MUME WA DIVA AJIBU TETESI ZA MKE WAKE KUTEMBEA NA OSCAR OSCAR / TULIGOMBANA SANA / TULIACHANA
Вставка
- Опубліковано 17 лип 2024
- KWA HUZUNI SIKIA MWANZO MWISHO MUME WA DIVA ALIVYOELEZEA KUHUSU TETESI ZA MKE WAKE DIVA KUTOKA KIMAPENZI NA OSCAR OSCAR / TULIGOMBANA SANA / TULIACHANA
#diva #mumewadiva #hajimanara #diamondplatnumz #dottomagari - Розваги
Huyu mganga ajawahi kuwa mzima ni kichaa
Duh yaan Diva maskn alikosea sn kuolewa na huyu mganga tapeli😢😢
Tena amemloga
Sio ugonjwa wa mouo hiyo ni stress,hiyo ni palpitation punguza stress na angalia damu yako inaweza kuwa nzito
Mhm hapa kazi ipoooooo
Shemeji tunae😂😂😂😂😂
Asante divaaaa
Kufyonza nanasi, kugonga nyundo, kupanua miguu😮😂😂
Divaaa anamoyoo wahurumaaa sanaaa
😂😂😂😂
Sanaaaa
Labda kamroga
ABDOULL MTOTO WA MJINI SANA
DIVA UME PATA MUME MZIMA SANA USIMUACHE HUYO ANA KULIWAZA
Diva kichaa kumbe nabwana nae wamekutana kopo namfuniko
Diva ulikosea kuchagua
Nawapenda sana jamani ❤
Abduri huwezi mtunza Diva maana ana penda pesa kuliko wewe na wewe anasema ni yeye ana payed kila kitu inaonekana wewe mume bwege huna pesa acha akuchiti maana huna pesa tafuta wale masikini wenzako hutoweza kumkidi Diva maana maisha yake huto yaweza lazima awe na wenye pesa 😂😂😂😂😂😂
Mbona kama mtangazaji anaskia arufu ya mdomo wa guest wake?😂😂 lol
Itakuwa
😂😂😂Nacheka huku sijui nacheka nn😂😂😂
😊
Duuh pole sna
Dawa za abdul zimeisha nguvun sbb yy ni mdangaji ndio maana anasikia wivu amesahau yakwake toa upwiru mwaya
Abdull ana ANXIETY..KWASABABU YA STRESS..NDIO MAANA ANAONA MOYO UNAPIGA..
😂😂😂😂😂abduly nomaaa kujisifia😅
Iyo ya nyundo mwenzangu qweli usigonge nyundo yani juu juu tu 😂😂qm hutaqi vile maamaaa mwanamqe mwenyewe anaisogelea😂😂😂
Sheikh unakubari kuhojiwa huku wito wa Azana unaita....Nenda kafanye ibada uje uendelee na mahojiano
Hapo sanatembeana wenyewe siungo wanatembea
Wamekutana pipa na mfuniko. Wote matapeli watupu
Eti anajiona handsome mwenyewe, mbona sio kiviile. Kawaida sana tu. Kwanza ajue tu wanawake wengi hawapendi wanaume weupe. Mwanaume wa kujisifia eti yeye ni mzuri sio kabisa . Kwanza hata haipendezi kwa mwanaume kujisifia.
Wakawaida sana
😂😂😂
We mzuri bwana
Hata sijaona huo u handsome wake!. na wanawake hatupendi wanaume weupe kabisa
Kabila na kabila weeee kabila lang na wananume au mwanamke mweupe ni dam dam,,,mi mwenyew mwanamme mweusi apana kabisa😅
Hamna mtangazaji hapa
Acheni kuingilia ndoa za watu
Hyu nae mume wa mtu😂😂😂😂😂
Eti moyo unafanyaje😂😂😅
una duda sana kwa upesi
Mtangazaji yuko hoi n mume waladiva dangote😅😂😂😂😂
Interviewer anahitaji zaidi training, amekaa ki ujiweni zaidi 🥱
Mh abdul mbn unaongop miaka mi3 tang uoane na diva mbn unao gopa😂
Panua tena miguu umrudishe Diva,😂😂
Mange alikuonea huruma tu😊
Dida ulimupata wapi uyu 10 old boy ?
Hiyo ya kawaida sana watu wanatembea na presha 200.nini 180.
Kweli Oscar anamtomba vipi Oscar mwenyewe kileja
Weeeeeeee😂😂😂😂😂
Hamna kitu hapo eti mume wa mtu inasikitisha sana
muongo huyu jmn kaaaaaaaaa eti kaenda south africa
Qupanua miguu
Shenzi na mambo zako za mate
Kwanza mgonjwa mgonjwa pole
Kuna dawa ya moyo ya miti shamba imeniponya mimi ijaribu
Yaitwaje
Mambo? Naweza pata mawasiliano Yako cathe
Mambo vp
Mange anasema ukweli usitudanganye
Hta utuaminishe vep tupo na mange mbk ufe😂😂😂😂😂tunamwamin mange
Mtihani mtupu kwani ilukisema huna utakufa?
Kwani hamuoni huyu ni laghai
Mme muongo huyo mtu mpk mmke anakusimanga
Dah jamaa muongo huyo
Mhhh mkweli ww
umemloga mtoto wawatu ww muganga wachenyeji ,
Meno yake 😂😅
😂😂😂😂ila ww
Mm najua alichoumwa huyu kaka ..Khs moyo ni Muongo...mwambieni apime live istagram HIV..
Duh kweli jaman ??😢😢😢mh pole yake
Jamani🤐
mimi namwamini mange sana kuriko nyiee wote mlipo apo bigup mange k
😂😂Sheikh WA mchongo muongo wewe yani wewe tu NDIO Una preasure ?muongo wewe.mchawi ,Mganga kila siku mgonjwa😂😂mshamba huyu jamaa aisee,Maskini diva pole Sana yani huyu anakutomba?😂😂😂😂😂Diva umeniangusha dada
Huna jipya wewe !!!!!
Wameshakuloga wanawake wa watu umewachuna hela umewaacha