WIMBO WAKUU WA MAPINDUZI - OMAR KASSIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 22

  • @simbanomsangi4806
    @simbanomsangi4806 Рік тому +6

    Huu wimbo ni mzuri na maishairi yake na sikukuu ya mapinduzi ikikaribia. ndio unasikika sana Mimi binafsi naupenda

    • @Amina-zs5gf
      @Amina-zs5gf Рік тому +2

      Hauchoshi

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Рік тому +1

      Sana huu wimbo mzuri unakumbusha zamani kiukweli Zanzibar kinara Kwa muziki wa mwambao

  • @IdrisaSharef
    @IdrisaSharef Місяць тому

    Daaaah nakumbuka zaman sana enzi hizo

  • @jumanjiku163
    @jumanjiku163 8 місяців тому +3

    Naupenda sana wimbo...hongera sana Wakuu wa Mapinduzi 2:09

  • @jumanjiku163
    @jumanjiku163 8 місяців тому +2

    Naomba uwekwe youtube ule uloimbwa na Kikundi cha Sanaa Zanzibar una tofauti kidogo ya maneno...una maboresho zaidi.

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 4 місяці тому +3

    Old is Gold

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq Рік тому +4

    shukrani sana kutuwekea wimbo huu hakika umebeba udhati wa Zanzibar yetu

  • @EmmanuelPeter-v2s
    @EmmanuelPeter-v2s 27 днів тому

    Ni wimbo mzuri Sana

  • @deusngowi
    @deusngowi Рік тому +1

    Dua twawaombea hakika Wakuu wa Mapinduzi.

  • @zwatts38
    @zwatts38 Рік тому +2

    Ahsante sana sana sana kwa kuuweka huu wimbo. Naupenda mno

  • @bilalmtinda1172
    @bilalmtinda1172 Рік тому +1

    Safiii shkh wangu

  • @Sarimuamiriamirisarimu
    @Sarimuamiriamirisarimu Рік тому +1

    Nice song

  • @songombingo108
    @songombingo108 Місяць тому

    Wimbo una maneno matamu lakini hayaakisi chochote. Yalikuwa Mavamizi na Mauwaji na sio Mapinduzi. Na hadi leo Zbar imebaki Koloni tu la Tanganyika. Na wote waliodhulumu roho za Wazanzibar watajibu mbele ya Allah siku ileeeeee inakuja.

  • @MKuli-x6o
    @MKuli-x6o Рік тому +1

    Ahsante
    Sane

  • @SaidMohamed-qy5bi
    @SaidMohamed-qy5bi Рік тому +2

    Wimbo muhimu sana lakini umechelewa kuuweka youtube

  • @Sarimuamiriamirisarimu
    @Sarimuamiriamirisarimu Рік тому +1

    ❤❤❤❤

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 Рік тому +1

    Nice 👍

  • @MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
    @MnyorokaAhmadSimba-wk4gr Рік тому +1

    Pili mudawote wakupandishwa nakushwa bendera yanchi zipigwe nyimbohizo

  • @ZANAMBER12
    @ZANAMBER12 Рік тому +1

    Hayatusedi tena zama hizi ya mepita na wakati kwa sasa ni sawasawa na wimbo wa kumuimbia mtoto apapate kulala tu

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 19 днів тому

      Itakuwa hata MTU akikusaidia baada wiki huwezi kumshukuru tena manake mda umeshapita