UAMINIFU NIKATIKA FUNGUO ZA RIZKI / SHEIKH HASSAN AHMED

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 сер 2023
  • KHUTBA YA IJUMAA MASJID RAYYAN KILIFI #khutba #darsa #islamlecture #jamiamosque #fadhakkir #kilificounty

КОМЕНТАРІ • 48

  • @SharifaSalim-cc5dg
    @SharifaSalim-cc5dg 23 дні тому +3

    Jman mm Nina shida kubwa sana sana sana n huyu shekh atakaenisaidia kumpta bas namuombea kwa Allah amjalie noor katk dunia na akhera

  • @hawajibril775
    @hawajibril775 11 місяців тому +7

    Masha allah.nimefaidika Nakuombea mema katika hii dunia na keaho akhera

  • @KadeejaKadeeja-ej4bu
    @KadeejaKadeeja-ej4bu 20 днів тому +2

    Mashallah alhamdulillah uwa nikisikiliza mawaidha napata falaja Allah akuzidishie kila la kheri inshallah ❤

  • @AliMohamed-pj1sb
    @AliMohamed-pj1sb Місяць тому +3

    Barakkah ALLAH fiyk

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +10

    Allah yarabi ebu tujirekebishe kutunza upendo na kutunza siri za majumbani🎉🎉🎉 kujishusha kwa waume ili watoto wapate kiigizo chema

  • @rostamhamis4374
    @rostamhamis4374 9 місяців тому +2

    Masha Allah

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv 8 місяців тому +1

    Ma sha Allah mawaidha mazuri

  • @busaleh5494
    @busaleh5494 2 місяці тому +1

    Allah tunamuomba utujaalie tusimamie uaminifu na ukweli...

  • @abdikafarabdi2021
    @abdikafarabdi2021 2 місяці тому +1

    S.c.w❤❤❤❤

  • @naadiyahuda1161
    @naadiyahuda1161 11 місяців тому +3

    Mashallah tabaraka Allah Shukran jazakallahu kheir sheikh Hassan kwa kutupa nasaha Juu ya uwaminifu kwa kweli ni jambo ambalo twatakiwa tulipe kibao Miele.

  • @rahmaali916
    @rahmaali916 2 місяці тому +1

    Baraka llah fiik

  • @abdikafarabdi2021
    @abdikafarabdi2021 2 місяці тому +1

    Barka allah fiik

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 5 місяців тому +1

    Maashallah Tabarak Allah ❤❤🤲🤲

  • @mariammohamedahmed4243
    @mariammohamedahmed4243 10 місяців тому +1

    Masha Allah jazakallah kher

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 4 місяці тому +1

    Masha Allah ❤

  • @UmmuUmayr33
    @UmmuUmayr33 7 місяців тому +1

    Jazakaallahu hayrah

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r 2 місяці тому +1

    Mashaallah ❤

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 11 місяців тому +6

    Sheikh shukran mungu akupe afya njema

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +4

    Allah ukiwa na rizki isikufanye chanzo cha kuona wenzako sio chochote wala lolote

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +4

    Isitoshe huwezi jua aliekujia nyumbani kwako ni mtu mbaya sasa ❤❤❤kumpakwako ile rizki kutia mdomoni nikinga yako wewe na ndomaaana tunaambiwa hakikisha akikujieni mja nyumbani mwenu usiache aondoke bila kutia rizki mdomoni na unaambiwa kama huna rizki ya kumpa mpe hata maji ya kunywa takbiriiii huuu ni mtihani mkubwa kwa wale waja wachoyo

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 7 днів тому

    Allah akupe kila la lenye heir akuepushie kila lenye shari

  • @user-ts8im5fz8h
    @user-ts8im5fz8h 3 місяці тому +1

    Sheik shukran mungu akupe afiya njema

  • @farhiyanoor6516
    @farhiyanoor6516 9 місяців тому +1

    ❤❤🎉

  • @ZainabMasoud-in5ph
    @ZainabMasoud-in5ph 8 місяців тому +1

    Allah akulipe kheri zaidi dunia na kesho akheraaaaa.....

  • @HamuzaHabibu
    @HamuzaHabibu 4 місяці тому +1

    Shuran sheikh❤

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +5

    ❤❤ mashallah

  • @omanmuscatmus2155
    @omanmuscatmus2155 8 місяців тому +1

    Manshaallah tabakaall Allah akuifadhi shekhe 😍

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +3

    Allah ukiwa unarizki mola mtukufu kakujaaalia rizki ya kutosha usiridhike kula bila kujali mafukara mayatima kunacwasio jiweza wakikutokeeni basi usisite kumsaidia au kimsitiri mwenzio huwenda kumsaidia kwako huwenda allah akakuengeza maradufu

  • @abdikafarabdi2021
    @abdikafarabdi2021 2 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ahmedsoudathman5088
    @ahmedsoudathman5088 11 місяців тому +5

    Allah akuhifadhi sheikh hassan

  • @user-ts8im5fz8h
    @user-ts8im5fz8h 3 місяці тому +1

    Rizki Yake Kwa Allah

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +3

    Allah hakika rizki nipopote na rizki ya mja ipo mikononi mwa mtu

  • @HamuzaHabibu
    @HamuzaHabibu 4 місяці тому +1

    Shukran sana ustadh❤

  • @hamedyahya9291
    @hamedyahya9291 11 місяців тому +2

    Subhana llah kweli kabisa Masha allah

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +2

    Allah kingine anapo kujieni mja nyumbani kwenu hakikisha akitoka asiondoke bila kumpa chochote hata kama ni chakula huwezi jua kakuletea rizki ila kwa uvhoyo wako utabaki hatakama ulikuwa unakula unaficha sw

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 11 місяців тому +2

    Sheikh shukran sana, mungu akuzidishie umri

  • @omarramadhan1829
    @omarramadhan1829 3 місяці тому

    Barakallahfq shekh wetu

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 11 місяців тому +2

    MashaAllah ❤❤❤

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 місяців тому +3

    Allah naomba niongeee hata kama nipo nje ya mada kwakuwa sisi wa mama ❤️ ♥️ 💖 tumezidi a tumekuwa nichanzo cha ugomvanishi ktk familia 💖 ❤️ 💙

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 11 місяців тому

      Umepata mume mwenye ihsani wewe ungefahamu wanawake wanavyoishi majumbani huku ingewaonea huruma wanaume maana utashindwa kujua kwa dhuluma wanazofanyiwa wanawake Kama Allah hajaamua kuwasamehe itakuwaje!!!

    • @adnanmwakulombaabdi5017
      @adnanmwakulombaabdi5017 9 місяців тому

      Hili ni swala muhim sana. Mustaqbal wa jamii una tegemea ndoa njema ambayo inatoa matunda mema - yaani watoto. Na hapa lawama ziko kila upande - kwa waume na pia kwa wake. In shaa Allah tuweni na ikhlas katika maswala haya ya jamii. Na kujua kila mmoja ana jukumu la kufanikisha Mahusiano mema.

  • @AbdallahSowa
    @AbdallahSowa 13 днів тому

    Uishi maisha malef shehe letu😮

  • @McChikampunda5411
    @McChikampunda5411 11 місяців тому +2

    Asalamu lekhumu

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv 8 місяців тому +1

    Ma sha Allah mawaidha mazuri

  • @ZainabMasoud-in5ph
    @ZainabMasoud-in5ph 8 місяців тому +1

    Allah akulipe kheri zaidi dunia na kesho akheraaaaa

    • @ZainabMasoud-in5ph
      @ZainabMasoud-in5ph 8 місяців тому

      Allah akulipe kheri zaidi duniani na kesho akheraaa

  • @IranezerezaSmail
    @IranezerezaSmail 9 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤