Mashallah tabaraka Allah Shukran jazakallahu kheir sheikh Hassan kwa kutupa nasaha Juu ya uwaminifu kwa kweli ni jambo ambalo twatakiwa tulipe kibao Miele.
Isitoshe huwezi jua aliekujia nyumbani kwako ni mtu mbaya sasa ❤❤❤kumpakwako ile rizki kutia mdomoni nikinga yako wewe na ndomaaana tunaambiwa hakikisha akikujieni mja nyumbani mwenu usiache aondoke bila kutia rizki mdomoni na unaambiwa kama huna rizki ya kumpa mpe hata maji ya kunywa takbiriiii huuu ni mtihani mkubwa kwa wale waja wachoyo
Allah kingine anapo kujieni mja nyumbani kwenu hakikisha akitoka asiondoke bila kumpa chochote hata kama ni chakula huwezi jua kakuletea rizki ila kwa uvhoyo wako utabaki hatakama ulikuwa unakula unaficha sw
Umepata mume mwenye ihsani wewe ungefahamu wanawake wanavyoishi majumbani huku ingewaonea huruma wanaume maana utashindwa kujua kwa dhuluma wanazofanyiwa wanawake Kama Allah hajaamua kuwasamehe itakuwaje!!!
Hili ni swala muhim sana. Mustaqbal wa jamii una tegemea ndoa njema ambayo inatoa matunda mema - yaani watoto. Na hapa lawama ziko kila upande - kwa waume na pia kwa wake. In shaa Allah tuweni na ikhlas katika maswala haya ya jamii. Na kujua kila mmoja ana jukumu la kufanikisha Mahusiano mema.
Jman mm Nina shida kubwa sana sana sana n huyu shekh atakaenisaidia kumpta bas namuombea kwa Allah amjalie noor katk dunia na akhera
Una shida gani?
Masha allah.nimefaidika Nakuombea mema katika hii dunia na keaho akhera
Mashallah alhamdulillah uwa nikisikiliza mawaidha napata falaja Allah akuzidishie kila la kheri inshallah ❤
Barakkah ALLAH fiyk
Allah yarabi ebu tujirekebishe kutunza upendo na kutunza siri za majumbani🎉🎉🎉 kujishusha kwa waume ili watoto wapate kiigizo chema
Masha Allah
Ma sha Allah mawaidha mazuri
Allah tunamuomba utujaalie tusimamie uaminifu na ukweli...
S.c.w❤❤❤❤
Mashallah tabaraka Allah Shukran jazakallahu kheir sheikh Hassan kwa kutupa nasaha Juu ya uwaminifu kwa kweli ni jambo ambalo twatakiwa tulipe kibao Miele.
Baraka llah fiik
Barka allah fiik
Maashallah Tabarak Allah ❤❤🤲🤲
Masha Allah jazakallah kher
Masha Allah ❤
Jazakaallahu hayrah
Mashaallah ❤
Sheikh shukran mungu akupe afya njema
Allah ukiwa na rizki isikufanye chanzo cha kuona wenzako sio chochote wala lolote
Isitoshe huwezi jua aliekujia nyumbani kwako ni mtu mbaya sasa ❤❤❤kumpakwako ile rizki kutia mdomoni nikinga yako wewe na ndomaaana tunaambiwa hakikisha akikujieni mja nyumbani mwenu usiache aondoke bila kutia rizki mdomoni na unaambiwa kama huna rizki ya kumpa mpe hata maji ya kunywa takbiriiii huuu ni mtihani mkubwa kwa wale waja wachoyo
Allah akupe kila la lenye heir akuepushie kila lenye shari
Sheik shukran mungu akupe afiya njema
❤❤🎉
Allah akulipe kheri zaidi dunia na kesho akheraaaaa.....
Shuran sheikh❤
❤❤ mashallah
Manshaallah tabakaall Allah akuifadhi shekhe 😍
Allah ukiwa unarizki mola mtukufu kakujaaalia rizki ya kutosha usiridhike kula bila kujali mafukara mayatima kunacwasio jiweza wakikutokeeni basi usisite kumsaidia au kimsitiri mwenzio huwenda kumsaidia kwako huwenda allah akakuengeza maradufu
❤❤❤❤❤❤
Allah akuhifadhi sheikh hassan
Rizki Yake Kwa Allah
Allah hakika rizki nipopote na rizki ya mja ipo mikononi mwa mtu
Shukran sana ustadh❤
Subhana llah kweli kabisa Masha allah
Allah kingine anapo kujieni mja nyumbani kwenu hakikisha akitoka asiondoke bila kumpa chochote hata kama ni chakula huwezi jua kakuletea rizki ila kwa uvhoyo wako utabaki hatakama ulikuwa unakula unaficha sw
Sheikh shukran sana, mungu akuzidishie umri
Barakallahfq shekh wetu
MashaAllah ❤❤❤
Allah naomba niongeee hata kama nipo nje ya mada kwakuwa sisi wa mama ❤️ ♥️ 💖 tumezidi a tumekuwa nichanzo cha ugomvanishi ktk familia 💖 ❤️ 💙
Umepata mume mwenye ihsani wewe ungefahamu wanawake wanavyoishi majumbani huku ingewaonea huruma wanaume maana utashindwa kujua kwa dhuluma wanazofanyiwa wanawake Kama Allah hajaamua kuwasamehe itakuwaje!!!
Hili ni swala muhim sana. Mustaqbal wa jamii una tegemea ndoa njema ambayo inatoa matunda mema - yaani watoto. Na hapa lawama ziko kila upande - kwa waume na pia kwa wake. In shaa Allah tuweni na ikhlas katika maswala haya ya jamii. Na kujua kila mmoja ana jukumu la kufanikisha Mahusiano mema.
Uishi maisha malef shehe letu😮
Asalamu lekhumu
Ma sha Allah mawaidha mazuri
Allah akulipe kheri zaidi dunia na kesho akheraaaaa
Allah akulipe kheri zaidi duniani na kesho akheraaa
❤❤❤❤❤❤