SAMOFI NA MKOJANI WAELEZA WALICHOONGEA NA DIAMOND "AMETUFUNZA URAFIKI NA KAZI HAVIKAI SEHEMU MOJA"
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
❤❤❤
🤩🤩 vizur nimependa kufanya kazi kwa pamoja, Diamond platnumz Mungu akubariki sana kwa wema wote kwenda kwa wote 🇹🇿🙏🇲🇿
Umbambamba kweri
SAMOFI KARUDI TENA KWA MCHAWI😂😂
Nimejifunza kitu kikubwa sana!!Ni kweli ulkua na haki ya unachodai ila mdomo usipoutunza maneno utakudhariri!!Hongereni kuwa pamoja mimi nawapenda sana
🤣🤣🤣😂😅😂😂🤩
sema mnajua kuitengeneza kiki wazee
Umeona kama nilivyoona.Usanii tu huu
Naipenda Nchi yangu upendo na amani vitawale🥰🇹🇿🇹🇿
Nipewe like za kutosha wakwanz mie
Hatutaki😂😂😂😂
Izo like zetu unapekeleka wapi
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
😅
Safi sana..nimependa vijana wakitanzania wanafanya kazi pamoja kwa upendo..
Nakubari sana samofi, kweli kila pacha ana pacha wake
Hakuna ugomvi Kati ya hawa wawili... Movie tu hii ya kupeleka kipindi wcb
Safii sana samofi na mkojani barikiwa sana pendaneniii vzr
Lakini huyo meneja Ana roho mbaya hatari
Nimefurahi kwa kuelewana kwao from Kenya
Role model Diamond Platnumz...Peace Makers will see GOD 🦁🦁🦁
Mkojani unapoteza watu wa umuhimu chumvi nyingi Yuko wapi nafuatilia sana lakini kwa Sasa mabwende chumvi nyingi wako wapi unapoteza mvuto wa filamu Sasa hivi
Aaaaaah kumbe upuuuzi wa diamond ndio ulikua unalisumbua taifa nilitaka nishangae samofi aondoke kwa mkpjan atakula wapi kiki wasafi mna phd
Kiki ya WASAFI
Hatariii.
Hamna cha ugomvi hapo hio yote ni deal ya Diamond mnyamaa .
Kachukua kijiji...
😂😂😂😂
Kiki tu
Huu ulikuwa ni mpango kama wa paula kajala tu. wa kuitoa umbamba You tube ili iende wasafi shenzi kabisa nyie 🤣🤣🤣🤣
Hakukuwa na bifu ni kiki imetengenezwa tu
Kabisaa
Kiki tu hii kitu imetengezwa Ili kuipeleka umbambamba wasafi
Excactly
Lakini pia mimi natumaini mkojani awalipa wasanii wake jameni, kwa sababu pia wewe mkojani ume jenga kipaji, upato na umaarufu kutoka kwa wengine wadogo 🇹🇿🇹🇿!!
Upuuzi kabisaa. Kiki ya kipuuzi kabisaaa. Kwani hamuwezi kufanya kazi bila kiki wapuuzi nyinyi
Weka bwana ww umbambamba ndio Habari ya mjini
Mashaallah, hongera kwenu brothers mikwaruzano ni kawaida, sisi tunasubiri umbambamba gulf tumengoja sana
Huyo jamaa samfoni sijui nani sio mtu poa he's not professional unafki umemjaa
😅😅😅Hapo Sawa simba LA masimba dangote 🦁 🦁 ❤ ❤ umetisha Sana kaka
Diamond 😂😂 mashaallah mungu amzidishiye ❤❤❤❤❤
Ongera sana Diamond kwa kuwasuluhisha hao wasanii, Mungu atakujaza kheri zake
pongezi sana kwa CEO wa WCB nimefrahishw sana na uzalendo wke wa sanaa ktk taifa letu na support nzma katka pande zote kazi za kisanaa kwa hakika yeye ni mfano wa kuigwa hongera DIAMOND PLUTNUMZ GOD bless
😅😅😅😅😅 diamond mashaallah boss Diamond ❤❤
Sanaa ni ngumu sana aise 🤣
Kuishi na wake hawezi sasa wewe mkunjani nenda ukampatanishe na babake alafu arudi kwenye dini yake huyo sio mwenzetu arudi kwenye islam sio kuva misalaba na macheni na mattoo mweli mzee huyo sio iwe silamu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimefurahi samofi kurudi kwa mchawi
Ndo wnaume tulivyo, hpo ingekua wnawke ngom ingekua mbichi
Wap hamna kitu ni hype tu ya kutafuta series iruke wasafi…yan ugomv uishe hvi hivi tu simple
Huyo mondi ataongea nini watu wasicho kijua mwanzo aende akapatane na babake ana ilimu gani ya kupatanisha watu kwanza ajue kuishi na waze waze wake
Hamna lolote huo ulikuwa ni mpango tu
Asante sana Diamond
Mungu mwema, shetani kapita kushoto, kaka mundi barikiwa sana mungu akubariki, kuwapatanisha wasanii wenzio, kweli unao utu
Samofi kiumbe mzito huyo Habebeki
Habebeki na chumvi nyingi katokaje ? Na ngoma nagwa katokaje? Hapo management ina tatizo mkojani akae vizuri na wenzie
Naomba chumvi nyingi muongee nae arudi mnapendeza mkiwa kundi nzima tunafurahia kazi zenu
Wanaume bwana yaaani hawakaagi na kitu.❤️❤️❤️❤️
Hawa walikua kwenye ugaigai tu Ulikua haujaisha Ila kwasasa Bado unaendelea
mkojan umezoea kunyonya wenzio ndomaana na chumvi nyingi mligombana
Hapakua Na Bifu Yoyote Ile Kiki Tu Ujinga Mtupu Fanyeni Kazi Acheni Michezo Ya Kitoto Mashabiki Tunawakubali Ivo Ivo Pasina Kufanya Kiki Za Kijinga Hatupendi
Hawatokuwa sawa kama dhamani maana tayali kuna donda ambalo litakuwa linatoneshwa hata na mistake ndogo tu
Afu nyie acheni utoto na msirudie tena huo ujinga wenu mpoje nyie lakin..
Naomba like za kushiba wa kwanza me
Umbambamba live iyo studio
Samof amejitoa ufaham 😅😅😅
Ha ha ha... Huu mchongo jamaa wagaigai kweli sema wamepiga mchongo wa maana😂😂😂
Nimependa hy wee zombi
Alhamdulilah napenda mkielewana
Ilikuwa kiki buanaaa
Mungu amjarie modi
Mashaallah Mkojani n'a Samofa mmeonyesha jambo lizuri la busara
Nilisema mie siyo kweli
Safi sana pendaneniii
Maisha haya yanatufunza tusiwe wenye kuzungumza saana kuna chochote kinaweza tokea mbele yetu kwa wale tunao wasema saana
Kiki za bongo hizo 😂😂😂
Umeona eeh. Wasafi kiki
Unajua kiukweli Dk Chen nimuungwana sana na diamond ninoma nanusu
Hapo wasaf panajoto Kali Sana namuona Duwe na meneja wamkojan makwapa yamelowa
Jamani mm niliumizwa sana na ugomvi wenu kwakuw mmepatan jambo la kheri mungu awape maisha marefu
Nakulewa sna samofi pambambana ndugu mm Mkojani simuelewi kabisa
Huu mpango! Hhhhh
Noumaaa saàna 😂😁😄
Ujinga Wahivi Hatupendiiii Sisi Kaama Mashabiki Mnakeraaaaaa
Huu mchongo akukua na bif
hahaha eti huu uchekeshaji hauitaji meneja hahahah tunachekesha wenyewe
Mwamba mweusi huyu ni mnafiki anachoongea na sura vinapishana ana fake smile
Niulize tu mkojan na Tin white kilitokea nn mbn hatuwaon pamoja
Nmependa kuskia Ivo from malaba Kenya
Nikisema kiki sijui ntakuwa nimepatia🙄
Hii n mahusus Kwa kushusha Ngoma mmakonde isiwe trend sana hawaja gombana hawa
Umeona
The guy is dope....
Kiswahili bwana kidhungu taabu
Kaka mkojani 👍👍
pow kbsa iyo :
Mkojani ni mtuu safii sio msemaji na ana uruma sana nime muelew mkojani mtuu safii xana mungu am bariki mkonojani
Kabisa Allaah awape husnulkhatwima
Vizuri sana. Nawa fuatilia kutoka France
Aseee!!! 😂😂😂 ela ni tamu bhnaaa
Huyo samofi ni mnafiki sana
Kweli ata cheka yake
Unaonaje tukitekenya lingne likaenda ikulu? 😄😄 Utafungwa
Akili Zao wanazijua wenyewe wameamua kutuchekesha hapahapa
Masha allha mungu akubari sanna Diamond
Mkojani kama ana wasiwasi vile 🤔🤔
Pore sana mkojani kwakuambowa mchawi
Mwaliiwata ubufi sana
Haya majamaa yananifundisha kitu
Njaaa mbaya nyie 😂😂🙌🙌
😂😂😂😂
Hngereni
😂😂😂😂❤❤❤
Ila samofi😂😂😂🙌
Umbamba uendelee jamani tunawaomba sana tumemic
Kumbe ilikuwa kikitu🤺
Wamalizie umbambamba
🤣😂🤣😂🤣haya majamaa comedy sana
🙏🙏🙏🙏 Mond baba Lao sm 1 nisheria
Safiii mondiii
Mkojani Bado Ana Kinyongo😅
Yes hapo poa kazi iendelee