda mwez wa 10 mwaka huo huo alivyovisema ving ni sahihi wafanyabiashara weng kkoo au popote kma unanunua vtu kwake kwa jumla ukianza kumletea habar ya eti uende china na wew lazma achukie cz anajua anampoteza mteja so hatokwambia ukweli

    • @joycephilipo
      @joycephilipo Рік тому

      Ni kweli kabisa

    • @joycephilipo
      @joycephilipo Рік тому

      Kama japan nilipo biashara tofauti inategemea utakutana na nani wakuonyesha machimbo

    • @danielbrazius3469
      @danielbrazius3469 17 днів тому

      Dada kwema naomba mawasiliano yako ​@@jacqueisaac8155

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa7058 Рік тому

    Huyo rafiki yako aliekutelekeza lazima umshukuru(usimlaumu) kwani alikupa wazo la kutoka nje ya box.

  • @JopaMwanga
    @JopaMwanga 6 місяців тому

    Dah,story ya huyu dada ni sawa na yangu maana hata Mimi niliuza gari yangu

  • @mamavyombo4801
    @mamavyombo4801 Рік тому

    kipindi kizuri sana @sns kinafungua fikra za wengi na kutia moyo.. Big Up Bro nitakuwa hapo siku moja inshAllah

    • @tumainichanya3268
      @tumainichanya3268 Рік тому

      Dada hasa wadada ukweli kabisa ukimkuta mwanamke mwenzio anakwambia njia ya kupita iliyo sahihi mshukuru Mungu ,Amen simamia Imani yako Mungu atajitukuza kupitia misimamo ya uwepo wako.

  • @happymahega2000
    @happymahega2000 11 місяців тому

    Kwan huwez ku Google location ,mpaka uulize hiyo km imekaa kizaman

  • @princessjj8298
    @princessjj8298 Рік тому

    Bora ulikataa kubeba hizo whisky ulikua unabebeshwa ngada,...leo tungekua tunakusoma kwenye magazeti tu jinsi ulivyokamatwa.

  • @efchicken2206
    @efchicken2206 Рік тому

    That Good thing I like napenda kazi zenu .I wish one time nirudi dar nije hapo mwenye nafanya biashara za truck usa hatari sana.

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Рік тому +3

    Hata kila biashara huku bongo

  • @annadida5672
    @annadida5672 Рік тому

    Aiseee