GHOROFA LA KIFAHARI LABOMOLEWA MBEZI BEACH MCHANA KWEUPE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 лют 2024

КОМЕНТАРІ • 573

  • @lydiabochela9363
    @lydiabochela9363 4 місяці тому +17

    Safi sanaaa, kuna watu jeuri ya vihela vyao inawazidi wanasahau kuwa kuna MUNGU mtetezi wa wa nyonge.

  • @user-ry2ix2pv4q
    @user-ry2ix2pv4q 4 місяці тому +12

    Duuu! Huyu mwenye gorofa angekaa tu aelewane na mwenye kiwanja

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 4 місяці тому +14

    Asante sana Mkuu hakikisha unabomolea wote wanaovamia aridhi za watu.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 місяці тому +63

    Kwa hasara hii, tukiona kiwanja kina mgogoro tusitishe ujenzi.

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому +2

      Kwakweli

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 4 місяці тому +1

      Point mkuu

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 4 місяці тому +1

      Kweli kabisa, tusijenge mpaka mahajana au serikali iamue hiyo kesi

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 4 місяці тому

      Wakati inajengwa walikuwap?

    • @RehemaJustine-co2kp
      @RehemaJustine-co2kp 2 місяці тому

      ​@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 місяці тому +26

    Msiseme ni wanadamu wamebomoa! Hapo ni Mungu kabomoa.Asanteni Sn.

    • @SportsRaha
      @SportsRaha 4 місяці тому +1

      Weeeee Mungu ndo anaendesha tingatinga 😂😂😂😂

    • @nasranasra5348
      @nasranasra5348 4 місяці тому

      Lp1😊q​@@SportsRaha¹

    • @fatumazakalia-yx4kg
      @fatumazakalia-yx4kg 4 місяці тому

      ​@@SportsRaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani ww

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q 4 місяці тому +36

    Huyu si mtu bali ni malaika mlinzi katumwa dunian na MUNGU ❤🙏

  • @divaidachboy2339
    @divaidachboy2339 4 місяці тому +9

    Jmn hap sawa nimeewaelea viongozi kaz nzuri

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 4 місяці тому +28

    Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.

    • @user-mf9tu4yu3p
      @user-mf9tu4yu3p 4 місяці тому +5

      Nahawa wenyeviti wa serikari za mtaa ni chanzo cha migogoro kabisa

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 4 місяці тому

      huko anakujua sana alikuwa mkurugenzi wa jiji,akawa mbunge,akawa now waziri

    • @MerLasway
      @MerLasway 4 місяці тому

      Z😊Z😅zz😅😊D😊😅😅😅z😅Z😅😊😊😊zz😊z😊😊SXz😊zza😅@@😅😅😅-😅😅Xz😅Azs😊😅😅😊ds😅😊z😅😊z😅Ad😅😅aaaA°°Aaa•°X@☆☆22😊@~😅@😅@😊😊😊#😊😊😊○😊😊😊😊😊😊😊😊‐😊😊😊☆☆😅😊😊😅☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆##☆😊😊😊😊😊😊😊😊😊☆😊😊#😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊-------------------------------‐-------------😊☆☆☆☆☆☆-==☆😮☆😅😊😮○••😅😅😅😅😅😅☆☆•○•😅😅😅😊○☆○○😅😅▪︎~~▪︎~☆😊#№---@😅@@-😅@----😅☆😅😅😊😊•○😅@#-😊😅•-😅--@#-😅•@---😊#@😊☆••9​@@user-mf9tu4yu3p

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 місяці тому +24

    Nimempenda mbomoaji yuko vzr anabomoa palepale panapouma😅jamani Jerry ungeniuliza nikakuchagulia pakubomoa yani umebomoa panapouma😅❤❤❤❤

  • @user-rx4wj3bs8z
    @user-rx4wj3bs8z 4 місяці тому +26

    Safi sana
    fantastic 👏

  • @mshanibeatrice7449
    @mshanibeatrice7449 4 місяці тому +7

    Daa nilivyoona linabomolewa moyo wangu uliumia sana kumbe huyu mtu ni mzulumaji ? Hongera wazir ww ndie Rais ujae big up

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 4 місяці тому +5

    Safi sana ,nataman hata mimi nifikiwe kwenyehili maana nimezibiwa hadi mlango sijui nipae ama ila naimani mungu atatenda kwa wakati

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 4 місяці тому +5

    Mungu akubariki waziri wenye hela wana dhulumu sana watu uku kisa pesa zao na ukipeleka kesi mahakamani hakuna ufuatiliaji wowote kisa kupewa rushwa 😢😢😢

  • @happykimaya6631
    @happykimaya6631 4 місяці тому +6

    Asante. Iwe fundisho Kwa matajiri wengine

  • @fundikilafundi6985
    @fundikilafundi6985 4 місяці тому +7

    SAFI SANA Wazir jer kila la kher kwako Bado Dodoma Jiji.

  • @aminangombo7048
    @aminangombo7048 4 місяці тому +9

    Asante baba mlezi, mkeo Bi. Hadija kafurahi mno kupata haki yake

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 4 місяці тому +4

    Hongera sana Mh Jerry Silaa, kaza

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 4 місяці тому +13

    WAZIRI NJOO MSUMI KUNA WAHUNI WAMEVAMIA SHMAB LA MTU NA KUJENNGA NGOME YA UHALIFU

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 4 місяці тому +12

    Safi sana!! Waziri ,I see the return of JPM💪💪 ,Piga kazi Baba maombi yetu yako na wewe.

  • @user-oe6du3ne3t
    @user-oe6du3ne3t 4 місяці тому +4

    Hongela Sana mku malipo yako yapo kwamung

  • @Yusudav
    @Yusudav 4 місяці тому +5

    Mgeomba alipe pesa ya kiwanja ila sio kubomoa nyumba😢

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 4 місяці тому +1

      Miaka karibia 20 anapigania haki yake kwa nini alijengaa kwenye kiwanja chenye matatizo

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 4 місяці тому

      Ameshaambiwa amegoma

  • @user-lk9fy9is5s
    @user-lk9fy9is5s 4 місяці тому +21

    Ahsante sana mkuu 🤝🤝

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 4 місяці тому

    Nakubali Mr Operator 😅 kivunja vunja ni rahisi sana

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 4 місяці тому +1

    Mungu akulinde jerry slaa kazi nikubwa na njema

  • @kheirdulla9046
    @kheirdulla9046 4 місяці тому +5

    Kwann wasingekubaliana akamlipa pesa kuliko kutiana hasara hivi

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 3 місяці тому

      That's true"vitu vingine vinahtaji busara sio kukurupukaa

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 3 місяці тому +1

      No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 3 місяці тому

      @@badmanno.1650 kwa upande mwngine ni sawa kabsaa

    • @hancemagembe6260
      @hancemagembe6260 2 місяці тому

      Hataki hela anataka eneo lake ili ajenge akae kwenye ardhi yake

  • @zanzibarafrica5945
    @zanzibarafrica5945 4 місяці тому +2

    Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 4 місяці тому

      Mpaka kufika uamuzi huo ujue yote hayo yamefanyika. Usikute tajiri alileta dharau

  • @user-rr8sd2gx2e
    @user-rr8sd2gx2e 4 місяці тому +3

    Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому

      Sasa nani analipa?

    • @user-rr8sd2gx2e
      @user-rr8sd2gx2e 4 місяці тому

      @@Zuu673 Mmiliki aliyevamia amlipe mmiliki halali.

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому +1

      @user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Місяць тому

    Mmmmh😢😢😢unaweza ukafa,Kwa Jin's ninavyofahamu gharama za ujenz

  • @user-ec8zv7lq8y
    @user-ec8zv7lq8y 4 місяці тому +2

    Demolition siyo sawa kwani watoa hati ni watumishi ndani ya wizard yako

  • @user-pq1hy4gh4n
    @user-pq1hy4gh4n 4 місяці тому +3

    Hongera sana iwefundisho kwa wengine,

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 4 місяці тому

    Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020.
    Hapo kuna mianya ya Rushwa .

  • @GersboyOfficial
    @GersboyOfficial 4 місяці тому +20

    Kuna viboss uwa vinadhani pesa inafanya kila kitu Sasa kazi ndo hii hapa

  • @ElizabethMkini
    @ElizabethMkini Місяць тому

    Jamani si wange msettle huyo Naomi wamlipe...kweli mnavunja nyumba yote hiyo duh😢

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 4 місяці тому +13

    Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 4 місяці тому +2

      Inaonekana watakuwa walimpa taarifa alavyo inavyoonekana ndo tabia yake sehemu zote tatu

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 4 місяці тому +3

      Hawawezi kuvunja nyumba bila kukaa meza Moja:huenda majeuri

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 4 місяці тому +1

      Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu

    • @GeorgeMushi-ft4xm
      @GeorgeMushi-ft4xm 4 місяці тому +2

      Kwanini ukajenge kwamtu alafu utake Suluhu

    • @mgonasipapune1383
      @mgonasipapune1383 4 місяці тому +2

      Na huyo mtu inaonekana ni kawaida yake.

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 2 місяці тому

    Tunajua na wewe watakuuwa.lakini habali wameipata 👍

  • @joneydomin6708
    @joneydomin6708 4 місяці тому +1

    Hatimae shangazi yangu Naomi kwayu kapata haki yake .MUME wake ambaye ni MAREHEMU alinunua kiwanja MIAKA mingi mno .

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 місяці тому +16

    Hongera waziri

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 4 місяці тому +3

    Jmn bas wangeelewana ampe pesa akajenge sehem nyingine heshimni Mali za watu jmn Sasa mnabomoa hamjui hata Aliye Jenga ametumia pesa nyingi?

    • @PopTiger-br2nh
      @PopTiger-br2nh 4 місяці тому

      Kwa watu happ

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 4 місяці тому

      wakat anajenga akijua kabisa kwamba eneo sio lake si dharau?Miaka 20 ametulia tu na alipoambiwa alipie kiwanja akagoma ulitaka wamuache?

    • @pascojm6816
      @pascojm6816 4 місяці тому

      Kajenga kwa watu

    • @user-xx1je7sy4h
      @user-xx1je7sy4h 4 місяці тому

      Hiv unawawajuwa wenye nguvu ya pesa wew au unaropoka tu hayajakukuta?omba yasikukute utajuta uroporopo wako

  • @hallin9561
    @hallin9561 4 місяці тому +4

    Bado sijaona ghorofa la kifahari apo, sema nyumba ya ghorofa moja

  • @user-mn5us5ln7t
    @user-mn5us5ln7t 4 місяці тому +1

    Habari mkuu tunaomba uje uku mtaa wa darajani.mikocheniA ccm Kuna mtu amejenga katikati ya njia anasema ni kwake na mahakama imempa na ni barabara ya maji mvua zikinyesha saizi mvua zikinyesha maji yanaingia majumbani kwetu..kisa ana ela.

  • @SalumSleiman
    @SalumSleiman 4 місяці тому

    Asante Mama Samia Suluhu kwa kutugombania sisi wanyonge na kupata haki zetu

  • @ashanziku3498
    @ashanziku3498 4 місяці тому +2

    Safi sana. Wanasumbua. Sana na vihela vyao

  • @123kerim23
    @123kerim23 4 місяці тому +4

    Hio miak ishirin serikal ilikuw wapi kam sio rushwa zilikuw zinapita tu

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md 4 місяці тому +3

    Mama yangu anateswa na kina ngowi huku😢. Kisa Wana hela. Yaan wanaitwa serikalin hawaji na wanasema hakuna wa wakuwasumbua😢😢... Njoo na huku waziri Tusaidie

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 4 місяці тому

    safi sana mkuu wanyooshe wapumbafu wachache wanahalibu sifa ya Tanzania

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md 4 місяці тому +4

    Yaan ingekuwaga hv Kila siku. Watu wangeacha kudhurumu watu

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe 4 місяці тому +4

    Nimeipenda

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 4 місяці тому +3

    Mbona Tenesko hawajatoa nyaya za umeme....😂😂😂😂😂....uuwii

  • @bashirsalimin4948
    @bashirsalimin4948 4 місяці тому +2

    Tukimaliza hili la Ardhi TUAMIENI KWENYE SHERIA YA MAFISADI KUNYONGWA MCHANA KWEUPEEE... tumalizie na katiba mpya🎉🎉

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 4 місяці тому +1

    safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 4 місяці тому +1

    Mmmh hapo hamjatatua ttzo bali mmeliongeza ttzo huyo mmiliki wa kiwanja mda si mrefu mtackia kauwawa wallah tena sidhani kama mwenye jengo hilo atakubali hili swala😢😭

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 4 місяці тому

      Kwani kiwanja na jengo kipi kina thamani kubwa?
      Mbona majengo yanayojengwa kwenye akiba ya barabara hubomolewa?

    • @Rehmathathman23
      @Rehmathathman23 4 місяці тому +1

      @@Ndu-wa.uroony2 anii ni kwamba huyu aliebomolewa hili jengo lazima ataumia si kapata hasara ko lazima awe na roho ya kisasi kwa mwenye hicho kiwanja nakwambia

  • @patriciamakoye1546
    @patriciamakoye1546 4 місяці тому +1

    Mfalme suleimani aliomba apewe hekima,waziri angetafuta suruhu

    • @ireneanania9714
      @ireneanania9714 3 місяці тому

      Sasa na ww hapo kwa akili zako ulitaka afanyaje 🙄

  • @ahmedsultan8561
    @ahmedsultan8561 4 місяці тому +1

    Km nyumba 50 tuu zikivunjwa km hivi basi ujanja wa kufoji na kudhulumu ardhi utaisha kbsa, kila mtu ataogopa maana anajua ipo siku yatalkuta hara kmbaada ya miaja kadhaa

  • @user-jg5yc9jn1u
    @user-jg5yc9jn1u 4 місяці тому

    Hongereni San haki saw Kwa wote

  • @eliufooelias6964
    @eliufooelias6964 2 місяці тому

    kama ni mm mwenye nyumba ningeempa hiyo nyumba bure mwenye kiwanja.na kama akiwa vizuri anaweza kunirudishia ata nusu gharama za ujenzi,nipunguzie Pressure,Slaa na Makonda ni Pasua kichwa kabisa,Ukipita kwe anga zao vibaya unapotezwa mazima;Km ni mm halibomolewi ni hasara aisee.

  • @faithV-S
    @faithV-S 4 місяці тому

    Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana

    • @juliuskato5100
      @juliuskato5100 4 місяці тому

      Huyu aliuziwa sio mporaji ameuziwa

    • @faithV-S
      @faithV-S 4 місяці тому

      @@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana

  • @Immahjr
    @Immahjr 4 місяці тому +3

    Duh mungu awasimamie 🙌

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 4 місяці тому

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @user-tq5di6mv9c
    @user-tq5di6mv9c 4 місяці тому +18

    Jamani singeongea mkalimaliza maisha yalivyo magumu nyumba ya vyumba vitatu naijenga kwa miaka nasijaimaliza 😢😢

    • @user-mz6lq3gr9l
      @user-mz6lq3gr9l 4 місяці тому

      Weeh Acha tu mimi nina kiwanja tu nataka tofali mia8 na sizipati japo nipate chumba na sebule

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 4 місяці тому +1

      Hapo Jerry inaonekana ana bifu na huyo aliyenga nyumba

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 4 місяці тому

      Sio kweli ​@@ananiamwatebela3159

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 4 місяці тому

      Hujadhulumiwa ndugu kwa miaka 20 mtu kang'ang'ania mali yako halali?hapana kwakweli hapo haki imetendeka @@ananiamwatebela3159

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 4 місяці тому

      ​@@ananiamwatebela3159hakuna cha bifu kuna waporaji makatili wakivunjiwa mnajifanya kulia huruma na kusema bifu mfikirie aliyeporwa kabla hujasema

  • @MasatuElly-kr4hj
    @MasatuElly-kr4hj 2 місяці тому

    Shida Nini tena🎉😊

  • @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr
    @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr 4 місяці тому +2

    Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢

  • @peterwanjohiwangirasta8734
    @peterwanjohiwangirasta8734 4 місяці тому +1

    Bomoa nyumba kama izo kabisa Mataji wanajifanya juu wako na pesa uyo masiki amepa haki 🙏🙏🙏

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 4 місяці тому

    Hongera wazir kumbuka pia uchawi upo afrika

  • @lucynyalagu3799
    @lucynyalagu3799 4 місяці тому +3

    Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu

  • @user-ct1qv5cr6w
    @user-ct1qv5cr6w 4 місяці тому +3

    Ongera Tanzania. Kenya kama hauna pesa utateswa mpaka utoroke 😂

  • @kayombotv9758
    @kayombotv9758 4 місяці тому +11

    Mheshimiwa tunaomba namba yako ya simu.

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk 4 місяці тому +1

      Angetowa namba wengi wangempingia hatamimi

  • @user-yv1dw6cu9k
    @user-yv1dw6cu9k 4 місяці тому

    👋👋👋👋👊👊safi sana waziri safi sana

  • @erickbeneth784
    @erickbeneth784 4 місяці тому +1

    Je huyo anaye taka kiwanja ana uwezo wa kuweka mujengo kama huo au ndo ana weka chumba kimoja

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 4 місяці тому +1

      ata kama ni nusu chumba ni yeye na kiwanja chake uyo aliyejenga ghorofa nae akajenge kwenye kiwanja chake sio kudhulumu watu

  • @luizavankilasi9030
    @luizavankilasi9030 3 місяці тому

    Mungu akubariki waziri

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 місяці тому

    Hao mawaziri waliopita wizara ya Ardhi walikuwa wanafanya nini ? Mungu akupe maisha marefu waziri Slaa . Ila kuna watendaji wengine wa ardhi nimajambazi kweli.

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 4 місяці тому +4

    Hii serikali ya hovyo sana Kwan serikali umeshindwa kuwapatanisha hao wawili kama huo sio uharibifu kwann asipewe hela huyo mwenye eneo

    • @Barakatabudul
      @Barakatabudul 4 місяці тому +1

      kabisa upuuzi wakatii maeneo" kibao wangeelewana akamtwalia pengine kuliko kumbomolea hasara" Mara mbili ndo atapata faida ganii wakatii Ardhii" zote niza Mungu' alokuja na Ardhii ulimwenguni ni nanii? Wakatii MTU wafa' ukaiwacha Kama ulivyo ikutaa serekali itashidwa vipi kuwaeka chinii wakamalizana kwauzurii.

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 4 місяці тому

      Utampatanishaje maskini na tajiri tena wa kimarangu😂

    • @georginapaul5013
      @georginapaul5013 4 місяці тому

      Anataka kiwanja sio pesa elewa hivyo

    • @isacklaizer6776
      @isacklaizer6776 4 місяці тому

      Huyu Waziri hana muda mrefu, maturity hakuna...He is thinking Win/Loose...too much courage too little consideration.

  • @user-hu1ev9pt8q
    @user-hu1ev9pt8q 4 місяці тому

    Jerry Sheria ya duniani sio ya mungu, ulichokifanya ni sawa.... Ni sawa na Ile Sheria inatosema aliyua anyongwe... Yule anayenyonga ndio anabeba dhambi haijalishi ni Sheria umeruhusu kunyonga Bali na wewe ni mnyongaji

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie3536 4 місяці тому +1

    Naumia 😢japo Hana haki😂

  • @user-qm3pi7vx9u
    @user-qm3pi7vx9u 4 місяці тому

    Daaah siyo poa kbx aisee

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 4 місяці тому +3

    Safi sana

  • @chackym4416
    @chackym4416 4 місяці тому

    Kwan broo hujaenda msibani

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 4 місяці тому +1

    Hapana hakuna haki km kuna haki basi wazanzibar nao wasiruhusiwe kumiliki aridhi bara mbn km ss watanganyika ni hatujui haki zetu,,,, okay nauliza je kuna mtu yeyote kutoka bara alishawahi kua kiongozi Zanzibar 😢😢😢

  • @MeddyKashakala-di9jw
    @MeddyKashakala-di9jw 4 місяці тому +3

    Baada ya kujua kama sio chake wangeongea sasa wakayamalizaa kwa pesa sio kubomoaa

    • @kelvintowo4287
      @kelvintowo4287 4 місяці тому

      Ukiona ivo uyo alikua mjeuri hayakubali maamuzi ya mahakama

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 4 місяці тому +1

      Miaka 20 mwenye kiwanja alisumbuka. Wana kiburi hao... Angetaka wangeyamaliza sema wanaona pesa zao ndio kila kitu.

    • @juliemsimbe502
      @juliemsimbe502 4 місяці тому

      ​@@kelvintowo4287 na umemsikia waziri kasema huyo jamaa ndio tabia zake za kuchukua viwanja sio vyake

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому

      Hizo no hatua za mwisho

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 місяці тому +1

    Awo wananyumba zaidi ya 20 ani apo ata plesha hana😂😂😂😂

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 4 місяці тому

      Mama alivochanganyikiwa hivo, hata uwe na noti hiyo ni hasara.

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 4 місяці тому +3

    Tatizo linaanza kwenye sheria sio mtu.Mbona ulaya hatuoni mtu anaingia tu eneo la mtu

    • @Happy-yk3lv
      @Happy-yk3lv 3 місяці тому

      Ulaya kuna viwanja dada 😂😂😂 U

  • @aneth520
    @aneth520 3 місяці тому

    Mungu mkali sana, hasiye haki hataishi eneo hilo, maana litakuwa mateso na laana, Maana Mungu ndiye anayemjua mwenye haki

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 4 місяці тому +1

    Naona wavamizi wengi wa viwanja wanadai hii siyo powa.....so kwenu poa ni kumnyanganya mtu kiwanja chake ???

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 4 місяці тому +2

    Bora wasingeibomoa angemuuzia tu huy mmilik mwenye kiwanja chake ata kwa miaka kadhaa c saw na kubomoa...Wakakaa chin wakaelewan

    • @samwelerasto7138
      @samwelerasto7138 4 місяці тому +1

      Du 😅huyo mwenye nyumba ndo alitakiw kumwomba mwenye kiwanja. Tena amwombe Kwa adabu amechelewesha Naomi kufanya maendeleo yake maana miaka 20 kwann hakumwombaga siku zote

    • @kalokolamulumbe8445
      @kalokolamulumbe8445 4 місяці тому

      Sawa sawa

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 4 місяці тому +2

    Hiyo ni laana ni bola wangekubaliana tu . Kuliko kibomoa

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 4 місяці тому

      Wakati anajenga kadhulumu ilikuwa anafanya baraka

  • @chidi_don
    @chidi_don 4 місяці тому

    Dah sio poa kabisa bro 😮

  • @user-ou8sp5bb7n
    @user-ou8sp5bb7n 4 місяці тому +2

    Kwa kweli wenye nguvu wametuumiza sana

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 4 місяці тому +1

    Kesho mmilik wa nyumba akishinda kesi mlipaji ni serikal hawa viongoz huwa wanakurupuka sana nasema me

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 4 місяці тому

      Duh hawajaenda mahakamani?

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 місяці тому +7

    Waziri upo sahihi sana wenye pesa wengi wananyanyasa wanyonge

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 4 місяці тому +1

    Mungu amemsikia mweny kiwanja chake

  • @Mutako-ig1ik
    @Mutako-ig1ik 3 місяці тому

    Ata hivo hawajatenda Haki angeomba hera anayo hitaji akanunuliwa kiwanja kingine ila siyo kumubomolea mtu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 4 місяці тому +12

    Watu wamedhulumiwa sna viwanja hasa wajane mbezi beach

  • @vikramlufunyo5832
    @vikramlufunyo5832 4 місяці тому +1

    Tunamshukuru mh rais

  • @stellamwasha1409
    @stellamwasha1409 4 місяці тому +1

    Jee si muongee tuu akikubali mumpe hata kitu kidogo jamani labda aliuziwa kimagendo ili hali akikubali huyo mama amilikiahwe hizo nyumba kwa makubaliano ya selikali na pande zote 2

    • @rosemaryjoseph7929
      @rosemaryjoseph7929 4 місяці тому

      ushaambiwa mtu huyu anatabia ya kuvamia viwanja vya watu akitumia fedha zake?, sikiliza kwanza ndo ucoment,

  • @si-qm1ki
    @si-qm1ki 4 місяці тому

    Hapo kitu wangefanya busara walojenga wangeongea na huyo alirdhulimiwa wakamlipa pesa yake ya plot akanununa kwengne..ila ni kama walitumia mabavu na lugha mbovu juu yake pole yao..kulala tajir kuamka maskin😩..maisha haya

    • @siaveramanga289
      @siaveramanga289 4 місяці тому

      Inawezekana huyo tajiri hakutaka mahojiano akifikiri pesa inaweza kununua haki si unajua jeuri ya mafisadi

  • @lazaq3955
    @lazaq3955 3 місяці тому

    Hapakua na njia nyingine ya kufanya naomi akapewa haki yake labda malipo maana sidhan kama kuna mtu timamu akakuta uwanja upo waz akajenga tu sokwel uyo huenda aliuziwa kama alivouziwa naomi

  • @khalidsaid5022
    @khalidsaid5022 4 місяці тому

    Some time zitumike TU busara mtu kashawekeza pesa nyingi.ni vyema kumwita mtu mwenye haki yake ya kiwanja na uyo aliyewekeza pesa yake kuwaweka chin uku serikali akiwa msimamizi na kuakikisha mwenye uwanja analipwa fidia kwa kias ambacho kitamfanya hawe na aman! Kuliko kutumia njia hii

  • @jumatamimu6841
    @jumatamimu6841 4 місяці тому +1

    Pole kwa dhuruma

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 4 місяці тому

    kwa hili Mungu akubariki maana MUNGU apendezwi na dhuruma na dhuruma ni nyingi katika ameneo ya nchi hii hasa watu wanyonge wanaonewa na wenye nacho

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 4 місяці тому

    Safi sana kiongozi wetu sasa hivi hakuna tena janja janja

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 місяці тому

    Safiiii, nimefrahi sana,kuna watu wamedhulumiwa mali zao jamani 😢😢😢

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 4 місяці тому

    wew dada pumbuvu zako ilibidi ufie humo ndani wew ndo unaemshauri mumeo kutumia mabavu kujenga kwenye viwanja vya watu Kwa mfano wew ulimshaurije kuhusu kujenga bila hati na kibali Cha ujenzi Kama siyo unahusika