MUME WA DIVA AJIBU TETESI ZA MKE WAKE KUTEMBEA NA OSCAR OSCAR / TULIGOMBANA SANA / TULIACHANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 лип 2024
  • KWA HUZUNI SIKIA MWANZO MWISHO MUME WA DIVA ALIVYOELEZEA KUHUSU TETESI ZA MKE WAKE DIVA KUTOKA KIMAPENZI NA OSCAR OSCAR / TULIGOMBANA SANA / TULIACHANA
    #diva #mumewadiva #hajimanara #diamondplatnumz #dottomagari
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 77

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 5 місяців тому +19

    Huyu mganga ajawahi kuwa mzima ni kichaa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 5 місяців тому +10

    Duh yaan Diva maskn alikosea sn kuolewa na huyu mganga tapeli😢😢

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 5 місяців тому +5

    Sio ugonjwa wa mouo hiyo ni stress,hiyo ni palpitation punguza stress na angalia damu yako inaweza kuwa nzito

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 5 місяців тому +1

    Mhm hapa kazi ipoooooo
    Shemeji tunae😂😂😂😂😂
    Asante divaaaa
    Kufyonza nanasi, kugonga nyundo, kupanua miguu😮😂😂

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 5 місяців тому +9

    Divaaa anamoyoo wahurumaaa sanaaa

  • @user-ct3kz3rq1q
    @user-ct3kz3rq1q 5 місяців тому +5

    ABDOULL MTOTO WA MJINI SANA
    DIVA UME PATA MUME MZIMA SANA USIMUACHE HUYO ANA KULIWAZA

  • @Naju645
    @Naju645 5 місяців тому +5

    Diva kichaa kumbe nabwana nae wamekutana kopo namfuniko

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 5 місяців тому +8

    Diva ulikosea kuchagua

  • @aminajuma1156
    @aminajuma1156 5 місяців тому +1

    Nawapenda sana jamani ❤

  • @amazitv2899
    @amazitv2899 5 місяців тому +1

    Abduri huwezi mtunza Diva maana ana penda pesa kuliko wewe na wewe anasema ni yeye ana payed kila kitu inaonekana wewe mume bwege huna pesa acha akuchiti maana huna pesa tafuta wale masikini wenzako hutoweza kumkidi Diva maana maisha yake huto yaweza lazima awe na wenye pesa 😂😂😂😂😂😂

  • @bosschick2417
    @bosschick2417 5 місяців тому +4

    Mbona kama mtangazaji anaskia arufu ya mdomo wa guest wake?😂😂 lol

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 5 місяців тому +2

    😂😂😂Nacheka huku sijui nacheka nn😂😂😂

  • @user-cc5xq5qq6k
    @user-cc5xq5qq6k 5 місяців тому

    😊

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 5 місяців тому

    Duuh pole sna

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 місяців тому +6

    Dawa za abdul zimeisha nguvun sbb yy ni mdangaji ndio maana anasikia wivu amesahau yakwake toa upwiru mwaya

  • @sherryx.7897
    @sherryx.7897 5 місяців тому +1

    Abdull ana ANXIETY..KWASABABU YA STRESS..NDIO MAANA ANAONA MOYO UNAPIGA..

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂abduly nomaaa kujisifia😅

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 5 місяців тому

    Iyo ya nyundo mwenzangu qweli usigonge nyundo yani juu juu tu 😂😂qm hutaqi vile maamaaa mwanamqe mwenyewe anaisogelea😂😂😂

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq 5 місяців тому +1

    Sheikh unakubari kuhojiwa huku wito wa Azana unaita....Nenda kafanye ibada uje uendelee na mahojiano

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 5 місяців тому

    Hapo sanatembeana wenyewe siungo wanatembea

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 5 місяців тому +2

    Wamekutana pipa na mfuniko. Wote matapeli watupu

  • @asiaswedi8945
    @asiaswedi8945 5 місяців тому +9

    Eti anajiona handsome mwenyewe, mbona sio kiviile. Kawaida sana tu. Kwanza ajue tu wanawake wengi hawapendi wanaume weupe. Mwanaume wa kujisifia eti yeye ni mzuri sio kabisa . Kwanza hata haipendezi kwa mwanaume kujisifia.

    • @giztony2009
      @giztony2009 5 місяців тому +3

      Wakawaida sana

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 5 місяців тому

      😂😂😂

    • @user-zz3ul8ns6d
      @user-zz3ul8ns6d 5 місяців тому +1

      We mzuri bwana

    • @gracekiondo2541
      @gracekiondo2541 5 місяців тому

      Hata sijaona huo u handsome wake!. na wanawake hatupendi wanaume weupe kabisa

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 5 місяців тому

      Kabila na kabila weeee kabila lang na wananume au mwanamke mweupe ni dam dam,,,mi mwenyew mwanamme mweusi apana kabisa😅

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 5 місяців тому +1

    Hamna mtangazaji hapa

  • @vumiliakilosa4548
    @vumiliakilosa4548 5 місяців тому +1

    Acheni kuingilia ndoa za watu

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 5 місяців тому +1

    Hyu nae mume wa mtu😂😂😂😂😂

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 5 місяців тому +6

    Eti moyo unafanyaje😂😂😅

  • @ZubedaHussein-it7nf
    @ZubedaHussein-it7nf 5 місяців тому

    Mtangazaji yuko hoi n mume waladiva dangote😅😂😂😂😂

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 5 місяців тому +1

    Interviewer anahitaji zaidi training, amekaa ki ujiweni zaidi 🥱

  • @tumarey3894
    @tumarey3894 5 місяців тому

    Mh abdul mbn unaongop miaka mi3 tang uoane na diva mbn unao gopa😂

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 5 місяців тому

    Panua tena miguu umrudishe Diva,😂😂

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 5 місяців тому +1

    Mange alikuonea huruma tu😊

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 5 місяців тому

    Dida ulimupata wapi uyu 10 old boy ?

  • @neemamsongo2006
    @neemamsongo2006 5 місяців тому +2

    Hiyo ya kawaida sana watu wanatembea na presha 200.nini 180.

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 5 місяців тому +1

    Kweli Oscar anamtomba vipi Oscar mwenyewe kileja

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Місяць тому

      Weeeeeeee😂😂😂😂😂

  • @shanishani6371
    @shanishani6371 5 місяців тому

    Hamna kitu hapo eti mume wa mtu inasikitisha sana

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba373 5 місяців тому

    muongo huyu jmn kaaaaaaaaa eti kaenda south africa

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 5 місяців тому

    Qupanua miguu

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 5 місяців тому

    Shenzi na mambo zako za mate

  • @shijalunemhya6546
    @shijalunemhya6546 4 місяці тому

    Kwanza mgonjwa mgonjwa pole

  • @user-pt2qu2wy1n
    @user-pt2qu2wy1n 5 місяців тому +3

    Kuna dawa ya moyo ya miti shamba imeniponya mimi ijaribu

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly 5 місяців тому

    Mange anasema ukweli usitudanganye

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 5 місяців тому

    Hta utuaminishe vep tupo na mange mbk ufe😂😂😂😂😂tunamwamin mange

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 5 місяців тому +1

    Mtihani mtupu kwani ilukisema huna utakufa?

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 3 місяці тому

    Kwani hamuoni huyu ni laghai

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 5 місяців тому

    Mme muongo huyo mtu mpk mmke anakusimanga

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 5 місяців тому +1

    Dah jamaa muongo huyo

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k 4 місяці тому

    umemloga mtoto wawatu ww muganga wachenyeji ,

  • @shijalunemhya6546
    @shijalunemhya6546 4 місяці тому

    Meno yake 😂😅

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 5 місяців тому

    Mm najua alichoumwa huyu kaka ..Khs moyo ni Muongo...mwambieni apime live istagram HIV..

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 5 місяців тому +1

    mimi namwamini mange sana kuriko nyiee wote mlipo apo bigup mange k

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 5 місяців тому

    😂😂Sheikh WA mchongo muongo wewe yani wewe tu NDIO Una preasure ?muongo wewe.mchawi ,Mganga kila siku mgonjwa😂😂mshamba huyu jamaa aisee,Maskini diva pole Sana yani huyu anakutomba?😂😂😂😂😂Diva umeniangusha dada

  • @vero57
    @vero57 5 місяців тому

    Huna jipya wewe !!!!!

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 5 місяців тому +2

    Wameshakuloga wanawake wa watu umewachuna hela umewaacha