Chumvi nyingi tizama mchezo wa fagio series, yule mtanga makofia na bakora yule, yule noma sana, ana kipaji kuliko maelezo. Shirikiana nae utaona mafanikio makubwa. Yule jamaa sjaona kwa sasa ikiwa atajifahamu haswa atashinda.
Wewe mtangazaji jifunze kuongea vizuri kiswahili unaboa unapotia herufi L kwenye R acheni mbwembwe nyingi kwenye kuongea mpaka mnaharibu tathnia ya habari
Daah! Aisee mtangazaji ni mzur Sana tena ni muislamu huyu bint na popote alipo nahtaj kumfaham na cjuw Instagram anatumia jina gan Ila dada nimekupenda Kwa kwel
❤❤❤chinvi ntakuunga mkono kwa kila utakacho kiunda niko ndani ya 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
Jaman chumvi nying mungu akusaidie sana nakupenda sana❤❤❤❤❤
Chumvi Nyingi Nimeanza kukufuatilia...Baada Ya Sakata Hili... Tupo Pamoja Never Give up
Nakukubar mwamba chumvi nyingi pamoja kaka💪
Nenda kwa tinwhite hana makuu mtafanya kazi vzr jaman chumvi nyingi
Our Mr chumvi nying tunakupenda sana
🤔🤔mie nahisi nimambwende huyo ndo kapeleka maeno ya umbea kwa mkojani 👌👌 kama unaamini haya gonga like
Aisee mimi ni shabiki yako kazi zako zooote nimezifuatilia ktk youtube
Why why why kaeni pamojaaaaaaaaaaa muyamalizeeeeee tunawapenda kuwaona pamojaa
Chumvi nyingi nakupenda sana na kutakiya kazi njema Nina kufata kutoka rdc Congo
Awakuwezi mwenyezi mungu atakulinda mimi mwenyewe shabiki yako nakuombea saaana duwa njema japo uwezi kujua wangapi wanakarama kuubwa wanakugagi wewe kwani kazi unazo zifanya zinatutoa tree's na kutuburudisha tupo tunao kuombea duwaa wewe kaza sana awakuwezi hao
SUBHANALLAH.JAMANI CHUMVI WETU WANAKUROGA.MUNGU ATAKUONGOZA ISHAALLAH.HAWAKUWEZ BANA.MUNGU YUKO PAMOJA NA WEW🙏🙏🙏 nakupend sana chumvi
Nampendaga sana huyu kaka
Kaza buti chumvi mie nakuombea kaka angu pia ogopa la mungu tu la mwanadam never...
Muandishi Bana Uko kwa Rader zangu Sana in short nimeku love 😍
Ahsant JUMA Kwa kunipenda haha
MY BROTHER I AM PROUD OF YOU MY ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY AND ALSO MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Team mkojani TUJUANE
Pole sana
Madebe yuko vizuri sana kwenye kutafuta majina unique
My comedy ,lve u chumvi
🎉🎉🎉 chumvi nyingi kwe chumvi nyingi karibu kwetu mozambique.
Mkojani anatakiwa afikilie man Kuna tini kuna nagwa kuna kirangaso na chumvi wote awapo na yeye mmmh
Mkojani na chumvi ni hatari bwana
Chumvi nyingi tizama mchezo wa fagio series, yule mtanga makofia na bakora yule, yule noma sana, ana kipaji kuliko maelezo. Shirikiana nae utaona mafanikio makubwa. Yule jamaa sjaona kwa sasa ikiwa atajifahamu haswa atashinda.
Wewe mtangazaji jifunze kuongea vizuri kiswahili unaboa unapotia herufi L kwenye R acheni mbwembwe nyingi kwenye kuongea mpaka mnaharibu tathnia ya habari
Nakukubal sana chumv nakuombea ufike mbal
Wandereko mmmmmmh
Chumvi nyingi nampenda sana anavyo igiza pianili kuwa napenda san wakigiza pamoja na mkojani
Wachukue mabwende na chando master
Bro usifanye sana interview utaonekana unalalamika lalamika watu watakuchoka
Ni Kwer kabisaa
Umeongea point kubwa sana
Muache afanye mladi aongee ukweli
Kabisaa yanii
Wakwanza kutazama nipeni like zangu hapa
Amwenye Mimi niko pamoja na wew nakukubali 100% pambana mndenge mwenzangu
Hi
Umeondoka WCB?duh uchawi upo
Pongezi kaka Kwa kazi zako
Nakukubali sana chunvi
Msifanye ivojamani
Mkojani tatz komed nyingi paka anaboa
Ongera sana mwandishi kwa kumtafuta chumvi
Good work bro
Chumvi nakukubali san mwngu
Chumv rudi kwa Mkojani mkayamalize, yaan sai ungegua kwenye Umbamba ingeniga zaiidii.
Me nakupenda sana
Kumbe uchawi upon😱.sielewi yaani mtu anaeza kudropisha bahati ya mwingine
Daah! Aisee mtangazaji ni mzur Sana tena ni muislamu huyu bint na popote alipo nahtaj kumfaham na cjuw Instagram anatumia jina gan Ila dada nimekupenda Kwa kwel
Chumvi tuna kukubali Sana Mzee wa Kula ubuge
❤❤❤❤
Mkojani gang vp 😮😢
🤔🤔🤔
Yuwafanana na rayvanny
Safi sana
Kaza unajua ww
Bambane ww uckubali saw
Chumvi kwann uskae na mkojan mkayazungumza na mkojani kuliko kuyasema mtandaon
nakuelewa sana
Kumbe Mkojan ni mchawi kiukweli kweli ? 😀😀😀
Maana mmetaja uchawi hapo
Uyoo mwamba anajua
Bila kuchoka
Chumvi uko vzr sana
Ndio maan sikuoni kwa ugai gai
Mkojani mpumbavu sana
Ushirikina hata kwa uigizaji jameni... hii hatari!!
Mtngzaj bdo sana
Unaongea san mwandishi
Nagwa hayupo tayari simuoni kweye umbambamba
Hata chado hayupo
😂😂😂
Mkojani akuwezi bwana kaotambawa mshamba
We muandishi ubadilike unaongea sana kuliko anae hojiwa
Hata mm nishabiki namba 👆 wachumvi nyingi
Peleka umalaya wako huko unawasema mafundi
Chumvi nyingi wewe unaweza kaza
Ivi kitunguu maji ni wewe au?
Dogo nakuona mbali sn
Ugaigai haina maana ulivyotoka haina maana ata siiangali tena
Yaani saivi yule jamaa aloect fagio. Kibandiko😂. Yule burudani. Sjaona kwa sasa
We nae muongo
Unaongea balaa mtangazaj
Bonge la interview
Our Mr chumvi nying tunakupenda sana