Watching from Nairobi kenya ....wanangu Mimi nawakubali sana kazi zenyu kwa kweli ni nzuri sana ....ila ndaro kamshauru mwenzio kaoe......😂😂😂 anyways sio neno.
MMH? JAMANI AMA KWELI UYO NDARO NA STEVE MWEUSI. INABIDI KWANZA WAPELEKWE HOSPITAL 🏥 WAKAPIMWE AKILI. 😅😅😅😅. BECAUSE AWAJAMAH WAKO KAMA WEUUUH? IVI “””LAKINI CONGRATULATIONS ON NDARO MJESHI KIKOFIA AND STEVE MWEUSI”””. Team NDARO AND STEVEN MWEUSI. please leo nipeni hata LIKE MBILI TU? Zina Tosha Jamani 😅😅😅😅
Umesahau kuwaauliza kwamba wanajishughulisha na Mambo ya kuoga 😂😂😂
😢😢😢😢.. Cjapata ujasiri huo
Comedy Kali sana keep it up ndaro na steve
😆😆😆good job kabisa
nawakubali sana WANANGU xo natamani tufanyaje hata tangazo🥰🥰💪🔥💯👍🙏🙏🙏
Uyoo wa pili angekimbia ndio ingenogaa😂😂😂
Ety afanye vyote lkn dera la kiindy asilivue Steve ww atar😂😂😂😂😂
😂😂😂 mnawauza wake wenu😂😂😂
❤❤❤😂😂😂 ila NDARO na STEVE mh mnajuwa mpaka mna kera
Sandra fanya vyovyote vile ilo dela la kihindi usilivuwe😂😂😂
😅😅😅
Watching from Nairobi kenya ....wanangu Mimi nawakubali sana kazi zenyu kwa kweli ni nzuri sana ....ila ndaro kamshauru mwenzio kaoe......😂😂😂 anyways sio neno.
Miguo ya kihindi tu kuoga aaahhh😂😂
Leo sija chelewa kabisa kwaiyo nyinyi wote pitiyeni hapa kwangu 😂😂😂. Leo mimi ndo wa kwanza kbs ❤❤❤
Miguo ya kihindi kuoga aaaah 😂😂
Nani kaongea upuuzi, unaongea upuuzi mbele yangu😂😂😂, ila Steve😂😂
Steve katuletea mgen yaan ka Hajra 👍👍👍
Ndaro n'a Steven napenda mukiwa pamoja😂😂😂😂
Mamb
😅😅😅nko zangu Kenya nkiwatazama mazeh. Nkupeda san Steve na kundi lako❤❤❤❤
Uwo msemo Stave unanichekesha 😂😂😂 et Kuoga aaaaah!!!
Mwajua mpka bac jmn Steve na ndaro😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂ila ndaro 🙌
Nyie wasenge mnajua kinoma😅😅😅
Ni mwaka huu wa 2024 tunaongea kuhusu kipato kazi nzuri aise kenyan 🤍😂😂
Ilo Dera la kihindi usilivue😅😅😅😅
Kipindi Cha njoto unafungia watu ndani😂😂😂
😂😂😂 ni shee analia
From Nairobi Kenya locked
Ila Stever😂😂😂😂🙌 YOUR TALENTED BRO😄
Elfu moja hailipi maboya kweli,kweli.😅😅😅
I like Ndaro with Steve Mweusi acting comedy together. hawa wasee huwa wani ni bamba sana.. big up ma bros
Wake wenu kaliwa kisa tamaa ya hela😂😂😂
Mh jeshi ki KOFIA & STEVE mme ya kanyaga kweli 😢😅😅😅🤦🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾🏃🏾👈🏾
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mchunge msipigwe
Dera la kihindi asililivue😂😂😂😂😂😂
Nguo ya kihind kuoga aaah 😂 I love stev🙌
Noma sana😂😂😂❤❤❤
Kaz mzur ❤❤
nawakubal sana Steve na ndalo😂😂😂😂😂😂
Nakubali sana hii combination
Wanaume wa ovyo hawa😂😂😂😂😂wanauza wake zao kwa mababu😅😅😅😅yaaan hpo hamna waume kabsaa
Ambieni loveless nampenda
😂😂😂😂 stev na ndalo wana nini aswa awafahamu wanayo yafanya
😂😂😂😂 Akili ni mali kweli 😂😂😂😂
Ndaro na stev mnafanya nacheka pekee yngu😂😂😂
Ila Hawa Jama Wanajuw Kwelii🎉🎉🎉
Ndalo nakupenda 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mungu wangu
mnanyanyasia watu rasta😂😂😂😂
❤❤❤your comedies
Steve na ndaro ujue nawafatilia hilla mnachelewa sana kutoa video aky nawapenda mno
😂Hawa watu duhhh aise xio mxhezo haki y’a mungu 😂😂😂😂😂
ndo kitu inayo takiwa mmeuzaa 💥💥
jamani wadogo zangu 😀😀😀
😂😂😂😂😂😂 jamani mbavu zangu mm 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vijana mnatisha endeleeni kutupa raha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅 iyo imeendaaa😅😅😅😅
International hii bna❤
Noma sana😅😅 usipite bila like hapa😊
Zuchu
Ooh mungu wangu nyie wanaumeh😂😂
Hakika kazi nzuri nacheka sana
Wa kwanza from Kenya munipe likes zangu za kutosha 😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉
Steve nakubali right hiyo mabroo
ila ivi vijamaa bhana!!😄😄😄😄😄😄
Kazi nzuri🥰watching from kenya🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂 heeeee noma sana 🤣🤣🤣🤣 mme yatimba sasa
Cheka tu😂😂
ni shehe analia😂😂😂😂😂
Nyie ndaro Steve wapuzi😅😅😅❤❤❤
Much love from me guys like back ❤😂
Ndaro upo vizur kwa kuigiza Big up
Hako kaneno kamewisho stivu ameongea "serekari"😅😅😅😅😅😅😅
Steve na choz anatoa ety kisa kafumania jaman 😅😅😅
Steve serekali 😂😂😂
Seteve nimecheka si mmesema watafute 😂😂😂 usilie seteve nawapenda wote na ndaro
😂😂😂hahahaga dah watu wa taka
Nyie mmekula nini vya laki moja😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 oya mnajua kunifurahisha
😂😂😂yani situvin ubarikiwe na unachekeshasana
Ndaro mimi wa kumi na Mia saba nipe tia neno bas nakufatilia sana
Noma sana 🤣🤣
Steve mchokozi halafu yuwaita serekali😂😂😂
Nimekua wa kwanza kuwafatilia Steve na ndaro naombeni like zangu
Si nipewe huyu loveness haki, mrembo na sauti tamuu ❤
JD
Fd
VB
Bvm
Kalihasi
hi niaje mpenzi
Unazikula izo like au
Vichekesho Kwa Steve na Ndaro....hata hivyo poleni sana Kwa Dr Ali Hassan Mwinyi
Nawapenda jamn mwaaa😊😊😊
Watching from Nairobi City🥰
steve toeni vichekesho haraka mnatoa polepole sana bana
😂😂😂steve na ndaro ni atari 😂😂
nawakubali steve na ndaro ila steve salute kwake
unyama
More love from Kenya
Cheka sasa❤
Ndaro na steve🔥🔥🔥
Kazi zuri jamani nipeni like wangu namm
MMH? JAMANI AMA KWELI UYO NDARO NA STEVE MWEUSI. INABIDI KWANZA WAPELEKWE HOSPITAL 🏥 WAKAPIMWE AKILI. 😅😅😅😅. BECAUSE AWAJAMAH WAKO KAMA WEUUUH? IVI
“””LAKINI CONGRATULATIONS ON NDARO MJESHI KIKOFIA AND STEVE MWEUSI”””.
Team NDARO AND STEVEN MWEUSI. please leo nipeni hata LIKE MBILI TU? Zina Tosha Jamani 😅😅😅😅
Uwiiiiiii ase mmenxhnda akil meeee😊😊😊😊😊
Sem Sandra pin aiseeee
Fanya vyovyote lile denda la kihindi usilivuwe😂😂😂😂😂😂😂 mungu weee😂
😅😅😅😅Hii nae balaa
Nawakubalii😢😢
Fanya ila ilo dera la kihindi usilivue😂😂😂
Eti ngoja nikwambie ukweli😂😂😂
😂😂😂ila Steve chiz kbx
Jaman ila kweli kuna mume akamtuma mkewe kutafuta danga! Steve mkeo umemzoea ghafla hakushtui😂😂😂😂