AICT Chang'ombe Choir (CVC) - Heri mtu yule Official Music Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 261

  • @nyabisemaro5574
    @nyabisemaro5574 5 років тому +102

    Jaman Nampenda Sana huyu Muimbaji Nimuimbaji Nguli wa Mucis ya Injiri Asioteteleleka Toka Anaimba Mpk leo Bado yupo Imara Ubarikiwe Mtumishi wa Mbwana nani Anamkubali Agonge like twende Pamoja

  • @georgegama8379
    @georgegama8379 4 роки тому +7

    Katika Kwaya ambazo huwa nazielewa vizuri na kunibariki ni AIC Chang'ombe.
    Hakuna nyimbo wala mwimbaji asiye maridadi na hasa wamama wanajitaidi sana

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 10 місяців тому +2

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @berthamremi1496
    @berthamremi1496 Рік тому +1

    Binafsi naupenda sana wimbo huu.....unanibariki sana " it's song of my choice" stay blessed

  • @msafiikatondo1251
    @msafiikatondo1251 4 роки тому +4

    Munaimba vizuri sana ila hamfanyii promotion nyimbo zenu ndo maana youtube hazifanyi vizuri

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 роки тому +3

    Barikuwa Sana na huyu mama mwimbaji sauti nzur Sana wimbo mzuri ujumbe wake nafurai kukuona Bado upo kwenye ubora wako toka enzi umeanza kuimba

  • @wemajohn534
    @wemajohn534 4 роки тому +5

    Mama anaimba kwa hisia Sana hongera Sana MAMA

  • @wemajohn534
    @wemajohn534 4 роки тому +5

    MMBARIKIWE Hadi MSHANGAE nawapenda 😘❤️👌❤️ pongezi kwa waalimu🙏🙏🙏

  • @RebekaAbraham-r6q
    @RebekaAbraham-r6q Місяць тому

    Mama uko vizuri nakupenda sana na wengineo wate mungu awabariki

  • @davidkisalimwala9458
    @davidkisalimwala9458 4 роки тому +7

    1million views glory to God +254 tunabarikiwa sana

  • @user-Michaeljoshuano8hp7pf3l
    @user-Michaeljoshuano8hp7pf3l 6 місяців тому +1

    Nzuri Hii Mmetukumbusha nyakati zilee Bwana Awabariki Sanaa.❤

  • @KolestaMkamati
    @KolestaMkamati 6 місяців тому +1

    Hata mim namkubali sana huyu mama❤

  • @geraldndone7438
    @geraldndone7438 6 місяців тому +1

    Tukilikataa NENO hukumu yatungoja..Asante kwa maonyo.MUNGU atusaidie🙏🙏

  • @RebeccaKioko-m9h
    @RebeccaKioko-m9h 3 години тому

    May the lord bless the choir for the good message,,,,, hallelujah hallelujah hallelujah

  • @josephmuhota9446
    @josephmuhota9446 4 роки тому +5

    Mama Dorcas mimi nabalikiwa na nyimbo zenu na sana zile umeongoza.Bwana asindi kuwainua kiwango na kingine.

  • @b.kmwanshinga1462
    @b.kmwanshinga1462 3 роки тому

    Ee mungu tufundishe kuifuata njia yako mbalikiwe sana nyimbo zenu zote zina upako

  • @peninahkerita7260
    @peninahkerita7260 4 роки тому +1

    Nampenda Sana hii choir mungu awabariki Sana.

  • @samsonijuma8228
    @samsonijuma8228 6 років тому +8

    Kwa kweli we mwanamama, Mungu akuinue mnoooo, yan nakupenda

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 5 років тому +2

    Ujumbe mzuri na imara napenda sana hilo andiko na ndio faraja na njia yangu.
    Heri mtu yule asie kwenda katika shauri ya wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji , wala hakuketi baradhani pa wenye mizaa . Bali sheria ya Bwana ndio impendezayo nayo huitafakari mchana na usiku. Zaburi sura ya kwanza

  • @stevenhiza6602
    @stevenhiza6602 Рік тому

    Nabarikiwa saaaana na utunzi na uimbaji huu.Bwana azidi kuutunza wimbo huu

  • @AgnesLameck
    @AgnesLameck 3 місяці тому

    Muñgu akuinue uzidi sana kwenye huduma hii.binafsi nyimbo zako nimezipenda zinanifariji kwenye mapito yangu

  • @evalinaelias769
    @evalinaelias769 4 роки тому

    Hongera sana Dada yangu sololist

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 10 місяців тому +3

    Hizo Melody jamani natamani kujiunga nao

  • @davidmalata5748
    @davidmalata5748 2 роки тому +1

    jaman huu wmbo unanibariki asee yan nauchek mara kama zote!!!mungu awabariki

  • @kasenangumbao7058
    @kasenangumbao7058 2 роки тому

    Mungu azdi kuwabariki nyimbo zenu zina bariki sana

  • @gracelyimojoseph7236
    @gracelyimojoseph7236 4 роки тому +5

    Jaman mam huyu anaimba vizur mungu akubariki mam

  • @moseskeys3923
    @moseskeys3923 2 роки тому

    Hawa vijana wa Keys n noma kweli 😍🥁🎸🔥🔥🎹🎺

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 10 місяців тому +1

    Mmmmh ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HumanBeing-pj4hm
    @HumanBeing-pj4hm 4 роки тому +11

    I love this lady so much , she has such a beautiful and natural voice ; God has blessed her with a natural melodic voice ... mama! continue to serve the Almighty God humbly.

  • @berittahmumbe6534
    @berittahmumbe6534 2 роки тому

    Wow,your biggest fan here at ziwani uinjilisti choir

  • @diananjau2209
    @diananjau2209 2 роки тому +3

    Ningependa kuwaona live. Good song and voices.

  • @TeddyZabron-re1he
    @TeddyZabron-re1he Рік тому

    Ooooooh Haleluuuuuuuuuuya,your blessedness to be a blesser

  • @abrahamnyangwa3298
    @abrahamnyangwa3298 2 роки тому

    Barikiwa Sana mama, Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi pamoja na kwaya nzima

  • @lamsnshiga3195
    @lamsnshiga3195 3 роки тому +1

    Wagaratia mko vizuri sana ipo siku tutaimba wimbo mpya mbinguni pamoja ubeti mmoja mda mrefu

  • @CorethaPaul
    @CorethaPaul Рік тому +1

    Mbarikiwe sana

  • @webingogo3633
    @webingogo3633 4 роки тому +7

    Ninapotazama nyimbo kama hii huwa sipendi MTU anisemeshesemeshe nataka utulivu mbarikiwe wanaaic chang'ombe

  • @andymukima6292
    @andymukima6292 Рік тому

    Heri MTU Yule, is a spiritually edifying song. Singing the scriptures, pleases the Lord God in no small way. Barikiweni Sana, Wana kwaya ya changombe.

  • @ciaundercoveroperatives4946
    @ciaundercoveroperatives4946 6 років тому

    huu wimbo ni wimbo ambao kwa hakika haujapatikana kwa maarifa ya mwanadamu bali ni kwa upako wa Bwana kwa hawa wanadada na ndugu zetu . Ni wimbo mojawapo ya zile ambazo zimetolewa na hili kanisa la AIC SHINYANGA ambazo znatoa msisimuko wa kirorho kwetu wanadamu....Asanteni sana na Mungu awabariki......AMINA

  • @msumbaedmund6685
    @msumbaedmund6685 2 роки тому +1

    Nyimbo hii huwa inanibariki sana....... Mungu azidi kuwainua!!!

  • @wilsonbaha102
    @wilsonbaha102 2 роки тому

    Asanteeeeeee mama ubarkiwe mungu awainueee Kwa viwango vingnee

  • @japhykkidoshi4433
    @japhykkidoshi4433 5 років тому

    Amina amina watumishi wa mungu saut nzuri biti nzuri solo ana saut nzuri very very

  • @JustineVisamalya-iu2sz
    @JustineVisamalya-iu2sz Рік тому

    Vraiment votre prédication me bénisse

  • @mabitajunior
    @mabitajunior 6 років тому +2

    nawapenda sana CVC na wimbo huu ni mzuri sana Mungu awazidishie na vipawa hivyo vya utunzi maradufu kutumia kitabu kitakatifu....you are a very special choir for my spiritual life

  • @evangelist.isaackyalooffic6080
    @evangelist.isaackyalooffic6080 5 років тому +3

    my Tanzanian favorite choir..... nawakubali kwa asilimia kubwa sana Bwana azidi kuwatumia

  • @yohanaelia420
    @yohanaelia420 4 роки тому +1

    Hiii nimeipenda aseeee

  • @mrimacharoo5474
    @mrimacharoo5474 3 роки тому

    Mungu awabariki .mm napenda sana nyimbo zenu kutoka Mombasa kenya

  • @AlfredMunna-xd1vk
    @AlfredMunna-xd1vk Рік тому

    Mungu awabariki sana waimbaji mlioimba huu wimbo mzuri wenye ujumbe

  • @njillihotz2785
    @njillihotz2785 3 роки тому

    Huyu muimbaji kwakweli yupo vzr tunampenda mnoooo mungu ampe wepesi atfkishie ujumbe zaidi kuptia kwake kwa kipaji chake alichojaliwa nacho

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 6 років тому +4

    African Inland Church Tanzania (AICT) Changombe Choir you are one my favourite choir, many congrats for attaining 30 years singing gospel music.

  • @fadhilingwembele6211
    @fadhilingwembele6211 3 роки тому +1

    Huyu mama anaimba sn kweli ni mkongwe yupo vizuri sn

  • @ramadhanjuma3584
    @ramadhanjuma3584 2 роки тому

    Nawakubali sana chang'ombe mungu awabaliki na hongeleni sana

  • @sirnunda3758
    @sirnunda3758 5 років тому +1

    Mungu amewainua katika kiwango cha juu sana katika kumtumikia yeye damu ya Yesu Kristo iwafunike nyote

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 5 років тому

    Mungu na awabariki sana kwa nyimbo nzur sana

  • @happyedward5635
    @happyedward5635 2 роки тому

    Mpo vizur sana toka nawasikiliza nikiwa form one mwaka 2009

  • @ccyuutz8358
    @ccyuutz8358 6 років тому +32

    Mama doricas Mwenyezi Mungu azidi kikuinua.kwa kweli nabalikiwa sana na sauti yako nakupenda hadi nahisi kuuguwa jaman

  • @martinkobiamwimbi2190
    @martinkobiamwimbi2190 6 років тому +2

    Hii ni talanta,nynyi ni baraka kwangu,naomba mzidi kutubariki na nyimbo kama hizi

  • @ackst.josephaldina3954
    @ackst.josephaldina3954 4 роки тому +1

    kudos......!!!!!!!! i rilly love the song

  • @winniemarondo4988
    @winniemarondo4988 2 роки тому +1

    Napenda hii song sana sana...

  • @felicitymunjuri6418
    @felicitymunjuri6418 2 роки тому +4

    Much love from kenya.That song blesses me.I must play it everday before i leave for work!

    • @nalonja9123
      @nalonja9123 2 роки тому

      me too! I play it everyday.

  • @favouropande9561
    @favouropande9561 6 років тому +11

    Wow my people....l love Congratulations for this awesome. Make sure we get the tape here in Kenya. Nawapenda

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 років тому +1

    Hamjawahi kukosea hata siku moja,Mungu azidi kuwainua.asante mama kwa sauti tamu

  • @dollypartonchepngetich3692
    @dollypartonchepngetich3692 2 роки тому +1

    Love from kenya..you are truly a blessing to my life.i love your songs💕💕

  • @egideshishikarusabe-to9ox
    @egideshishikarusabe-to9ox Рік тому

    Heri asiyekwenda katika shauri la wasio haki.
    Kweli swala hili ni la kuzingatia ndi .
    1:44 Atakuwa kama mti uliopandwa kando kando ya maji!

  • @PhilipChacha-w7f
    @PhilipChacha-w7f 4 місяці тому

    Nyimbo zinazozingatia Maandiko

  • @farennestory9834
    @farennestory9834 3 роки тому

    Mama mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juuu

  • @mathewmasyuko8004
    @mathewmasyuko8004 5 років тому +7

    Love you guys!!! All the way from Nairobi Kenya.. Blessings

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 6 років тому +5

    Amen! Glory to God! Ninawapenda sana na kuwakubali sana tu. Nyimbo zenu nyingi zi katika mafungu ya Biblia, tunalisikia neno kupitia nyimbo zenu. Mungu awainue mnapomtumikia na kuwapa hekima na nguvu ya kutumika. Napenda utulivu wenu ktk kucheza, mmetulia...

  • @edithkija2752
    @edithkija2752 6 років тому +1

    Kwa kweli nabarikiwa sana na nyimbo zenu,huu ni wimbo mzuri sana na Mungu awabariki sana

  • @suzanaelia7084
    @suzanaelia7084 5 років тому +1

    Amen nimebarikiwa na wimbo huu pamoja na kiongozi sauti nzuri sn

  • @mercywanza5410
    @mercywanza5410 2 роки тому

    Amen wimbo wenu umenibariki sana mungu awabariki Sana na muendelee vivyo hivyo

  • @katarinamahoza606
    @katarinamahoza606 6 років тому +2

    Mbarikiwe sana CVC nyimbo zenu hazinichoshi hakika Mungu aendelee kuwabariki,Cathy from Tanga

  • @maryonesmo3768
    @maryonesmo3768 2 роки тому

    Napenda huu wimbo jmn 🙌❤️

  • @glorygodsonlyimo145
    @glorygodsonlyimo145 6 років тому +2

    Hongereni sana cvc chang'ombe kwa wimbo mzur mungu awatunze muendelee kumtumikia mungu. Amen

  • @jonathanmasaga8903
    @jonathanmasaga8903 4 роки тому

    Asante CVC

  • @ruthmwanza5235
    @ruthmwanza5235 6 років тому +7

    my most favorite choir with my favorite soloist ,may God bless you abundantly as you attain 30 years ministering the gospel through music.

  • @graceomary2187
    @graceomary2187 4 роки тому

    Nyimbo zenu zinani Bariki Sana

  • @johnabelly8613
    @johnabelly8613 4 роки тому

    Huy mama atarii sn anajua

  • @tarajeloghwe4624
    @tarajeloghwe4624 5 років тому

    Nimebariki sana na hii nyimbo mungu awabariki sana

  • @karaniepuret3789
    @karaniepuret3789 3 роки тому +1

    AICT Chango'mbe vijana choir is the best way to talk to GOD.May you be blessed!

  • @lovenessgodfrey439
    @lovenessgodfrey439 4 роки тому +2

    Mungu awabariki sana, mnaimba vzr

  • @paulwasike7773
    @paulwasike7773 5 років тому +4

    I listened to this song and gave my life to Christ be blessed you touched my soul and changed my life for ever

  • @jamesmutisya6588
    @jamesmutisya6588 2 роки тому

    Good work. May God bless you 🙏 smart choir

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 5 місяців тому

    Heri mtu yule/ 20/8/2024. nyimbo nzur sana

  • @latiphajackson4901
    @latiphajackson4901 3 роки тому +1

    Ubarikiwee soloo nakupenda sana we Mama❤️❤️❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @ignatiuswamapendo4384
    @ignatiuswamapendo4384 4 роки тому

    Napenda kazi yenu.

  • @eunicejohnseni7178
    @eunicejohnseni7178 5 років тому

    naupenda huu wimbo kwani unanibariki moyo wangu

  • @emmahvellmmah9501
    @emmahvellmmah9501 5 років тому

    Ninapotazama huu wimbo natokwa na machozi 😭😭😭ninapomuona Mariam kwa hii video ,akii aliyemuua Mariam nae akaione jehanamu hata kama hukumu si kwetu but alimtendea unyama dada yangu,Mariam natumia unadance na malaika rest in peace dada😢😢😢😢

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 2 роки тому

    Kwa kweli wa Tanzania wanaimba.

  • @maryandrew4606
    @maryandrew4606 6 років тому

    Nawapa pole sana wanakwaya wa iac chang'ombe, kwa kuondokewa /kufiwa na mmja wenu...Mungu awatie nguvu

  • @happymsuya8511
    @happymsuya8511 3 роки тому

    Safi sana kwa ujumbe mzuri Mungu awabariki

  • @kambalekirovi2805
    @kambalekirovi2805 Рік тому

    Wandugu zandu turudilie mungu kabisa

  • @fadhilimalila5285
    @fadhilimalila5285 2 роки тому +1

    GODBLESS You i like it so much

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 6 років тому +9

    Jamani huu ni wimbo mzuri mno wenye ujumbe kutoka Zaburi 1. AIC Chang'ombe Kwaya asante sana kwa uimbaji bora. Mungu wetu anapokea utukufu katika nyimbo zenu. Nami nabarikiwa sana.

    • @devmwangos636
      @devmwangos636 6 років тому

      nawapenda sana nyie watu mwenyezi mungu awabariki sana

  • @fadhiliomali1670
    @fadhiliomali1670 4 роки тому

    Nimependezwa na hii

  • @gervillepalvin2336
    @gervillepalvin2336 5 років тому +3

    Sending love to y'all from the U.S.

  • @faithjoseph9523
    @faithjoseph9523 2 роки тому +1

    The song really blesses me

  • @petersitta478
    @petersitta478 4 роки тому

    Ameeeeee barikiwa saaaaaana

  • @josephinemuhonja743
    @josephinemuhonja743 6 років тому +4

    Mungu awabariki na azidi kumpaka mafuta mabichi

  • @jenniferkiio5608
    @jenniferkiio5608 3 роки тому

    A good music God bless you

    • @sarahluvanda2731
      @sarahluvanda2731 2 роки тому

      Barikiwa sana waimbaji Mungu awabariki ktk kuitangaza lnjiri watu watubu waokoke

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 4 роки тому

    Nzuri