Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Highlights | VPL 14/04/2021
Вставка
- Опубліковано 13 кві 2021
- SIMBA VS MTIBWA: Simba SC imetoa kichapo cha mabao 5-0 kwa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara. Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama, Rally Bwalya, Luis Miquissone na Medie Kagere aliyefunga magoli mawili.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Спорт
This is simba nguvu moja another level🦁🦁🦁 sisi watuache tu maana atuna level yetu hapo tanzania.
Mlio ludia hii mechi kama mala tatu iv gonga like 😂
Gonga like kwa mnyama
Chikwendeee umeua vibe
😆😅This game Simba made it look like their training session...fantastic play🔥🔥
Good game good simba good goals
Mpo wapi mashabiki wa simba tujuane tunaofurahia huh ushindi
Mnyama mkali 🔥🔥🔥💪🏻💪🏻💪🏻
Nguvu moja
❤🇹🇿
I don't understand Swahili language but utopolo watasema kwann paula anadanga na Mama yake
Polen sana AZAM TV maana mlikua mnaumiza vichwa sana kuiweka hi highlight ktk dkk chache kwan ilikua dkk zote 90 Simba inafanya maajabu..ila ht hz dkk 22 tumeridhika
Simbaaaaa
Simbaaaaaaa
Hongera simba
Chama alikua mtu sana tutamkumbuka sanaa
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
hongera sana simba
Chama kubwaaa mnyamaaa@a
Safi simba
Huyu yupo level za Al-Ahly na Fc Vita mnampa acheze na Mtibwa kwel? Aaaah jaman huu uonevu sasa jaman!
Jaman Mimi mkaka akinitongoza akaniahid kuwa atanipenda Kama team ya Simba na atanitunza nisiguswe na utopoloo yoyote Yule Kama parfet chikwende pia akanilinda Kama chama clatus na anipe utamu wa kagere mk14 na bila kusahau Raha za mikison wallah sichomoi🥰🥰🥰🥰
😂😂😂
HahAHA unavituko wew ngoja wakusikie utopolo F.c
Faridi Katumbili muache tu!
Njoo kwangu
Kwa kweli kbs
Jamani Kama kuna mtu anateseka aendelee kujifukiza
Kwa simba hii, a, weka mbali nawatoto.
Simba hii vi-team vya Tz vitapigwa san ndo wajue kule club bingwa kuna watu wanateseka
Simba hii labda mungu apange mwenyewe kufungwa Laaah!! Sivo ni mwendo wa kuadabisha watu hapa 😂🔥
Mashabiki wa yanga Kama vile hawali
Kwa Simba hii Raha sanaa jmn 😂 Hata ije Man City anapingwa vzr tu 😂
Nilikuwa natamani kuongea mnapost vipande vifupi mno ila nashukuru mmejiongeza 👏👏
I haven't any comments from our neighbors wanatamani wawe wao lkn wanakwama.
Asante azam kwa kutuletea highlights
7 7 6 uni 8 millions 8× -///$$0$/😔🙀🙀'▪▪ ▪▪▪☆ 9
P p
L.p. p p
Pxp
Zpp
Simba mnyama wameshinda match 9 na kukosa match ngapi vile wadau
Hi ndo simba?
Alichokifanya *Chama* hapo dakika ya 19:57 ni dharau kabisa ,
Kwa Simba hii lazima jery MULO akae na Nuguza akalala kelele tena hana.HESHIMA KWA MABINGWA wa NCHI anae bisha haingii mbinguni.
SIMBA YA MOTOOOO
Tunakodisha furaha jamani kamaa ww ni mpinzani karibu kwa siku bei ya chenga ya Chikwende tu😃
Kuna dhabiki wa yanga mwanzoni apo hadi anatia huruma mwe jamani si uhame tu timu mzee
Yan simba rah jamani
Simba nihatari leo yanga. Nyyingi
Shikamooo chikwende
Hiyo chenga ya Chikwende unachukulia mkopo world bank.
ina na kipa hakuwa kwenye ubora, halafu ukweli hausemwi simba nao
sio wangeweza kufunga magoli mengi sana wamefanya mako mengi
wakiwa golini kwa mtibwa hata nane yangefungwa!!!
Azam munakata Sana sikuiz inakua Aina ladha yan
Simba hongeren
Video
Sasa hivi ukishakua shabiki wa Simba Wala hupati shida kumtongoza demu...wewe mwambie tuu hua Nina chart na Chikwende bhaaasi unakubaliwa
Huyu kipa kajipanga kudaka mpira alipomuona Luis anakimbilia golini akamkimbilia akaacha mwanya ambao Chama kautumia aliyeiona gusa hapo
Simba
.
Simba ataly
Emanuel William ndalanhwa
ofside nimeziona kadhaa!
Simba vs singida
Asopenda simba mchawi
😁😁
Mnyama simba akifanya yake
Highlights za dakika 20 mnatoa kwa Simba tu, utopolo naona ni dakika 3 tu😂
@Yanga Mpya Tv 😁😀duh kumbe unajua. Na udabwi dambwi pia tunao hata tukishinda 1-0 highlights dkk 20
@Yanga Mpya Tv Hahaaa umesalit kambi live 😃😃
Highlights hutegemea!waonyeshe mbio tu za kisinda?
@@BigDreamsWorldwide amenichekesha sana
Kuna watu wame dislike ,hao watakua utopolo.
Yanga damu always
sawa
simba na singida vip
Sasa Mtibwa kakosea nn ! ? Si Rayvanny na Paula ama 😂😂😂😂
io
100
PIRA BIRIAN,PIRA KACHORIII..PIRA MINYAMA MINYAMAAAA...UTALIPATA MSIMBAZI TUUUUU....WACHA TUWAKEEEEEREEEEEEE
Pira buriani
Ila ukimtoa mpenja anafata ibwe anajua kutangaza
Simba niaatar
Mtangazaji bwana eti yuko chikwende eti oo usinishike utanichafua
aliyemuona shabiki wa utopolo akiwa mnyonge
Siyo mnyonge Bali Hana afya timu ya utopolo imemkondesha😂
Ivi mlimuona chikwende alivyo angusha mtu kule juu
Ximba tupo pamoja
Uroho wa viongozi wakabomoa timu mpaka leo timu inayumba yumba
Dozi ya mtu mahututi hii ni kuwaonea mtibwa ilibidi iwafikie walengwa
Siku chache tu watapata lkn tulikuwa tunaangalia ipo kweli?
Ii Simba nyie
Chenga ya chikwende unawezachukulia mkopo world bank
Chenga ya chikwende
Simba
Pass za visigino hairuhusiwi bana😁😁
Corona
The
Uyu kipa mwizi tu anawaibia mtibwa wala hakuna kipa
Mlio ludia hii mechi kama mala tatu iv gonga like 😂