SAMOFI NA MKOJANI WAELEZA WALICHOONGEA NA DIAMOND "AMETUFUNZA URAFIKI NA KAZI HAVIKAI SEHEMU MOJA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 150

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili Рік тому +1

    ❤❤❤

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial Рік тому +10

    🤩🤩 vizur nimependa kufanya kazi kwa pamoja, Diamond platnumz Mungu akubariki sana kwa wema wote kwenda kwa wote 🇹🇿🙏🇲🇿

  • @shashatours6454
    @shashatours6454 Рік тому +1

    Umbambamba kweri

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Рік тому +9

    SAMOFI KARUDI TENA KWA MCHAWI😂😂
    Nimejifunza kitu kikubwa sana!!Ni kweli ulkua na haki ya unachodai ila mdomo usipoutunza maneno utakudhariri!!Hongereni kuwa pamoja mimi nawapenda sana

  • @omarykipara8031
    @omarykipara8031 Рік тому +9

    sema mnajua kuitengeneza kiki wazee

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +8

    Naipenda Nchi yangu upendo na amani vitawale🥰🇹🇿🇹🇿

  • @ayubmwanguku-je7yk
    @ayubmwanguku-je7yk Рік тому +24

    Nipewe like za kutosha wakwanz mie

  • @edesiuskuyasiwa6352
    @edesiuskuyasiwa6352 Рік тому +8

    Safi sana..nimependa vijana wakitanzania wanafanya kazi pamoja kwa upendo..

  • @gerishonkaristusi2360
    @gerishonkaristusi2360 Рік тому +6

    Nakubari sana samofi, kweli kila pacha ana pacha wake

  • @masoudshee3756
    @masoudshee3756 Рік тому +1

    Hakuna ugomvi Kati ya hawa wawili... Movie tu hii ya kupeleka kipindi wcb

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 5 місяців тому +1

    Safii sana samofi na mkojani barikiwa sana pendaneniii vzr

  • @SammyMohamedi-gk7ck
    @SammyMohamedi-gk7ck Рік тому +1

    Lakini huyo meneja Ana roho mbaya hatari

  • @mbogodrummer
    @mbogodrummer Рік тому +5

    Nimefurahi kwa kuelewana kwao from Kenya

  • @muntueric-oy1ty
    @muntueric-oy1ty Рік тому +3

    Role model Diamond Platnumz...Peace Makers will see GOD 🦁🦁🦁

  • @AkiliMohamedi
    @AkiliMohamedi 10 місяців тому

    Mkojani unapoteza watu wa umuhimu chumvi nyingi Yuko wapi nafuatilia sana lakini kwa Sasa mabwende chumvi nyingi wako wapi unapoteza mvuto wa filamu Sasa hivi

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому +2

    Aaaaaah kumbe upuuuzi wa diamond ndio ulikua unalisumbua taifa nilitaka nishangae samofi aondoke kwa mkpjan atakula wapi kiki wasafi mna phd

  • @mohdslim8278
    @mohdslim8278 Рік тому +1

    Hatariii.
    Hamna cha ugomvi hapo hio yote ni deal ya Diamond mnyamaa .
    Kachukua kijiji...
    😂😂😂😂

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Рік тому

    Huu ulikuwa ni mpango kama wa paula kajala tu. wa kuitoa umbamba You tube ili iende wasafi shenzi kabisa nyie 🤣🤣🤣🤣

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 Рік тому +1

    Hakukuwa na bifu ni kiki imetengenezwa tu

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 Рік тому +1

    Kiki tu hii kitu imetengezwa Ili kuipeleka umbambamba wasafi

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Рік тому

    Lakini pia mimi natumaini mkojani awalipa wasanii wake jameni, kwa sababu pia wewe mkojani ume jenga kipaji, upato na umaarufu kutoka kwa wengine wadogo 🇹🇿🇹🇿!!

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Рік тому

    Upuuzi kabisaa. Kiki ya kipuuzi kabisaaa. Kwani hamuwezi kufanya kazi bila kiki wapuuzi nyinyi

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Рік тому +1

    Weka bwana ww umbambamba ndio Habari ya mjini

  • @janandune225
    @janandune225 Рік тому +1

    Mashaallah, hongera kwenu brothers mikwaruzano ni kawaida, sisi tunasubiri umbambamba gulf tumengoja sana

  • @omarmaina756
    @omarmaina756 Рік тому

    Huyo jamaa samfoni sijui nani sio mtu poa he's not professional unafki umemjaa

  • @Yopeboe
    @Yopeboe 7 місяців тому

    😅😅😅Hapo Sawa simba LA masimba dangote 🦁 🦁 ❤ ❤ umetisha Sana kaka

  • @Noor56-i7s
    @Noor56-i7s 7 місяців тому

    Diamond 😂😂 mashaallah mungu amzidishiye ❤❤❤❤❤

  • @rashidmpumu7006
    @rashidmpumu7006 Рік тому +1

    Ongera sana Diamond kwa kuwasuluhisha hao wasanii, Mungu atakujaza kheri zake

  • @sajjmirkhalfan
    @sajjmirkhalfan Рік тому

    pongezi sana kwa CEO wa WCB nimefrahishw sana na uzalendo wke wa sanaa ktk taifa letu na support nzma katka pande zote kazi za kisanaa kwa hakika yeye ni mfano wa kuigwa hongera DIAMOND PLUTNUMZ GOD bless

  • @Noor56-i7s
    @Noor56-i7s 7 місяців тому

    😅😅😅😅😅 diamond mashaallah boss Diamond ❤❤

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 Рік тому +3

    Sanaa ni ngumu sana aise 🤣

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Рік тому

    Kuishi na wake hawezi sasa wewe mkunjani nenda ukampatanishe na babake alafu arudi kwenye dini yake huyo sio mwenzetu arudi kwenye islam sio kuva misalaba na macheni na mattoo mweli mzee huyo sio iwe silamu

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 9 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Aliysalmin
    @Aliysalmin 5 місяців тому

    Nimefurahi samofi kurudi kwa mchawi

  • @bekakitemi7132
    @bekakitemi7132 Рік тому

    Ndo wnaume tulivyo, hpo ingekua wnawke ngom ingekua mbichi

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Рік тому

    Wap hamna kitu ni hype tu ya kutafuta series iruke wasafi…yan ugomv uishe hvi hivi tu simple

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Рік тому

    Huyo mondi ataongea nini watu wasicho kijua mwanzo aende akapatane na babake ana ilimu gani ya kupatanisha watu kwanza ajue kuishi na waze waze wake

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Рік тому

    Hamna lolote huo ulikuwa ni mpango tu

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 Рік тому +1

    Asante sana Diamond

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Рік тому

    Mungu mwema, shetani kapita kushoto, kaka mundi barikiwa sana mungu akubariki, kuwapatanisha wasanii wenzio, kweli unao utu

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Рік тому +1

    Samofi kiumbe mzito huyo Habebeki

    • @jeffkonki8279
      @jeffkonki8279 Рік тому +1

      Habebeki na chumvi nyingi katokaje ? Na ngoma nagwa katokaje? Hapo management ina tatizo mkojani akae vizuri na wenzie

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Рік тому

    Naomba chumvi nyingi muongee nae arudi mnapendeza mkiwa kundi nzima tunafurahia kazi zenu

  • @productivityprogressprince5156

    Wanaume bwana yaaani hawakaagi na kitu.❤️❤️❤️❤️

  • @hassaniharuna1010
    @hassaniharuna1010 Рік тому

    Hawa walikua kwenye ugaigai tu Ulikua haujaisha Ila kwasasa Bado unaendelea

  • @tomasjilundumo865
    @tomasjilundumo865 Рік тому

    mkojan umezoea kunyonya wenzio ndomaana na chumvi nyingi mligombana

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Рік тому

    Hapakua Na Bifu Yoyote Ile Kiki Tu Ujinga Mtupu Fanyeni Kazi Acheni Michezo Ya Kitoto Mashabiki Tunawakubali Ivo Ivo Pasina Kufanya Kiki Za Kijinga Hatupendi

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Рік тому

    Hawatokuwa sawa kama dhamani maana tayali kuna donda ambalo litakuwa linatoneshwa hata na mistake ndogo tu

  • @emmanuelchejo7154
    @emmanuelchejo7154 Рік тому

    Afu nyie acheni utoto na msirudie tena huo ujinga wenu mpoje nyie lakin..

  • @ayuzo4852
    @ayuzo4852 Рік тому +1

    Naomba like za kushiba wa kwanza me

  • @MrvibeMrvibe-wp1oq
    @MrvibeMrvibe-wp1oq Рік тому

    Umbambamba live iyo studio

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn826 Рік тому

    Samof amejitoa ufaham 😅😅😅

  • @GraceEmilian-mm1ge
    @GraceEmilian-mm1ge Рік тому

    Ha ha ha... Huu mchongo jamaa wagaigai kweli sema wamepiga mchongo wa maana😂😂😂

  • @namnayas
    @namnayas 10 місяців тому

    Nimependa hy wee zombi

  • @WachajiWaForo
    @WachajiWaForo Рік тому +1

    Alhamdulilah napenda mkielewana

  • @tinamadega
    @tinamadega Рік тому +1

    Ilikuwa kiki buanaaa

  • @KhadijaAzizah-eg2df
    @KhadijaAzizah-eg2df Рік тому

    Mungu amjarie modi

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Рік тому

    Mashaallah Mkojani n'a Samofa mmeonyesha jambo lizuri la busara

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Рік тому

    Nilisema mie siyo kweli

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 5 місяців тому

    Safi sana pendaneniii

  • @AbuuTumayrah
    @AbuuTumayrah Рік тому

    Maisha haya yanatufunza tusiwe wenye kuzungumza saana kuna chochote kinaweza tokea mbele yetu kwa wale tunao wasema saana

  • @omarramadhani
    @omarramadhani Рік тому +1

    Kiki za bongo hizo 😂😂😂

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Рік тому

    Unajua kiukweli Dk Chen nimuungwana sana na diamond ninoma nanusu

  • @HalfanBiba-mp6sg
    @HalfanBiba-mp6sg Рік тому

    Hapo wasaf panajoto Kali Sana namuona Duwe na meneja wamkojan makwapa yamelowa

  • @jumakupaza7045
    @jumakupaza7045 Рік тому

    Jamani mm niliumizwa sana na ugomvi wenu kwakuw mmepatan jambo la kheri mungu awape maisha marefu

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 Рік тому

    Nakulewa sna samofi pambambana ndugu mm Mkojani simuelewi kabisa

  • @drankoiddy1953
    @drankoiddy1953 Рік тому

    Huu mpango! Hhhhh

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Рік тому +1

    Noumaaa saàna 😂😁😄

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Рік тому

    Ujinga Wahivi Hatupendiiii Sisi Kaama Mashabiki Mnakeraaaaaa

  • @salim-kg3ox
    @salim-kg3ox Рік тому

    Huu mchongo akukua na bif

  • @hebeye
    @hebeye Рік тому

    hahaha eti huu uchekeshaji hauitaji meneja hahahah tunachekesha wenyewe

  • @fizzozimba
    @fizzozimba Рік тому

    Mwamba mweusi huyu ni mnafiki anachoongea na sura vinapishana ana fake smile

  • @medy-thebrandtv6688
    @medy-thebrandtv6688 Рік тому

    Niulize tu mkojan na Tin white kilitokea nn mbn hatuwaon pamoja

  • @danielngodo8309
    @danielngodo8309 Рік тому

    Nmependa kuskia Ivo from malaba Kenya

  • @mathiasshayo6348
    @mathiasshayo6348 Рік тому

    Nikisema kiki sijui ntakuwa nimepatia🙄

  • @amaniurio5655
    @amaniurio5655 Рік тому

    Hii n mahusus Kwa kushusha Ngoma mmakonde isiwe trend sana hawaja gombana hawa

  • @odaxcontawa
    @odaxcontawa Рік тому +2

    The guy is dope....

  • @kisodabwejuu2259
    @kisodabwejuu2259 Рік тому +1

    Kaka mkojani 👍👍

  • @silverb-mq9yu
    @silverb-mq9yu 6 місяців тому

    pow kbsa iyo :

  • @mparestinambaggar8736
    @mparestinambaggar8736 Рік тому

    Mkojani ni mtuu safii sio msemaji na ana uruma sana nime muelew mkojani mtuu safii xana mungu am bariki mkonojani

  • @namaduangaarmando2687
    @namaduangaarmando2687 Рік тому

    Vizuri sana. Nawa fuatilia kutoka France

  • @lumo9999
    @lumo9999 Рік тому

    Aseee!!! 😂😂😂 ela ni tamu bhnaaa

  • @khanjr115
    @khanjr115 Рік тому +1

    Huyo samofi ni mnafiki sana

  • @nellywizz9631
    @nellywizz9631 Рік тому

    Unaonaje tukitekenya lingne likaenda ikulu? 😄😄 Utafungwa

    • @maisarahnassoro814
      @maisarahnassoro814 Рік тому

      Akili Zao wanazijua wenyewe wameamua kutuchekesha hapahapa

  • @dadejamal
    @dadejamal Рік тому

    Masha allha mungu akubari sanna Diamond

  • @YalucLileZairois1643
    @YalucLileZairois1643 Рік тому

    Mkojani kama ana wasiwasi vile 🤔🤔

  • @MohamedNako-wh5is
    @MohamedNako-wh5is Рік тому

    Pore sana mkojani kwakuambowa mchawi

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Рік тому

    Mwaliiwata ubufi sana

  • @enockjoseph9435
    @enockjoseph9435 Рік тому

    Haya majamaa yananifundisha kitu

  • @tumainnyangunda1903
    @tumainnyangunda1903 Рік тому +1

    Njaaa mbaya nyie 😂😂🙌🙌

  • @tonybboy8685
    @tonybboy8685 Рік тому

    Hngereni

  • @miishhassn
    @miishhassn Рік тому

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @jacobmenganyi7830
    @jacobmenganyi7830 Рік тому +1

    Ila samofi😂😂😂🙌

  • @manenogimbi24
    @manenogimbi24 Рік тому

    Umbamba uendelee jamani tunawaomba sana tumemic

  • @aliahmedsalim673
    @aliahmedsalim673 Рік тому

    Kumbe ilikuwa kikitu🤺

  • @lennieoyaro401
    @lennieoyaro401 Рік тому

    Wamalizie umbambamba

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Рік тому

    🤣😂🤣😂🤣haya majamaa comedy sana

  • @mwaitajuma4140
    @mwaitajuma4140 Рік тому

    🙏🙏🙏🙏 Mond baba Lao sm 1 nisheria

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 5 місяців тому

    Safiii mondiii

  • @maabadmmanga2896
    @maabadmmanga2896 Рік тому

    Mkojani Bado Ana Kinyongo😅

  • @mussamasenda8896
    @mussamasenda8896 Рік тому

    Yes hapo poa kazi iendelee