COMING SOON..!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 121

  • @KitaleMkudeSimba
    @KitaleMkudeSimba  3 місяці тому +12

    Tarehe 9/11/ 2024 Saa 11 jion
    0733 999 999

    • @idrisagisena2130
      @idrisagisena2130 3 місяці тому

      Kittle hukoseagi kazi zako ttzo haziishi sjui unakwama wapi

    • @REALDREAMFILAM
      @REALDREAMFILAM 3 місяці тому

      Huuingi kwenye tuz kwasab humaliz movie bro ila unajua

    • @KitaleMkudeSimba
      @KitaleMkudeSimba  3 місяці тому +1

      😂😂 ❤ ​@@REALDREAMFILAM

    • @KiriaKipara
      @KiriaKipara 3 місяці тому

      😂😂 mm mwenyewe inabidi nicheke umeruka kaka mussa

    • @RamadhaniRamadhani-h9v
      @RamadhaniRamadhani-h9v 3 місяці тому

      Sema kaka naii usije ishia njiani kama zingine ban

  • @ramadhankanoun3007
    @ramadhankanoun3007 3 місяці тому +18

    Ujawahi kosea kwenye kazi zako shida ni moja Tu haziishi

  • @Tobias_mhina
    @Tobias_mhina 3 місяці тому +3

    Nilivyo muona Mzee nkama tu nime jua kuwa hili dubwana ni Kari sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MaulidUbaya-d7v
    @MaulidUbaya-d7v 3 місяці тому +2

    Kazi nzuri kumaliza ndo tatz kaka lakn nakukubali sana brother❤👊🏾

  • @KahamaShop
    @KahamaShop 3 місяці тому +5

    Fundi karudi kazin welcome back bigwa wa story

  • @dullyhimself6889
    @dullyhimself6889 3 місяці тому +1

    Shafii brand Mo G weeh utaonaaaaaa tuuuh🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ogsovex7193
    @ogsovex7193 3 місяці тому +4

    Ambao mnasubili Kwa hamu filamu hiii gonga like apa

  • @Mugishathibaut
    @Mugishathibaut 3 місяці тому +3

    Nakupenda kutoka zamani niko apa Rwanda kigali tupatiye twengine series

  • @EliaStephane-c3j
    @EliaStephane-c3j 3 місяці тому

    Kali kabisa kweli naipenda japo haija toka nzambe😮😮❤

  • @GhoraKhan-j3m
    @GhoraKhan-j3m 2 місяці тому

    Wakuu nyie noma sana mnajua sana tunaomba tunaomba jamni kipande Cha tatu

  • @fsalumu6206
    @fsalumu6206 3 місяці тому +2

    tangu binadamu wabaya iishie kati kati nilikisalika sana
    natumaini hii nayo itakuja kuisha aki nimeona mzee flani nikamiss team yenyu
    team kitale like zenyu tusonge n hili tambala linakuja

  • @rukiaabubakaralirukiaaliab7453
    @rukiaabubakaralirukiaaliab7453 Місяць тому

    Jamani tuendeleze. Ep nyengine😢. Mbona mwatukoesesha utamu twataka kuona harusi ya dada Aisha 💃🏻🎉🎉

  • @shafiichusi1897
    @shafiichusi1897 3 місяці тому

    Duuuu Tunakusubilia Anco sema mnakaa sanaa hadi mnapotea sa hivi mnatakiwa kazi juu ya kazi...🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AbisureBabudon
    @AbisureBabudon 3 місяці тому

    Jamaa unazngua kitale muvi Kali lakin huwa aziishi kama binadamu bonge la muvi lakin umeivungia pale 2mekuwa wa kusachi kama imetoka maliza muvi bro 2nakukbari xana big up kwa kazi Zako nzuri💪🏿💪🏿

  • @NgaliliMpina
    @NgaliliMpina Місяць тому

    the king is back now watoto wadogo watuachie uwanjaaa

  • @ayoubkhan4304
    @ayoubkhan4304 3 місяці тому +1

    SEMA WE JAMAA KUMALIZAGA SERIES AAAHH 🙌

  • @godsonmrema5538
    @godsonmrema5538 3 місяці тому

    Kitale unajua sana, Nakumbuka nilikuwa naifatilia sana MANENO YA KUAMBIWA 2019

  • @asherynenga1767
    @asherynenga1767 3 місяці тому

    we msenge hujawai kosea series zako shida yako humalizag na unachelewesha kutoa sasa sjui round hiiii umejipnga vipiiiiiiiiiiiiii ilaa Wwe ni The best Bro🙌🏾🙌🏾🙌🏾✊🏽

  • @NassoroMneka
    @NassoroMneka 3 місяці тому

    Oi respect 😮😮

  • @MijikendaArts
    @MijikendaArts 3 місяці тому

    Kaka tunaomba ujaribu kumalizia movie ju nyingi zimekwama katikati unatuacha njia panda sisi wapenzi wa kazi zako🙏🙏

  • @Essau390
    @Essau390 2 місяці тому

    owaa kitale me ombi langu kwako naomba tu wale.wshiriki wa maneno ya kuambiwa asipungue.ata mmoja mwanet make ap naona wageni et me nawakubal san wale.washiriki wa maneno ya kuambiwa mzeihh

  • @Nawazidiallo-z7m
    @Nawazidiallo-z7m 3 місяці тому

    tunasubili hii kitu mkude ipite maneno ya kuambiwa❤🎉🎉🎉

  • @princessposhie8671
    @princessposhie8671 3 місяці тому

    chumaaaaa...Ulipo nipo mpk kielewe🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 3 місяці тому

    Usije ukazingua kk tupo mezan tunasubili ❤

  • @modenhosouza5925
    @modenhosouza5925 3 місяці тому

    Mpuuz mmoja tu....utaangalia na familia yako humalizi kaz

  • @yassinkifutumo1031
    @yassinkifutumo1031 2 місяці тому

    November 7 ni leo mzigo hatuuoni mkuu... Tunausubiri kwa hamu 😋😋😋

  • @KaindoOmari
    @KaindoOmari 3 місяці тому

    Ujawai kisea baba afazali ume rudi tena sa movie nyingine Kali

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 2 місяці тому

    Dah mwendelezo

  • @taucseif851
    @taucseif851 3 місяці тому +1

    Movie zako nzur ila tatizo lako humaliziie movie mie sifatilie mpk nione yote imetoka maana itakuwa kazi ya bure

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 3 місяці тому

    Hujawahi kosea kaka shida inakuja moja huwa humalizii kazi zako asa sijajua tatizo nini mkuu

  • @mohammed_khan1634
    @mohammed_khan1634 3 місяці тому

    Unakaz nzuri saana kaka kitale tena nakukubali sana ila tatizo humalizi shida NN broo

  • @tanimal9984
    @tanimal9984 3 місяці тому +1

    Tulikuw tunakusubr kwa hamu japo ulituacha njia panda kweny binadamu wabaya

  • @alfrednguya9453
    @alfrednguya9453 3 місяці тому

    Shida humalizi kazi unatukwaza hapo tu sisi mashabiki zako

  • @ShehaMtumwa-z7s
    @ShehaMtumwa-z7s 3 місяці тому

    Binadamu wabaya imeishiya wapi KITALE tunaisubiri BINADAMU WABAYA muendelezo wako KITALE🙏🙏🙏🙏

  • @mayladapz6617
    @mayladapz6617 2 місяці тому

    Haumalizi series zako
    Mpka hamu ya kutizama inapoteaa 🤧

  • @Garnet-steve
    @Garnet-steve 3 місяці тому

    At least give us an update on the series "Binadamu Wabaya".. Much love from Malawi 🇲🇼🇲🇼

  • @swaumujuma2163
    @swaumujuma2163 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @bashirumustafa909
    @bashirumustafa909 3 місяці тому

    Achia mzigo ila usiishie katikati👊

  • @Allympfayokurera
    @Allympfayokurera 2 місяці тому

    bana wew huelewek kabx n mzee wakutomaliz filam maneno yakuambiwa kati😂 binaadamu wabaya kati😂 yani wewe nimzee w kati kati😂 but wew n fundi kbx 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @RamsideMousah
    @RamsideMousah 3 місяці тому +1

    Oya kak tunasubil chuma hicho haujawah kukosea we ni fundi wa mafund bt tunaomba hii ifike final

  • @AhmedyKambi
    @AhmedyKambi 3 місяці тому

    Upo viziri ndugu kwenye kazi ALLAH akupe umri mrefu

  • @Essau390
    @Essau390 3 місяці тому

    owaaa weee tulikumisi san kitale na jop lako naomb mwinyi mkuu asikosee at kam kakuhama

  • @ismailmenk8188
    @ismailmenk8188 3 місяці тому

    Toa mchezo huu mim ni team kitale tu muda wote.

  • @jumazahoro3537
    @jumazahoro3537 3 місяці тому

    Kuliko kuangalia series isoisha Bora nitazame jua Kali ya lamata

  • @dtv6734
    @dtv6734 3 місяці тому +2

    Kazi zako huwa ni babkubwa, Ila BINADAMU mbona uliiachia njiani?????

  • @ShehaMtumwa-z7s
    @ShehaMtumwa-z7s 3 місяці тому +1

    Binadamu wabaya imeishiya wapi KITALE tunaisubiri BINADAMU WABAYA muendelezo wako KITALE

  • @gerysongratian
    @gerysongratian 3 місяці тому

    Aweeeee . Kitawakaaaaaa

  • @ShehaMtumwa-z7s
    @ShehaMtumwa-z7s 3 місяці тому

    Binadamu wabaya imeishiya wapi KITALE tunaisubiri BINADAMU WABAYA muendelezo wako KITALE🎉

  • @officialrammy6176
    @officialrammy6176 3 місяці тому +3

    UKIONA MOVIE HAIJAISHA MALIZA KWANZA HIZI HABAR ZA KUTUPA NUSU NUSU TUTAENDA KUKUSEMEA KWA BWAKILA NA UNCLE Wake
    Gonga like Kwa huyo father Baba Ake bakari

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 3 місяці тому

    movi bora ya mwaka nisha maliza

  • @manyweleTz-ab
    @manyweleTz-ab 3 місяці тому +1

    Wa kwanza jmn kama unamkubali kitale naomba like 10 tyu

  • @ZachariaMganyi
    @ZachariaMganyi 3 місяці тому

    Achia garika man tumechoka na vumbi la watoto wadogo huku youtube😅😅

  • @omarmkali3610
    @omarmkali3610 3 місяці тому

    Safi sana naisubiri kwa hamu

  • @tokyogangtv2417
    @tokyogangtv2417 3 місяці тому +1

    Wakwanza jaman like zangu

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 8 днів тому

    Kila saa nachungulia muendelezo ep 24 😂😂😂 hili dude ni Kali tuache utani, bro umeua.

  • @Maduhuthegreatest
    @Maduhuthegreatest 3 місяці тому

    Uwezo wa kuzitoa movie munao sana ila tu uwezo wakuzimaliza adi mwisho ndio hakunaga siheri musiwe munazitoa asa

  • @mzungumzee3196
    @mzungumzee3196 3 місяці тому

    Kitale master.

  • @Mwanah-cg3ie
    @Mwanah-cg3ie 3 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @ronaldodemwa3066
    @ronaldodemwa3066 3 місяці тому

    nakubari kazi zenu

  • @DullahBlack-p3k
    @DullahBlack-p3k 3 місяці тому

    Move zako huwa nzur lkn hazifiki mpka mwisho

  • @arnaldo7319
    @arnaldo7319 3 місяці тому

    Mze kazi hAziishi ilo ndo tatizo tuuh

  • @Eddyflavourofficial
    @Eddyflavourofficial 3 місяці тому

    Tulikaa kinyonge sana

  • @rojamirro42
    @rojamirro42 3 місяці тому

    Maneni ya kuambiwa na binadamu wabay zote cjaona final zake na hta hii nazan utaishia njian t

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 3 місяці тому

    Naunga HOJA mkon jitahid umalize ifke mwisho

  • @juressemabili5133
    @juressemabili5133 3 місяці тому

    Natokeya Congo ila uyu natukera kukata movie

  • @jamalmnema8334
    @jamalmnema8334 2 місяці тому

    Zenu haziishagi

  • @001_kenya
    @001_kenya 3 місяці тому

    Tatizo lako moja tu humalizi movie zako

  • @AbdallahAmiri-h9n
    @AbdallahAmiri-h9n 3 місяці тому

    Tatizo kumalizia ndiyo shida.

  • @barakajunnior33
    @barakajunnior33 3 місяці тому

    Binadamu 😢😢😢😢

  • @amadeamade449
    @amadeamade449 3 місяці тому

    Amalizagii filamu huyu jamaa

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 3 місяці тому +1

    Wapi binadamu wabaya kitale bado nasubiri tu

  • @kingidrisaathumani48
    @kingidrisaathumani48 3 місяці тому

    Shida Haziishi Hizi

  • @DavidHussein-fo2kx
    @DavidHussein-fo2kx 3 місяці тому

    saw 2nasubir kiongoz

  • @rojamirro42
    @rojamirro42 3 місяці тому

    Rltatizo uzimaliziag unaishia njian

  • @cludderbaby1098
    @cludderbaby1098 3 місяці тому +1

    Kitale upo vzur kwenye story had kuigiza.. ila tatzo mwsho hazfki, mm had leo kinyamkela na binaadamu cjaelewa zimektikia wap

  • @happypius8231
    @happypius8231 3 місяці тому +1

    Tatizo humalizi... binadamu mbona hujamaliza? Au unadhan tumesahau

  • @davemaseko9714
    @davemaseko9714 3 місяці тому

    Haujawah feliz

  • @HASANIMIGOMBO
    @HASANIMIGOMBO 3 місяці тому

    😂😂😂😂 kama haujawah okota dhahabu basi kaka kitale umeokota dhahabu huyo mze kasisi nibonge la k9medy kavurugwa😂😂😂😂 naisubir kwa hamu

  • @abdulyrashid851
    @abdulyrashid851 3 місяці тому

    Tumechoka MOVIE ZAKO HUWA HAZIIISHI AISEEE

  • @adamkhamis-b6b
    @adamkhamis-b6b 3 місяці тому

    shusha mzigo tumekumisi

  • @radotyga
    @radotyga 3 місяці тому

    Tatzo kumaliza

  • @ShehaMtumwa-z7s
    @ShehaMtumwa-z7s 3 місяці тому

    Binadamu wabaya imeishiya wapi KITALE

  • @bakarymakonta
    @bakarymakonta 3 місяці тому +1

    Tatizo lako humalizi picha zako

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 3 місяці тому

    Nasubiri kwa hamu

  • @jimminhoMakweta
    @jimminhoMakweta 3 місяці тому

    Unajua mno tatzo unashndwaga MWENDELEZO WA KUMALIZA KLE ULICHO ANZA

  • @NashfatIbrahim
    @NashfatIbrahim 2 місяці тому

    Kitale km ww umeshindw kuleta kipande cha tatu bas ivo move nitaimalzia mm maan ww unazingua 😂😂

  • @makamenyikombo4220
    @makamenyikombo4220 3 місяці тому

    Kitale unakuwa humalizii movie zako inatufanya tunakosa shauku ya kuangalia movie zako sababu tunajua haziishi...

  • @StaniFundi
    @StaniFundi 3 місяці тому

    Inaanza Lin hii filamu kaka

  • @Devo_xoxo2
    @Devo_xoxo2 2 місяці тому

    Namba 7 mzeee unauweka

  • @Kinyongetozzy
    @Kinyongetozzy 3 місяці тому

    nipe nafasi kaka

  • @bakariwambua4371
    @bakariwambua4371 3 місяці тому

    Leta kitu icho cha wazee wazima mkude

  • @Mpogozi
    @Mpogozi 3 місяці тому

    Kubababake NAINGOJA

  • @mkadengilejuma7739
    @mkadengilejuma7739 3 місяці тому

    Its my Birthday hyo siku🎉

  • @SayyidSayyidiz
    @SayyidSayyidiz 3 місяці тому

    Lakin mbona hamumalizi series

  • @ibnmussa5736
    @ibnmussa5736 3 місяці тому

    Twaisubilia

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 2 місяці тому

    Inatoka kila juma ngapi kitale?

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 3 місяці тому

    Tatzo znaishia kat

  • @riziki8406
    @riziki8406 24 дні тому

    Kwani 19 ndio mwishi wa hii movie jamani au ni mm sielewi

  • @AbdiallazizilikayaNamuhi
    @AbdiallazizilikayaNamuhi Місяць тому

    Tunaitaka seemu ya kumi na moja

  • @JafarayKitenje
    @JafarayKitenje Місяць тому

    Ya kumi na SITA inatoka lini???? Kaka musssa??