Huo ni mpira mbona hata simba zambia alifungwa goli ambalo mpira ulitoka nje na likawa goli ukiona timu imeanza kumlalamikia refa jua tayar maji yameanza kukalibia shingo tupambane tu kwa nguvu zetu tusitegemee waamuz watatuumiza
MIMI KAMA SHABIKI WA JANGWANI, NAWAKUBARI WACCHEZAJI WANGU HATA KAMA TUNAFANYIWA ZURUMA TUTAFIKA TUNAKO TAKA KUFIKA , ILA TU NAOMBA WACHEZAJI WAONGEZE JUHUDI BINAFSI TUTAFIKA MBELE ZAIDI ONGERA ZENU JESHI LANGU.
Hayo ni mawazo ya kijinga na ujinga wa mashabiki wa utopolo unahujumiwa kwa lip mnadhani ni marefa mnaowahonga bongo cyo! Tulia unyolewe huku ni kwa wakubwa
Yanga oyeeee
Ooh Waoh jus Waooh Kibabage bonge la mchezaji anakaba anatengeneza na anafunga type flan za shommy the way akiwa kwenye ubora wake
Tv3 wekeni highlights sio mchezo wote yaan naangalia mpaka nachoka dak 1,2,3,4 mpaka nachoka weka matukio muhimu
Sema Yanga SC hua tunahujumiwa sana lakini sio swala tunakubali matokeo ya aina yoyote. Daima mbele nyuma mwiko...
Huo ni mpira mbona hata simba zambia alifungwa goli ambalo mpira ulitoka nje na likawa goli ukiona timu imeanza kumlalamikia refa jua tayar maji yameanza kukalibia shingo tupambane tu kwa nguvu zetu tusitegemee waamuz watatuumiza
Hata kama hamna mashabiki, ndio muite watu saba kweli😂😂😂😂😂😂 Aibu ya nchi hii. Muombage Simba iwape mashabiki buku hata wa kuwazomea tu 😂😂😂😂😂
Mikia leo 7 bila zinawausu
Pacome shikamooooooooo
Ndivyo mpira ulivyo na hujuma ila wanaya nga tushikamane imeisha hiyo tujipange kwa mkapa.
Mashabiki wa simba machoko acheni kuifuata fuata yanga yetu angalieni yenu mikia nyie
Zile 5G zinawachanyanya
Hilo lilikuwa goli la wazi kabisa. Huu ni uhujumu
Dar tunawapiga bula wasiwasi
Camera sijui zikoje
Hahahahaha
Refa ametunyima goli
Kweli kabisa
we chiz
@@ramamohamed492 chizi niwewe
anayeandaa hizi highlights ajifunze kwa wengine, kuna unnecessary events awe anaziacha
MIMI KAMA SHABIKI WA JANGWANI, NAWAKUBARI WACCHEZAJI WANGU HATA KAMA TUNAFANYIWA ZURUMA TUTAFIKA TUNAKO TAKA KUFIKA , ILA TU NAOMBA WACHEZAJI WAONGEZE JUHUDI BINAFSI TUTAFIKA MBELE ZAIDI ONGERA ZENU JESHI LANGU.
Mikundu na leo mnabanduliwa 7 bila
Lazima waonewe/wahujumiwe siwa shamba utopolo vyura
Sawa bingwa
Hayo ni mawazo ya kijinga na ujinga wa mashabiki wa utopolo unahujumiwa kwa lip mnadhani ni marefa mnaowahonga bongo cyo! Tulia unyolewe huku ni kwa wakubwa
Kwani uwonui wewe kolo
Tatizo la kuanza kushabikia mpira uzeeni
kashinde leo ndugu Wydad wanawasubiri
Mo aneinunua caf kwa zawad ya bilion 1
Acha ujinga we kolo mbinua mkia mumeo amebebwa kwao