kaz nzur mjomba ila...elew kuwa kit kinamuda wake....mafanikio unayoyapat Leo fany kama haitotokea tena.....nadhan utafanyia jambo la maana.....napenda kazi yako ...pia napenda ufanikiwe kupitia kaz ako kama wengne walivofanikiwa...
Mr Ben punguza kidogo uko vizur ila kwa kutumia maandiko na kuzungumzia habar za Mungu katika vichekesho nikushauri uache najua unaelewa nini namaanisha mengine sio lazima niandike hapa
Huyu mtoto anautumishi ndani yake,,, mweny macho ya rohoni anaelewa ninachoongea,,,, ipo siku atakuja kuwa mtumishi mkubwa,,, Mungu akutunze BRIAN
Hata mimi nimeona
Anaitwa brian
Watu hucheka sana lakinia mwenzenu hapo kasha hubiria mtu kuhusu habari njema ya Yesu hapo nimtu kujiongeza
Umewaza kama mimi...yan huyu ni mtumishi wa Mungu kabisa
dhuuu!!! ni kweli
@@unknownsshayo1527 kabisaa
Beni uko vizuri sana
Kabsa
Kama unamkubali huyu jamaa anavyo bonga piga like apa
Big up
Nimekupenda unavomtanguliza Mungu kwanza utafika mbali jitaidi
Mimi nimvivu kucoment nimekukubali big up much
kwel
Sana
Nakubal mkali wao
Umehubir mr beneficial kweli Mungu akubariki
Jamaaa unampenda mungu thankyuu so much ndio maana unafanikiwa
malaika wanaazimana external 😂😂😂😂😂....
...nakukubali sana unavyomtanguliza mungu..
....@Free Tunaishi
Ben wewe Nouma sana yani mungu kwanza ubarikiwe sana
aise kaka napenda unavyomtangulizaga mungu jamani ubarikiwe Sana beni
nice
Nakukubal
Mambo vp
@@tuwalasway1117 pambanayaelayote
kwema
These is using comedy to preach word of God, very good
Hongera Sana
Wana mambo ya kiwaki 😂😂😂😂😂😂😂😂kifo cha kokorochi god bless you bro stay here
Uwiiiii saf sana asee niliisubiri sana hii yafunga mwaka mpo vizur broo nakubaliii
Nilikuwa nimelala bila kusali duuh nimeamka kusali 😭
💝💝 nikikupataa milele nitafrahii nmependa instrumental 😍😘
SIMBA V TP
Hallow et wanaazmana extenal
Ufunuo huo hakika blessed umeifanya kazi yako kwa sanaa ujumbe umefikaaa
kaz nzur mjomba ila...elew kuwa kit kinamuda wake....mafanikio unayoyapat Leo fany kama haitotokea tena.....nadhan utafanyia jambo la maana.....napenda kazi yako ...pia napenda ufanikiwe kupitia kaz ako kama wengne walivofanikiwa...
ma like ya malaika wanoazimana external kwa hapa fasi
Eti tunawachosha malaika hahhahaha.... Bryan we kiboko ya Cheka tu😂😂😂
Vp
Haaaahh
Mop
Aiseee wew kaka umetisha mkono wabwana ni mkuu sana aisee umenichekesha ww
halafu huyu mshikaji anafanana gnako.
Sana
Sana
Saana
Nammi nimeuona mkono wa Bwana,,,,,, uko juuuuu xana brooo
Chuga moja kama unamuelewa gonga like
We chuga noma sana
@@elibarickbarnabas955 ni mtu mmoja hivi hatari sana kwenye kazi yake chuga oyyeeeeee
Chuga hatari sanaaaa
God ana fight tutoboe heaven #hahahaaaaaa
Dah sema mmechelewa kuipost
2022 September still his king of stand up comedy....
yaaani narudia kila siku ,,,,Mr Beneficial plz mbavu zangu
Chuga noma sana kama una wakubali kongo like apa
Keep it up Mr beneficial
2022 on February am still interested in this comedy
Duuuh,uko vzr kaka,unshubiri injiri kwa njia tofauti Sanaa,kiukweli nimekuelewa,Mungu akubariki
Wakurya wenzang naomba like hapa
Like ya nini sasa mm sijaelewa
Neema richard Among'ana
Eeeeeeeeeee tupo
Neema richard Hahahahaha
Baby hadi hukuuuuuuu
Wenye dhambi ndogo ndogo watakua wakiota Moto😂😂👊👊🇰🇪
Good job cheka tu.
You are the Churchill of Tz.
Your shows are 🔥🔥🔥.
Pia it's very good mmefanyia kazi video colour!!!👏👏👏
Keep going!!!
Mungu akubaliki
Gabu gabu ganu jamani uwiiii
wale tutakaosema turudishie apoo nyumaaa tupooo umuuu 😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaaa
Vp
@@dakwajuuonline8200 safi
Mavazi yake yameninasa sana bro wewe chizi wakueneya kama mkali amunautofauti wowote kwau chizi
May God Bless You Brother
Jamani huyu jamaa alipotelea wapi? Naangalia Leo tarehe 18/06/2024
Mbeba camera lazima ujue kuchezesha camera kuchukua audience na mshereheshaji sasa nusu saa unamwangalia tu mtu mmoja
Joel Joel kesoy anazingua huyo camera man
kaabisaa
Umeongea ukwel mkal
Kaifanye wewe hio kazi alafu atajua
Mr Benefial upo vizur komaaaaa kuendelezea kipaji
hahahaha malaika wanaazimana external
Ubarikiwe charrrry kutukumbusha god 😍 bless
Safi Sana head boy wetu duuh nimefurahi themi moja
Nataka kulijua jina la hii nyimbo aloingia nayo TAFADHALI 🤗🤗🤗🤗
Bellamy Gong Unaitwa mkono wa Bwana
MKONO WA BWANA
Johnsia Petro ndio
Mkono wa bwana
Inaitwa Mkono wa bwana zabron singers kahama
uko vizuri brother beneficial
Kama unapakubali matejoo ngonga like
u.s.o United street of ol matejo Bofya Kwa UA-cam channel yangu kuangalia VIDEO yangu mpya wakashina ft Mon genius Chalii ya matejooo Wakashina
Shaida Shivan q
The best guys
Shaida Shivan cc
Shaida Shivan barna
angalia shalo alivyo fanya usiku kuamkia leo
Chali wa R good
Hongera sana mwanangu kipaji ni kwafamilia yenu wote nawaelewaga sana hongera mno
Nice
Haki this man is preaching
Mungu kwanza,, nakubali sana broo
24 .11.2023 bado nakufwatiliaa chaliiii yangu😅😅
Unazid kukua chalii ya r soon unaenda to the world
Mungu akubarik umewakumbusha watu Dunian tunasafr tu
Daaah unatisha sana mkaliwadee🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Mr Ben punguza kidogo uko vizur ila kwa kutumia maandiko na kuzungumzia habar za Mungu katika vichekesho nikushauri uache najua unaelewa nini namaanisha mengine sio lazima niandike hapa
Perfect sana
Jmn jmn waooooooooooh i reaaaal lov your wooooork beneficial
anaeneza neno la bwana kwa njia yake 👏👏👏
Noma sana
Noma sana
Ahahahaha nakukubali sana dingiiiii
Jamaa anajuaa
Mura dhambi ni dhambi mura embu ingia huku😂😂😂😂😂😂
Ni yechu yechu dingiii haikatox💯
Uko poa sana brother bigup
Sisi hao chalii ya chuganian fas ya hapo Kat😂😂😂😁😁😁😂😂Hamna kaz hapo 😁😁😂😂😂😂hutaki au 😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😈😈😈😈😈😈😡😡😡😡😡😡😡😡😡
yechu sana ben umetisha sanaa
Daz Medd Nandy
Migos TV hahaaa
@@afandebrighttz2887aikatox baba
OK
Sanaaaaaaaaaa Nakubal haikatai kabisa
Yechu yechu ni fire
Fire
Ni huyu Mimi sasa. Wahaya wenzangu gonga like twende sawa
U kill it man....yechu yechuuuuu
Mungu akupe longlife
Alikuwa Ana roho mbaya NYOKA, enzi za uhai wake nyuma NYOKA by Chindo Man 😂😂😂😂
Eti walele wenyedhambi ndogondgo watakuwa wanaota moto
Ni noma xana
Nakuelewaga knoumaa anii...pambana ya ela ote...😁😀#chuganian
nmependa ulivyoondoka chali
nakukubali sana Arachuga lini
wale tutakao kuwa tunaota moto tujuane tuyajenge tutaenda na mahindi yet ya kuchoma au tutayakuta mbele hahahaha
Mary Sixmund 🤣🤣
Mary Sixmund hahahahha
hahahahaha
😂😂😂umetisha
Papaa mafido unamtambua lakiniii
Asante tunacheka ili tuongeze siku za kuishi
Wasukuma wenzagu naomba like zenu jamani
Chukua
Michembe ginehe
Umetisha kinoma mzee baba
Nimependaa hy love u
Jaman huyu chunga nakupenda sana. Unajua kunifurahisha
Ur real amazing be blessed
Mamaaa
Nakukubali sana bro nipo uarabuni
He is talent👌
upo vzr mr beneficial
Nakubari sana 100℅
tunaoangalia mwaka 2021 like apa
kila mtu amezaliwa na malaika wake... SI NINAWAULIZA!!! genius hadi leo
Jamani huu wimbo unaitwaje anayeufahamu please
Adam Mbise umeimbwa na Zabron singers unaitwa Mkono wa Bwana
Mkono wa bwana by zabron singers
Asante ndugu
Kutoka mafundisho zaid ya ki MUNGU NA KIMAISHA nicheki Facebook Adam Sadam mbise
Adam Mbise ni hatar
Daaaaaa....nakukubar xan mr
Huhuhuuu jamn nimechekaaa Kwa sauti
Mungu ambaliki beneficial
Hahaha kali sana mwana
noma sana Dingii Top top juu
Hivi hii cheka tu uko wap nihudhurie hata siku moja jaman..
Waooooooo mungu akubrk
Chali R respect sana
Ujuu jamaa noma sana.....