BI RUKIA AKIIMBA "HUJAFA HUJAUMBIKA" KWA HISIA KUBWA, MANARA AMWAGA PESA, LAYLATUL HELWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 лип 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    UA-cam: / @babdeomiladu

КОМЕНТАРІ • 248

  • @SaidOmar-sd2yo
    @SaidOmar-sd2yo 3 місяці тому +27

    yaa allah tuongoze ktk njia ilio nyooka aamiin

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 місяці тому +11

    Tumuombe Mwenyezi Mungu (s.w) atujaalie mwisho mwema! Amin.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 2 місяці тому +15

    Maanara uwe na heshima usimtaje MTUME MUHAMMAD SALA NA SALAM KWEYE UCHAFU KAMA HUOWO

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl 3 місяці тому +28

    Rip sheikh NYundo... Angekuepo Marehemu Sheikh NYundo angekemea hii Subhanallah

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 2 місяці тому +16

    Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Kwakwel huyu jamaa ana dhima kubwa sana mbele ya Allah. Wapi mnaupeleka Uislamu ndugu zangu . Siku ya Kiama kuna mengi sana ya kujibu wewe Haji Manara . Usitumie Umaarufu wako kuiangmiza Dini ya Uislamu. Allah anifungulie mwisho mwema .aamin

    • @rajabubwakila1977
      @rajabubwakila1977 2 місяці тому

      Kwa hiyo wewe ushapewa kazi ya kuhukumu watu waende motoni au peponi,hongera kwa kazi hiyo bwege mkubwa weww

    • @zanlec7357
      @zanlec7357 2 місяці тому +1

      @@rajabubwakila1977 kwanz Nenda kasome Uislamu kisha utajua nini nmekiongelea hapo. Huwezi jua Uislamu umeamrisha nini na umekataza nini kama huna Elimu

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 місяці тому +14

    Nyundo kaondoka hawa ndio walikua wanamuelewa yule mwamba wakweli nyundo mungu amlipe mena alijua kuongea na hawa watu au na sisi watu

  • @MadamAsya2024England
    @MadamAsya2024England 3 місяці тому +10

    Duh dini imefkia hivi malengo yavwenzetu yametimia kadri dunia inavoisha ndio tunazidi kuangamia,SUBHANALLAH.

  • @FatumaSaid-ry2eq
    @FatumaSaid-ry2eq 2 місяці тому +6

    Allah tupe mwisho mwema mimi na familia yangu na kizazi changu huu ni msba mkubwa

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 2 місяці тому +10

    Yarabb tunaomba utupe mwisho mwema ❤😢

  • @barakakhemedi1250
    @barakakhemedi1250 3 місяці тому +11

    Hiii hpn Kwa kweli mi baba mizima inashangilia na mikanzu vinanada na magita

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 3 місяці тому +26

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiun, ni msiba Haji manara musimcheze shere Mtume, yaani mnatangaza hadhara ya Nabii hlf mnapiga muziki, wapi mmetowa ktk hadithi au aya ya quran kwamba muziki ni ktk dini

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 2 місяці тому +3

      Mungu hajakataa burudani za kistaarabu hapo hakuna matusi nyimbo inafundisha maneno ambayo hata mwenyezi mungu mwenyewe ameyapitisha na hiyo ni kama qasida tu hakuna ubaya mungu hajasema mufikirie kufa tu msifanye mambo mengine mumfikirie yeye tu,kuna mambo ambayo mungu hawezi kukupa adhabu kubwa kama utalifanya bila kukufuru kupita kiasi nyimbo pia zinapunguza stress zinafundisha kwa ameimba kumsifu mungu na mtume wake na akaimba hujafa hujaumbika hayo ni mafundisho makubwa ambayo mwenyezi mungu hawezi kukuadhibu eti kwa sababu umetumia vyombo tusiifanye dini ya kiislamu kuwa ngumu kiasi kwamba waislamu wajione wapo gerezani lakini kuna mambo yaliyofanywa na manabii hayawezi kufanywa na binadamu wa leo kwa mfano mtume Muhammad saw alifunga mwaka mzima haya wewe unaweza mtume aliongea na mungu alishushiwa wahai je wewe kwanza hii ndio njia sahihi ya muislamu kupata burudani.someni vizuri vitabu sio kutoa laana tu nyinyi ndio wale msiofanya kazi kwa kisingizio mungu yupo ataleta,

    • @muhamedali3902
      @muhamedali3902 2 місяці тому

      Mh! Ndugu yang ww umesoma lkn naona elimu yako inakupoteza
      Yani Leo unattea mziki acha fikira potofu mwenyez mungu s.w. kupitia Qur'an na mtume wake Alisha eleza njia za kutowa mafundisho
      Na akabainisha haqi na batli na mziki ukazungumzwa ktk Aya tofaut za Qur'an mpk ukatolewa mfano wa muimbaji hata awe na saut nzr kiasgani bas nisawa na saut ya punda
      Yan hapa pamefanywa kufru kubwa Sana Tena et kwabaraka za mtume apo kunabaraka gan
      Ww unadanga nyika na hizo mbwembwe za haji manara na kujifanya shekhe anaushekhe gan kuuzalilisha uislamutu
      Et unafokea watu ww amesomawap dini acha izo ww,

    • @muhamedali3902
      @muhamedali3902 2 місяці тому +4

      Nikweli mungu hajakataa lkn ilitupa muongozo ni burudani za ainagani alizo zridhia sio yyote unayo itaka ww
      Napia akabainisha burudani za ainagani hakuzridhia

    • @litimbaify
      @litimbaify 2 місяці тому +1

      ​@@saidbakar-qo6riandishi kubwa bila dalili ni ujinga

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 місяці тому

      Acha uongo wewe ..Mtume amesema sauti 2 zimelaaniwa duniani na akhera ...kwanza sauti ya mwanammke wakt wa msiba na nasuti za vinanda wakt wa furaha ...hilo ulijue kuwa haifai kupiga mnanda umelaaniwa..😢😢😢unasema tu kwa matamanio yako ya kidunia..?pole sana.kisha nakujulisha kua sauti ya mwanamke ni aura..yaani uchi....hapo anaimba mbele ya wanaume kibao haifai kisha wanapiga mnanda Allah awaongoze ktk njia sahihi.​@@saidbakar-qo6ri

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 2 місяці тому +5

    Kaka angu hata ukiumwa unasikiliza nyimbo badala ya kufanya dhikri na dua.. jitahidi kaka ktk ibada. Nakupenda sana

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 2 місяці тому +4

    SubhanaLLAH Yarab tustiri waja wako kwani hii ni taarab sio Nashi mchanganyiko wa wake kwa waume ya ALLAH awaongoze walio potea

  • @rukky4169
    @rukky4169 2 місяці тому +2

    Allah atuhidi mana kila kukicha balaa zinazidi. Inna lillah waina ilaihi rajioun.

  • @AbdalallaBrahimam
    @AbdalallaBrahimam 2 місяці тому +4

    Innalilah wainnailahim rajiuun mcheni Allah kesho Kwa Allah mtajibu Nini sisi tuna wakumbusha huu ni mziki

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu 2 місяці тому +7

    Nyundo ragmallhah aliwahi kusema kaswida ni ndugu yake taarab Naam yametimia..

  • @musababdullah5813
    @musababdullah5813 3 місяці тому +20

    Tamasha la muziki wa pwani ingekuwa ndio jina zuri,kufungamanisha na dini ni utapeli😂

  • @OmQrf
    @OmQrf 2 місяці тому +2

    Innalillahi wainna ilahirajiun manara ww muongope mungu hayomambo na biziki taarabu mbona mnafanana subhanallah

  • @RamadhaniMahamba-cx2so
    @RamadhaniMahamba-cx2so 2 місяці тому +4

    mañara umeponyoka unachanganya dini na mitaarabu amakweli mmezidi 😊

  • @RahmaShemdoe
    @RahmaShemdoe 2 місяці тому +3

    Hizi ni taarabu tu nyingine,sioni dini hapa.Innalillah wainna ilayh raaji'un

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 місяці тому +7

    Me nilifikiri hii tv ni ya kiislam mwanzo na mwisho wa kuangalia tv hii ni Leo in Sha Allah

    • @Werema3760
      @Werema3760 2 місяці тому

      Hii ni yawaenda mbinguni.

    • @user-vs7vv7xd2f
      @user-vs7vv7xd2f 2 місяці тому

      Mtihani kwa kweli ata mimi pia nilizani ni tv ya mawaidha ya kiislam

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 2 місяці тому +4

    HASBIALLAH WANEEMALWAKILI HUU KWANZA HAPA NAOMBA TUJIFUNZE KITU KUNA BAADHI YA MDHEHEBI YANACHOCHEA WATU KUINGIA KWENYE MAMBO MACHAFU NA KUONEKANA NI MAZUR NA TABIA HII NDIO INAYOTUHARIBIA UISILAM WETU

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 2 місяці тому

      Muwe mnamuogopa mungu yaaani dhehebu lingine lichochee wewe kuharibiwa uislam kweli? Acheni kuhukumu hovyo mnajiona nyie ndio mna haki mbele ya MOLA JALAAL

  • @khamishassan68
    @khamishassan68 2 місяці тому +4

    Inalillah wainaillahi rajijn

  • @mwanapiliali8504
    @mwanapiliali8504 2 місяці тому +1

    Hasbiyallaahu waniimal-wakiyl loh huyu kila cku zikenda anazidi tu kufanya kufru na wala hajali dah Yaa A'llaah tuongoze ktk njia iliyonyooka😢😢😢

  • @zuleikhaissa684
    @zuleikhaissa684 2 місяці тому +2

    Jamani muogopen Allah dunia mapito 😢

  • @user-tw5ls9eg3s
    @user-tw5ls9eg3s 6 днів тому

    Subhanallah😢 msiba huu innalillahy wainnailayhi rajiuun

  • @luqmansaid-ip2dm
    @luqmansaid-ip2dm 2 місяці тому +3

    Subhaanaallah Allah atuongoze haifai jamani hivi sivyo😢

  • @nassorkhamis6233
    @nassorkhamis6233 3 місяці тому +12

    Mbna hamna tofauti na wakatoliki

  • @hawamhanga2951
    @hawamhanga2951 2 місяці тому +3

    Mashehe wetu jamani wamekaa kabisa wana enjoy rabb tusitiri 😢

  • @shekhamohd4891
    @shekhamohd4891 2 місяці тому +2

    Nyie mnajitia dhiki ya meneno ya huyu subhanallah huyu ata hajuwi km kuna siku ya mwisho na hisaab ndio maana hana khofu ya Allah yaarabb muhidi mja wako yaani anasifia kawacha ya akhera haya maulidi ya mtume au taarab subhanallah

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka696 3 місяці тому +13

    Kesho jiandaeni na majibu kwa allah

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 місяці тому +1

      Mwenzetu umeshayajibu nini??! Na kwa kiasi gani upo salama na msafi kwake JALALI?? ( MUHIMU MIMI NAWEWE TUOMBEANE DUWAA NJEMA (

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 2 місяці тому

      Tena wao ndio unaweza kufika huko ukawaomba hta tone la machozi wakudondoshee unywe hacheni kuhukumu hovyo

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 2 місяці тому

      Ina maaaana wote waliokaa hapo mnawaona niwajinga? Kumbukeni mungu tunamtukuza kwa nyimbo pia na swala acheni kuhukumu hovyo

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 місяці тому +6

    WAHUNI WAKUBWA NA MIKANZU YAO! 👀👀

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 2 місяці тому +3

    Salaaaala,
    Miziki jamani katika uislamu haimo

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x 2 місяці тому +2

    Mc Haji Manara mashallah ❤❤❤❤

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 місяці тому +3

    Daah...hii ndo kazi ya babdeo kumbe....bora Abu khaula alivyokataa mahojiano nae...😢

  • @fatmarashidy280
    @fatmarashidy280 2 місяці тому +1

    Huu msiba nlikuwa cjauona innallilah wainnallilah rajiun…Allah atupe mwisho mwema

  • @bouryschamata3093
    @bouryschamata3093 2 місяці тому +3

    Wanaiga wakristo sasa bado kusema Yesu Mungu tu

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 2 місяці тому

      Sasa hapo wakristo wamefanya nini tena hebu acheni kuhukum jaman wote tunasoma maandiko tunaamini ila hakuna hata mmoja Aliyefika mbinguni akaiona hiyo kweli tusihukumu kbsaaa maaana hakuna aliyekufa akarud akayashuhudia hayo

  • @husseinyathuman87
    @husseinyathuman87 2 місяці тому +2

    Innalillah waiina ilaihi Rrajiuun
    Mnasherehekea muziki dah

  • @user-zz4lz3jb9w
    @user-zz4lz3jb9w 2 місяці тому +3

    Hii sio kabisaa astaghfirulaa

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 2 місяці тому +4

    inasikitisha kwa kweli waislam tumekuwa hatujui dini kiasi hichi tunajirusha steem kwa matamanio ya dunia inna lillahi wa inna illayhi rajuun

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 місяці тому

      Si hatujui vo..ni tuna dharau maarisho wallah mtihani

  • @hawalulanga839
    @hawalulanga839 2 місяці тому +2

    Allah atupe mwisho mwema Amini tunako enda siko

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x 2 місяці тому +2

    Mwenyezi Mungu haombwi kwa nyimbo

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 2 місяці тому

      Mungu anatukuzwa kwa nyimbo pia
      Ndio sababu malaika wanaimba nakumsifu

  • @yusuphhamisi504
    @yusuphhamisi504 3 місяці тому +6

    Eti wamekutana walevi, waimba mziki wamevaaa hovyooo utadhani wakristoooo hahahahah

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y 3 місяці тому

      Sana, mi nimejiuliza kwani apa, ni kanisani wanaimba kwaya au,

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 2 місяці тому +1

    Tujaribu kutofautisha kaswida na Taarabu japo yatakuwa ni maneno mazuri ya Mwenyezi Mungu.

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 2 місяці тому +1

    Hapana hii sio sawa kbc

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 2 місяці тому +2

    Na kuna dua na vinanda shekh

  • @alush3138
    @alush3138 3 місяці тому +2

    Hajimanara hujulika
    N upokindigani allh akuhidiiiii

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v 3 місяці тому +3

    Mashallah kazi nzuri

  • @zalbak2738
    @zalbak2738 3 місяці тому +6

    Halafu hii channel tujue mojaaaa iko upande gani duniani au akhera

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 2 місяці тому +13

    Hapo mashekhe bado mpewe mirungi na shisha maana mnashangilia kama mpo mpirani SHEKHE NYUNDO ALLHA HUMA FIRAHU WARAHAMAHU MASKANA FIL JANAT ULISEMA UKWELI QASWAIDA NI NDUGU YAKE TAARABU.

    • @swalehbakari2667
      @swalehbakari2667 2 місяці тому +2

      Dunia hii ina maajabu
      Nashukuru kwa elim yangu ndogo nilio pata
      Izo ni nyimbo wana wanafanya ni din

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 2 місяці тому

      Yule sheikh wazanzibar orhman maalim haya serikali na alhah magugu na dhahabu waonaje shekhe au unawaongoza wa mwamposa kaenikimya tu alhah analipa

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k 2 місяці тому

      ​@@user-hj4bc5uh2x maybe he don't see this tv thats why he's the best sheik

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 Місяць тому +1

      We mlaji mirungi mmoja umeipendaa acha kujifanya hupendi wakati mnasaga mongokaa pamoja

  • @marthadkhan6459
    @marthadkhan6459 16 днів тому

    Tumuombe Mungu ameonyeshwa njia hiliyo bora na atupe mwisho mwema

  • @MadamAsya2024England
    @MadamAsya2024England 3 місяці тому +17

    Yote mabaya yamekusanyika ktk hadhara hii,wanawake kuzihirisha mapambo yao mbele ya wanaume,kuimba mbele ya wanaume,kuchanganyika wanawake na wanaume.na mbaya zote ktk dini vinanda na magita yametokea wapi.subhanalllah Allah atupe mwisho mwema.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 місяці тому +2

      hatari voo dini munaipeleka wapi bongo munamkabidhi manara mtu wa starehe za kidunia

    • @fatmasaid4114
      @fatmasaid4114 2 місяці тому +1

      Wapotezwa na Haji Manara awapoteza tuu apoo

    • @fatmasaid4114
      @fatmasaid4114 2 місяці тому

      Tubia na weyee tena Allah kakupendaa kakupa umri mrefu upate kutubia lkn wataka upoteza ta pumzi hunatena

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 місяці тому

      @@fatmasaid4114 hahahaaaa hili jamaa linapenda starehe za kidunia limepagawa wallahi

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 2 місяці тому

      @@fatmasaid4114 msiba voo

  • @MuhammedFoum-kr5kc
    @MuhammedFoum-kr5kc 3 місяці тому +5

    Dahhhh nyimb kweny maulid dahhh😢😢😢😢😢😢

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 3 місяці тому +1

      Kwani nini tofauti ya nyimbo na kaswida

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 місяці тому

      ​@@abiabi9353Ni ndugu tu mjomba na shangazi

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x 2 місяці тому +1

    Rukia Ramadhani Bint Abiazi ❤❤

  • @abdab8466
    @abdab8466 2 місяці тому +1

    Hi ni makosa,ndivo Allah anavoombwa kusamehe makosa

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 2 місяці тому +2

    Manara wachizika naona

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 місяці тому +1

    hili manara linapenda starehe za dunia wallahi sasa linaingilia na dini munaliangalia tu linapotosha umma kwa matamanio yake lipate pesa za kumnunulia zai lisa vichupi na vipendo vya kuoneshea mitandaoni

  • @tabujuma9046
    @tabujuma9046 2 місяці тому

    Mimi ni mpenzi wa khaswida lakini kwa hivi Subha Allah

  • @Harunery
    @Harunery Місяць тому

    Taarabu hizi mmeziweka kwny dini babdeo ujiandae kwa ALLAH

  • @MkaliWagoka-bz6im
    @MkaliWagoka-bz6im 2 місяці тому +1

    Hizi sio Kaswaidaa,,Haya ni mambo ya pwanii,, .

  • @mwanapiliali8504
    @mwanapiliali8504 2 місяці тому

    Yaani kila cku zikenda watu wanafanya uzushi tu katika dini dah inasikitisha sana mhm haramu inafanywa halali mwanamke anaghani sauti yake mbele ya umati wa wanaume na wao wanashangiria kwa mayowe na kanzu kubwa makoti na kofia dah 😢😢😢😢😢

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 3 місяці тому +4

    ndy tukisema maulidi nikama tarabu wanasema sisi tunampinga mtume wetu na kutuita wahabi tatz watu hawasomi dini

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 2 місяці тому +1

    Mbona hapa wengi wanafiki

  • @user-wk8ju9xg4m
    @user-wk8ju9xg4m 2 місяці тому

    manara Allah Aqbaru nynyi mwaichezea dini ndo nni ushenzi huu hivi hmna KAZI za kufanya nynyi madhwarimu et n hajji innalilah wainnailaih rajjiun mmelaaniwa Allah awangamize 6:51 😢😢😢😢

  • @IslamAhmed-xd5my
    @IslamAhmed-xd5my 2 місяці тому +3

    Hawa si waislamu Ni waswahili

  • @user-vs7vv7xd2f
    @user-vs7vv7xd2f 2 місяці тому

    Inna lillah waina ilayhi rajiuun

  • @halimauwesu
    @halimauwesu Місяць тому

    Jaman watu mnamodomo michafu khaaa😢😢😢

  • @sabriabdalla9562
    @sabriabdalla9562 Місяць тому

    Innalilahi wainna ilaihi... haram, haram, haram.

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 2 місяці тому +1

    Kizazi chakuhukumiana kazi ya hukumu niyake jallah jalal

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 місяці тому

  • @mdeesporttv6509
    @mdeesporttv6509 2 місяці тому +1

    Huku Tanga hii ni kijamvi hapo mirungi na shisha . .

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 2 місяці тому

    Ni kweli ni mwimbaji mzuri.Nilimsikiza zamani

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 2 місяці тому

    Msichanganye kasida na nyimbo za kumsifu mtume wetu Muhammad SAW hatari jamani majanga yamezidi.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 3 місяці тому +1

    Dah kweli acha tusemwe sasa nitaarabu au mauridi?

  • @wisemuddy5381
    @wisemuddy5381 2 місяці тому

    Usikute mufti yupo na kayanyamazia

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 2 місяці тому

    😢😢😢 msibwa mkubwa

  • @Mussajuma1515
    @Mussajuma1515 2 місяці тому

    Allah awaongoze kwenye heli

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 3 місяці тому +3

    Babdeo miladu ni chaneli ya kidini au ya muziki, mbona hamueleweki mbona mnachanganya nyama ya nguruwe na ng'ombe

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 3 місяці тому +5

    Hii sio hadhara ya mtume jamani. Dah

  • @msarama5406
    @msarama5406 3 місяці тому +1

    Wenyewe wanajiita kipenzi vya mtume😂

  • @alwyhissa7358
    @alwyhissa7358 2 місяці тому

    Baada ya harmonise now Manara, Allah tuongoze😢

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 2 місяці тому

    Katoka kukanyaga mavi karukia mikojo sijui ndo kuna tofauti ipi hapo dah mitihani bilisi kweli anatuweza

  • @mailacamillius
    @mailacamillius 2 місяці тому +1

    Ila Haji ni muongo. Zingizi na hicho kipande wapi na wapi!? Hilo neno lipo kabla Zingizi hajazaliwa

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 2 місяці тому

    Haji😂😂😂😂😂😂bugatiii

  • @rajabubwakila1977
    @rajabubwakila1977 2 місяці тому

    Kazi mnayo mlokamilika kabla hamjafa

  • @user-nv1oi1ie9h
    @user-nv1oi1ie9h 2 місяці тому

    Babdeo mambo km haya sio yakidini unaudhalilisha uislam watu wa dar mumezidi sasa kaaa

  • @saimalunde4002
    @saimalunde4002 2 місяці тому

    Hakuna aliye msafi mbele zake mungu tena hao mnaowakadhfu nakuwahulumu ndio siku ya mwisho watawapatia hta Tone la machozi mkate kiu ya moto mkali kikubwa Tuombeane sio kusimangana sisi sote hapa Dunia sio yetu tunapita tu

  • @saimalunde4002
    @saimalunde4002 2 місяці тому

    Yaaaaani comment zote humu nizawatoa hukumu tu kaaaaah😢

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 3 місяці тому +3

    Jamani Ogopeni siku ya Mwisho Watu wazima Bado munaikumbatia Dunia Rudini Kwa Allah wetu mutakwenda kujibu kulioyatenda

  • @siwaletv4185
    @siwaletv4185 2 місяці тому +2

    Hii ni taarab asilia sio qaswida acheni mambo yenu.
    Answer wanatusema sana

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 2 місяці тому

      Alhah akufungue ubongo watuwako nnje yafini tukombar naiislam

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 2 місяці тому

      Alhah akufungue ubongo watuwako nnje yafini tukombar naiislam

    • @hadijamgambo-jn7kg
      @hadijamgambo-jn7kg 25 днів тому

      Huku kwetu Zanzibar Taarab asilia ndo zinakua kwa style iyo, watu wanajistri wanatulia wanakula taarab mdogomdogo hakuna kutoka Jasho ila sio kaswida

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 2 місяці тому

    Ndio maana M/Mungu anakupa kinachostahik maana wengine wakizidishiwa neema za allah humsahau alie wapa. Huyo manara umaarufu wa ndani ya nchi tu leo unayafanya hayo kua nihalal

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 2 місяці тому

    Hivi jman ni swahaba gn achana na mitume ambae ailiwahi kufanya haya tunayoyafanya hivo kweli dini ingesimama kirahisi yani ufanye hivo ujidanganye unapata thawabi ee yaarabbi tusaidie waja wako

  • @user-ib3df2hr8i
    @user-ib3df2hr8i 2 місяці тому

    Hata na mashekhe waliojumuika Imani zao ni kama manara wa michezo ya mpirasio dini hiyo

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x 2 місяці тому

    Rukia ramadhani mama tubia tena umri ushakuwa mkubwa huo tena tubia

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir 2 місяці тому

    Manara mwenyewe ana laana iliyopitiliza bastaad

  • @saidsalum523
    @saidsalum523 2 місяці тому

    Mchanganyiko wa wanawake na wanaume,,na masheikhe wako mbele,,innalillahi wainna ilayhi raajiuun,,,tukiambiwa tunakuwa wakali

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 2 місяці тому

    Hyu mzee haji manara yye mwenyewe sialituambia alisomesha chuo kwa maalim basaleh ssa vtuko hv vp jmn ma vipensi mara uuzi huu naule jmn

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 3 місяці тому +12

    Wacheni uhuni hizi sio qaswida ni majimbo kama majimbo mengine tu msitupumbaze endeleeni kupotoka na kuupotesha umma ila yote haya mtalipa mbele ya Allah

    • @nassor8819
      @nassor8819 2 місяці тому

      Qaswida my bro ni lugha ila ni nyimbo kama nyimbo nyingine

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 2 місяці тому

    yani haitakua shida tena kugundua ibada hii potofu iliyojificha kupitia kichaka cha kumsifu mtume .huu ni mziki wamelaaniwa wpigaji na wenye kusikiliza na hii hasa asili yake ni nyimbo msidanganywe na we da rukia umri umeenda tubiaa .usiendekeze dunia

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 3 місяці тому

    Ukumbusho tu🙏🙏🙏