UTACHEKA: Kama uko hivi mwaka huu 2020 usiende kwa CHALII YA R

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • Muendelezo wa video kali za kuchekesha kutoka kwa wachekeshaji waliosajiliwa na kampuni ya Timamu TV, Kupitia channel hii utapata video pekee za comedy!
    Follow us on social media:
    Timamu Comedy - / timamucomedy
    Timamu Movies - / timamumovies
    Director: Timoth Conrad
    Instagram: / timothconrad
    Facebook: / officialtimothconrad
    Twitter: / timothconrad
    Actor: Hassan Daffur 'Bwana Mjeshi'
    Instagram: / hassandaffur
    Facebook: / bwanamjeshi-1925841417...
    Twitter: / bwanamjeshi
    Actor: Brian Mrikaria 'Mr beneficial'
    Instagram: / mr_beneficial
    Facebook: / mr-beneficial-30764660...
    Twitter: / beneficialtz

КОМЕНТАРІ • 273

  • @abdulazizkhamisabdallah
    @abdulazizkhamisabdallah 5 років тому +18

    Guys hata mm nataka kuanzisha platform ya pranks video hapa Tanzania plzzz naomba support yako kwakuweza kusubscribe hapa👉ua-cam.com/channels/fqOIzgLcMq0A5DJdCCR72g.html 🙏🙏

  • @iamisone
    @iamisone 5 років тому +1

    Njoo ujifunze jinsi ya kuhack (kusoma) messages za mpenzi wako kwenye whatsapp bila kushika simu yake!
    Gusa link hapo chini kutazama full video👇🏾👇🏾👇🏾
    ua-cam.com/video/rwj7w4k4DMA/v-deo.html

  • @abdulsanga57
    @abdulsanga57 5 років тому +33

    Hahhahhaha kama bdo unacheki 2020 gonga like tuwe pamoja

  • @redjangleofficial7144
    @redjangleofficial7144 5 років тому +23

    You guys are the best men😂😂😂😂😂

  • @johnmerere1608
    @johnmerere1608 4 роки тому +4

    aisee hii noma aisee gonga like apa jombi

  • @pendondossy2158
    @pendondossy2158 5 років тому +10

    Sitaki utani na kima 😹😹😹😹😹😹😹😻😻😻😻😻😻

  • @khatibbakariofficiallvideo9207
    @khatibbakariofficiallvideo9207 2 роки тому +2

    Makin Sana chaliii

  • @richardtv8339
    @richardtv8339 5 років тому +19

    Hamna kitonga ni mlii... mlima wa moto🔥😂😂😂

  • @jescaevarister1064
    @jescaevarister1064 5 років тому +9

    Hiyo ndio arusha one. Timamu TV mko goodyyy. Like ones

  • @harunathomas516
    @harunathomas516 2 роки тому

    ❤️🥂♥️🥳❤️🥂😍nawapenda sana

  • @jabalitz4424
    @jabalitz4424 5 років тому +119

    Gonga like kama unawakubari hawa t comedy

    • @NinjaboytzDJ
      @NinjaboytzDJ 5 років тому +2

      Tunawakubali

    • @richardcharles5224
      @richardcharles5224 5 років тому +1

      Jabali Tz Hahahaha

    • @BossMistari
      @BossMistari 5 років тому

      Jabali Tz Enjoy Your Favourite Official New Video Song... ua-cam.com/video/1N_f8LpIJTc/v-deo.html

    • @tjtv9180
      @tjtv9180 5 років тому

      Jabali Tz mnatisha

  • @reginahevarest8003
    @reginahevarest8003 5 років тому +12

    Nyokoooooo weee had mlima wa Moto unaujuwa kafue 😂😂 unapenda vya mteremko

  • @barakannko8682
    @barakannko8682 5 років тому +9

    Kiukweli hawa wajamaa wanatisha kama unawakubali Pita na like

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 5 років тому +21

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 😂😂😂😂😂😂😂 Na yy mwenyew anajua kabisa eti nisamehe tuu ohooo eti naomba sabuni yani hamjawahi kinichosha na mimi sijawahi kuwa hoka wallah

  • @marykimaro6184
    @marykimaro6184 5 років тому +8

    Chalii nakubali aseee Mwaka Umeanza vizur..... Nakubal asilimia zote vijana Achen kujilegeza fanyen kaz 🚶

  • @Queenester1984
    @Queenester1984 5 років тому +4

    😂😂😂😂
    Chali ya R nishida
    Dhuuhh
    Aki ya Mungu niatari

  • @nehemiahbalinga4786
    @nehemiahbalinga4786 5 років тому +4

    😂 😂 😂 Chalii umetishaaaa

  • @mathiasmartin7715
    @mathiasmartin7715 5 років тому +2

    Wako vizuri jamaa nawakubali sana hongera kwao B blees

  • @nadhifajuma6485
    @nadhifajuma6485 5 років тому +2

    jamaa ana write tuy 🤣🤣🤣🤣🤣af
    Chalii hajagundua

  • @danieldaudy888
    @danieldaudy888 5 років тому +88

    gonga like...kwa chaliiii ya R

  • @abelmusyani4583
    @abelmusyani4583 5 років тому +6

    Nawakubali

  • @olakidero5503
    @olakidero5503 5 років тому +2

    Moto San👍👍

  • @angeloem83
    @angeloem83 5 років тому +4

    Daah, we chalii anakupa vitu unakubali tu😂😂

  • @emmaculatemalii1513
    @emmaculatemalii1513 3 роки тому

    Nitogeshe hela yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rahmakhassani4148
    @rahmakhassani4148 5 років тому +2

    😌😌😌chalii nlijua leo kashukiwa na malaika wa ukarimu kumbe doooh 😂😂😂😂

    • @afelistmichael4371
      @afelistmichael4371 5 років тому +1

      Rahma Khassani 😂😂😂.mm mwenyewe nilikuwa najiuliza ukarimu wote huu wa chalii kuna shida itakuja mbeleni 😁😁😁😂

    • @rahmakhassani4148
      @rahmakhassani4148 5 років тому

      Afelist Michael 😂😂😂😂😂😂

    • @afelistmichael4371
      @afelistmichael4371 5 років тому

      Rahma Khassani 😅😅😅😂😂

    • @afelistmichael4371
      @afelistmichael4371 5 років тому

      Rahma Khassani unalipia hadi kuangalia tv wakat ww ni mgeni 😲😲

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 5 років тому +5

    Ila mzee baba umefukia hatar 😁😁🤣🤣

  • @ElisioVicenteMadimba
    @ElisioVicenteMadimba Рік тому

    Bwana mjeshe maongezi yako yananinogea sana.

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy846 5 років тому +7

    Hahaha -- sema ukweli nijue vizuri

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 5 років тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka jamn hadi machozi kafuwe ukimaliza kuosha vyombo majeshi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @neemaoigen3594
    @neemaoigen3594 5 років тому +13

    Nilitaka nishangae huu ukarimu wa chalii vip?😂😂😂

  • @hamispeter9043
    @hamispeter9043 5 років тому +2

    hii nouma sana....hakuna kitonga ni mlima wa mto 😂😂😂

  • @jessicalaizery6839
    @jessicalaizery6839 3 роки тому

    😂😂😂😂☝️sawa bhna

  • @abelmusyani4583
    @abelmusyani4583 5 років тому +14

    Hivi vichwa😂😂😂😂

  • @michaelmahuma6626
    @michaelmahuma6626 3 роки тому

    Umetisha chuga hakuna vya bule

  • @vincentwilliam3602
    @vincentwilliam3602 5 років тому +6

    Mlimaaa wa motoo...atoeee io kimango..........mpe soap

  • @kenedymalale645
    @kenedymalale645 5 років тому +3

    😄😄 ngoja nkuwashiie jombii

  • @eliasulley177
    @eliasulley177 5 років тому +2

    Atar faya from manyara 😁😁😁😁😁

  • @kevinkevoo3154
    @kevinkevoo3154 3 роки тому

    Huhuh akiamungu uyu afai

  • @mengielia7403
    @mengielia7403 5 років тому +1

    Nimependa sana kinyimb hicho msan gan huyo

  • @yassiniabbassi6674
    @yassiniabbassi6674 5 років тому +2

    Hahaha hii ya motooo

  • @rajyuzoo7895
    @rajyuzoo7895 5 років тому +2

    Falcon Stratergy ni moja ya stratergy ambayo imesaidia watu wengi sana ikiwemo sisi wenyewe katika kujifunza biashara ya FOREX kutokana na unique approach yake katika Technical Analysis ya FOREX MARKET. Strategy hii imeandaliwa na founder wa FALCON TRADING COMMUNITY ambaye ni raia wa uingereza MARK HUTCHINSON ambaye ametrade FOREX kwa miaka 10😇 ....... Ili kuipata strategy hii lazima uwe member wa FALCON COMMUNITY ,na ada ya kujiunga ili uwe member ni Pounds 97 {300,000 tsh} kwa mwezi au pound 247 {750,000 tsh} kwa miezi mitatu😫😢.. Lakini sisi kama vijana tunatambua kuna watu wengi wanatamia kujifunza FOREX na kuweza kuendesha maisha yao kwa uhuru {FINANCIAL FREEDOM} lakini kwa sababu za kiuchumi wameshindwa kujifunza coz siyo kila mtu anaweza lipia FOREX COURSE kwa laki 2 au 3 au zaidi , na wapo baadhi wamepoteza pesa zao kwa matrader wengine ambao wanawafundisha nusu nusu na baadae kuwaacha kwenye mataa..😒. Hivyo basi tumeona tusaidie watu ambao wangependa kujifunza FOREX ila hawana uwezo wa kulipa malaki au mamilioni.. Kwa Tsh 24,000\= tu tutakupatia FULL FALCON FOUNDATION COURSE kuanzia mwanzo kabisa yaani introduction to FOREX mpaka mwisho🤩,ambayo kwa kawaida inapatikana kwa Tsh 300,000 kama ni member wa FALCON COMMUNITY ya bwana MARK🤔. Lakini sisi tutakupatia kwa 24,000Tsh tu,na utakua ume-save Tsh 270,000😊. Lakini pia tutakuadd kwenye group letu la whatsapp ambako utakutana na traders wengine hivyo tutakua tukibadilishana mawazo na kushare analysis zetu pamoja na Weekly webnair ambazo tutakua tukianalyze pair mbali mbali kwa pamoja kila jumapili... Malengo ya kufanya hivi ni kusaidia vijana wengi wapate Financial Freedom na kujipatia kipato cha kuendesha maisha kupitia biashara ya FOREX.. Wasiliana nasi kupitia whatsapp number +255737550632 @BeesFx

  • @samsonmalya2063
    @samsonmalya2063 5 років тому +2

    Nakubali san

  • @nasmahamisi9289
    @nasmahamisi9289 3 роки тому

    Nakukubali sana chsli angu yani nakupa comment yahela yote haikatai haikatoksi

  • @edwinwilbert842
    @edwinwilbert842 3 роки тому

    Nakubali mkubwa

  • @samueljohn0478
    @samueljohn0478 5 років тому +8

    beneficial is a 🐐🔥🔥

  • @MrTabasamu
    @MrTabasamu 5 років тому +12

    Nimeipenda! Kali sana ila pale anaposema "Naona unaandika?" wangesubiri hadi mwisho ili iwe surprise tosha! Sisemi hivi kudhalilisha ila ni kujengana tu roho safi.Tena nime-subscribe.

    • @ramadhanimwijage7677
      @ramadhanimwijage7677 5 років тому +1

      Ilikuwa Powa zaid alijua labda jamaa anajikumbusha alijebra!

  • @jbseven_94
    @jbseven_94 5 років тому +2

    Kizazi sana hii

  • @nehemiahbalinga4786
    @nehemiahbalinga4786 5 років тому +8

    Gonga like kama unawakubali awaa jamaaaaa

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 5 років тому +4

    😂😂😂😂😂😂😂 Yani nyieeeeee

  • @annamungure5284
    @annamungure5284 5 років тому +2

    Yaaan mm mtuh km huyoo cjuiii namtimua km mbwaaaaa yaaaan

  • @brightsandi821
    @brightsandi821 5 років тому +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nawakubali kinyamaa 👆💪

  • @lucasjanga4413
    @lucasjanga4413 4 роки тому

    Atar sana ful misifa

  • @fizkid_tz4900
    @fizkid_tz4900 5 років тому +1

    Ahhh hatar Sana wazee

  • @hermanseme4403
    @hermanseme4403 4 роки тому +2

    Ndo huyoooo yeye chaliii

  • @urassahonest
    @urassahonest 5 років тому +8

    You guys are creative ❤

  • @forreal1338
    @forreal1338 5 років тому +4

    Ah kmk simtembelei rafiki yeyote mwaka huu who is with me put a like

  • @tzboyclassic9596
    @tzboyclassic9596 5 років тому +13

    Yechu yechu dingiii😂😂☑️

  • @gospelthusiast
    @gospelthusiast 5 років тому +4

    mlima wa moto!!! hahahahaha!!!!! mjeda ee umeniuwa mbavu

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 років тому +43

    Siku yoyote Beneficial akiwa mkarimu kwako lazima uvute aerial, uwe makini maana lipo linakuja. Hapo anaandika andika...duh! Kula vyote kisha agiza juisi ya mwisho, akiondoka kwenda kuandaa, sepa jombi sepa, toka nduki.

    • @fatmafetty4117
      @fatmafetty4117 5 років тому +1

      😂😂😂😂 Ana andika kumbe Ana maana yake duh

    • @petrosully828
      @petrosully828 5 років тому +1

      bab imeish hy mwak 2019

    • @petrosully828
      @petrosully828 5 років тому +1

      anapg mahesb bb ucion anaandk

    • @BossMistari
      @BossMistari 5 років тому

      mla chake Enjoy My New Official Video Song... ua-cam.com/video/1N_f8LpIJTc/v-deo.html
      From Chugastan.

    • @aboubakarmgongo5730
      @aboubakarmgongo5730 5 років тому +1

      @@BossMistari Imeisha iyo!

  • @pharm.kayombo
    @pharm.kayombo 4 роки тому

    Mjeshi nàkukubàli sana

  • @ShafiiAli-um7so
    @ShafiiAli-um7so Рік тому

    Dah hamna baya

  • @petermaina7111
    @petermaina7111 4 роки тому

    Wah Chali wa R 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya4060 5 років тому +1

    Hahahaha...Noma sana

  • @goodluckmodo4718
    @goodluckmodo4718 5 років тому +1

    og sanaa

  • @mikeshirima1332
    @mikeshirima1332 3 роки тому

    Nomaa🤣🤣🤣🤣

  • @merciespoire1183
    @merciespoire1183 5 років тому

    Kali sana

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 5 років тому +2

    Hahahah!! Hayo mamisosi kwl mtu hatayalipia

  • @talaswamollel9206
    @talaswamollel9206 4 роки тому

    Nomaaaasss

  • @festovenas502
    @festovenas502 5 років тому +1

    Hahahaha nahisi analipa

  • @youngdeclassic4899
    @youngdeclassic4899 4 роки тому

    Hahaha aina kabaya

  • @martinajohn1662
    @martinajohn1662 5 років тому +3

    Iv nlinawaeeee😁😁😁😁

  • @danieltunga7025
    @danieltunga7025 5 років тому +1

    🤣🤣🤣🤣pilau mwenzake ndizi🤣🤣🤣🤣

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 5 років тому +6

    Jiandae kulipa siunaona Chali Anaandika Siyo bre

  • @vincentmtinangi334
    @vincentmtinangi334 5 років тому +2

    Good comedy 2020 I loked it

  • @georgenoel8099
    @georgenoel8099 5 років тому

    Sawa mzee bb

  • @beblessedwithgospellyrics1
    @beblessedwithgospellyrics1 5 років тому +1

    Yan bwana mjesh bogaz kwel.. 😂😂

  • @abelmusyani4583
    @abelmusyani4583 5 років тому +4

    Wakwanza Ku view

  • @jofreyntangu2644
    @jofreyntangu2644 5 років тому +2

    Nimecheka sana

  • @mohamedidd3161
    @mohamedidd3161 5 років тому +2

    Hivi nilinawa eee duuuuu

  • @selinamkapa5884
    @selinamkapa5884 5 років тому +1

    😂😂😂😂dah

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 3 роки тому +1

    Hahahahahaha dahh

  • @godfreymahavile4688
    @godfreymahavile4688 5 років тому +2

    pole jombi😂😂😂😂

  • @mukhtallymandwanga4872
    @mukhtallymandwanga4872 5 років тому +2

    Nawaelew san wazee

  • @stanleyminja3393
    @stanleyminja3393 5 років тому +1

    Mjeshi ukimaliza utajuta kwenye kulipa

  • @tolumnyama3935
    @tolumnyama3935 5 років тому +1

    Ni mlima wa moto.

  • @nuratsalehe1976
    @nuratsalehe1976 4 роки тому +1

    Nice

  • @ericclassic3117
    @ericclassic3117 5 років тому +1

    Hawanaga kazi mbovu

  • @richardtv8339
    @richardtv8339 5 років тому +38

    Nan kagundua beneficial alikua amesahau kuandka ndzi🍌🍌2 mjeshi akamkumbusha😂😂😂😂

  • @vincentgeorge178
    @vincentgeorge178 5 років тому +3

    😂😂😂😂😂😂kula kwa bills machali ya R

  • @ramadhanboi6485
    @ramadhanboi6485 5 років тому +1

    haha tunacheka ki 2020 sema kdg mbadilishe cku moja moja tumechoka kila siku mjeshi ndo anaonewaga yeye

  • @venturetztz3817
    @venturetztz3817 5 років тому +1

    Yeaaa

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 5 років тому +1

    Naomba sabuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hussenrichard2506
    @hussenrichard2506 3 роки тому

    Big up

  • @barakalayzer6846
    @barakalayzer6846 5 років тому +2

    Kweli mwaka umeanza vizuri

  • @hamispeter9043
    @hamispeter9043 5 років тому +1

    Tamu eeenheeee 😂😂😂

  • @eliaikamollel6992
    @eliaikamollel6992 5 років тому +1

    Mlima wa moto

  • @mariecharz6574
    @mariecharz6574 5 років тому +1

    Iyo list iyo....utakoma bro ..wait & seee

  • @ruralhunter255
    @ruralhunter255 5 років тому +1

    Jombiii ni kisanga

  • @sekavumotvseka7338
    @sekavumotvseka7338 5 років тому +4

    Charii mbona wamkazia jamaa yeye tumemis kisambaachake bwana

  • @christopherlusendeka5557
    @christopherlusendeka5557 5 років тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiihahahhahah