Wewe ni mzuri sana mpendwa, Nimekupenda ulivyo na unavyojieleza, naweza kuona unyenyekevu na upendo kwako, sioni dharau wala majivuno..kama niko sawa❤ Ukifika huko ukawaheshimu na kuwapenda wakwe zako.. Na kitu nimependa inaonekana maneno ya watu hayakusumbui❤,
Sio kwa ubaya ila huyu mwaandishi uwa ananishangaza na maswali yake. Most of the time hajajipanga kabisa na pia anakosa kujiamini na kazi yake. Mfano unauliza swali kwamba bwana harusi ndio alishauri muanze na send-off halafu ndio ije harusi au? Tangu lini bwana harusi akausika na send-off?
Ongera kwako unaolewa na miaka 28 uko vizuri utaweza pambana sasa hata kama duniana ni bustani uliyo jaa na mabala.zidi kupambana yanawezekana yote hapa chini ya juwa.mubarikiwe na mufike mbali katika maisha yenu ya ndowa.❤
kwamba 28 ni mdogo au? mbona amecelewa tu kuolewa maana kwa binti aliemaliza chuo kikuu at least 24 au 25 awe tayari ameolewa. Pesa za siku hizi zenyewe za majini
Ni sawa,pesa ni za kwenu, lakini Mungu hapendi hii ni kufuru, uharibifu wa mali,tena Muombeni sana Mungu awape neema muweze kumjua Mungu, lakini mlivyofanya ni hatari,,ingawa ni pesa zenu,ila ni bora hiyo pesa mngetoa sadaka hata kwa wahitaji,kuna watu hawana mitaji,kuna watu ni yatima,kuna watu ni wajane, kweli!! Mnakula m300 kula bata!!?? Dah Mungu awafungulie,, lakini kuweni watu wa kusaidia wenye uhitaji kuliko starehe
Watu hatuna hata hela ya sukari, then baba anafanya sherehe ya kumkufuru mungu, hizo pesa mngewapa wahitaji hasa kipindi hiki Cha kwaresma. Wahaya mna sifa but sifa na utukufu ni kwa mungu baba
Huwezi ukawa kwenye kamati halafu hujui gharama ya bajeti.msomi wa bongo eti hela nyingi sana. Ujinga ni kuwa mjinga kwenye mambo ambayo unayajua sifaaaa
Ingependeza zaidi kama nusu ya pesa angempa au amnunulie viwanja au asset yoyote na nusu afanyie hiyo send off...ukute baada ya hii show binti atarudi kuombaomba...😢
@@vincentmushi1247 Mwenzangu na mimi kutoka familia duni ndio una amini juu ya kupanda na kushuka ila wenzio wamezaliwa wamishapanda, so habari za kushuka kina diamond ndio wana weza lijuwa hilo. Maana wametokea from nothing to something.
@@SilaMinanda 😄 🤣 😂 😆 umenifurahisha sana na habari yako...kupanda na kushuka kuna factors nyingi sana dada...kuwa mkweli katika maisha yako ulishawahi kuona au kusikia kuwa fulani alikuwa tajiri na amefilisika...mm nina wajua wengi lkn sitaki nikuchochoshe...hata hao matajiri unao waamini walitoka kwenye umasikini..
@@user-lp4vj9xr4j wewe ungejuwa unae ungea nae nani ungefunga domo , Kwani uwongo pesa yote hiyo si engemuekea bank atanuwe wigo wake wa kibiashala yeye na kizazi chake cha badee
Kuchezea pesa nikutumia pesa ambayo ni nyng kuliko ulizonazo ss kuna watu wana ma tirion ya hela kutumia izo hela kwao nikama wewe umetumia laki unavyoumia
Kwani unajuaje kama hawasaidii , palipo na utajiri kila kitu kinawezekana, hiyo ni yeye kufurahi wakati wake umefika, hayo mengine unajuaje au unamwonyeshaje, Kwani ye hajui hayo
Ujinga na upumbavu wa Ngozi nyeusi kama unaweza kumfanyia send off party ya gharama hivyo si bora mngewekeza hizo hela kwake ili zimsaidie mbeleni maishani ?
Jaman Kuna watu wanaumwa huko hawana hata pesa ya matibabu wanahitaji msaada.hebu hyo kamati ya maandaliz ikawasaidie na wale wagonjwa wenye uhitaji.km yule mama aliyepasukiwa na kondo la uzaz anahitaji msada jaman.
Mungu alie tenda kwenu akatende na kwangu
Amina
Wanaume nao siku hizi, waangalia penye mwaga, hata akisema hana, familia yake haiwezi pata shida! Hongera man kwa kuangalia maokoto
Wahaya ndani ya Moshi mmetisha sana
Wachaga atupo ivyo na wasukuma tunge mnunulia aseti ikasaidie adi watoto wao 😢
Wewe ni mzuri sana mpendwa,
Nimekupenda ulivyo na unavyojieleza, naweza kuona unyenyekevu na upendo kwako, sioni dharau wala majivuno..kama niko sawa❤
Ukifika huko ukawaheshimu na kuwapenda wakwe zako..
Na kitu nimependa inaonekana maneno ya watu hayakusumbui❤,
Kazuri kapole unaongea vizuri ❤i
...on the other side it's a good ADVERTISEMENT Strategy ......
**Ndoa Yao Idumu VileVile.... ***
Sio kwa ubaya ila huyu mwaandishi uwa ananishangaza na maswali yake. Most of the time hajajipanga kabisa na pia anakosa kujiamini na kazi yake. Mfano unauliza swali kwamba bwana harusi ndio alishauri muanze na send-off halafu ndio ije harusi au? Tangu lini bwana harusi akausika na send-off?
Ongera kwako unaolewa na miaka 28 uko vizuri utaweza pambana sasa hata kama duniana ni bustani uliyo jaa na mabala.zidi kupambana yanawezekana yote hapa chini ya juwa.mubarikiwe na mufike mbali katika maisha yenu ya ndowa.❤
kwamba 28 ni mdogo au? mbona amecelewa tu kuolewa maana kwa binti aliemaliza chuo kikuu at least 24 au 25 awe tayari ameolewa. Pesa za siku hizi zenyewe za majini
hovyo, kwenda huko@@julianapeason6254
Alietoa mungu apazidishe alipotoa ❤
haya sasa wazee wa kupangia watu matumizi yao ya fedha kwenye comment
tupo hapa pesa za siku hizi ni wewe mwenyewe ujitoe ufaham, hashtuki mtu hapa
Demu mpambanaji!!! Congrats Alice ❤❤
Kumbe mhaya( na uongo) upo kidogo, tunapenda sifa sie viumbe🎉
😂😂
😂😂😂
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣😂😂😂😂😂
@saraphillipo 9082hahahahahaha umenichekesha sana😂😂😂😂
Hilo komwe tu ndo limeonekana jamani mtu una wivu hadi unasahau uumbaji Wa Munguu Dada uko juu sana
Wana helaaa Duh...
You poor people outside there your million bucks is our Lord and Saviour Jesus .
Glory be to God Almighty
yaah, they are poor than ever
Congratulations Alice
Muje na kwangu wapenzi...❤
You’re lucky girl
She is humble...hadi raha
Kikubwa usisahau kuwasaidia wahitaji, hii ni sadaka inayonena.
Mzur mashallah
Amerukiya hlo neno kuwa eti mtu alikomenti kuwa unakomwe hata hujaulizwa nawona hiyo komente ilikukera😂😂😂😂😂😂😂
MWANDISHI FROM MY HOME CITY UNANIANGUSHAAA SANA
Dada upo vizuri na big up kwa familia yako, wamekufurahia vilivyo! Mungu aibariki ndoa yenu🎉
Tuseme ukweli wahaya n watu maridadi mno bg up...
Hakuna chochote sifa za kijinga tuu
Ata mimi nikipata mwanamke ana baba Anavibunda flesh natulia kama maji ya mtungi
Nikimuona mtu anakomwe kama Mimi Huwa nafarijika sana
😂😂kua serious bana
Haha na tunapendezaga jamani
😄😄😄😄😄
Kwamba komwe ugonjwa au
Wenye makomwe yetu
Naombeni hata 3m basi wandugu
Fanya kazi izitafute utazipata. Vya bure havidumu
@@barrynzeyimana6270😂😂
Honger dada bahat
Kwa sura na komwe hiyo sendoff milion 300 ni matumizi mabaya ya hela af unakuta hawakupewa nyumba wala gari
Ni sawa,pesa ni za kwenu, lakini Mungu hapendi hii ni kufuru, uharibifu wa mali,tena Muombeni sana Mungu awape neema muweze kumjua Mungu, lakini mlivyofanya ni hatari,,ingawa ni pesa zenu,ila ni bora hiyo pesa mngetoa sadaka hata kwa wahitaji,kuna watu hawana mitaji,kuna watu ni yatima,kuna watu ni wajane, kweli!! Mnakula m300 kula bata!!?? Dah Mungu awafungulie,, lakini kuweni watu wa kusaidia wenye uhitaji kuliko starehe
hahaha haunazo ndiyo maana
@@trophywilson7211 ni sawa sina, pesa bila hekima ya Mungu ni ubatili
tafuta hela
Watu hatuna hata hela ya sukari, then baba anafanya sherehe ya kumkufuru mungu, hizo pesa mngewapa wahitaji hasa kipindi hiki Cha kwaresma. Wahaya mna sifa but sifa na utukufu ni kwa mungu baba
hela ya bundle kanunue sukari@@charlottempangala3881
Sema sina tusiseme hatuna!!mil 300send off tu
Afu anaenda kuishi miezi 6 anarudishwa
🎉
Lugha gapi mbona unanichaganya,
Nimelipenda bure Alice unamajivuno.❤❤❤
Hongera Sana unaonekana mstaarabu
Jidanganye ananata balaa ukifka dukan kwao anakuangalia kama hakuon
Tena ana majibu ya nyodo huyu, anakuangalia km hakuoni, wafanyakazi wake Sasa anavyoongea nao, Duh!
Halafu ana komwe😊😊
Hiyo pesa mngeipeleka kanisan mnge barikiwa
Acha wivu tafuta pesa
kanisani nako tunapeleka lakin hata ukipata shida.kanisa halikusaidii chochote so furahi ukiweza
Kanisani ukafaidishe wachungaji au?
Kanisani baba mcungaji afaidi
ukipeleka wewe inatosha
Send off million 300 . Duka analouza may be million 80.😢
Hapo ndo tunapofeli.
is ok
Jamani sio kweli hata kidogo angekua kwenye one of matajiri bongo tunaowajua
Siyo kweli kitu gani?
hee Mdogo wangu Alitumia Milion 60 Na Wala Mshahara hata milion 5 haifiki Marafiki tu walichanga,Unashangaa kitu gani ndugu??
wewe kama nani?
Weeee watu wengine wanahela na hawajisemi wala kujioneshi
Nitakutolea icho komo inakukera sana mtani afu upunguze uongo kidogo 😂
Gara B walimsahau
Wadada wenye komwe mna kiti chenuu kwa sir God.
Ila asee wahaya wanasifa sana.
Damn let's find money ❤
Osy Grand hoyeeeeeeee
That absurd nearly 105,000 UK pound for send off alone?😅😂😂
is ok
Inaonekana hawez kujielezea kiswahili ila ingekua kingereza angetiririka mana ad anasema baba alikua muhaya alaf tena ni muhaya
Kwa haya lazima wajidai haswaa
Atakuwa hayupo hai
❤❤❤❤❤❤
Huwezi ukawa kwenye kamati halafu hujui gharama ya bajeti.msomi wa bongo eti hela nyingi sana. Ujinga ni kuwa mjinga kwenye mambo ambayo unayajua sifaaaa
Hahahahaha
We ni mpuuzi na Mpumbavu
Kaolewe na wewe tuone
Midomo tu kama kuma la ng'ombe
Tobaaa
Acha wivu na roho mbaya wewe kideri cha kuku, na ni ngumu kufanikiwa kwa kuchukia vya wenzako wewe garagosi 🤔🤔
unaweza maana alihudhuria Mwanzo na mwisho
Mbona ni gharama ya kawaida sana uku moshi yan amna mshtukoo wwte
😂😂watu wenye maish magum achen wivu ndio maan amfanikwiiiiiiiii
kwa kweli Harusi siku ya kipekee
Ambadilishie na biashara basi hizo pesa!!!???
Aanze hayo maisha kwanza
Mmh
Waah what is send off waah watanzania nao??
Watu wamekula na washasahau kama walihudhuria send of ya million 300 hyo pesa sidhan kama imefikia thaman ya duka lako 😂😂😂
Haijafikia alafu hilo duka lenyewe ni la familia lipo hapo soko la kati
@@AmidaTweve-jf4sx 😂😂😂si bora wangeongeza mtaj
@@user-fi9gm2et5r😅😅 syo kosa lao ni kabila
Nimemaliza kusoma comment nalala mie
Kuna familia zinahela alafu zipo cool
Milioni mia tatu ukumbi mlikodisha sh ngap? Na hayo mapambo ni ya shingap bhana acheni kuongea ujinga
Mmmmmh Hela wanazitoa wp?? Selikali chunguzeni AWA binadam bn
Usichokuwa nacho wewe usidhani na wengine hawana,
😂😂😂
jamani hela zipo njoo ujiunge freemason
Daaah😂😂😂
Ebana Hela yote hio unatupa ndani ya siku mojq
ndiyooo
Milioni mia 300 somchezo
Watu wanakula nchi kiulaini. Kodi tamm
Alice sio Agripina🙄
Ndio na shangaa mimi mwenyewe namfaham kwa jina la agripina😅😅😅
Mwenzangu ndio nashangaa lorraine
Mumemfahamia wapi?
Mtu hajui hata mji anapofanyia biashara anaitwa mji wa Kilimanjaro wa nini bhana
Kwani anafanyia wapi?
Nywele nywele nywele siii wangekupa uanzie kwa kichwa chako wigi lenyewe kuukuuu 😂😂😂
Baba yako alikua muhaya??
Bill Mulokozi mchango wake ulikua m ngapi?
alafu unasikia ndoa imevunjika
Nilikuwa tu uhaya mwingi, wachaga hawapo hivo
UMEISHA .. THEN SHIDA ZIKO PALE PALE 😂😂
Ingependeza zaidi kama nusu ya pesa angempa au amnunulie viwanja au asset yoyote na nusu afanyie hiyo send off...ukute baada ya hii show binti atarudi kuombaomba...😢
Hakuna familia yenye uwezo wa kufanya send-off ya 300 mtoto akarud kuomba
Pia usipende zawad za viwanja ukwen
@@SilaMinanda maisha ni mlima
Kuna kupanda na kushuka ndugu...penye mwanga pana giza pia
@@vincentmushi1247 Mwenzangu na mimi kutoka familia duni ndio una amini juu ya kupanda na kushuka ila wenzio wamezaliwa wamishapanda, so habari za kushuka kina diamond ndio wana weza lijuwa hilo. Maana wametokea from nothing to something.
@@SilaMinanda 😄 🤣 😂 😆 umenifurahisha sana na habari yako...kupanda na kushuka kuna factors nyingi sana dada...kuwa mkweli katika maisha yako ulishawahi kuona au kusikia kuwa fulani alikuwa tajiri na amefilisika...mm nina wajua wengi lkn sitaki nikuchochoshe...hata hao matajiri unao waamini walitoka kwenye umasikini..
Uliza yupo Mr and Mrs Wilfred Tarimo yule ndiye zaidi ya hiyo yako hiyo may be ni robo yake Acha kushoboka.
Ameshoboka na nini Sasa? Mtu jifunze.kuoenda chako.. ya Willy ilikuwa ya gharama but not organised
@@Josephineexsuperulihudhuria?
Hiyo ilikuwaje
Nmecheka kwerikweri
Kweli kweli siyo kweri kweri
@@miltonjohn9779waambie wapuuzi hawa sijui wanatoka pori gani
Nimesoma nimemalza na nauza duka la reja reja daah hii dunia bhana inapoelekea
Hapo sasa
Unalijua?
Sasa ana komwe nacho ni kitu cha ajabu mbona hata mimi nnalo nabembea nalo hata sijui kama lipo
😅
Kesho anaachika bora wangemuekea bank
Chiku harusi kama hiyo pamoja ni ndoa ya kanisani watatengana tu wamechezea bure hela hapo wangekuwa na nyumba 3 za kupangiaha maana ya kulala wanayo
pelekeni roho za kimaskini huko😂😂mfyuuu
et watatengana..nyie ni Mungu😂😂ujuaji mwingi na umaskini juu
Kama ulivyo achika wewe
@@user-lp4vj9xr4j wewe ungejuwa unae ungea nae nani ungefunga domo ,
Kwani uwongo pesa yote hiyo si engemuekea bank atanuwe wigo wake wa kibiashala yeye na kizazi chake cha badee
Mchezo wapesa
Anaitwa Agripina amesoma neema trust
Halafu
Kwao yupo fresh? I mean kibunda kipo?
🤐🥲
Ni kwel hata kunawatu walichangia nanihela nyingi sana wengine walitoa milioni kumi na tano
Tujuze zaidi
Nakafahamu tulikuwa nako Bunazi / kyaka
😂😂😂😂
Tuelezee zaidi,unavyomfahamu. Bunazi ni wapi?
@@cbegram6161 ukiwa unaenda kasambya
Ila baba mdogo alikugonga
no acha wivu
Kwanini mchezee hela kiasi hicho pumbavu kabisa
Kuchezea pesa nikutumia pesa ambayo ni nyng kuliko ulizonazo ss kuna watu wana ma tirion ya hela kutumia izo hela kwao nikama wewe umetumia laki unavyoumia
acha Wivu
@ramadhanishabani807 Watu wana wivu saana
hayo ndio matumizi sahihi ya hela kwenye wenye nazo,tafuta hela
Umesoma chuo ulaya kuja kuwa muuza duka?
Acha madharau, kuuza duka ni fursa katika maisha..
Ulitaka adange au
Halafu hata mji wake haujui anakuita mji wa Kilimanjaro 😊
Acha akili mgando wewe. Ulitaka akafanyeje labda?
@@Mundi-oz7osSio mchaga huyu
Naataachika tu
Mmmmh
acha wivu
@@frankkessy1260 Wala sio wivuu ndoa za gharama izoo ni sifaa Alf ni mbwembwe tu
Mlipendz xan et
Iyo ela mngenda kutoa sadaka kwa watoto yatima au kuxadia wagonjwa
Kwani unajuaje kama hawasaidii , palipo na utajiri kila kitu kinawezekana, hiyo ni yeye kufurahi wakati wake umefika, hayo mengine unajuaje au unamwonyeshaje, Kwani ye hajui hayo
Hiyo hela mngesaidia watt yatima acheni kufuru jamani!!
kumbe niwabukoba ndiooo maana ukaropoka milioni 300 shenz kabisa unatudanganya kiboya ww jua, wakudanganywa niwatoto tu
Kwanza huu ni uongo mana wachaga mnapenda sana sifa
Wee tuna sifa lkn hatujawafikia wahaya duuh🙄🙄🙄🙄
Amesema baba yake ni mhaya hata jina ukoo.la kihaya
una miaka 35 acha uongo
Umejuaje?
Ujinga na upumbavu wa Ngozi nyeusi kama unaweza kumfanyia send off party ya gharama hivyo si bora mngewekeza hizo hela kwake ili zimsaidie mbeleni maishani ?
Unaweza kuta kwako nyingi ila kwa mwingine ni hela ya mboga, cha msingi mpige kazi
@@cbegram6161 million 300 sio hela ya mboga hata kwa wenye hela
😂😂SEMA WAHAYA
Bora hizo pesa angekuwekea bank , mengne n masifaa tuuh
wewe Miladi unatafuta tu viewers
Nenda zako na komwe rako 300 mchezo
Hiyo hela wangejenga kanisa wapate baraka Magu alikuwa hapendi nmajisifu ya hela namna hiyo
@@user-hj8sc7jv5m wapuuzi hawa wahaya ndio zao masifa ya kijinga
Jaman Kuna watu wanaumwa huko hawana hata pesa ya matibabu wanahitaji msaada.hebu hyo kamati ya maandaliz ikawasaidie na wale wagonjwa wenye uhitaji.km yule mama aliyepasukiwa na kondo la uzaz anahitaji msada jaman.
Huyo baba yake mdogo ni zuzu tu hizo hela angepereka kwa yatima na wagonjwa hospital.
hee Yani yatima ndo zaidi ya mtu aliyeishi naye miaka yake yote??Kafanya Kwa upendo
keshapeleka nyingi tu zaidi ya hizo
We unajuaje kama hatoi? Tuache chuki jamani na sie tutoe kwa hao yatima na wagonjwa hizo buku tunazookoteza sio lazima tajiri ndio atoe
@@trophywilson7211ajabu sana jinsi tunavyofikiri....watu wanasahau wa nyumbani kwanza
@@MyMercy84fact